MBWADUKE: SURPRISE! SIMBA YAKWEA ZAIDI VIWANGO VIPYA UBORA CAF/ YATIMULIA VUMBI VIGOGO KIBAO...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 06. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-coment na ku-like...

Komentáře • 98

  • @victorgogadi55
    @victorgogadi55 Před 6 dny +35

    Miaka yote hizo ranking za timu hakuna mchambuzi yoyotę ameweza kufafanua madaraja ya timu kama huyu mwamba Mbwaduke, best & top mchambuzi na analyst TZ Bravo Bro!

    • @Ba63828
      @Ba63828 Před 6 dny +2

      What a magic analysis!

    • @yayananajota5838
      @yayananajota5838 Před 6 dny +2

      King of mathematics 👑🇫🇯

    • @shaibubakari4265
      @shaibubakari4265 Před 6 dny +2

      Kaka nionavyo Ni kipaji mtu anazaliwa navyo ukiongeza na elimu na ufuatiliaji wa Mambo yanavyoenda

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 Před 5 dny +1

      Hata kama una kichwa kama cha Jemedari utaelewa tu

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 Před 5 dny +1

      Yaani huyu jamaa alichelewa wapi? Azam wapewe maua yao maana ndio wamemwibua na wakampa ajira ya uchambuzi kabisa

  • @khatibushomary6507
    @khatibushomary6507 Před 2 dny

    Asante mbwaduke wewe ndio mchanbuzi Bora,wengine wote ni ushabiki tu unawasumbua,bravo sana

  • @InspirationalGreyElephan-lo7mk

    Anachotufundisha huyu jamaa ni kwamba fanya kazi yako kwa weledi, kila kitu kitakuwa sawa, hajipendekezi kwa giant yeyote lakini watu wa timu zote wanavutiwa naye, guys we need to keep real always. Thanks brother

  • @jamesupanganamundu7073
    @jamesupanganamundu7073 Před 5 dny +2

    Mchambuzi Bora Tanzania....wengine ni blabla na hawana fact....big up mbwaduke.

  • @IsaacPhilemon-mt7bk
    @IsaacPhilemon-mt7bk Před 5 dny +1

    Hongera sana mwamba kwa ufafanuzi mzuri ulio bora,ambaye hata elewa basi anaubishi wa asili.❤️❤️❤️❤️

  • @Marwawilliam
    @Marwawilliam Před 4 dny

    Bravo kaka kwa kazi nzuri

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Před 5 dny +1

    Pongezi kwako mtaalamu wa football analysis💪👏

  • @Salisalum
    @Salisalum Před 6 dny +1

    Mbwanduke, nimekupima muda sasa. Wewe ni mchambuzi bora sana wa mpira nchini Tanzania.

  • @sharobarowcb5251
    @sharobarowcb5251 Před 6 dny +1

    Nakukubali sana, hakuna mchambuzi kama wewe Africa Mr Mbwaduke

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 Před 6 dny

    Asante Kwa elimu hii muhimu. Upo vizuri sana.

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr Před 6 dny +3

    Huyu jamaa nimwamba anajua mashaallah

  • @hilarylaurian7896
    @hilarylaurian7896 Před 5 dny

    Kaka upo vizuri

  • @boazballa9551
    @boazballa9551 Před 5 dny

    Hongera Mbwaduke kwa uchambuzi bora

  • @omaryseboha
    @omaryseboha Před 5 dny +1

    Mwamba sana mbwaduke

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws Před 5 dny

    Brother Mbwaduke,uko VEMA SANA Mkuu 🤜🤛

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 Před 6 dny

    Nimekuelewa vizuri Sana mwalimu wa Wachambuzi unatisha Mkuu

  • @StevenPaul-ws3ei
    @StevenPaul-ws3ei Před 6 dny +1

    Ufafanuz mzur sana,kumbe huw ni hiv leo ndonimeelewa

  • @joackimmutulu
    @joackimmutulu Před 5 dny

    I like way you explain. Nice stuff

  • @anoldkivuyohiphopmc1957

    Nakubali sana mbwaduke nakufuatilia nikiwa Arusha✌️💯🔥🔥🔥

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim7995 Před 5 dny

    Upo vizur sana kaka yani mtu asipokuelewa atakuwa chizi huyo Asante sana

  • @BarakaPatrick-qe6se
    @BarakaPatrick-qe6se Před 5 dny

    Daah imebaki uchambuzi wa usajili tumalizie ❤❤❤

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Před 6 dny +1

    Haya safari njema simba sie turiishia fenal kazi kwenu

  • @RajabuMpango
    @RajabuMpango Před 5 dny

    Mbwaduke huna baya pamoja Sana😁😁😁❤

  • @AMOSEXAVERY-fm4qm
    @AMOSEXAVERY-fm4qm Před 6 dny

    Nakupongeza sana.
    Unaeleweka vizuri

  • @kiambaboy783
    @kiambaboy783 Před 5 dny

    Nakushukuru sana nilikua sielewi uto wako mbali sana wanalakujifunza kwa simba

  • @LilianMasilayo
    @LilianMasilayo Před 5 dny +1

    Mchambuzi Bora kabisa tz tunajivunia

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k Před 5 dny

    Big up,mbwaduke,big up simbaaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr Před 6 dny +3

    kama kuna mtu mbishi abishe hiyo ndio simbaaaaaaa nguvu moyaaaaaaaa waoooo

  • @tegemeo4009
    @tegemeo4009 Před 6 dny +5

    Simba nguvu moja👍👊

  • @michaelkasilabwa3096
    @michaelkasilabwa3096 Před 5 dny

    Aisee huyu jamaa yuko vizuri kwenye data

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 Před 5 dny

    Shikamoo mbwaduke🔥🔥🔥🔥

  • @user-qs7io7il6n
    @user-qs7io7il6n Před 6 dny +1

    Yan leo bwan dah ndo nimeelewa ssa mfumo wakutupandisha juu yan hizi Tim zetu mbili simba yanga vip zinapiga hatua ubarikiwe san mchambuz wetu kipenz aiseee

  • @IpyanaZacharia
    @IpyanaZacharia Před 5 dny

    Best of the best mbwaduoe

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před 2 dny

    Dah Simba tunaichukulia poa sana Tanzania haipewi heshima yake inayostahili, najaribu kuwaza kama Yanga ndio ingekuwa inashika nafasi ya sita ingekuwaje nchini

  • @elistarish
    @elistarish Před 5 dny

    Du,uko vizuri

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 6 dny

    Jamaa uko vizuri sana kuliko wachambuzi wengine

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 Před 6 dny

    enjoy uchambuzi Bora from mbwaduke next level

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 Před 6 dny

    Katika uchambuzi wa soka uko vizuri Sana kama kuna Kura zinapigwa Namba moja ni yako hakuna ubishi

  • @ElinajaMlaty-qg4sj
    @ElinajaMlaty-qg4sj Před 2 dny

    Unyamaaa

  • @nicolausisaya
    @nicolausisaya Před 5 dny

    Daaaaah jama unajua namna ya kuuzungumzia mpira kwa undani

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 5 dny

    Huyu huwa hawampi bahasha maana akina fulani na radio yao hadi aibu wanavyoipolomoshea simba mmhh

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 Před 6 dny

    Jamaa yuko vizuri sana kwenye data, kama huna data unapiga makelele tu

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 Před 6 dny

    Hongera Mzee wa data

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi9139 Před 5 dny

    Yes wewe kuitwa mchambuzi ni sawa kabisa wasaidie na wengine waelewe tofauti ya mchambuzi na mshabiki.Wasaffm si vibaya mkijifunza.

  • @elishaayubu-fh3vw
    @elishaayubu-fh3vw Před 4 dny

    Enyewe umejaa mathematics Kwa head

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 6 dny

    Hatari sana timu zinakimbiza saana aiseee

  • @cosfubile7859
    @cosfubile7859 Před 5 dny

    Hiiii kwel next level

  • @abdallahmkodo
    @abdallahmkodo Před 6 hodinami

    Kaka ongera

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu3347 Před 5 dny

    Hii video naomba mzee Mugabe wa Simba yule wakuitwa Ngungu boy asiione maana ataibeba hii nzima nzima Kama ndio mafanikio makubwa zaidi ya uongozi wake.

  • @hurumakibendwa2866
    @hurumakibendwa2866 Před 6 dny

    Big up man

  • @richboaz
    @richboaz Před 5 dny

    Wewe ni mwalimu bora

  • @SimonJoseph-ww6mf
    @SimonJoseph-ww6mf Před 5 dny

    Anajua na anajua tena na tena

  • @JohnJohn-fs8ex
    @JohnJohn-fs8ex Před 5 dny +1

    Tunaiombea Simba msimu ujao ichukue kombe la Shirikisho la CAF

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 5 dny

    Anachambua kama wazungu

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 6 dny

    Mbwaduke we ni bingwa wa wachambuzi

  • @Farida-jx5nz
    @Farida-jx5nz Před 5 dny

    Mwamba nakubari

  • @luindabablui7213
    @luindabablui7213 Před 5 dny

    🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁

  • @user-xg9ix9ex9h
    @user-xg9ix9ex9h Před 4 dny

    Kwahiyo hiyo inasaidia nini kwamba watacheza klabu bingwa au

  • @user-cq5bn9yw8b
    @user-cq5bn9yw8b Před 5 dny

    Chama hakienda yanga hatakuwa ameshuka kiwango

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 Před 5 dny +1

    Umeeleweka mwamba wa takwimu

  • @ramadhanimalikikondo5314

    Ndio mchambuzi bora tz
    Nakufatilia toka berlin germany

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 5 dny

    Sasa wachambuzi wengine wanachambuaga nini haya hawana!!

  • @abdalahhassan5759
    @abdalahhassan5759 Před 6 dny

    Wape elimu wakina hans rafael maana wanapenda timu yao ya wala miogo wanaongea pumba tu wote wababaishaji tu utaona sura zimewakunja kama wanajua vile kongole mbwaduke

  • @mohamedmatewele9185
    @mohamedmatewele9185 Před 5 dny

    Mchambuzi wa viwango wape darasa wachambuzi waganganjaa wanaotualibia soka

  • @nelsonmunuo971
    @nelsonmunuo971 Před 6 dny

    Safi mtaalamu

  • @nelsonmunuo971
    @nelsonmunuo971 Před 6 dny

    Mchambuzi no 1 Tanzania

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Před 5 dny

    waooo

  • @sweetbertrwiza5982
    @sweetbertrwiza5982 Před 5 dny

    Ukikutana na timu kama Azam hata kama haina point utasema ni kibonde!!

  • @Barakah2590
    @Barakah2590 Před 5 dny

    Hakika nimeelewa br

  • @graysonjohn1080
    @graysonjohn1080 Před 5 dny

    wewe ni mwalimu

  • @khatibushomary6507
    @khatibushomary6507 Před 2 dny

    Inabidi upate zawadi ya mchanbuzi Bora,mpo utopolo acheni blabla.

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 Před 6 dny

    Alafu utasikia utopolo wanakuja na mkeka wao Yanga yapaa nafasi tatu mara tu baada ya mcheo wa ngao ya jamii😂😂😂😂

  • @kinswemimalingo6837
    @kinswemimalingo6837 Před 6 dny +4

    Brother Mbwaduke, uko vizuri sana ktk uchambuzi na kufundisha. Hata kama mtu kilaza kiasi gani, kazima ataelewa tu.
    Na unatiririka vizuri sana sana.... Big up...!

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 Před 6 dny

    Huyu jamaa bingwa wa data

  • @josephpilla382
    @josephpilla382 Před 6 dny

    Tueleze na kuhusu Superleague

  • @maombikonga
    @maombikonga Před 6 dny

    MWALIMU BORA KABISA😀😀

  • @novanickywasanzu5589
    @novanickywasanzu5589 Před 6 dny

    Simbaaaaaa

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Před 5 dny

    Sasa hizi kelele zote za yanga wanazitoa kwenye vyanzo gani vya habari utasikia yanga ni team tishio Africa takwimu za Caf hizo hapo nyinyi tuleteeni takwimu zenu za CCM

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 4 dny

      Tishio na ubora ni vitu tofauti. Simba amepata ubora kwasababu ali maintain kwa miaka takribani mitano anaingia robo ndio maana pointi zake zimekuwa nyingi.
      Ila Yanga ameanza kuwa tishio katika misimu miwili tu lakini kwa kishindo.

  • @nshaijatedy5512
    @nshaijatedy5512 Před 6 dny

    Leo umeupiga mwing

  • @user-zp6bf6ks6z
    @user-zp6bf6ks6z Před 5 dny

    Wanatucheka kuishia robo mara nyingi kumbe kuna faida kubwa tumeipata

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 Před 5 dny

      Jipangeni mkikutana na timu iliojipanga kama Azam unafikiri kazi itakuwa nyepesi?

  • @samwelrevocatus1218
    @samwelrevocatus1218 Před 5 dny

    Kuna watu watabisha na hapo

  • @JoshuaMbena
    @JoshuaMbena Před 6 dny

    Matangazo weka mwishoni bhana

  • @zuberimwakipesile7108

    Mbwaduke mwambie jemedari akusaidie kidogo kutoa hiyo elimu kwa wapenda michezo sio kila siku kuongea Majungu tu na kutafuta umaarufu kwa njia ya kumchafua Manara na rais wa timu ya utopolo.

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 Před 6 dny

      Bingwa Yani mbaka wenye D, mbili wameelewa, hv uelewi kweli au unajifanyisha kuto kuelewa!?

  • @ezralazaro4967
    @ezralazaro4967 Před 5 dny

    Kwel wewe Ni mwalimu wa mpira

  • @CostancioFrancisco-lp6xg

    Tiko pamoja mbwaduke