Panapo majaaliwa hata barabara itakayo elekea air port iwe nne zinaenda na nne zinarudi , mtapokea viongozi wengi wa Kidunia hapo Dodoma , Mungu atujaalie tuweze kukamilisha mradi huu kwa wakati
Mh. Waziri nakuomba tusifanye vitu nusunusu, kwani nimekusiki ukisema Kuna baadhi ya ndege zinaweza zisitue mpaka muongeze shoulder kiasi fulani. Sasa ninaimani hatuna haraka sana kwenye ukamilishaji wa uwanja huu kwani Kuna mbadala. Tunataka mradi ukikamilika asiwepo mtu wa kutoa kasoro. Uwe uwanja mkubwa, sio siku mbili tatu tunaanzan kusema capacity ya uwanja imekuwa ndogo.
Kinachoitesa Tz ni Ufisadi, Ubadhilifu na kukosa Uzalendo. Utakuja kusikia ETI umejengwa chini ya kiwango. Pesa zilizopotea ni Nyingi na haziwezi kurudi.
Panapo majaaliwa hata barabara itakayo elekea air port iwe nne zinaenda na nne zinarudi , mtapokea viongozi wengi wa Kidunia hapo Dodoma , Mungu atujaalie tuweze kukamilisha mradi huu kwa wakati
Mh. Waziri nakuomba tusifanye vitu nusunusu, kwani nimekusiki ukisema Kuna baadhi ya ndege zinaweza zisitue mpaka muongeze shoulder kiasi fulani. Sasa ninaimani hatuna haraka sana kwenye ukamilishaji wa uwanja huu kwani Kuna mbadala. Tunataka mradi ukikamilika asiwepo mtu wa kutoa kasoro. Uwe uwanja mkubwa, sio siku mbili tatu tunaanzan kusema capacity ya uwanja imekuwa ndogo.
kweli ni wazo zuri, bora wamalize kila kitu ila A380 iliwahi tua dar es salaam, kwahiyo bora wamalize kila kitu
Kinachoitesa Tz ni Ufisadi, Ubadhilifu na kukosa Uzalendo. Utakuja kusikia ETI umejengwa chini ya kiwango. Pesa zilizopotea ni Nyingi na haziwezi kurudi.
Tunataka huouwanja uwe mkubwa na design nzuri zaidi kuliko wa dar
Tunataka uwe mkubwa kuliko wote afrika bora mtutoze Kodi tumezoea ila mkituibia nitasomea kila kitu nipate nafasi ya uraisi
Kazi iendere😅😅😅😅😅😅
Mama samia air Port dodoma
Magufuli airport. Ingawa hayupo hai. Alikuwa ana malengo makubwa
Mbona unachukua mda kukamilika?
Huyu ndo alisema train ya SGR inaanza January mwishoni..na wanasema Rais kawazuia kuanza 😂😂😂😂 hii nchi inahitaji moyo
Tereni kutoka uwaja wa ndenge kwenda mjini vipi ?
YA SUMBAWANGA INAANZA LINI?MAANA KILA SIKU MNATUPIGA KURASA....
Mkandalasi anabembelezwa kama anajenga bure
ra re ri ro ru