Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Naweza tumia maziwa badala ya tui
SHUKRAAN JAZAKA ALLAHU KHAIRAN ❤
Afwan love
Ma shaa Allah...BarakaAllahu fyka habibty
Allahuma ameen love
Maa shaa ALLAH
Tabarakallah♥️
Masha Allah nice matoboshaa
Tabarakallah my love
MashaAllah nmengojea sana hii recipe definitely I have to try ...
Kindly naomba mrejesho ukifaulu baby
Maa shaa Allah in shaa Allah ntajaribu Na mie
All the best my love
Mapema ndio best nimeisubiri sanaa hii recipe
Nasubiri mrejesho love🤣🤣
Nimepika mm Alhamdullilah yametoka vixuri matobosha nimeweka zabibu
MashaaAllah hongera love
Napenda unavo ongea
Santee
Mungu akubariki daa Khadija hii ndo nlikuwa nasubr😊😊😊😊
Allahuma ameen my love shukran
@@HadijaSheban Daa mwenzio nlipika donuts cku ya kwnza bc Masha Allah kila m2 alisifu lkn kutoka juz kila nikipika zapasuka kwel kwel shda n nn🤦🤦
Haki napenda sana kuangalia mapishi yako 👌🙏
Awww sante sana love be blessed
Hadija what's the name of this recipe in English. 😊Inakaa tamu kweli kweli. 😋#RoadTo100KSubs. 🎉
Kwakweli sijajua🤣🤣
Asante sana kwa mapishi yako mazuri una share na wenzako
Karibu sana love
😋😋😋😋😋😋😋😋
😘
MashaAllah yangu yako jikoni nitaeka na lozi kwa juu 😋
Imekuaje baby?
Tamu ajab
Dada unanifurahisha Sana kila kitu ninacho kufunza kwako napika na nafanya vzr
Awww nimefurahi kuskia hivyo my love mungu atubariki sote
@@HadijaSheban asante kipenzi sijawahi jutia kabsa naelewa vzr
Ntakuletea feedback soon my sister ya kuweka zabibu uwii yakaa tamu sana 🥰🙌🏼
Tamu sana Chef
Assalam aliekum 😂😂that rojo rojo
Waaleykhm mussalam 🤣🤣🤣🤣
Hahahaha vipopooo havipikwi ivo dear heee rabda kwenu vyapikwa ivo Ila kwetu Zanzibar hatufanyi ivo dear
Ndio tofauti ya tz na kenya kipenzi..nifunze ningependa kujua
Mapishi yamermtofautiana ,usimkosoe mtu, inatakiwa uchukue ujuzi mwngne
Hapa tutaongeza weight
😂😂😂😂
🤣🤣🤣usipike baby
Mara moja moja so mbaya jmn😂
Mbona zangu nikipika zinavurujika nakosea wapi?
Unga ni laini alafu haujaiva
@@sikukuuchuo3093 shukran
Eeh unga ni mlaini sana kipenzi
Ukiona nazi ni kidogo unaeza ongeza na custard
Ooh shukran love
Please help me with your contact
Check me on insta Didashebbs_Kitchen
Naweza tumia maziwa badala ya tui
SHUKRAAN JAZAKA ALLAHU KHAIRAN ❤
Afwan love
Ma shaa Allah...BarakaAllahu fyka habibty
Allahuma ameen love
Maa shaa ALLAH
Tabarakallah♥️
Masha Allah nice matoboshaa
Tabarakallah my love
MashaAllah nmengojea sana hii recipe definitely I have to try ...
Kindly naomba mrejesho ukifaulu baby
Maa shaa Allah in shaa Allah ntajaribu Na mie
All the best my love
Mapema ndio best nimeisubiri sanaa hii recipe
Nasubiri mrejesho love🤣🤣
Nimepika mm Alhamdullilah yametoka vixuri matobosha nimeweka zabibu
MashaaAllah hongera love
Napenda unavo ongea
Santee
Mungu akubariki daa Khadija hii ndo nlikuwa nasubr😊😊😊😊
Allahuma ameen my love shukran
@@HadijaSheban Daa mwenzio nlipika donuts cku ya kwnza bc Masha Allah kila m2 alisifu lkn kutoka juz kila nikipika zapasuka kwel kwel shda n nn🤦🤦
Haki napenda sana kuangalia mapishi yako 👌🙏
Awww sante sana love be blessed
Hadija what's the name of this recipe in English. 😊
Inakaa tamu kweli kweli. 😋
#RoadTo100KSubs. 🎉
Kwakweli sijajua🤣🤣
Asante sana kwa mapishi yako mazuri una share na wenzako
Karibu sana love
😋😋😋😋😋😋😋😋
😘
MashaAllah yangu yako jikoni nitaeka na lozi kwa juu 😋
Imekuaje baby?
Tamu ajab
Dada unanifurahisha Sana kila kitu ninacho kufunza kwako napika na nafanya vzr
Awww nimefurahi kuskia hivyo my love mungu atubariki sote
@@HadijaSheban asante kipenzi sijawahi jutia kabsa naelewa vzr
Ntakuletea feedback soon my sister ya kuweka zabibu uwii yakaa tamu sana 🥰🙌🏼
Tamu sana Chef
Assalam aliekum 😂😂that rojo rojo
Waaleykhm mussalam 🤣🤣🤣🤣
Hahahaha vipopooo havipikwi ivo dear heee rabda kwenu vyapikwa ivo Ila kwetu Zanzibar hatufanyi ivo dear
Ndio tofauti ya tz na kenya kipenzi..nifunze ningependa kujua
Mapishi yamermtofautiana ,usimkosoe mtu, inatakiwa uchukue ujuzi mwngne
Hapa tutaongeza weight
😂😂😂😂
🤣🤣🤣usipike baby
Mara moja moja so mbaya jmn😂
Mbona zangu nikipika zinavurujika nakosea wapi?
Unga ni laini alafu haujaiva
@@sikukuuchuo3093 shukran
Eeh unga ni mlaini sana kipenzi
Ukiona nazi ni kidogo unaeza ongeza na custard
Ooh shukran love
Please help me with your contact
Check me on insta Didashebbs_Kitchen