MASANJA AFUNGUA KANISA JINGINE JIPYA KIBAHA
Vložit
- čas přidán 17. 10. 2021
- MASANJA AFUNGUA KANISA JINGINE JIPYA KIBAHA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
Jumatano saa9 -12 jioni
Ijumaa saa 9-12 jioni
JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
+255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI - Hudba
Kaz njema sana mtu wa mungu
Hongera sana Pst kwa kazi njema ya Mungu ubarikiwe sana
Ubalikiwe sana mtumish
Duuuuh!
Hongera sana sana BISHOP EMMANUEL MGAYA
Endelea kumtumikia Mungu kwa Mali zako na Mungu atakukumbuka ktk ufalme wake. Jina la Bwana Yesu lihimidiwe Sana .
Hongera sana Mchungaji Mungu aendelee kukutumia kuinua wengine hasa vijana.
Mungu akubariki sanaaaaaa baba angu, Askofu Masanja kwa kazi hii ya MUNGU
Hongeleni sana mtumishi
Ubarikiwe San
Mungu akubaliki
Good job servant of God
Hongera sana Bishop
Mungu nimwema kaka masanja ubarikiwe
Iende mbele injili 👏👏👏👏.Haleluya
MUNGU akubariki Sana mtumshi
Ubarikiwe sana
Safi Saana hii
Gloire à Dieu
Mungu NI Mwema Sana, Kazi isonge mbele
Saf Sana pastor
Injili ya Kweli isonge mbeleeeeeeeeee
Amen,, God bless you bishop
Huyo jamaa amesoma chuo biblia na nihaki kwa kila mweny wito kufanya kz ya MUNGU,hv mtu ulkuwa unauza maji ya kandoro kichwan leo umeinuliwa kwa dolali unashindwa nn kumheshimu MUNGU na kumtumikia kwa akil,Mali na nguvu zako zote?big up brother
Peter julius
Baba naomba tu nijiunge na kanisa lako jamani napenda utumishi wako
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Hivi huu uaskafu unagawiwa Kama njugu masanja tayari kawa askofu
MUNGU akutangulie masanja nitakuja kuimba siku
Kanisa hili la Free church lipo kibaha gani maana kibaha kubwa .
Kibaha kubwa location plz kibaha mailimoja.....! Kwa matiasi...!! Au wap
Naomba namba yako mtumishi
Amin
Taka Askofu Wa kisasa jamani
Kazi hii imevamiwa sana mchungaji askofu ndiyo nini?
Huwezi kuwa Askofu bila kuwa mchungaji
Watu wawe huru wafunguliwe waondokane na mateso sio kufungua makanisa meeengi afu watu wanaingia na kutoka na vifungo.uwingi wa makanisa sio tija kinachotakuwa watu wafunguliwe watumish mtoil watu waondokane na vifungo
Ukiona hospitali zinajengwa ni ili wagonjwa wapate mahali pa kusaidika!!! Asipojenga makanisa, basi labda tumashauri ajenge nyumba za kupangisha, au ajenge baa!! Halafu tuone kama hao watu watafunguliwa huko!!!
Kufunguliwa kutategemea na imani yako.
Km unaenda kanisani kutembea na kushangaa mavazi utahama makanisa hadi uchakae.
Tusipowapongeza kwa kufungua makanisa tutapongeza ongezeko la vienge vya waganga wa kienyeji.
Acha watu wapate pa kuabudia katika Roho na Kweli dada.
Piga KAZI ya MUNGU usisikilize maneno ya watu
Kaka masanja. Isiwe ni ktk harakati za kumwinua lucfaer. Na kumtumikia kupitia madhabau za kifrimasoon kaka. Laana ya Mungu haitokwacha salama. Ila kama unamtumikia Mungu wa kweli kwa uwaminifu ubarikiwe
Lucifer hawezi kuinuliwa kwa kutajwa jina la Yesu!!!! Huwezi kuitangaza Tanzania kwa kuitaja Kenya!!! Emmanuel Mgaya( Masanja) anamtumikia Mungu!!!
Ubarikiwe mwanangu kwa Kumuelewesha uyo
Mnaoingiza ushetani kwenye kazi njema ya Yesu Kristo mna nini?
Kwa nini huanzi na jema...kupongeza kazi nzuri na kuwatakia mema?
Je, hayo ndiyo yaujazao moyo wako??
Kwa nini maneno hayo? Umeona nini? Au ushaingia kwenye kivuli cha mungu kumbe unamtimikia shetani?
@@FeelfreechurchHongera Sana kabisa
Ngoja niungane na waathene nione Kama nikweli hiyo huduma ipo sahihi Kama yatuagizavyo maadiko?
Mchungaji amenyoa denge hizi siku za mwisho.
Hakika ndugu tuamke
Free church? angalisho wapendwa,uyo ni free,mlishajuwa.
Uko WAP nataka nije
Siku hzi bhna mtu akitaka kustaafu kazi anayofanya anafungua kanisa ndyo maana mtu ananunua uwanja anajenga ni watu tu kuingia nakupelaka mafungu ya kumi kazi nikubebwa tu sadaka makao makuu
Inaonekana hii bishara inalipa sana!! Sasa nakishauri, ufungue na wewe halafu tukeletee fungu la kumi!!!
@@naylinekiv6642 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu ni mkuu milele na milele🙏