PASI MILIONI : TUNAIMANI NA MANGUNGU NA MO WASIOTAKA WATUACHE NA TIMU YETU | MO ANASAJILI MWENYEWE
Vložit
- čas přidán 14. 06. 2024
- Hiyo no Mzee wa Pasi milioni Akitoa maoni yake kuhus mwenendo wa klabu ya Simba
#harmonize #kondegang #azamfc #azamfc #middlesimba #zuchu #yangatv #middlesimba #kondegang #simbanation #footballclub #singidafountaingate #film #footballclub #simbanation #harmonize #kondegang #singidafountaingate #simbanation #harmonize #azamfc #zuchu #yangatv #middlesimba #azamfc #kondegang #simbanation #footballclub #film #singidafountaingate #footballclub #simbanation #harmonize #kondegang #azamfc #middlesimba #zuchu #yangatv - Sport
Nipo na ww pasi milioni mangungu kiongozi bora sana shida uelewa tu
Tajiri apepewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Chawa wa Mangungu
Shida unazeeka huku unatamani kuendesha maisha kwa uchawa,
Nimekudharau sana 😢
Kwa hiyo kila wanalosema ni sawa,fara sana
Huyo nimsenge
Pasi milioni ameongea vizuri..hana upande.
Mimi ni mwanachama wa yanga ila kwa ushu ya mangungu wanamuonea tu mzee wa watu
Huyu pas million zamani alikuwa anaongea maneno ya mana kabisa lakin siku hizi amekuwa chawa amebakia anaongea upuuzi tu😃😀😃 1:37
Sikuzote nilizan kua huyo jamaa ni shabik mkeleketwa kumbe Yuko Simba kimaslah tu ni chawa wa mangungu huyo Hana uchungu na timu Zaid ya kupenda Hera tu mangungu anaiua Simba anaemkubali mangungu haitakii mema simba
Leo kwa Mara ya kwanza Pasi milioni namwita mjinga sana,chawa wewe.
Chawa ktk ubora wake pumbavu zako