Habari za Leo Mheshimiwa.Hongereni sana kwa mfumo huu,kwa kweli ni mzuri sana.naomba kujua ni utaratibu gani unao tumika kumhamisha mwanafunzi anayesoma nnje ya nnchi,kwa mfano mwanafunzi amesoma Kenya shule ya msingi na anataka kujiunga kidato cha kwanza hapa Tanzania, ni utaratibu upi anaofaa kutumia.
Hongereni serikali Kwa hatua hii kubwa hakika swala hili limerahisisha kuhamisha watoto. Je, ninapokosea kuhamisha jina la mtoto inachua mda Gani kuniruhusu kumhamishia shule sahih?
Mtoto aliyesahauliwa kusajiliwa darasa la Kwanza katika Shule ya msingi na ameendelea kusoma hadi mzazi alipoamua kumuhamishs kwenda hamashauri nyingine ndipo tatizo lilipojitokeza kuwa alikuwa hakusajiliwa.Utatuzi wa hili jambo utakuwaje,tafadhali naomba ufafanuzi
Mheshimiwa tunashukuru kwa maendeleo yanayoonekana he unampango gani wa kuondoa rushwa na Blabla kwa watendaji wa serikali kwenye kada ya elimu na Hususani shule za private maana hili linakwamisha juhudi najitihada zote za kuboresha elimu tanzania
Congratulations Dr.Charles Msonde with your team
Habari za Leo Mheshimiwa.Hongereni sana kwa mfumo huu,kwa kweli ni mzuri sana.naomba kujua ni utaratibu gani unao tumika kumhamisha mwanafunzi anayesoma nnje ya nnchi,kwa mfano mwanafunzi amesoma Kenya shule ya msingi na anataka kujiunga kidato cha kwanza hapa Tanzania, ni utaratibu upi anaofaa kutumia.
HII NI MPAKA UFIKE WIZARANI
Thanks much mheshimiwa.
Hongereni serikali Kwa hatua hii kubwa hakika swala hili limerahisisha kuhamisha watoto. Je, ninapokosea kuhamisha jina la mtoto inachua mda Gani kuniruhusu kumhamishia shule sahih?
Mtoto aliyesahauliwa kusajiliwa darasa la Kwanza katika Shule ya msingi na ameendelea kusoma hadi mzazi alipoamua kumuhamishs kwenda hamashauri nyingine ndipo tatizo lilipojitokeza kuwa alikuwa hakusajiliwa.Utatuzi wa hili jambo utakuwaje,tafadhali naomba ufafanuzi
Heshima sana
Me naomba kusaidiwa kuhamisha mwanafunzi wa advance kutoka mkoa kumuhamisha dar natakiwa kufanya process zipi
Mheshimiwa tunashukuru kwa maendeleo yanayoonekana he unampango gani wa kuondoa rushwa na Blabla kwa watendaji wa serikali kwenye kada ya elimu na Hususani shule za private maana hili linakwamisha juhudi najitihada zote za kuboresha elimu tanzania
Hili la uhamisho bado watu wanasumbuka na fomu za uhamisho za hard copy japo wanafunzi wanahamishwa na kwenye mfumo. Mlitazame kwa upya.
Uwepo na mfumo wa kuwawezesha PC