Zitto amjibu Bashiru

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 93

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 Před 4 lety +3

    Allah tubadilishie uongozi in sha Allah kwa rehma zako iuwe ccm moja kwa moja

  • @edibertevarist1044
    @edibertevarist1044 Před 4 lety

    Zitto upo sawa kabisa,yani huwa nakufuatilia hutuba zako upo vizuri sana,yani mungu akujalie afya tele ,wape makavu

  • @godisonndyamukama5930
    @godisonndyamukama5930 Před 5 lety +4

    Zito ni mpinzani wa hoja sio kelele kama wengine wa chadema wote ni kelele ispokuwa mwenyekiti wao ndo anajitahidi kujenga hoja wengine ni kelele na fujo zito umekomaa kisiasa

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před 4 lety +1

    Zitto Lengo lako ni TOFAUTI ..Wazanzibar KUweni makini ...msisubili kujutia

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 Před 4 lety

      Hatujuti kwa kusikiliza maneno ya ukweli.

    • @habibrwegoshora6624
      @habibrwegoshora6624 Před 4 lety

      @@farhatfatma12 hata maeneo Bengazi kule Libya ilikuwa hivyo Sasa kiko wapi..huko kigoma kwao kuna nn ? Si angeanzia huko kwao ? Tumieni akili

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 Před 4 lety

      @@habibrwegoshora6624 ,
      Tunatumia akili tena ya IQ ya hali ya juu I believe.
      If you don't agree with us, then it is irrelevant. We learned through our mistakes. Our task is to minimise. We in Zanzibar not be ashamed or scared of making mistakes.

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 Před 4 lety +1

    Ruyagwa zitto has wonderful capacity kgm northern part we need you once again and not far from now you are going to be the leader of this country

  • @kayseey1942
    @kayseey1942 Před 5 lety +6

    Zitto unaongea mazuri Sana

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma4691 Před 5 lety +2

    Nimefurahi sana.zito

  • @emmanuelpeter5481
    @emmanuelpeter5481 Před 5 lety +10

    zitto ni kiongozi mwenye uwezo wa kujenga hoja...na amesoma vitabu vingi ndo maana anatao mifano hai...viva zitto

  • @paull8659
    @paull8659 Před 5 lety +3

    WaZn, hii ni nafasi yenu kuungana kukiondoa chama kandamizi CCM.

  • @allymasenti7974
    @allymasenti7974 Před 5 lety +8

    CCM muandae jeshi ndilo litawasaidia

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 Před 4 lety

    Nice ZITTO

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan Před 5 lety +2

    Maalim Seif alikuwa kiongozi mkuu katika Serikali Ya Mapinduzi Zanzibar kwa ticket ya CUF! KIGOMA NI SEHEMU YA TANZANIA NA SIYO NCHI.
    Wewe Zitto Kabwa Acha UONGO

    • @paull8659
      @paull8659 Před 5 lety

      mapinduzi ya kukindoa chama kandamizi CCM, yanaanzia ZN.Tz inalia na wewe😭

    • @hassanmaulidi8068
      @hassanmaulidi8068 Před 4 lety

      lala ukue

  • @andrewmwita119
    @andrewmwita119 Před 5 lety +2

    Huwa napenda sana hotuba zako zitto maana zimebeba fulusa nyingi sana

  • @lameckeliakimu8677
    @lameckeliakimu8677 Před 5 lety +1

    MUNGU ibariki TANZANIA

  • @mwalimahmada561
    @mwalimahmada561 Před 4 lety

    When Zanzibar pipes they dance at the lakes.

  • @faaali244
    @faaali244 Před 5 lety +3

    Hehehe zito nakuaminia

  • @actwazalendo2784
    @actwazalendo2784 Před 5 lety +3

    Zanzibar imetelekezwa nakunyimwaa fursaa za kimaendeleo kweli ccm wanalaana mungu awachome 2020

  • @davidisack1643
    @davidisack1643 Před 5 lety +3

    mpe bashiru makavu

  • @NajmahassanMunezero
    @NajmahassanMunezero Před 5 lety +2

    All the way from USA u are my inspiration

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 Před 4 lety

      Acha kukimbia kwenu wewe sasa kura utaweza kupiga .

  • @actwazalendo2784
    @actwazalendo2784 Před 5 lety +3

    Zanzibar itakuwa zaidi ya Dubai msiwachague CCM tena muwape ACT WAZALENDO NCHI ISONGE MBELE

    • @maddiemushamaz8347
      @maddiemushamaz8347 Před 5 lety

      BADO WEWE KUSWEKWA NDANI UKIENDALEA KUCHAFUA AMANI YA TANZANIA,TATIZO WEWE NI MUONGO SANA UNAZUSHA VITU AMBAVYO HUJUI

    • @linumaikocoronnel2377
      @linumaikocoronnel2377 Před 5 lety +1

      ACT Wazalendo safi sana haki itendeke zanzibar

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 5 lety

      Zanzibar haiwezi kuwa kuwa kama Dubai kupitia vyama vya siasa. Hata hao waomani hawakufanya chochote, tunachokiona ni baada ya Mapinduzi. Naomba ajenda iwe kwanza kuidai Pemba ili tuoneshe mfano. Uchumi wa Zanzibar ni Karafuu ambazo zote zipo Pemba, inadhaniwa mafuta yapo Pemba pia. Kudai Unguja na Pemba kwa pamoja kupitia vyama vya siasa haiwezekani. Maalim unaetwambia keshashika nafasi zote na hakuna lolote.

    • @mojakabenga6270
      @mojakabenga6270 Před 5 lety +1

      Saruti zitto

  • @kassidpandu9806
    @kassidpandu9806 Před 4 lety +1

    Wee zitto umemzidi ujanja huyo mzee unstaka ruzuku tu mwakani kupitia mtaji wa watu wa pemba, sawa utapata lakini serikali sahau piga kelele wee mpaka upasuke

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 Před 4 lety

    Mmh, haya maneno yangezungumzwa na Mbowe, Lema, Sugu nk sasa hvi wangekua police kujibu kesi ya uchochezi

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 4 lety

    Nyote CCM .munawapeleka peleka wasiojielewa .wanasiasa lao moja kama wanga au mateja au wizi au makhanisi .

  • @johnfocus9880
    @johnfocus9880 Před 5 lety +1

    Nilazima haki ipatikane Zanzibari maalim sefu ndiye raisi was Zanzibar na kila mtanzania anajuwa wazi wazi.hao wengine nimapandikizi ya CCM TU.na sio viongozi wa wazanzibari Bali ni viongozi wa CCM.

  • @saidimasudi6450
    @saidimasudi6450 Před 5 lety +1

    Congo kuna hali mzuri?

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 Před 4 lety

      Congo hakuna viongozi kama nchi nyingi za kiafrika.

  • @issamagana426
    @issamagana426 Před 4 lety

    Nyie wazanzibar huyo bwege ni muongo hapo anatafuta mujiunge na chama ambacho hakina uelekeo halafu huyo sio mtanzania huyo nimbembe wapi na lini atawaonea uchungu. Anawadanganya mnabaki mnaachama

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 Před 4 lety

      Ni bora ya adui asiyekuumiza kuliko ndugu anaekuumiza.

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 Před 5 lety +2

    Ha ha ha!!!! Katibu wa chama cha kijani atalia pilau la ZZK MSSH!!! Hii kali!

  • @jumaally1899
    @jumaally1899 Před 4 lety

    Mh zito kabwe laiti hawa viongozi wetu wa znz wengilijua kua mchanga wamewakomoa wanyonge ili wasijenge nyuba za tofali kw7bu ya mchanga wala wasingelifanya ALLH ndio anaetoa riski na c viongozi hawa na kila mmoja ajijue ataulizwa vipi uliwaongoza binadam ktk mgongo wa ardhi

  • @issackkagemwe9080
    @issackkagemwe9080 Před 4 lety

    All the best

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 4 lety

    Ila tanzania imebadilika sana to ila zanzibar bado jaa la mizoga .

  • @joelsadala2676
    @joelsadala2676 Před 4 lety

    Ccm bila jeshi wasinge kuwepo kwenye ramani ya siasa lakini kwa sasa sio chama cha siasa tena kimebaki kuwa chama dola yaani policcm.

  • @makulamayunga7251
    @makulamayunga7251 Před 4 lety +1

    Zito acha kutaka kuvunja muungano haunasera yoyote yakutushawishi lio unawaambia watu kuhusu muungano kweli umeishiwa

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 Před 4 lety

    Hawa ndio wanasiasa wa kweli

  • @sheikhyahyamsangi2191
    @sheikhyahyamsangi2191 Před 5 lety +3

    Waliofilisika wote hukimbilia kuvunja muungano!

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 Před 4 lety

    Bashiru mchumia tumbo

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 Před 4 lety

    ZITTO ZUBERI KABWE UKOSAHIHI YANI WA ZANZIBAR HUSUSANI HUKU PEMBA WANATUKANDAMIZA ZAIDI HAWATAKI TUENDELEE

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 Před 5 lety

    Hao baba wanasera zao.
    Tuwagawe wapemba ili tuwatawale.
    Walitugawa kipindi cha salmin Amor tukawa tunagombana wao wakapata kufanya waliyoyafanya. Na mara hii waneona tuwagombanishe hawa wasugu wapemba. Na bdio wamo wanatugonganisha vichwa.

  • @sheikhyahyamsangi2191
    @sheikhyahyamsangi2191 Před 5 lety

    Wapemba rahisi mno kudanganywa!

    • @alikhalfan9551
      @alikhalfan9551 Před 5 lety +1

      Sheikh yahya Msangi wapemba ni wanasiasa na wapinzani wa ukweli waulize ccm toka kuanzishwa kwa vyama vingi hawajawahi kupata hata diwani hio ni kuonesha wapemba ni maprofesa wa siasa nadhani we we ndo unadanganywa kugaiwa kanga kipindi cha kampeni mwanamme utapokeaje kanga kutoka kwa mwanamme mwenzako

    • @yousufharthy6876
      @yousufharthy6876 Před 5 lety +1

      Shehe yahaya msenge.
      Wapemba hawadanganyiki mbali kwa udhalili wafanywayo lakini wamekamatana na imani yao kubwa na wanachoamini.
      Uliza utaambiwa.
      Maraisi 3 wa Zanzibar wote ni wa Pemba

    • @jakayamati3510
      @jakayamati3510 Před 4 lety

      Mapovu km yote hahahaa Siasa raha sna

  • @noelkaaya2433
    @noelkaaya2433 Před 4 lety +1

    Acheni kujaza upepo watu, hubirini watu wafanye kazi, wasome waelimike wajiajiri na kuwa wabunifu...acheni kujaza watu upepo na kuwapotezea muda.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety

    Kwani chadema hamna misimamo isiyofanana?

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 Před 4 lety +1

    Kumbuka pia Halimashauri ya ujiji kigoma inahati chafu miaka 4 mfururizo. CCM itaendelea kuongoza Znbr na Maalim 2020 ndio mwisho wa ndoto zake zakuwa Rais, nawe Zitto huko Kigoma 2020 ndio mwisho wako. Hamasisha watu kufanya kazi na mbinu za maendeleo. Wakati wa siasa za maneno, propaganda na kueneza chuki vimepitwa nawakati.

  • @didakassim8666
    @didakassim8666 Před 4 lety

    Hahaaa lo o atbiriani labda lamashelisheli

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 Před 4 lety

    Ila Lijamaa linaongea mantik tuache mambo mengine

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety

    Kigoma kule wengi ni wakimbizi, sasa tutakuaminije???

  • @jazirymasunga6098
    @jazirymasunga6098 Před 5 lety +2

    Wewe huna Uwezo wa kujenga hoja za msingi na bashiru
    Sababu wewe Ni muongo

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 Před 4 lety

    Ccm tupeni tume tuangalie siasa safi

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 Před 4 lety

      Magufuli, Bashiru, Polepole, Makonda, Musiba wote wenda wazimu tu. Wakisimama majukwaani kuelezea miradi ya Maendeleo Tanzania wanaisifia CCM na Magufuli. Wanasahau kuwa CCM na Magufuli ni wakusanya kodi toka kwa Watanzania wote wakiwemo wapinzani. Kuna baadhi ya viongozi wa upinzani na wawekezaji wamefilisiwa kwa kutoa kodi kisa anunue Ndege wajisifie hadharani. Wawekezaji wa ndani na nje wameikimbia Tanzania kisa kodi za kukomoana. Kama wawekezaji wa ndani wamekimbia nchi na kwenda kujenga viwanda Kenya, Uganda na kwingineko Duniani nani atakuja kuwekeza Tanzania. Magufuli ataishia kuwaona Wachina wakiwekeza kwenye viwanda vya nyama ya Punda na Mbwa. Hakuna Mzungu anaweza kuwekeza Tanzania kwa mtu kama Magufuli. Hivi mtu anayeteka watu, Kupiga, Kuua kwa kutumia vyombo vya kulinda Raia ana akili ya kufanya nae kazi. Anadhalilisha wenzake kwa kuwaweka ndani. Eti Polisi wanasema maagizo toka juu mwosha huoshwa zamu yake inakuja tena kwa kishindo.

  • @vladiminlenin8883
    @vladiminlenin8883 Před 4 lety

    Kukamata ndege za watanzania na kushitak Tanzania ili ifilisiwe bado unaomba Kura uwe raisi Acha kuwanafikia watanzania

  • @sheikhyahyamsangi2191
    @sheikhyahyamsangi2191 Před 5 lety

    Huo sio mkutano?

  • @asengasefu2767
    @asengasefu2767 Před 5 lety +1

    Zito 👊👊👏👏👏👏👏

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před 5 lety

    Zitto Kabwe eti anasema mikutano inazuiwa na hapo sijui anafanya nini? Huo si mkutano?

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 Před 5 lety +1

    Natamani maccm yafe yote usiku wa kuamkia kesho asiwepo hata mmoja!.

  • @salummussa3094
    @salummussa3094 Před 5 lety +1

    Tapeli wa siasa wewe mbunge kwa miaka karibu 15 kigoma bado masikini ya mwisho unawadanganya wapemba...waambie wakupe mke

  • @conradbuberwa6792
    @conradbuberwa6792 Před 5 lety +2

    tumekuchoka

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 Před 4 lety

    Ccm wanajua serikali tatu ndio suruhisho mbona katiba za vyama serikali 3 kuna makamu zanzibar na makamu bara na mwenyekiti taifa?

  • @sheikhyahyamsangi2191
    @sheikhyahyamsangi2191 Před 5 lety

    Kweli zitto mrundi! Unashabikia bandari ya Mombasa?

  • @salummussa3094
    @salummussa3094 Před 5 lety +2

    Huyu kijana ccm znz msimwache agombanishe wananchi