Highlights | Zalan FC 0-4 Yanga SC | CAFCL - 10/09/2022
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2022
- Tazama mambo yalivyokuwa wakati Yanga SC, ikiiadhibu Zalan FC 0-4 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF).
Fiston Mayele amefunga hat trick na kuondoka na mpira huku goli moja likifungwa na Feisal Salum - Sport
Nimependa kibwana livyo muomba msamaha mayele daaah yanga noma 💛💚
Kabisa
Yanga wanaheshimiana sana
Safiii saanaaa nilikua naisubiri kwa hamu yanga oyeeeeee💪💪🔥🔥
alhamdulilahi tumeshinda ira bado ujanijibu Bi kisula Hamida
Washabiki wa YANGA sisi ni wavivu sana kwenda uwanjani...MECHI ijayo tuamshe, inabidi tuendelee kuwa MASHABIKI BORA ....WACHEZAJI tunao na TIMU tunayo ...!... CHAMA LA WANANCHI , CHAMA LA WANA...!....Big Up..!
Ahsante Azam maana nimeisubiri kwa sana leo wa kwanza like kama zote wananchi
Hawaamin macho yao wanataman kusema mayele kabahatisha lkn wakikumbuka tarehe 13 wanaishia kusonya ni mwendo was kupeleka Moto tuuuuuuuuuuuuuu
@@aminajoseph2154 hahaha piga spana
Asante mungu tunamshukuru kwa yanga yetu kutupa rahaa
Semeni mnvyotaka,Yanga imenza vizuriiii!!!!!!!
@@aminajoseph2154 na kutetema pia
Wanatamani kusema Mayele kabahatisha ila wakikumbuka alicho wafanya tar 13 wanaishia kusonya tuu
Nyau sc wanatamani kusema kwamba Zalan fc ni dhaifu lakini wakikumbuka nawao washaingiliwa na Mayele basi wanafunga midomo 😂😂
My lovely team .Congratulations to Yangaa 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Ndiyoo
Ila uyu kipa wao NOMA SANA ,TUMPONGEZE
Moloko, what a player.....very good player
Mayele mayele mayeleee aaaaa ndo uyo uyooo
LIKE KAMA ZOTE WANANCHI💛💚
Naipenda yanga saaana
Jesus moroco what a paformance wao just wao
Alafu yanga atuazimi kocha ikumbukwe😼😼 mtu anakuuliza unafanya kazi gan unafikili kushabikia yanga kazi ndogo 😻😻💛
Daaah 😂😂😂
Mashabik wa vyura bana au mmerogwa iyo kwel nitim ya kujisif tim haina haz ata ya tim ya daraja la kwanza tanzania kama yanga huu ndio mpira wao hawafik popote kimataifa
@@badrumbarouk3377 🤪🤪🤪🤪🤪acha makasiriko hivi mayele si aliwafumua akampiga tobo yule inonga na aziz kii akapiga bonge la tobo akawalaza na viatu makolo awamsahau hiyo nayo aipo kwenye ligi kuu ukirepry tu natuma clip ya mayele 🤪🤪🤪🤪
Hii timu ina kipa mzuri.yanga walikua na papara Kwanza ya kufunga walikua wanamlenga straight
Nimejaribuu kufatilia kati ya mechi za simba namech zayanga zinazo kaaga trending nimechi zayanga hii nidhahiri kuwa yanga ndo inamashabik weng wanaoifatilia#ILOVE U YANGAAAA MYELEEE HATRICK 💪💪💪
Wewe ni hewa kweli
@@djraizotz5164 ahahhahaa fatiliaaa mwenyeweeee
Huna akili wewe
Yanga naona wamecheza kwa pressure sana kipindi cha kwanza.. strikers walikosa utulivu
Wasiwasi wangu next round watakuwa na kazi kubwa kushinda
Tutafunga mengi zaid
Jifunze hukmu za quran tukufu gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojali
Aziz Ki ni Burkina Faso's maestro 🤔😱🤯
Mungu Asante haikuwa rahis kwa kweli💛💚💛💚
Ha ha
Rahisi sana
@@JAYCLASSICMEDIA sawa
Haikuw rahis wap ww
Haikuwa rahisi wapii hao wacheza mchangani msijidanganyee!!!!
Kwa kweli marefa wengi wa Africa hawana jambo kuanzia hapa kwetu uwoza wa marefa umekithiri hata hao marefa nchi nyengine za kiafrika na wao ni wabovu hikadhalika. Offside za Mayele zimekuwa nyingi kunyimwa magoli.Hapa Tanzania refa mmoja amediriki kinyima kuwa mfjngaji bora wa ligi ya NBC. HAYO NI MAMBO YA AFRIKA.
Kipa mzuri sana
Hongera Fiston Mayele Hat trick ya kwanza ya mashindano
U
Hapo mwendo tuy
YANGA HAISHIKIKI
Mimi ni simba lakini nimejikuta natetema dah mayele hongera sana
Huo ni uzalendo mzuri👌👌👌
Huo ni uzalendo mzuri👌👌👌
Wanaumeee
Yaani awa ilikua saba zinawausu sema kipa baba wanae
Hakiamungu yaaan
Asante mungu Asante wachezaji wetu wa yanga
Uyu goli kipa sio poa kaokoa sana michomo anafaa kwenye ligi yetu kawazidi makipa wengi
Keeper noma sana ✅
Mayele mayele mayele oh ndyo huyo huyo
Leo kweli HD
Hongerni Sana tena sana
Kipa ni nyaniii💥💥💥👏👏👏
good job My team 💚💛
Jifunze hukmu za quran tukufu gusa maandishi ya bluu hapa chini
czcams.com/channels/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw.html
Kama si Kipa wao Hawa jamaa bac ingekua 8 au zaidi.
21 ona trending💛🖤💚💪
Yanga for Life
Ilove you thaana Yangaa
Hongera sana Yanga kwa kuishinda timu ambayo ni kati ya timu shupavu za Africa
Let the youth rejoice greatly in this role, in front of you is the Crescent
Wuheeeh
Golikipa wao ni hatari aiseh
Tungemsajili yanga 💚💛
Kipa wa zalan hatari 👍
Nashukuru mungu kw neema ya ushindi leo yanga ni bingwa
Hatutaki maneno kazi iendelee.
Ni mwanzo mzur kwa yanga 💚💚💚💛💛💛💚💚💚
Ongera sana team yangu yangaaa💛💚💛💚💛💛💛💛💛💛mbarikiwe,mayereee🥰na fei toto😘Mungu azidi kuwainua sana azizi,na wote luv all ma team🥰🥰🥰🥰
Asanten mwenzenu natetema huku
Lkn huyu goalkper mkali walai
Ilitakiwa 2wapige 8-0 washambuliaj wamekosa umakini, wakiendelea na huu ujinga 2tatolewa mapemaaa.... Yaan kipindi cha kwanza mna ON TARGET 8 NO GOAL, seriously...?
Tatizo we Nae unalalamika Sana Kwamba haukuona na Kama kipa alikuwa anazidaka Mzee acheni Lawama tuwapongeze wachezaji Wetu kwa hiki walichokifanya Sio haba
Azam tv boresheni picture tafadhali
Sjaridhika na idadi ya magoli tuliyo yafunga kwanini sisi hatuwi wakatili kama Bayern Munich ya ujerumani naomba vyombo vya habali mtuhimizie hizi Tim zetu KUHAKIKISHA wanafunga magoli mengi bila msamaha kwa hizi Tim na kuandika historian nzuli Leo tulikua na nafasi ya kufunga goli hata kumi na tano
We jamaa
Hapana Ndugu Goli kipa Wao ndio kawasaidia Sana Hawa Jamaa bila Hivyo Hizo Goli 15 zilikiwa Chache Hata 20 tungefunga
@@NellyWaKidato nimelielewa Hilo nashkulu ila tujitahidi kuviomba vyombo vyet vya habl kutufikishia ujumbe kwa hizi Tim zetu mana ni ngum kuzifikia direct uchungu tulio nao ni vile ngum kutambua mapenzi hayazuiliki jamani Leo daaa
Zilikuwa sita mbili refa amezikataa tu
@@ignaszyinzile5094 Kweli Aisee
Bravo🔥🔥🔥
Mayele kanyimwa goal la Kwanza
Daaah wanatia huruma angalia possession 🙆🏻♀️😂
Denis hongera jmn,dogo upo vizuriii
Mm Simba damu Ila Yanga wamekataliwa goli mbili za wazi kabisa asa sijui shida nn kwa hawa waamuz jmn
Sema tu Yanga
Sema tu Yanga
Shkran yarabi kutuwezesh ushindi siku ya jana
Kesho matokeo yatakuwa hivyohivyo
Huyu kipa wa zalan yupo vizuri sana ila zalan wañatia huruma jmn
Kabsa Kuna haja kumchkua simba
Zalan fc goalkper yuko poa sana ak
Asanteeee yanga
Hongera yanga
Congratulations 💚💛💚
Kazi nzuri ila viongo na washambuliaji wanapaswa makini katika nafasi zao sio kupiga piga tu mpira ungekuta leo tumeibuka na ushindi wa goli 8 kwa 0. Ila hongereni sana, wananchi tupo pamoja.
Huyo kipa wa sudan wanamlipa shingi ngapi
Mayere hapoi Walahaboi..💛💚🙏
Yanga tuko vizuri ,sio Kwa mashambulizi haya ya mipango na uwezo binafsi WA wachezaji.
Kazi nzur Sana yanga
Umeonaeeeeee
Nyie sielewi mpira umeisha au
Kuna siku watu watakuja kupigwa mibao mingi humu🤣🤣🤣
Lakina MAYELE anakuwa na mecho miguuni
Mungu uwe nas kwenye mchezo wetu
Mungu Asante sana
Axant Bigirimana...n fund jamaa
Jifunze hukmu za quran gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama.hautojali
Yanga Kama yanga nani Kama yanga weweee🔥🔥🔥🔥🔥
Gor y kina Khalid aucho,sakava,olunga waja twe,,pongezi yanga
I love Yangaaaaaa
Wameingia mtumbwi wa vibwengo leo
💥💥
Timu wachezaji wana sura za vibaka macho mekundu hatarii
😂😂
Yanga mnaonesha kutoelewana kwenye technic ya kufunga mawasliano duni sana,pia mnacheza kwa papala sana,tulieni muwe mnacheza kama mnavyochezaga na Simba utulivu na mbinu kali, LA mkicheza na tim janja mtaloa sana.
Jifinze hukmu za quran gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojali
Mimi najua yanga wamecheza na ihefu ya mbeya
💚💛
Jàmàn wanayanga wezangu tuwewakeli kwamakosa waliofanya zalan naumilik tuliofanya tungekua Makin tungepga20 tuwazie je tungekutana natim ngumu haifanyi makosa kiulabis kipndi chakwanza nafas7 no gol tulijiamin kupitiliza siovizursan tunijpange na Al hilal
ZALAN WAMEBARIKIWA KIPA HUWEZI PATA VYOTE DUNIANI....
Aiseeee m yanga ilaaa huyu kweliii yuko vizurii mnoo
Maneno mengi ila sisi tunaangalia ushindi tu
🔥🔥🔥🔥
pamoja sana wanachi
Young
Uyo goalkeeper angekua ayuko fit wangefungwa ata kumi 😂😂
Yani mpila urikuwa mtamu kama asali,uwii.
Mayele kama lewandowski
Ukiwa na wachezaji bora unachukua matokeo mda wote unao utaka wewe daaah!!! Huyu mayele hatari anaitwa mayele ma hut trick huko afrika yote
Jaman highlight zenu haziko ndani ya ubora muongeze ubora
Yanga daima
Yanga bwana tufurahisheni sasa