ULIPOFIKIA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE MSALATO DODOMA, WAZIRI MBARAWA ATOA MAELEKEZO HAYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 02. 2024

Komentáře • 15

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 29 dny +1

    Panapo majaaliwa hata barabara itakayo elekea air port iwe nne zinaenda na nne zinarudi , mtapokea viongozi wengi wa Kidunia hapo Dodoma , Mungu atujaalie tuweze kukamilisha mradi huu kwa wakati

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 Před 5 měsíci +5

    Mh. Waziri nakuomba tusifanye vitu nusunusu, kwani nimekusiki ukisema Kuna baadhi ya ndege zinaweza zisitue mpaka muongeze shoulder kiasi fulani. Sasa ninaimani hatuna haraka sana kwenye ukamilishaji wa uwanja huu kwani Kuna mbadala. Tunataka mradi ukikamilika asiwepo mtu wa kutoa kasoro. Uwe uwanja mkubwa, sio siku mbili tatu tunaanzan kusema capacity ya uwanja imekuwa ndogo.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 29 dny +1

      kweli ni wazo zuri, bora wamalize kila kitu ila A380 iliwahi tua dar es salaam, kwahiyo bora wamalize kila kitu

  • @PcgtMsalato
    @PcgtMsalato Před 3 měsíci

    Kinachoitesa Tz ni Ufisadi, Ubadhilifu na kukosa Uzalendo. Utakuja kusikia ETI umejengwa chini ya kiwango. Pesa zilizopotea ni Nyingi na haziwezi kurudi.

  • @user-ne4lv6wn9y
    @user-ne4lv6wn9y Před 5 měsíci

    Tunataka huouwanja uwe mkubwa na design nzuri zaidi kuliko wa dar

  • @rizikylaizer1602
    @rizikylaizer1602 Před 5 měsíci

    Tunataka uwe mkubwa kuliko wote afrika bora mtutoze Kodi tumezoea ila mkituibia nitasomea kila kitu nipate nafasi ya uraisi

  • @user-zp1ij9rq9v
    @user-zp1ij9rq9v Před 5 měsíci

    Kazi iendere😅😅😅😅😅😅

  • @yusuphmpenja3288
    @yusuphmpenja3288 Před 5 měsíci +1

    Mama samia air Port dodoma

    • @priscajube4239
      @priscajube4239 Před 5 měsíci

      Magufuli airport. Ingawa hayupo hai. Alikuwa ana malengo makubwa

  • @zolongOne
    @zolongOne Před 4 měsíci

    Mbona unachukua mda kukamilika?

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 Před 5 měsíci

    Huyu ndo alisema train ya SGR inaanza January mwishoni..na wanasema Rais kawazuia kuanza 😂😂😂😂 hii nchi inahitaji moyo

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před 5 měsíci

    Tereni kutoka uwaja wa ndenge kwenda mjini vipi ?

  • @200Stella
    @200Stella Před 5 měsíci

    YA SUMBAWANGA INAANZA LINI?MAANA KILA SIKU MNATUPIGA KURASA....

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 Před 5 měsíci

    Mkandalasi anabembelezwa kama anajenga bure