@@salimmohamed3668 ndio unaweza tumia,mimi huwa natumia British whole milk 🥛, nikisha tengeza viduara vya vitobwesha, nachemsha maji yakishapata moto na vimimina vitobwesha and then nakoroga baada ya dakika 20 , na weka maziwa ya maji nakoroga tena baada dakika 15 or 20 vinakuwa tayari, nitakutafutia video then nitapost link ili inshaAllah ufahamu zaidi.
This looks like the English version called boba. Only that in boba they use tapioca starch and it's used in drinks. Really yummy 😊
Mashallh nice mmmwaa
Mashallah shukrani ❤
Napenda sana vibibi na ndiz za mkono wa tembo
Shukran nnaongeza ujuzi wa vanilla na maziwa m nlikuwa napika bilaa ..he maziwa ya packet hayafaii
Killer thumbnail maa shaa Allah
Shukran habibty 💕🥰
so nice pambia kwa lozi , zabibu na korosho ....amazing swahili dessert
Asante
Jazakallah kheir👌
❤💕
👌👌👌
Tambi na matobosha my Favorite
Shukran habbty nakupnda
Nakupenda pia my darling 💕
Masha Allah
❤❤❤
Shukran habibty
💕❤
Fantastic kaimati za shira
Zipo
mashaAllah... yanavutia sana
Shukran habibty 💕
Masha Allah looks delicious
Shukran ❤
🙌🙌🙌Waiting
🥳🥳🥳
Mashallah
❤️
My favorite
🥳😍😍
Napenda mathobosha na tambi
Tamu sana hizo😋🥰
Shukran kwa mapishi😋
Karibu sana
Lazima milk powder?
MashaAllah cant wait 🔥
🥳🥳🥳
Napenda ndizi za mkono wa tembo na kunde za sukari na uji wa dawa.
Nice 👌
Matobosha una tumia unga ya ngano au ya mchele
😋😋👍👍
Je kma Haina unga wa maziwa unaeza tumia maziwa y maji ama
Fanya kaimati za shira
Zipo
A.A.kama natumia tui ya packet ya azam,nafaa kutumia vipakiti vingapi
Sijui hilo tui ni kiasi gani......lakini pima kwa vikombe
Mathobosha inatokona nahiyo kutoboa shimo kwa unga😂
Custard powder ni nini tafadhali?
Ulizia supermarket utapata.....unaweza pikia desserts mbali mbali.
mathobosha yaliweza kupewa hilo jina kwa sababu ya utamu na jinsi yanavyobofwa🤣
🙌🔥🔥
Ni lazima uweke custard powder
Hapana
A.a mm nimejaribu na ikabadilika kua uji naomba nijue kosa iko wapi
Unga wako haukuwiva
Kwenye kusonga
then how do you serve it,cold or hot?
You can eat yakiwa hot or cold, unavopenda ! Mimi napenda ya kipoa (cold) pia huwa yangu hayaivi ndani ya dakika 15, yanachukuwa dakika 45 or more 😆
@@user-sp3gg7id8q sorry naeza kutumia maziwa mahali niko sina nazi/tui
@@salimmohamed3668 ndio unaweza tumia,mimi huwa natumia British whole milk 🥛, nikisha tengeza viduara vya vitobwesha, nachemsha maji yakishapata moto na vimimina vitobwesha and then nakoroga baada ya dakika 20 , na weka maziwa ya maji nakoroga tena baada dakika 15 or 20 vinakuwa tayari, nitakutafutia video then nitapost link ili inshaAllah ufahamu zaidi.
@@salimmohamed3668 czcams.com/video/SbGn2M8SzAA/video.html
@@user-sp3gg7id8q mashallah shukran mpk hapa nimekufahamu...jazakallahu kheir