SGR TANZANIA 2019 -JARIBIO LA TRENI YA UHANDISI KUPITA JUU YA RELI YA SGR.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • SOGA ,PWANI TANZANIA

Komentáře • 293

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 5 lety +60

    safi sana, naona kodi yangu umefanya kazi sahihi,,, wapi like za JPM

  • @isayajuma6635
    @isayajuma6635 Před 5 lety +11

    Ila napata wakati mgumu kidogo, ila kwa wale wanaomuunga mkono JPM kama mm gonga like. Mbona wenzetu kule mjengoni wale wa mrengo wa kushoto wanasema ni blaa blaa sasa sijajua wana shida gani. Waandishi wa habari ni vyema mkawe mabalozi wazuri mkawaambie namba 1 wetu ana fanya vitu vya uhakika. Kongole kwake JPM. .

  • @jamesnteleva7073
    @jamesnteleva7073 Před 5 lety +39

    Wow! Hii habari imenifurahisha sana leo! Heko kwa rais wangu JPM💪🏾💪🏾💪🏾. Sikumpa kura 2015 kwa sababu nilikuwa na hasira sana kwa upuuzi mwingi uliokuwa ukifanywa, tena waziwazi. Mimi si shabiki wa chama chochote lakini, Mungu akinipa uzima, atarajie kura yangu 2020. Viva My Beloved Tanzania...!!!💪🏾💪🏾💪🏾🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @queenkileo3316
    @queenkileo3316 Před 5 lety +16

    We have a President who do not just Talk the Talk, but also Walk the Walk!!!
    Great C. I. C (Commeder In Chief)

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +19

    Asante san baba yetu asante san kiongozi wetu asante san raisi wetu watanzania wote tunazidi kukuombea kwa imani wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +18

    TRC mwenyez MUNGU akiwapa wepesi nami naomba nafasi ya kuutemberea mradi wetu wa reri kama itawezekana mwenyez MUNGU azidi kuwaongoza vyema na wakandarasi wetu na viongozi wetu wote ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @victormhagama8004
    @victormhagama8004 Před 5 lety +7

    Mungu ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais wetu

  • @YamunguYb
    @YamunguYb Před 5 lety +16

    Mungu Amlinde Mh Rais wetu

  • @Supernovaz12014
    @Supernovaz12014 Před 5 lety +21

    Now this is what i called development.....hit like if you feel this is very important😍😍😍😍

    • @thepatriottz9205
      @thepatriottz9205 Před 5 lety +1

      It looks like used train that's been repainted

    • @abdulbastwahassan7651
      @abdulbastwahassan7651 Před 5 lety

      We unaelewa maana ya train ya kiEngineer?!
      Hii ni ya mainjinia tu kushant eneo LA mradi kukamilisha ujenzi. Hii si ya Abiria

    • @rosemarymsulwa203
      @rosemarymsulwa203 Před 5 lety

      @@thepatriottz9205 it is a used train .they brought here for trial. The actual train is still coming. Ralax

  • @ababuumwana5102
    @ababuumwana5102 Před 5 lety +78

    JPM Nambari 1 miaka 40 anatosha atabaki maana shida yetu ni maendeleo sio utitiri Wa vyama vya kufanyia mazowezi maisha yetu hapana Tanzania sio ya kujifunzia Hapa kazi tu

    • @fredreckmwakalinga3475
      @fredreckmwakalinga3475 Před 5 lety

      Ababuu Mwana maana ya maendeleo unajuwa? kujenga reli ndo maendeleo inamaana bila hiyo hatufika Morogoro n. k acha ujinga mahospitali na mashuleni kuko sawa maisha yanetulia?

    • @shomarymussa6970
      @shomarymussa6970 Před 5 lety +2

      @@fredreckmwakalinga3475 duh ilijamaa boya kweli kwani kujenga shule maospitali ndio maendeleo peke yake tu ndio unavyo ona wew tu

    • @ababuumwana5102
      @ababuumwana5102 Před 5 lety +5

      @@fredreckmwakalinga3475 unapoambiwa bangi sio nzuri inamadhara makubwa kwa kijana ndio hayo madhara yake ulifikiri madhara ni kuwa chizi tu ni bora uwe chizi kuliko ujione mzima kisha fikira zako zinaona vibaya hivyo Chadema wakubariki maana we we sio Wa Mungu ni Wa siasa tu na utarudi kwa siasa pole

    • @temkezatv4381
      @temkezatv4381 Před 5 lety

      @@fredreckmwakalinga3475 akili yako ipo huko kwa chini ya nyuma yako

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 Před 5 lety

      @@fredreckmwakalinga3475 we bure kabisa una tofauti na yule mchungaji wa iringa

  • @theophiligaare9498
    @theophiligaare9498 Před 5 lety +6

    Moving forward like you have never seen before. That's TZ. God bless HE JPM.

  • @yusufmohamed9304
    @yusufmohamed9304 Před 5 lety

    Hongera sana TRC kwa kazi nzuri mnayoifanya, na haya ndio maendeleo tunayotaka watanzania.

  • @augustinosimwiya3005
    @augustinosimwiya3005 Před 5 lety +39

    Congrats to my President JPM .. Vice mama Samia ..Prime minister Majaliwa.. n the whole government.. Tanzania kama Ulaya Inawezekanaa

    • @thepatriottz9205
      @thepatriottz9205 Před 5 lety

      Bado sanaaaaaaa

    • @pietrojenkins6901
      @pietrojenkins6901 Před 5 lety

      Very shitty looking trains.

    • @dennybrown7930
      @dennybrown7930 Před 5 lety +2

      @@pietrojenkins6901 at least it's ours and China will not take our land for 100 of years😁

    • @iphily20
      @iphily20 Před 5 lety

      @@pietrojenkins6901 alafu badae unakuja kuipanda😂😂
      Huna hata sapoti kwa mikakati chanya za nchi, utaendelea kushabikia nini sasa?

    • @iphily20
      @iphily20 Před 5 lety +1

      @@thepatriottz9205 hakuna nchi iliyoanza na 100% ya maendeleo. Sio lazma uyaone wewe, ila wajukuu wa watoto wako wata-cheers kwa kazi yako.

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +17

    Asante san mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @amenyekibona8730
    @amenyekibona8730 Před 5 lety +6

    wache waone wenyewe,,, waache kupiga mayowe,, big up Magufuri

  • @kareemsukri3256
    @kareemsukri3256 Před 5 lety +1

    God bless magufuli hapa kazi tu best president I love you soo much Mr president nakukubali ww kiboko kweli nakupongeza na wanaokuchukia hawamo

  • @husseinloyy1912
    @husseinloyy1912 Před 5 lety +23

    Kazi nzur...tren ziwe za kisasa jirani zetu watuamini

    • @kingjoshuamhuamk2559
      @kingjoshuamhuamk2559 Před 5 lety +2

      Hussein Loyy hakuna competition kati ya kenya na Tanzania my friend

    • @prettyaysha7892
      @prettyaysha7892 Před 5 lety

      @@kingjoshuamhuamk2559 mfunge maskio maana naona ana ubinafsi

    • @prettyaysha7892
      @prettyaysha7892 Před 5 lety

      Huo ni ubinafsi acha roho ya kutu nchi zingine tushazowea hizo train

    • @henrynzimbi1885
      @henrynzimbi1885 Před 5 lety

      @@prettyaysha7892 expect nothing different. the same trains will be used

    • @charlesnguvava8478
      @charlesnguvava8478 Před 5 lety

      My brother worry not for the strains that are destined for TZ better than those use by our brothers in Kenya.....

  • @mohamedyabdallah8177
    @mohamedyabdallah8177 Před 5 lety +21

    Kuna vitu ambavyo sis wenyew tukiamua tunawez kufifanya, sio kila kitu mpk msaada. Hongeraa rais jpm mwenye maono ya mbali mungua akujaalia afya njema akurinde na wabaya wote il ukamilishe ndoto yako ya kuwaletea watanzania maendeleo👏👏👏

    • @cinnamonstar808
      @cinnamonstar808 Před 5 lety +1

      The USA dont have any 🚄 high speed trains but Tanzania does 👏🏾👏🏾👏🏾. It is about vision & commitment

    • @mkushplatnam1595
      @mkushplatnam1595 Před 5 lety

      tnaweza, jiran wanajuta mchina ndo anakusanya nauli , uko umaskinimbaya jamani chaaaaa, magu umetumwa na mungu siyo siri ,siyo kwa mageuz aya god bless you

  • @aminahmcheka9701
    @aminahmcheka9701 Před 5 lety

    Kweli tz inasonga mbele ktk maendeleo mungu mbariki rais jpm na namuunga mkono kwa kazi hii nzuri yenye mafanikio kwa taifa letu

  • @kiswahilikitukuzwe2547
    @kiswahilikitukuzwe2547 Před 5 lety +4

    Congratulations the people of Tanzania and their beloved leader, President John Pombe Magufuli.

    • @anfanganfang5174
      @anfanganfang5174 Před 5 lety

      hier ist mein Bruder Kiswahili Kitukuzwe,thank u very much bro.....nakupongeza kwa juhudi zako ur truely PAN AFRIKAN!! usichoke bro!

  • @harounkapingo4139
    @harounkapingo4139 Před 5 lety

    BIG UP RAIS WETU JPM MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUJALIA UWEZO WA KUSIMAMIA KODI ZETU NA MAENDELEO YAZIDI KUJA.NAFARIJIKA SANA MH.RAIS WANGU.

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 Před 5 lety +14

    Hongera sana serikali kwa hatua nzuri iliyofikiwa. Bila shaka vichwa vya treni vitakavyokuja ni vile vya muundo wa ndege na si kama vya kenya vyeye sura kama bichwa la ng'ombe dume.

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 Před 5 lety +1

      Wee bro acha visa

    • @kingjoshuamhuamk2559
      @kingjoshuamhuamk2559 Před 5 lety +2

      Marco Minja diesel train ina vichwa kama hivyo kwa mfano bsnf america ,lakini iko na engine traction ya nguvu mi mkenya

    • @jamesnteleva7073
      @jamesnteleva7073 Před 5 lety

      😂😂😂😂"...ng'ombe dume"😂😂😂😂

    • @jamesnteleva7073
      @jamesnteleva7073 Před 5 lety +3

      @Marco Minja, bila shaka, treni za abiria zitakuwa kama hizo ulizoziona kwenye video. Lakini za mizigo, huenda zikawa na bichwa kama hilo la uhandisi. Nasema hivyo kwa kuzingatia kauelewa kangu kadogo kuhusu treni. Yet, umesema vema sana mdau. Bravo!💪🏾

    • @jamesnteleva7073
      @jamesnteleva7073 Před 5 lety +2

      @kingjoshuam huamk, uko sawia...zile za BSNF kule USA hazitumii umeme, na zina mabichwa yanayofanana kiasi na hiki cha Yapi Merkez au hata vile vinavyotumika sasa ktk reli ya kati au TAZARA. Ila tu, vile vya USA vina nguvu sana! Vina uwezo wa kuvuta mzigo wa tani nyingi sana tena ktk mabehewa mengi yenye uwezo wa kubeba double containers.

  • @rwenji22
    @rwenji22 Před 5 lety +2

    Big up to our brothers in 🇹🇿👏🏽👏🏽👏🏽

  • @mtakijohannes2255
    @mtakijohannes2255 Před 5 lety +10

    Inafurahisha sana.. Ben, naomba pia uwe unafanya uchambuzi kidogo kwa mfano treni za EMU zilivo na zinavyo fanya kazi. Watanzania wengi bado hawajajua jinsi huu mradi utakavyo badirisha maisha yao.

  • @ruotleau5141
    @ruotleau5141 Před 5 lety +11

    We need more leaders like mugu

  • @cinnamonstar808
    @cinnamonstar808 Před 5 lety +4

    😳 Faster than I expected, but the December deadline is only 4 months away. Wish I can see the actual trains

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 Před 5 lety +10

    Yote haya ni kwaajiri ya huongozi bora wa awamu ya tano kwa ukusanyaji mzuri wa kodi zetu na usimamizi mzuri wa mapato ya inchi yetu hakika Tanzania mpya inakuja

  • @henrystephen5344
    @henrystephen5344 Před 4 lety

    Kazi nzuri mnooo!..Mungu awabaliki kwa kazi nzuri.

  • @eddynyaki5539
    @eddynyaki5539 Před 5 lety +3

    Mungu azidi kumjalia Raisi wa Tanzania mhe Magufuli afya njema

  • @kahroogall5695
    @kahroogall5695 Před 5 lety +9

    Yani Raha to nyumbani kumenoga mungu ibaliki Tanzania mungu ibaliki Africa

  • @raphaeljovinal3326
    @raphaeljovinal3326 Před 5 lety +19

    Ben Mwanantala hakika uko juu..Heko JPM,Heko TRC,Heko Kadogosa,Heko yarpmalkez.

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 5 lety +7

    Well done

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 Před 5 lety +1

    Tanzania yetu juu zaidi ewe Mungu zidi kutubariki aamiin.

  • @Ndayaki
    @Ndayaki Před 5 lety +12

    Hongera Tz

  • @ahmadsimba2143
    @ahmadsimba2143 Před 5 lety +10

    ME ZANGU DUWA TU, Mh,MAGU... Uendlee Kuwanyoosha iv ivo Aw WEZI Waliokznguk Serikalin na Wengne Wanao Kuchafua Huko Ulaya kW Uwezo wa Allah, Watashndwa na TZ One Day tuta Fika Mbalii Mzee..!!
    tunatak Kaz cyo KELELEE BUNGENII

  • @isayajuma6635
    @isayajuma6635 Před 5 lety +1

    Kazi nzurii sanaa JPM adumu na aendelee kuwa juu sanaaa

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis8556 Před 5 lety +2

    Eti wanasema awamu ya Magufuli ufisadi umekithiri kuliko awamu zote dah! Kwa upande wangu ufisadi wa aina hii ni mzuri sana maana wanatu wanacho pesa huku maendeleo nayo tunayaona kuliko unaona pesa zinaliwa huku tunapanda gari moshi sasa kitu mteremko tu hakuna kutuuukutuuukutuu no vibration.

  • @massklemens6921
    @massklemens6921 Před 5 lety +6

    uuuuuuuuuwiiiiii roho ya kwatuuuu jaman raha sana tz rudini nyumbani kumenoga

  • @justiceromanusmlyuka7611

    Kazi nzuri sana
    Mungu ibariki Tanzania na watu wake.

  • @charleslyuki9447
    @charleslyuki9447 Před 4 lety

    Kama umemuona Masai na rungu lake anavuka piga like.

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 Před 5 lety

    Huyu Ben mwanantala bonge la reporter, utafika mbali sana bro work hard ubrazamen weka pembeni piga kazi unajua

  • @sylasoswald343
    @sylasoswald343 Před 5 lety +1

    we should appreciate for every successful stage of our development, JPM our beloved president really you have done great things

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 5 lety +6

    HAKIKA INAWEZEKANA, HONGERA COMMANDO JPM

  • @prospermbuma
    @prospermbuma Před 5 lety

    JPM ni wa Juu...Juu sana.
    Hongera sana Mheshimiwa Rais wetu wa Tanzania.
    I am so proud of you.
    Naiona Tanzania mpya na nadhani kuna haja ya ndugu zetu walioko huko ughaibuni kurudi au kuwekeza nyumbani mapema kwani kumenoga.
    TUTAFIKA TU

  • @mtaloycegonzaga2594
    @mtaloycegonzaga2594 Před 5 lety +7

    Kizuri kipende

  • @manguwarichard6093
    @manguwarichard6093 Před 5 lety +4

    Naamin mambo mazuri yanakuja miaka michache ijayo ..viva jpm💪💪💪

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Před 5 lety +65

    Hiyo ndo faida ya HAPA KAZI TU siyo KAZI NA BATA

  • @longnoskibabu5659
    @longnoskibabu5659 Před 5 lety +2

    Congulaturation my president komando jpm imebaki tukuthibitishe kama china

  • @hanifawaliya7976
    @hanifawaliya7976 Před 5 lety +46

    mie nawasubiri wanaocomment upuuzi nipambane nao

  • @snurtrtch9275
    @snurtrtch9275 Před 5 lety +5

    JPM safi sana!

  • @fadhiliefron6356
    @fadhiliefron6356 Před 5 lety

    Tanzania nchi yangu nakupenda

  • @emmanuelpaul6142
    @emmanuelpaul6142 Před 4 lety

    haha haha hah this is Tanzania I have been waiting for years

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 Před 5 lety +6

    Safi sana!

  • @mkenyahalisi9406
    @mkenyahalisi9406 Před 5 lety

    Hapo sawa TZ, tusonge mbele sote kama EAC💪👏👏

  • @geraldmwanakatwe6237
    @geraldmwanakatwe6237 Před 5 lety +2

    Mimi mpinzani kweli kweli lkn jpm ndo kila kitu kwangu, akimaliza muda wake aache utaratibu mzuri ili kila atakayekuja aongoze kw mfano wake vinginevyo watanzania wengi ni vichwa ngumu wanaweza kutafuna faida ya mradi ya mradi huo, naomba sana jpm wangu hakikisha unalinda nguvu zako usiondoke hivhiv, tuachie muongozo baba

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 Před 5 lety +10

    Acha tu wajameni.. Rais Magufuli acha tu wajameni.. Mambo anayoyafanya ni makubwa aise.. Yaani kwa Reli hii na mengineyo ni kama vile mchele wa kyela ndo unapikwa.. Harufu inanukia hadi kitandani hakulaliki.. Ndo mambo ya Magufuli

  • @yungeman7577
    @yungeman7577 Před 5 lety +5

    HONGERA SANA WANGIKULU

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762

    Magufuli atabaki kuwa juu kileleni 2020 gonga like twende pamoja

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 5 lety +4

    Magufuri juu juu juuuzaidi

  • @iddisillas4522
    @iddisillas4522 Před 5 lety +5

    Wale wanaodai milo mitatu naona wako kimya MAENDELEO NI ZAIDI YA MILO MITATU.
    MAGUFULIFICATION IS THE BEST WAY TO SOLVE MATHEMATICS..

  • @charlesshewio8058
    @charlesshewio8058 Před 5 lety +5

    Whoooa 1st viewer!!!

  • @emmanuelpaul6142
    @emmanuelpaul6142 Před 4 lety

    haha haha hah let me laugh. This is Tanzania I have been waiting for years

  • @mudykajembe6677
    @mudykajembe6677 Před 5 lety +6

    Inatia furaha sana kuona nasi tunabailika hv wanobisha huwa hawafuatilii vitu kama hivi?

  • @anthonychristopher1567
    @anthonychristopher1567 Před 5 lety +7

    Nyumban kumeoga

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +67

    Ewe mwenyezi MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimarisha ayfa yake raisi wetu

    • @jamesnteleva7073
      @jamesnteleva7073 Před 5 lety +2

      Amin🙏🏾

    • @michaelndilima6210
      @michaelndilima6210 Před 5 lety

      Amina mungu wa kweli

    • @michaelndilima6210
      @michaelndilima6210 Před 5 lety

      Wanaobeza wananishida akili zao sawa na walio pinga ndege kununuliwa haohao na wao wanazipanda

    • @iphily20
      @iphily20 Před 5 lety

      Athuman Omary kweli ndugu, lakini kiswahili chako kinanifanya nisome sentensi yako herufi kwa herufi😃

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 Před 5 lety +1

      Safi sana, mimi nafurahi kazi zuri inayoonekana lkn swali linalonisumbua ni moja tu: ni kweli ni kodi tu au kuna mikopo-fiche? Sio kwa ubaya lkn, nimeuliza tu!

  • @user-nf9cc1hi1t
    @user-nf9cc1hi1t Před 5 lety +2

    thanx Magu, no chinese trains

  • @kabefiramadhani7610
    @kabefiramadhani7610 Před 5 lety +6

    Nilikua naisubir

  • @tuguofficial4867
    @tuguofficial4867 Před 5 lety +16

    Msije tuu mkaleta tren kama ilo la majaribio mana la majirani zetu meliona na wala si zuli karibu lifanane na hili la majaribio .HAPA KAZI TUUUUUUU

    • @kingjoshuamhuamk2559
      @kingjoshuamhuamk2559 Před 5 lety +5

      tugu official train za kenya ni diesel na ziko sawa tu what matters is the engine design zenyu Tanzania zitakuwa tofauti since ni za umeme

    • @romeoromeo4125
      @romeoromeo4125 Před 5 lety +4

      @@kingjoshuamhuamk2559 Yap Ni vyema ulivomuweka sawa, mimi binafsi nimepanda SGR ya Nairobi -Mombasa, ipo vzr tu.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 5 lety +3

      sio kwa JMP...zamani poa kkkkkk

    • @nasibumaiko3425
      @nasibumaiko3425 Před 5 lety +1

      umeshaambiwa ya majaribio Kua muelewa

    • @mkushplatnam1595
      @mkushplatnam1595 Před 5 lety +1

      😂😂😂😂😂 kama sisi ,izo nizamajaribio tu sasa jirani ndo anapakilia abiria yani zetu ni za kisasa kwel ,wachina wamewaibia ,ila mkiweka nguzo tu bas itakuwa ya kisasa, na siyo diesel , na muitoe apo bado yakizamani sana

  • @samuelmwangi9780
    @samuelmwangi9780 Před 5 lety

    Hongera kwa watanzania wote.

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 Před 5 lety +4

    Shikamoo Jpm

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Před 5 lety +15

    Waooo safiiii ila msilete tu old fashion roho itaumaa

  • @sakinatanzanian5000
    @sakinatanzanian5000 Před 5 lety

    Hapa kazi tu love you 🇹🇿

  • @sijalikifunyo912
    @sijalikifunyo912 Před 5 lety

    Nakushukuru sana Mungu kwa kutupa rais huyu.
    Haya mambo yalikuwa yanawezekana toka enzi za awamu ya tatu,
    Lkn ukusanyaji kodi haukusimamiwa vizur ukichanganywa na mikatabata mibaya.
    Magufuli awe wa muyaya tu.

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 Před 5 lety +1

    Tuna hitaji kichwa kiwe kama kilivmchopo kwny raman ,tunahitaji treni ndani iwe classic watu wajisikie wako mambele ukisfiri na tren

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace7755 Před 5 lety +1

    Mmmh mtaleta nzuri ata akina sisi tuache kutembelea mikweche Hii vx, vanguard,v8,macadilac nk

  • @valentineougo1111
    @valentineougo1111 Před 5 lety +1

    The one for Kenya still look more beautiful

    • @Sean1877
      @Sean1877 Před 5 lety

      Valentine Ougo @ur a comedian..that slow speed diesel train

  • @user-ym5ko9ov2o
    @user-ym5ko9ov2o Před 6 měsíci

    Aaaah kumbe haya ni ya majaribio

  • @faustinefs1148
    @faustinefs1148 Před 5 lety

    😂😂😂😂👍👍👍ccm hoyeeeeee yajayoyanafurahishaaaa sanaaaa

  • @saimonmatonya9341
    @saimonmatonya9341 Před 5 lety

    Safi sana rais wetu jpm

  • @kisali777
    @kisali777 Před 3 lety

    huyu mama wa raha mustarehee ameelezea vizuri sana

  • @agogodadimwa195
    @agogodadimwa195 Před 5 lety

    Namuomba sana M/Mungu anijaalie uzima mpaka nije nishuhudie kwa macho yangu balaa hili, Treni uso wa ndege hadi raha , eeh M/Mungu endelea kumpa afya njema Rais wetu.

  • @felisjohn6539
    @felisjohn6539 Před 5 lety

    I love Tanzania number one thing the Government do I really appreciated is banned Voodoo practices in the country, that is the best moved to destroyed poverties in the country because voodoo spirituality is number one poverties creator in black countries keep that out thank you..

  • @HASASON
    @HASASON Před 5 lety +7

    Wapi nyumbu walisema magufuli anaota ndoto za mchana?

  • @robertoduor7523
    @robertoduor7523 Před 4 lety

    Hii sura ya treni n kejeli

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 5 lety +7

    Rais anayeongoza taifa kubwa ulimwenguni magufuri anatosha

  • @umememusicindustry7164

    Mtangazaji huyu yupo vzr sana anajua kutangaza

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před 5 lety

    Jaman mtuletee vichwa vya kisasa...sio mavichwa mabaya baya kama ya reli ya uhuru au yakat...... tunataka vichwa vya sura ya chatuuuuuu...... nafkiri kodi zetu zinatosha kabisa kuleta vichwa mlalo kama chatu.....Ewe mwenyez mungu tusaidie waja wakoo sisi

  • @stephenkihongozi2760
    @stephenkihongozi2760 Před 5 lety

    Hongera sana serikali ya awamu ya tano mabadiliko yanaonekana JPM. safi sanaaaaaa

  • @saimonjulius1319
    @saimonjulius1319 Před 5 lety +3

    Ninavyo mjuwa rais wangu ataleta kitu kipya tena cha viwango ili wale waliokuwa wanpinga aone aibu safi sana miaka 30 inakuhusu jpm

  • @patrickmbogo7805
    @patrickmbogo7805 Před 5 lety +25

    Kwa hili JPM amethubutu na sasa mafanikio tunayaona

  • @anaselilesika4069
    @anaselilesika4069 Před 5 lety +3

    "Hata ungechukua tone moja la maji ukaliweka kwenye meza, haliwezi kutililika" 😂🙏🇹🇿

    • @HASASON
      @HASASON Před 5 lety

      Means haliwezi kusambaa kwenye meza sababu hakuna shaking

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 Před 5 lety +2

    Sio mbaya coz maendeleo hayana chama

    • @mbokhamumwaliswaha8138
      @mbokhamumwaliswaha8138 Před 5 lety +1

      Hivi vitu visitumike kutugawa Watanzania. Acheni siasa haya yanayotokea tunapongeza kwa dhati na ni kujitoa kwa watanzania wanaolipa kodi - wote, wa CCM na vya ma vingine na was io na vyama. Mafanikio na uthubutu huu wa Raisi wetu ni lazima vitumike kuwaunganisha Watanzania kwa umoja wao. Kuna kuwa na wakosoaji labda kwa sababu ya baadhi ya Watendaji kutoa lugha za kuwatenga baadhi ya watanzania kana kwamba hawana mchango wowote katika haya. Ninamsifu Raisi kwasababu naamini huu mradi using fika hapo bila ya yeye kuwa mfuatiliaji wa karibu - vinginevyo hawa wanaojidai leo majukwaani ndo wangekuwa wapigaji wakubwa na kuuhujumu mradi huu kama walivyoihujumu reli iliyokuwepo na hata Reli ya Tazara kwa kuyapendelea malori yao ya mzigo. Binafsi si mwana chama wa chama cho chote lakini kwa hili nampongeza Magufuli binafsi kwa uthubutu wake.

  • @masagapaul5039
    @masagapaul5039 Před 5 lety +10

    Huyu ndiye jpm buana

  • @chompakasim4595
    @chompakasim4595 Před 5 lety

    Nomaaaa

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 5 lety +4

    wapinzani,mnapinga nini,???

  • @gebilljalloh4113
    @gebilljalloh4113 Před 5 lety

    Congratulations

  • @jamesmhema8077
    @jamesmhema8077 Před 5 lety

    Fresh

  • @mohamednyenyema997
    @mohamednyenyema997 Před 5 lety +5

    Nawashanga hao walioku ndani ya Ccm wanamfanyia fitna rais wetu ila nawaambia hata mkimpiga chini atakapo enda urais lazima apata sababu tunamkubali yeye ni kiingozi bora,Mnao mchukia raisi wetu laleni mbele

  • @chekaunenepee8409
    @chekaunenepee8409 Před 5 lety

    2020 hakuna uchaguzi 😁😁😁😁😁😁😁💯💯💯💯👍👍

  • @shukurkatembo2807
    @shukurkatembo2807 Před 5 lety +1

    Inapendeza Sana sipati picha ELECTRICAL MULTIPLE UNIT.