LIVE 🛑 WANACHAMA SIMBA WASEMA MO DEWJI SIO MWEKEZAJI!! WAJA JUU MCHAKATO UWEKEZAJI KUTOKUKAMILIKA!!

Sdílet
Vložit

Komentáře • 45

  • @ladislausmakarious2023
    @ladislausmakarious2023 Před 10 dny +4

    Naomba uongozi na wanachama miaka 3 wote tulilegea kuwajibika hivyo wote tusameheane tusifungie wanachama wenzetu tutapata mikosi tuanze upya kwa baraka!

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti5372 Před 9 dny +2

    Tuacheni na simba yetu,, yaani bila kuitaja simba, radio zenu hazina soko

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 Před 10 dny +2

    Hao wote wanataka kiki lkn shida ni mo

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Před 10 dny +1

    Washabiki wasimba Daah kazi sana

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Před 7 dny

    Anae kwamisha michakato mtizameni broo mmoja anae mkandia. Mo. Sana mtizameni huyu jamaa

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 Před 9 dny

    Haosimba hawana maneno wamefer

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi9139 Před 10 dny +2

    Hapa shidi ni urasimu wa kiutendaji na ubaguzi wa kiusimba na uyanga kwenye mifumo.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 9 dny

      Kwenye songombingo za Ubuntu cc wananchiii tumeshajivua huko bhana 😂 ....

  • @rashidsimba3680
    @rashidsimba3680 Před 9 dny

    Kwa hoja hizi hivi hiko cheo cha uwakili ni kweli au, Jina tu la kimechezo

  • @boscomalangalila
    @boscomalangalila Před 9 dny

    Simba washabiki wote ni wasemaji was timu njaa inawasumbua

  • @peterchande957
    @peterchande957 Před 10 dny

    Hawa mashabiki wa simba ni comedian wamekuja kuuza sura tu

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 Před 9 dny

    Mnaohoji na mnahojiwa wote vilaza au wanafiki semeni ni vipengere gan serikali waliwaambia simba ..cyo funika kombe mwanaharamu apite matatizo yatajirudia..

  • @peterchande957
    @peterchande957 Před 10 dny

    Kama mnaficha mapanga mtausikia ubingwa. Hawataiweza Yanga, hapo kuna mashabiki wa hovyo tu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 9 dny

    HAPO HAMNA WAKILI NAHISI NI KISHOKA....HANA HOJA BALI NI KAMA MASHABIKI MANDAZI

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 Před 9 dny

    Hisa za wanachama wamekasiwa baraza ia wadhamini la simba ni asilimia 10 tu ..40 zitauzwa kwa wanachama kwa hiyo mwenye asilimia 49 ni mo na ndiyo mwenye hisa nyingi

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 10 dny

    MO DEWJI KAKOPESHWA TIMU KAMA MASUFURIA

  • @abudalaabdumalik9362
    @abudalaabdumalik9362 Před 10 dny

    Alafu uyu jamaaa sjui kama
    Unaweza kuongoza watu wake ndan
    Mwanaume kaza
    Kabla ya kukazwa

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg

    Hawa sasa wanatafuta viewers

  • @bensonmbuya-if1fc
    @bensonmbuya-if1fc Před 10 dny

    Efm muwe mnatafuta watu wa kufanyanao maojiana wenye uelewa sasa kama mtu mnamwita wakili msomi wakati hakuna kitu jichwani mnaizalilisha taasisi yetu ya mawakili!

  • @GiliardMbonea-qn4vu
    @GiliardMbonea-qn4vu Před 9 dny

    Katika mtu anae ongea pumba ni huyu yanga bingwa Hadi 2028 hakuna Cha bosi hapo

  • @omarijuma5007
    @omarijuma5007 Před 10 dny

    hao wote.nimachawa hawawanajipya aka njaa

  • @pontianjohnkahwa
    @pontianjohnkahwa Před 9 dny

    Angalia jezi aliyovaa GB64, matangazo yote kwenye vazi hilo ni MO hivyo hatoi pesa kwa mapenzi yake bali anafanyabiashara na Simba.

  • @raulencomarkesh5848
    @raulencomarkesh5848 Před 10 dny

    Jamani kama hamna WATU wa kuwahoji basi pigeni miziki tuuu maana mnajishushia adhi zenu KWA KUWA hoji WATU wasiojua kitu

  • @pauljobmasue6562
    @pauljobmasue6562 Před 10 dny

    Huyu wakili ndio haohao ndio wanaipoteza Simba Hana lolote LA maana analiongea

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x Před 10 dny

    Mangungu Aondoke anatukwamisha huyo

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 Před 9 dny

    kweli simba inajifajarisha na yaliyopita ni swsw kusema samia usimuone ni rais kwa sasa nimemsaidia nauli au aliwahi kukaa kwangu,ujinga mtupu

  • @namtingakassim5529
    @namtingakassim5529 Před 10 dny

    Simba muda wote itaungana na Mtibwa sukari kucheza ndondo.timu inaongozwa na watu wapiga maookoto tu,msimu ujao mupigana tu hatahiyo nafasi ya tatu hamshiki

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 9 dny

    HAPO MWENYE AKILI KATI YA HAO WANASIMBA NI GB 64 WENGINE WOTE NI VIAZI TU

  • @GiliardMbonea-qn4vu
    @GiliardMbonea-qn4vu Před 9 dny

    Katika mtu anae ongea pumba ni huyu yanga bingwa Hadi 2028 hakuna Cha bosi hapo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před 10 dny

    NYINYI FM maandazi why mnawaita. Mashabiki KUIZUNGUMZA ...HALAFU UTOPOLO MNAWAITA VIONGOZI ....TUSHAJUA KUNA FM zinatumika kiibomoa SIMBA

  • @faustinemsanguli1055
    @faustinemsanguli1055 Před 10 dny

    Watangazaji wa Efm machawa wa YANGA mnaleta usenge na unaz mbwa nyie

  • @peterchande957
    @peterchande957 Před 10 dny +1

    Kwani kuna mawakili siyo wasomi? Halafu huyu Wakili hajui kuitumia akili yake anaongea kwa muhemko

    • @mohdyussah825
      @mohdyussah825 Před 10 dny

      Wakili kilaza 😂😂

    • @ladislausmakarious2023
      @ladislausmakarious2023 Před 10 dny

      Naomba tusifungie wanachama wenzetu tutapata mikosi tuanze upya kwa baraka

    • @ladislausmakarious2023
      @ladislausmakarious2023 Před 10 dny

      Kuhubiri amani safi Sana Ila tusameheane tusifungie wanachama wenzetu tutapata mikosi tuanze upya kwa baraka

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt Před 9 dny

    Gb 64 Hana kadi ya uwana chama Wala ya ushabik msiwe mnawaleta mijitu studio ambayo Haina hadhi ya kuongelea simba.

  • @YekoniaLivingstone
    @YekoniaLivingstone Před 10 dny

    Watu wakisema ukweli ni kuunga mkono ,wa Yanga waanza kutetemeka

  • @GiliardMbonea-qn4vu
    @GiliardMbonea-qn4vu Před 9 dny

    Daaaa mimi nafurahi sana Simba wanapo haribikiwa😂😂😂😂😂😂😂 yanga bingwa tena Hadi 2028

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda Před 10 dny +1

    Moooo sio mwekezaji huyu ni bepari kabaila mnyonyaji tu makolo hawajui wanapenda cha dezo

    • @saimonntani6831
      @saimonntani6831 Před 10 dny

      Yanni wewe hunautofauti napumbu za binadamu.sasa moo nikabaila kivipi ikiwa viongozi waupande wawanachama hawanaakili?

    • @faustinemsanguli1055
      @faustinemsanguli1055 Před 10 dny

      Mkundu unakuwasha mwite manara akukune Mo anakuhusu nin

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před 10 dny

    Ukitukana mtu Yatakukuta ya MWIJAKU NA KIPANYA