Yaani, ni kama vibanda vya kuku aisee 😂 very basic hata kile pale SGR station mjini hakina hadhi ya ile station, wonder who comes up with these mundane designs or is it cost cutting?
Kuna changamoto nyingine nyingi mno,msongamano kwenye vituo,ukatishaji wa tiketi,wahudumu wanakuwa na lugha chafu,kukosekana kwa chenji,madereva wamekuwa wanatoa lugha chafu kwa abiria,Nauliza swali jingine ni kwa nini UDART mliondoa wale madereva wa awali mkaajiri madereva wa daladala ambao hawajali chochote wawapo barabarani na kusababisha ajali kedekede na kuharibu mabus yenyewe!
Latra kwenye magar y wt binafisi wapiga faini kisa mtu kazdi mwendokasi tunapandiana kama ngo'mbe mbona hamuweki mabasi yenu tuone ikiwa n wakweli,mtishia raia kilacku
Mwendo kasi imefeli mjitathimin huwez kata ticket ukakaa kituoni zaid ya saa moja umesubiri gari na wakati ikitokea yanapita yanapita empty hayana watu ilhali watu wamejazana vituoni , ifike pahala mjitathimini kama mnatosha kutuhudumia watanzania , Dhamira ya serikali ni nzuri lakin utendaji ni mbovu aswaaa
Kazi nzuri ila wale wa barabara za mitaa DMDP ni majanga matupu Kila siku ahadi tu.pugu, banguro mwembe kiboko, kifuru kinyerezi hakuna kitu mara mwezi wa nne mara wasita na Sasa wasaba duu!
Nyie DART uku mbagala ujenzi si ushaisha??? Mbn hamuanzi huduma ?? Yan barabara imanza kujengwa tangu niko diploma ad leo nimemaliza degree. Nyie watu kiboko
Soma comment za bongo wajuaji kuliko wako kila mahali hii hulka sijui tutaiacha lini , mbongo huyo huyo ndo kocha, mchezaji, injinia, daktari…😅 na anasema akiwa anajiamini kabisa 😂
Hiyo project ina njia zake na ni ya katikati ya mji wala haina uhusiano na mwendo kasi. renovation ya jiji la Dar inakuja soon, muda si mrefu kuna kitu kizito kinakuja kufanyika pale jangwani na hata klabu ya Yanga na wao uwanja wao wa kisasa wanaoutarajia kuujenga hivi karibuni pia nao upo ktk sehemu ya project hiyo. Na istoshe mkumbuke hata treni za kuchongoa alivyosema atazileta mlimbeza hivyo hivyo, mlimuita muongo, mkamtukana na kumkejeli, lakini mwisho wa siku mkaishia kupata aibu, chuma zimekuja na hizo safari zimeshaanza na stori taka zote zimeishia midomoni.
@@rayisadesigns2646 treni zs mchongoko ni JPM na tokea yuko mzima walishatoa oda na miradi yote anamalizia ya JPM anatembelea nyota ya JPM ! Samia ni nuongeaji hamna kitu sport arena hadi michoro walionyesha na wako kimya tu
@@rayisadesigns2646sorry but I would like to know how or where you got that info from “renovation la jiji” I wanna check it out for myself if you have a link?
Ujenzi wa awamu ya 1 uliikamilika 2016, miaka 8 baadae awamu nyingine zinajengwa. Cha ajabu design ni ileile na zaidi ni mbovu kuliko awamu ya kwanza. Hii ni ishara ya kufeli kwa DART na TANROADS kwa ujumla. Shame on you!!!
@@petersonolangu2398 si umesema hapo kwamba Kuna gepu kubwa kati ya awamu ya kwanza na awazu zilizofuata? Na mimi nilikuwa nakukumbushia tu kwamba mambo yalisimama ama kupungua spidi kubwa dunia nzima.
@@section8ight174 bro hapa sizungumzii mda wa ujenzi wa awamu, nazungumzia angalu pangekua na design tofauti za vituo sio vilevile kwa awamu zote...pawe na improvement
Barabara nyembamba mno
safi sana mfanye halaka kabla 2027
Good job
Ongezeni ubunifu kwenye muonekano wa vituo
Yaani, ni kama vibanda vya kuku aisee 😂 very basic hata kile pale SGR station mjini hakina hadhi ya ile station, wonder who comes up with these mundane designs or is it cost cutting?
Kupanda mwendo kasi ni aibu yani mnasukumizana kama wanyama mnapandana migongoni yani hakuna heshima kabisa
Mwendokas mefeli kilakitu mpk chenji za kuwarudishia abiria hakuna kama vp mjiuzulu wate tuwape wengne
Kuna changamoto nyingine nyingi mno,msongamano kwenye vituo,ukatishaji wa tiketi,wahudumu wanakuwa na lugha chafu,kukosekana kwa chenji,madereva wamekuwa wanatoa lugha chafu kwa abiria,Nauliza swali jingine ni kwa nini UDART mliondoa wale madereva wa awali mkaajiri madereva wa daladala ambao hawajali chochote wawapo barabarani na kusababisha ajali kedekede na kuharibu mabus yenyewe!
KADI WAMEUA MAKSUDI
Latra kwenye magar y wt binafisi wapiga faini kisa mtu kazdi mwendokasi tunapandiana kama ngo'mbe mbona hamuweki mabasi yenu tuone ikiwa n wakweli,mtishia raia kilacku
Mnapoteza pesa bure hakuna mabasi ya kupita humo msitusumbue
Mwendo kasi imefeli mjitathimin huwez kata ticket ukakaa kituoni zaid ya saa moja umesubiri gari na wakati ikitokea yanapita yanapita empty hayana watu ilhali watu wamejazana vituoni , ifike pahala mjitathimini kama mnatosha kutuhudumia watanzania , Dhamira ya serikali ni nzuri lakin utendaji ni mbovu aswaaa
Kwan c naskia kuna mwendokasi app
kwa mabasi yapi labda?
Kazi nzuri ila wale wa barabara za mitaa DMDP ni majanga matupu Kila siku ahadi tu.pugu, banguro mwembe kiboko, kifuru kinyerezi hakuna kitu mara mwezi wa nne mara wasita na Sasa wasaba duu!
barabara za mitaa ni tarura, DMDP wana mambo mengi, japo hujenga barabara sometimes
Nyie DART uku mbagala ujenzi si ushaisha??? Mbn hamuanzi huduma ?? Yan barabara imanza kujengwa tangu niko diploma ad leo nimemaliza degree. Nyie watu kiboko
Soma comment za bongo wajuaji kuliko wako kila mahali hii hulka sijui tutaiacha lini , mbongo huyo huyo ndo kocha, mchezaji, injinia, daktari…😅 na anasema akiwa anajiamini kabisa 😂
Kwani unadhani wabongo vipofu? Kama kitu hakijakaa vizuri sasa unataka tunyamaze wakati ndio kodi zetu hizo!!! Wewe vipi mbona hueleweki?
Rais alituahidi mabasi ya umeme alivyotoka ufaransa
Ulikuwa uongo mtupu kila siku wanaahidi
Hiyo project ina njia zake na ni ya katikati ya mji wala haina uhusiano na mwendo kasi. renovation ya jiji la Dar inakuja soon, muda si mrefu kuna kitu kizito kinakuja kufanyika pale jangwani na hata klabu ya Yanga na wao uwanja wao wa kisasa wanaoutarajia kuujenga hivi karibuni pia nao upo ktk sehemu ya project hiyo. Na istoshe mkumbuke hata treni za kuchongoa alivyosema atazileta mlimbeza hivyo hivyo, mlimuita muongo, mkamtukana na kumkejeli, lakini mwisho wa siku mkaishia kupata aibu, chuma zimekuja na hizo safari zimeshaanza na stori taka zote zimeishia midomoni.
@@rayisadesigns2646 treni zs mchongoko ni JPM na tokea yuko mzima walishatoa oda na miradi yote anamalizia ya JPM anatembelea nyota ya JPM ! Samia ni nuongeaji hamna kitu sport arena hadi michoro walionyesha na wako kimya tu
@@rayisadesigns2646sorry but I would like to know how or where you got that info from “renovation la jiji” I wanna check it out for myself if you have a link?
vituo muonekano wake mbaya mradi uko poa,Mjini wekeni vituo dizaini nyingine na kadi zitumike sio tiketi za makaratasi
Vilevile waweke A/C kwenye hayo mabasi watu wasafiri kwa style nzuri walau!!
Ujenzi wa awamu ya 1 uliikamilika 2016, miaka 8 baadae awamu nyingine zinajengwa. Cha ajabu design ni ileile na zaidi ni mbovu kuliko awamu ya kwanza. Hii ni ishara ya kufeli kwa DART na TANROADS kwa ujumla. Shame on you!!!
Sa we bwege Kwani ushasahau mambo ya COVID hapo katikati ama unabwabwaja tu?
@@section8ight174 COVID inaingilianaje na design ya vituo vya mabasi?
@@petersonolangu2398 si umesema hapo kwamba Kuna gepu kubwa kati ya awamu ya kwanza na awazu zilizofuata? Na mimi nilikuwa nakukumbushia tu kwamba mambo yalisimama ama kupungua spidi kubwa dunia nzima.
@@section8ight174 bro hapa sizungumzii mda wa ujenzi wa awamu, nazungumzia angalu pangekua na design tofauti za vituo sio vilevile kwa awamu zote...pawe na improvement
😂😂😂😂😂😂 stupid comment @@section8ight174