Watanzani kwa kweli mnafa kurundisha shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwapa kiongozi kama JPM hakika mumejaliwa Kenya kwetu kumeoza na harufu ya ufisadi kila kukisha du!
Hii proposal ikiwa put into action mambo yatakuwa ni bambam huko Dar na Watanzania, kwa ujumla wetu, tutajivunia miundombinu hii itakayorahisisha usafiri kwenda na kutoka mjini. All the best to my government in making this dream come true. Bravo!
Tunataka viongozi wenye mawazo ya namna hii. Utasikia wengine wanasema kisheria au kimazingira au kihaki za binadamu. Watu hawapo kwaajili ya sheria badi sheria zipo kwaajili ya watu.
Ahadi Mgedzi . Ukiona hivyo hao watu hawajazunguka duniani kuona kwa wenzao kukoje, na wangezunguka wangejiona ni wajinga na wako nyuma, ni watu wa kushika mkia
MIUNDOMBINU NA USAFIRI WA SERIKALI UNAPIGWA VITA SANA NA KUPINGWA VIKALI NA HAYA MATAIKUNI NA MAJITU YASIYO NA UZALENDO COZ MAUSAFIRI YAO NA VITEGA UCHUMI VYAO VINAENDA KUFA HIVYO YANAONA WIVU. GOOD JPM.
fredy samizi why salute this president what has he done this is development every president must develop with leadership is he some sort of god let’s stop this idle worshiping
exactly Arid many years our leaders steal money and.there was no any planning for any big project like this, so this president is trying to build our economy which we have been dreaming for alongtime why us dont give him a congrats.....
Thanks, ,😂😂wallah nimechoka vurugu makelele konda na abiria ukishuka unafanya kunuka majasho kila aina 😠ukibahatika kusimama ujue hukai mpaka unateremkaa,
Papaya Tnzania ... Wenye busara waliwahi kusema kuwa ukishindana na nguruwe matopeni anapenda. Wewe tukana ila mimi si nguruwe. Nimekupa ushauri wa busara sasa shauri ni yako :-)
Hivi kila awamu ingefanya mambo kama haya Mpaka hii Leo tungekuwa wapi? kwa kazi ninayoishuhudia katika awamu hii nimeamini hata viongozi wengine huwa wako Low IQ ed, J.P.M the genius,Simba wa Tanzania anadhihirisha kuwa kuongoza nchi sio kucheka Cheka....ni kutatua kero za wananchi!!!
nashukuru kwamba sasa hivi tanzania tunaona mbali ila isiwe ni maneno tu kwa maana hata mradi wa kigamboni tulikuwa hapa kupongeza. Japo kwa mheshimiwa magufuli nahamini asilimia nyingi kwamba itakuwapo. tuhusishe wasomi wetu ili tufanikishe. na sie watz tunaweza kupembua, kusanifu na kufanikisha haya, tupewe nafasi tu.
Itapendeza sana jiji kuwa na miundombunu kama hii, mimi ninaanzisha kampeni ya mwaka 2025 kufanya amendment kipengele cha ukomo wa Rais ili tumuongeze muda wa kutawala. Ili akamilishe miradi hii yote
Mheshimiwa Raisi magufuli ujue sisi vijana unatukosha sana sijui tukupe zawadi gani ili ufurahi,au zawadi yenyewe wewe bakia hapo hapo mpaka 10 mingine
Ahh kama mtawapa kampuni zingine kujenga sio afrika kusini .iyo treni ya mwendokasi ya hapa wala sio yao.treni zao ni za kawaida tu na wanamatatizo chungunzima kwenye reli yao.msiingie mkenge tafadhalini watanzania
ikiwa haya ni kweli Mheshimiwa Rais hahitaji pongeze mm nakuombea akupe moyo wa uthubutu na akuwezeshe,kwani kwa miundmbinu hii itasogea mbele sana Allah akulongoze ktk mazuri yote ya dunia na akhera.Amiin
@@enockmwambete2739 I am sure as I have seen many such projects which are now obsolete or burden to townships. Apart from that overland city railway networks are noisy, not safe, consume huge space and ugly looking even speed limited
@@rasheedmsigwa4612 Usinunue mkate uliooza nusu ukafikiri kuwa umenunua mkate kwa bei rahisi. Unapowekeza fikiria mbali na utengeneze kitu kizuri pia ujue kuwa polepole ndio mwendo
Joseph Malisa what i know is there are stages in development, if you try to analyze the cost for implementing underground transportation system then you’ll be talking about using the imaginative money to implement the project. It’s a good idea but I prefer not to skip steps and consider our economy status, one day we’ll do it.
Ndugu zangu wa Tanzania wapenda maendeleo japokuwa kuna hoja zinawezwa kupuuzwa lakini kwangu mimi hizi hoja 2: kumuongezea Rais wetu JPM miaka 5 baada ya muhula wa pili kwisho; na mwakani apite bila kupingwa nazikubali sana. Km kweli tunataka maendeleo ya uhakika na haraka JPM ni Rais ni Kiongozi. Tumpe nafasi na tushirikiane naye tuijenge nchi yetu Tanzania
upuuzi mtupu , mmeshindwa kukarabati za mkoloni , sasa afrika kusini ambao wamemalizwa na rushwa eti ndo watakufundisha nn haswa? nchi imezama na anc ambayo ni sawa na ccm , frelimo , mpla nendeni na uppuzi wenu , TZ inahitaji desturi mpya siyo makufuli wenu mvuta bangi
Asante mmungu asante rais kipenz mm nimfatiliaj wa miundo mbinu mingi tz najua unavyo Fanya kaz baba yetu hongera sana.
Eee Mungu kiongozi kama huyu tutampata wapi tena,miaka 10 haitoshi kumaliza haya mambo muhimu ktk nchi hii.Mungu mbariki Rais wetu.
Asante san mwenyez MUNGU kwa kuzidi kulipa mafanikio makubwa zaidi taifa letu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Ukweli kutoka moyoni ccm siipendi hata kidogo ila magufuli namuelewa sana huyu mungu ampe afya njema
Watanzani kwa kweli mnafa kurundisha shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwapa kiongozi kama JPM hakika mumejaliwa Kenya kwetu kumeoza na harufu ya ufisadi kila kukisha du!
Poleni ndugu zetu. Tunaamini hakuna marefu yasiyo na ncha nanyi mtapata kiongozi bora mwenye uzalendo na upendo na nchi yake.
Hii proposal ikiwa put into action mambo yatakuwa ni bambam huko Dar na Watanzania, kwa ujumla wetu, tutajivunia miundombinu hii itakayorahisisha usafiri kwenda na kutoka mjini. All the best to my government in making this dream come true. Bravo!
Wow! this is fantastic.
This is wonderfull much respect to Mr.JPM
Ni zaid ya rais Mungu akulinde
Go go gooo our Prezidaa. We are behind you!! 👏👏
Huyu Mzee Mungu Amzidishie!
Gabriel Bahat mzee gani it’s the president job to develop his country
Tupaclives. x wangapi wamepita. Stop hating
Gabriel Bahat 🙏🏾Ameeen
Tunataka viongozi wenye mawazo ya namna hii. Utasikia wengine wanasema kisheria au kimazingira au kihaki za binadamu.
Watu hawapo kwaajili ya sheria badi sheria zipo kwaajili ya watu.
Ahadi Mgedzi . Ukiona hivyo hao watu hawajazunguka duniani kuona kwa wenzao kukoje, na wangezunguka wangejiona ni wajinga na wako nyuma, ni watu wa kushika mkia
MIUNDOMBINU NA USAFIRI WA SERIKALI UNAPIGWA VITA SANA NA KUPINGWA VIKALI NA HAYA MATAIKUNI NA MAJITU YASIYO NA UZALENDO COZ MAUSAFIRI YAO NA VITEGA UCHUMI VYAO VINAENDA KUFA HIVYO YANAONA WIVU. GOOD JPM.
Itapendeza sana
Tumuongezee japo kamiaka mitano tumalize ndoto zetu juu ya miundo mbinu
salute to this president......hakika
fredy samizi why salute this president what has he done this is development every president must develop with leadership is he some sort of god let’s stop this idle worshiping
Tupaclives. x hater you are. Maraisi wamepita wengi bila kufanya makubwa kama haya. So let’s thank him for not embezzling our funds
exactly Arid many years our leaders steal money and.there was no any planning for any big project like this, so this president is trying to build our economy which we have been dreaming for alongtime why us dont give him a congrats.....
Viva jpm
Tanzania itakuwa juuu ujiamini usijiamini Mtanzania
Wooow good
Congratulation my president
Ben Nice job, concise and objective (no junk inside). At 2:00 Happy to see Ms. Mbaruk. We are still waiting with impatience for more update from SGR.
Mawazo mazuri, kazi nzuri! Tulijenge Taifa letu kwa pamoja...
HAYA NDIO MAANDELEO YANAYO TAKIKANA.
Nina imani mipango yote ilikua mezani na si kitu kipya, isipokua uthubutu ndiyo hakuwepo, Viva JPM
Jamani watanzania tumuombeee rais wetu kwa kutuletea maendeleo piga kz baba tuko nyuma yako
Proposed unaweza usiwepo mradi au ukawepo kama upo ndani ya miaka kaadha ijayo kama sgr iliyopkuwa proposed miaka 13 ilipita
Mungu ampe afya njema,na umri mrefu ili aendelee kuijenga nchi yetu
Aiseeee ikikamilika dsm itatisha kinoma
Long live my President!!
Wanaokubeza wataendelea kuaibika tu.
Saaafi sana. Hii itakuwa sawa sawa na nchi za ulaya. JPM unaona mbali sana.
Magu Chumaaaaaaaa
Jpm oyeeeee
kiongozi mwenye maono ya baadae
Halafu utasikia eti serikali haifanyi kitu
😂😂😂hawawezi kukosekana hao... Wakikosekana huenda serikali italala usingizi kama enzi zileeeee...!!! Sema tu nao wasiwe wanazidisha sana loh!😜😜🤪🤪
Edison Peter kauli za wapinzani wa kwanza mrundi Zitto mkabaji 🤣🤣🤣na Lissu tundu
@@neemakilomoni4258Haya imeishia wapi hyo tren
Yaani natamani ingekuwa tayari kesho nalipanda maana nimechoka kugombea daladala za mbagara
Hahahaha! Pole, mtumaini Mungu muumba mbingu na nchi , utaviona siku sio nyingi.
Thanks, ,😂😂wallah nimechoka vurugu makelele konda na abiria ukishuka unafanya kunuka majasho kila aina 😠ukibahatika kusimama ujue hukai mpaka unateremkaa,
😀😀😀😀😀😀😀
Tatizo miaka 10 inaonekana midogo kwake mzarendo wa kweli
Kweri kbs
Yaani kwa manufaa ya hii nchi inabidi tuweke exception ili jamaa amalize Kazi maana akiingia fisadi mwingine all these progress will be dead
Kwa kwel....inabid kitu kfnyik
Hakuna jinsi kile kifungu cha ukomo kwenye katiba tukiondoe
Ni kweli huyu presidaa kale ka ukomo kaondolewe aongezewe miaka 5 au 10 akamilishe miradi yake maana akiingia fisadi tumekwisha
go go go go Tanzania wakenya mpo?
Is Kenya part of Tanzania funga!
Papaya Tnzania ... acha wakenya wafanye yao na sisi yetu. Uchokozi kila siku utamsaidia nani? Upuuzi mtupu.
@t2910j msimi wa mama yako una ukoma wewe inakuuma nini Nguruwe pori we ulie kosa mkia
Astaghafirullah
Papaya Tnzania ... Wenye busara waliwahi kusema kuwa ukishindana na nguruwe matopeni anapenda.
Wewe tukana ila mimi si nguruwe. Nimekupa ushauri wa busara sasa shauri ni yako :-)
Good sana
Hili linawezekana. Na lianze mara moja bila kuchelewa
Hivi kila awamu ingefanya mambo kama haya Mpaka hii Leo tungekuwa wapi?
kwa kazi ninayoishuhudia katika awamu hii nimeamini hata viongozi wengine huwa wako Low IQ ed,
J.P.M the genius,Simba wa Tanzania anadhihirisha kuwa kuongoza nchi sio kucheka Cheka....ni kutatua kero za wananchi!!!
Ndo maana hua natamani mtani wangu aeendelee kubaki madalakani irl akamilishe mipango hii muhimu.
Ondoa shaka mtani, Mungu muumba mbingu na nchi na vyote viijazayo nchi amesikia maombi yako
Trilluoni hajajibu ziko wapi,mnafanyiwa kiini macho,mnazubaika!ubwege tu!
Wale wavuta Bangi watapinga apo yan kuna viongozi sijui wanawazaga nn yan Maendeleo kama haya watu hawaoni Hongera sana magufuli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimechekaaa balaa
🇹🇿😁🇹🇿🙏💪💪
Aiseeee
nashukuru kwamba sasa hivi tanzania tunaona mbali ila isiwe ni maneno tu kwa maana hata mradi wa kigamboni tulikuwa hapa kupongeza. Japo kwa mheshimiwa magufuli nahamini asilimia nyingi kwamba itakuwapo. tuhusishe wasomi wetu ili tufanikishe. na sie watz tunaweza kupembua, kusanifu na kufanikisha haya, tupewe nafasi tu.
Viva Jpm viva, you are the greatest leader ever seen
Itapendeza sana jiji kuwa na miundombunu kama hii, mimi ninaanzisha kampeni ya mwaka 2025 kufanya amendment kipengele cha ukomo wa Rais ili tumuongeze muda wa kutawala. Ili akamilishe miradi hii yote
True
apewe kura ya ndiyo
Musa maduka naungana na wewe kwa hilo ndugu yangu usiniache nyuma kbsa
Napenda aongoz miaka 20 kisha apumzike ni Rais kweli
Mheshimiwa Raisi magufuli ujue sisi vijana unatukosha sana sijui tukupe zawadi gani ili ufurahi,au zawadi yenyewe wewe bakia hapo hapo mpaka 10 mingine
Mungu afanye wepesi na hiwe hivyo
Tanzania Oyeee Ouganda Oyeee
🤗🤗🤗🤗🤗
Ahh kama mtawapa kampuni zingine kujenga sio afrika kusini .iyo treni ya mwendokasi ya hapa wala sio yao.treni zao ni za kawaida tu na wanamatatizo chungunzima kwenye reli yao.msiingie mkenge tafadhalini watanzania
ivi tundu lisu yuko wapi .. siku akirudi anaweza akajuwa tanzania imetekwa 😅😅😅
😂😂😂😂😂
😀😀😀😀😀😀😀
🤣🤣🤣🤣ataenda kushitaki kwa wazungu kuwa Tz hakuiacha hivi waje wamsaidie kuirudisha nyuma🤣🤣🤣
😃😃😃😃😃
ikiwa haya ni kweli Mheshimiwa Rais hahitaji pongeze mm nakuombea akupe moyo wa uthubutu na akuwezeshe,kwani kwa miundmbinu hii itasogea mbele sana Allah akulongoze ktk mazuri yote ya dunia na akhera.Amiin
Underground railway network is the transport solution for Dar Es Salaam. This type of project will not be efficient and sufficient
Joseph Malisa are you really sure?
Swala la fedha umefikiria
@@enockmwambete2739 I am sure as I have seen many such projects which are now obsolete or burden to townships. Apart from that overland city railway networks are noisy, not safe, consume huge space and ugly looking even speed limited
@@rasheedmsigwa4612 Usinunue mkate uliooza nusu ukafikiri kuwa umenunua mkate kwa bei rahisi. Unapowekeza fikiria mbali na utengeneze kitu kizuri pia ujue kuwa polepole ndio mwendo
Joseph Malisa what i know is there are stages in development, if you try to analyze the cost for implementing underground transportation system then you’ll be talking about using the imaginative money to implement the project. It’s a good idea but I prefer not to skip steps and consider our economy status, one day we’ll do it.
CCM siipend ila anko magu yupo moyon
Dat iz good but msije mkawabomolea watu makaz yao bila kuwapa fidia zao
Ndugu zangu wa Tanzania wapenda maendeleo japokuwa kuna hoja zinawezwa kupuuzwa lakini kwangu mimi hizi hoja 2: kumuongezea Rais wetu JPM miaka 5 baada ya muhula wa pili kwisho; na mwakani apite bila kupingwa nazikubali sana. Km kweli tunataka maendeleo ya uhakika na haraka JPM ni Rais ni Kiongozi. Tumpe nafasi na tushirikiane naye tuijenge nchi yetu Tanzania
Taarifa fupi fupi tu..LINI MTA ANZA MRADI HUU AU NDO HIVO STORY TU?
Patrick Mathias
-Upo Tanzania kweli? Mradi upi mkubwa ambao serikali hii imeusema umekuwa stori
Hata zikiwa story za namna hii mi nazpenda
Kamuulize Tundu Lisu na Mbowe!!
Story unaziona ww peke yako kwa akili yako ya kupingapinga.
Kwa hiyo umeme wa treni hautakatika kabisa?
Acheni ujinga,ni watanzania wanajenga,sio mtu mmoja,mbona mnapenda kutukuza kijinga hivi?!
Kama japan vile
upuuzi mtupu , mmeshindwa kukarabati za mkoloni , sasa afrika kusini ambao wamemalizwa na rushwa eti ndo watakufundisha nn haswa? nchi imezama na anc ambayo ni sawa na ccm , frelimo , mpla nendeni na uppuzi wenu , TZ inahitaji desturi mpya siyo makufuli wenu mvuta bangi
Mbona reli ya mkoloni imerekebishwa