Miaka yote hizo ranking za timu hakuna mchambuzi yoyotę ameweza kufafanua madaraja ya timu kama huyu mwamba Mbwaduke, best & top mchambuzi na analyst TZ Bravo Bro!
Anachotufundisha huyu jamaa ni kwamba fanya kazi yako kwa weledi, kila kitu kitakuwa sawa, hajipendekezi kwa giant yeyote lakini watu wa timu zote wanavutiwa naye, guys we need to keep real always. Thanks brother
Yan leo bwan dah ndo nimeelewa ssa mfumo wakutupandisha juu yan hizi Tim zetu mbili simba yanga vip zinapiga hatua ubarikiwe san mchambuz wetu kipenz aiseee
Dah Simba tunaichukulia poa sana Tanzania haipewi heshima yake inayostahili, najaribu kuwaza kama Yanga ndio ingekuwa inashika nafasi ya sita ingekuwaje nchini
Hii video naomba mzee Mugabe wa Simba yule wakuitwa Ngungu boy asiione maana ataibeba hii nzima nzima Kama ndio mafanikio makubwa zaidi ya uongozi wake.
Wape elimu wakina hans rafael maana wanapenda timu yao ya wala miogo wanaongea pumba tu wote wababaishaji tu utaona sura zimewakunja kama wanajua vile kongole mbwaduke
Brother Mbwaduke, uko vizuri sana ktk uchambuzi na kufundisha. Hata kama mtu kilaza kiasi gani, kazima ataelewa tu. Na unatiririka vizuri sana sana.... Big up...!
Sasa hizi kelele zote za yanga wanazitoa kwenye vyanzo gani vya habari utasikia yanga ni team tishio Africa takwimu za Caf hizo hapo nyinyi tuleteeni takwimu zenu za CCM
Tishio na ubora ni vitu tofauti. Simba amepata ubora kwasababu ali maintain kwa miaka takribani mitano anaingia robo ndio maana pointi zake zimekuwa nyingi. Ila Yanga ameanza kuwa tishio katika misimu miwili tu lakini kwa kishindo.
Mbwaduke mwambie jemedari akusaidie kidogo kutoa hiyo elimu kwa wapenda michezo sio kila siku kuongea Majungu tu na kutafuta umaarufu kwa njia ya kumchafua Manara na rais wa timu ya utopolo.
Miaka yote hizo ranking za timu hakuna mchambuzi yoyotę ameweza kufafanua madaraja ya timu kama huyu mwamba Mbwaduke, best & top mchambuzi na analyst TZ Bravo Bro!
What a magic analysis!
King of mathematics 👑🇫🇯
Kaka nionavyo Ni kipaji mtu anazaliwa navyo ukiongeza na elimu na ufuatiliaji wa Mambo yanavyoenda
Hata kama una kichwa kama cha Jemedari utaelewa tu
Yaani huyu jamaa alichelewa wapi? Azam wapewe maua yao maana ndio wamemwibua na wakampa ajira ya uchambuzi kabisa
Asante mbwaduke wewe ndio mchanbuzi Bora,wengine wote ni ushabiki tu unawasumbua,bravo sana
Anachotufundisha huyu jamaa ni kwamba fanya kazi yako kwa weledi, kila kitu kitakuwa sawa, hajipendekezi kwa giant yeyote lakini watu wa timu zote wanavutiwa naye, guys we need to keep real always. Thanks brother
Na hicho ndicho kinachowashinda wachambuzi wengi
Kumbe wakisajili vizur kuna uwezekano wa kucheza nusu au hata fainali
Mchambuzi Bora Tanzania....wengine ni blabla na hawana fact....big up mbwaduke.
Hongera sana mwamba kwa ufafanuzi mzuri ulio bora,ambaye hata elewa basi anaubishi wa asili.❤️❤️❤️❤️
Bravo kaka kwa kazi nzuri
Pongezi kwako mtaalamu wa football analysis💪👏
Mbwanduke, nimekupima muda sasa. Wewe ni mchambuzi bora sana wa mpira nchini Tanzania.
Nakukubali sana, hakuna mchambuzi kama wewe Africa Mr Mbwaduke
Asante Kwa elimu hii muhimu. Upo vizuri sana.
Huyu jamaa nimwamba anajua mashaallah
Kaka upo vizuri
Hongera Mbwaduke kwa uchambuzi bora
Mwamba sana mbwaduke
Brother Mbwaduke,uko VEMA SANA Mkuu 🤜🤛
Nimekuelewa vizuri Sana mwalimu wa Wachambuzi unatisha Mkuu
Ufafanuz mzur sana,kumbe huw ni hiv leo ndonimeelewa
I like way you explain. Nice stuff
Nakubali sana mbwaduke nakufuatilia nikiwa Arusha✌️💯🔥🔥🔥
Upo vizur sana kaka yani mtu asipokuelewa atakuwa chizi huyo Asante sana
Daah imebaki uchambuzi wa usajili tumalizie ❤❤❤
Haya safari njema simba sie turiishia fenal kazi kwenu
Mbwaduke huna baya pamoja Sana😁😁😁❤
Nakupongeza sana.
Unaeleweka vizuri
Nakushukuru sana nilikua sielewi uto wako mbali sana wanalakujifunza kwa simba
Mchambuzi Bora kabisa tz tunajivunia
Big up,mbwaduke,big up simbaaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
kama kuna mtu mbishi abishe hiyo ndio simbaaaaaaa nguvu moyaaaaaaaa waoooo
😂😂😂
Simba nguvu moja👍👊
Aisee huyu jamaa yuko vizuri kwenye data
Shikamoo mbwaduke🔥🔥🔥🔥
Yan leo bwan dah ndo nimeelewa ssa mfumo wakutupandisha juu yan hizi Tim zetu mbili simba yanga vip zinapiga hatua ubarikiwe san mchambuz wetu kipenz aiseee
Best of the best mbwaduoe
Dah Simba tunaichukulia poa sana Tanzania haipewi heshima yake inayostahili, najaribu kuwaza kama Yanga ndio ingekuwa inashika nafasi ya sita ingekuwaje nchini
Du,uko vizuri
Jamaa uko vizuri sana kuliko wachambuzi wengine
enjoy uchambuzi Bora from mbwaduke next level
Katika uchambuzi wa soka uko vizuri Sana kama kuna Kura zinapigwa Namba moja ni yako hakuna ubishi
Unyamaaa
Daaaaah jama unajua namna ya kuuzungumzia mpira kwa undani
Huyu huwa hawampi bahasha maana akina fulani na radio yao hadi aibu wanavyoipolomoshea simba mmhh
Jamaa yuko vizuri sana kwenye data, kama huna data unapiga makelele tu
Hongera Mzee wa data
Yes wewe kuitwa mchambuzi ni sawa kabisa wasaidie na wengine waelewe tofauti ya mchambuzi na mshabiki.Wasaffm si vibaya mkijifunza.
Enyewe umejaa mathematics Kwa head
Hatari sana timu zinakimbiza saana aiseee
Hiiii kwel next level
Kaka ongera
Hii video naomba mzee Mugabe wa Simba yule wakuitwa Ngungu boy asiione maana ataibeba hii nzima nzima Kama ndio mafanikio makubwa zaidi ya uongozi wake.
Big up man
Wewe ni mwalimu bora
Anajua na anajua tena na tena
Tunaiombea Simba msimu ujao ichukue kombe la Shirikisho la CAF
Labda laudongo
Anachambua kama wazungu
Mbwaduke we ni bingwa wa wachambuzi
Mwamba nakubari
🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Kwahiyo hiyo inasaidia nini kwamba watacheza klabu bingwa au
Chama hakienda yanga hatakuwa ameshuka kiwango
Umeeleweka mwamba wa takwimu
Ndio mchambuzi bora tz
Nakufatilia toka berlin germany
Sasa wachambuzi wengine wanachambuaga nini haya hawana!!
Wape elimu wakina hans rafael maana wanapenda timu yao ya wala miogo wanaongea pumba tu wote wababaishaji tu utaona sura zimewakunja kama wanajua vile kongole mbwaduke
Mchambuzi wa viwango wape darasa wachambuzi waganganjaa wanaotualibia soka
Safi mtaalamu
Mchambuzi no 1 Tanzania
waooo
Ukikutana na timu kama Azam hata kama haina point utasema ni kibonde!!
Hakika nimeelewa br
wewe ni mwalimu
Inabidi upate zawadi ya mchanbuzi Bora,mpo utopolo acheni blabla.
Alafu utasikia utopolo wanakuja na mkeka wao Yanga yapaa nafasi tatu mara tu baada ya mcheo wa ngao ya jamii😂😂😂😂
Brother Mbwaduke, uko vizuri sana ktk uchambuzi na kufundisha. Hata kama mtu kilaza kiasi gani, kazima ataelewa tu.
Na unatiririka vizuri sana sana.... Big up...!
Huyu jamaa bingwa wa data
Tueleze na kuhusu Superleague
MWALIMU BORA KABISA😀😀
Simbaaaaaa
Sasa hizi kelele zote za yanga wanazitoa kwenye vyanzo gani vya habari utasikia yanga ni team tishio Africa takwimu za Caf hizo hapo nyinyi tuleteeni takwimu zenu za CCM
Tishio na ubora ni vitu tofauti. Simba amepata ubora kwasababu ali maintain kwa miaka takribani mitano anaingia robo ndio maana pointi zake zimekuwa nyingi.
Ila Yanga ameanza kuwa tishio katika misimu miwili tu lakini kwa kishindo.
Leo umeupiga mwing
Wanatucheka kuishia robo mara nyingi kumbe kuna faida kubwa tumeipata
Jipangeni mkikutana na timu iliojipanga kama Azam unafikiri kazi itakuwa nyepesi?
Kuna watu watabisha na hapo
Matangazo weka mwishoni bhana
Mbwaduke mwambie jemedari akusaidie kidogo kutoa hiyo elimu kwa wapenda michezo sio kila siku kuongea Majungu tu na kutafuta umaarufu kwa njia ya kumchafua Manara na rais wa timu ya utopolo.
Bingwa Yani mbaka wenye D, mbili wameelewa, hv uelewi kweli au unajifanyisha kuto kuelewa!?
Kwel wewe Ni mwalimu wa mpira
Tiko pamoja mbwaduke