STESHENI YA DAR YAANZA KUWEKWA NGAZI ZA UMEME,MAKONDA AFANYA ZIARA,

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 93

  • @Addi_Teacha509
    @Addi_Teacha509 Před 4 lety +26

    Even when I don't speak the language yet , i am 🇭🇹🇺🇲, but I love watching these videos and I am captivated by president Magufuli speeches

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 Před 4 lety +29

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1

    • @Addi_Teacha509
      @Addi_Teacha509 Před 4 lety +5

      I think i understand what you wrote, JPM number 1

  • @merishoherman169
    @merishoherman169 Před 4 lety +28

    Wa kwanza Leo nipen like zangu Kwa niaba ya Magufuli

  • @rachelkibaya8537
    @rachelkibaya8537 Před 4 lety +9

    Dyuuu Dr.Magufuli forever,Mungu mbariki Dr.Pombe na Watanzania na CCM.

  • @spoko12
    @spoko12 Před 4 lety +45

    Like hapa kama kura yako kwa jpm 2020 🙌🙌

  • @sekiondowarema1786
    @sekiondowarema1786 Před 4 lety +7

    Mwenyezi Mungu mpee kila mtanzania maono ya kuona juhudi za Mh Raisi Dr Magufuli.
    Kila mtu anawajibu wa kumkubali rais

  • @ericadelard4730
    @ericadelard4730 Před 4 lety +42

    Ben ... Mie wa pili kucoment.. zawadi yangu ben... Much love from kenya ..

    • @sawababdul7426
      @sawababdul7426 Před 4 lety +4

      Wakati mwingine nilikuwa najua unakulupuka lakini nimemfatili dkt pombe labda sababu jina linafanana na pombe nikafikiri ivyo lakini si ivyo kumbe unayo yatekeleza ni ilani ya chama bba pole kwa mzigo mzito nimamini uliposema ukimaliza muda wako uongezi ata nukta kweli nimeamini kazi ya kuwaongoza watu ni kazi ngumu mungu hata kulipia kumbukumbu unayo taachia haitafutaka miaka na miaka

    • @rwegoshoramichael3144
      @rwegoshoramichael3144 Před 4 lety +2

      Hongera ndg yetu

    • @rwegoshoramichael3144
      @rwegoshoramichael3144 Před 4 lety +2

      Tunawapenda Wakenya ndg zetu

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 Před 4 lety +8

    Mungunibariki Tanzania, viva Jpm

  • @alfredkalaba1614
    @alfredkalaba1614 Před 4 lety +6

    Stesheni ina muundo wa tanzanite. Much love from TZ 🇹🇿

  • @borahmlamba5030
    @borahmlamba5030 Před 4 lety +14

    Magufuli hoyeeeeeee 💪🏾💪🏾

  • @sawababdul7426
    @sawababdul7426 Před 4 lety +15

    Saluti dkt pombe wakati mwingine ni vigumu kusema ukweli kwamba tumeweza lakini ni kweli tumeweza

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Před 4 lety +30

    "Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 Před 4 lety +8

    Safi sana

  • @sijalikifunyo912
    @sijalikifunyo912 Před 4 lety +14

    Yaeh yaeh!
    JPM hadi 2030.

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 Před 4 lety +9

    Ben... Benn.. Benny.. Mr Benni.. Kitu hicho... Yaani umenikuna utosini hadi upala umeongezeka ..Ayaa .ni zaidi ya ulaya sasa... Kitu hicho.. JpM anatisha

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 Před 4 lety +8

    Inapendeza sana!

  • @muniradady4881
    @muniradady4881 Před 4 lety +5

    Da safi sana nimeipenda hii

  • @adamvrolik3346
    @adamvrolik3346 Před 4 lety +13

    Nawapatavizuri kutoka south africa tanzania oyeeee magufuli oyeeeeeee

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Před 4 lety +3

    Safi sana Diamond kijana wa kazi

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Před 4 lety +7

    Mambo ni moto

  • @amirimbago8325
    @amirimbago8325 Před 4 lety +10

    2:42 Kama umeskia mradi wa treni Mbagala....sema woyoooooooo

  • @chifupromise9575
    @chifupromise9575 Před 4 lety +8

    Aya mambo yalitakiwa kufanyika kipindi cha mkapa adi sasa tungekua mbali sana

  • @emmanuelchaplingi9050
    @emmanuelchaplingi9050 Před 4 lety +20

    Me watatu comments magufuli oyee

  • @alenmwakila3854
    @alenmwakila3854 Před 4 lety +2

    Mambo n moto an honger Mr president jpm

  • @ozacsic2832
    @ozacsic2832 Před 4 lety +6

    Lava lava n Zuchu hav spoken lik a human beings the rest sasa yan they aint loyal n humble kabisa .

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 4 lety +5

    TRC TV😘😘😘

    • @Addi_Teacha509
      @Addi_Teacha509 Před 4 lety

      Even when I don't understand the language i watch it all

  • @bakarirashidi9533
    @bakarirashidi9533 Před 4 lety +9

    Kaka ben lile jengo la ghorofa pembeni ya iyo station liko wapi?ingependeza zaidi vyote viende kwa pamoja.ingependeza zaidi

    • @MYCYOBEL
      @MYCYOBEL Před 4 lety +2

      Hiyo ni phase nyingine, ambapo ben alisema itakuwa na ofisini nyingi za trc

  • @kahroogall5695
    @kahroogall5695 Před 4 lety +1

    Nice home 😘💋👌👌

  • @happynicholaus6474
    @happynicholaus6474 Před 4 lety

    Watanzania tungekuwa waelewa katiba ibadilishwe aongoze moja kwa moja

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 Před 4 lety

    Gud saana watendaji... Gud Mkuu Wa mkoa makonda na jemedar jpm

  • @jeyadam833
    @jeyadam833 Před 4 lety +1

    Sawa nimekubali mambo juu kwa huu

  • @rwegoshoramichael3144
    @rwegoshoramichael3144 Před 4 lety

    Nimefurahi sna comment ya Diamond 💎 Platnumz... kwakweli uko vizuri kaka

  • @TeslaMedia418
    @TeslaMedia418 Před 4 lety

    Jpm anapiga gazi huyu mzeee ni konki fire kazi safi he should be the president of East Africa 😍😍😍😍😍

  • @michdevis
    @michdevis Před 4 lety +5

    Yaan kila siku munatembelea mrad munachelewesha kaz kuisha. Huo n ushamba

  • @ismovickitogo2580
    @ismovickitogo2580 Před 4 lety +4

    Nikifanya nafanya

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 4 lety +3

    Hizi ziara za Makonda zimekithiri. Ni kuonyesha ukosefu wa ubunifu na kuwaharibia wengine wakati wa kazi. Huyu Makonda hajui kitu gani Dar inataka? Kwa nini haweki taa za sola?Mji mzima giza tu? Aanzishe kiwanda cha maguzo na taa za solar, aweke taa milioni moja hivi mji ung'ae. Hilo pia ni gumu? Pia aanzishe mabustani yenye maji ya kububujika. Eneo la Jangwani lote liwe 'man made lake, ndege maji na mauwa vitawale. Hivyo ndio Ulaya, kama apendavyo kusema. Ulaya si mijengo ya masumenti pekee!

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 Před 4 lety

      kweli kabisa.. Ulichokiongea... Na ndo maana Magufuli kamuengua ukuu wa mkoa

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Před 4 lety

    Maendeleo kama haya ya watanzania yanapingwa na huyo Tundu Lisu. Huyo Lisu ni Savimbi wa Tanzania. Tumuangalie! Ni mwizi.

  • @AIG7187
    @AIG7187 Před 4 lety

    Yeeeeeah

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 Před 4 lety +1

    Hizo nihuduma za kijamii duniani na kila nchi lazima kuwe na transport , CCM MUST GO NO MATTER WHAT

  • @mavuzijiwe6805
    @mavuzijiwe6805 Před 3 lety

    Mradi kama Huu Harafu Tusimpigie Kura JPM, kama Hautompigia Kura JPM basi kichwani kutakuwa na Usaha

  • @innojtm1861
    @innojtm1861 Před 4 lety +3

    diamonda magufuli oyee imetoka moyoni kabisa

  • @azmankiddo8872
    @azmankiddo8872 Před 4 lety +7

    I wonder who dislike this video 🤦🏾‍♂️

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Před 4 lety +3

    Nawapata nikiwa Muscat omani like zenu mashaghara wezangu wale tunao tumia Wi-Fi za bure mwendo wa kuperuzi tu mambo ya nyumbani

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 4 lety +5

    We Diamond si ulizingua kule Mwanza airport, mkaiponda airtanzania😕 !!!

  • @kahroogall5695
    @kahroogall5695 Před 4 lety +1

    Kaka Ben nukiina zirikuwa gorofa mbili iyo nyingine ikowapi

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před 4 lety +3

    Kwamba wasafi nzima ni ccm, something is wrong.

  • @kabete1099
    @kabete1099 Před 4 lety

    Hiki kitu kiishe sasa ni miaka 4

  • @loisjackeliakim4339
    @loisjackeliakim4339 Před 4 lety +3

    Shida mnampampu sn

  • @pauldaniel5685
    @pauldaniel5685 Před 4 lety +5

    Una mbwembwe nyingi mpaka unaharibu