ZIJUE SHERIA ZA MWENENDO MASHAURI YA MADAI NDANI YA SHERIA ZETU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2019
  • Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
    Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
    Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
    Star TV Brightens Your Day !

Komentáře • 13

  • @kwedibomanikwetu.8312
    @kwedibomanikwetu.8312 Před 4 lety +4

    KIPINDI KIZULI SANA SAM-BEZ DANGILO

  • @japhetngunda100
    @japhetngunda100 Před 2 lety +1

    Asanteni sana

  • @mtembeziadventures
    @mtembeziadventures Před rokem +1

    Helpfull 🙏

  • @mustafakalyan8008
    @mustafakalyan8008 Před 2 lety

    Safi sana asante boss
    Kula kitu mkataba

  • @markminja4307
    @markminja4307 Před 4 měsíci

    Nimejifunza jambo..

  • @amoskibadu8411
    @amoskibadu8411 Před rokem

    Sawa

  • @exaudmohamed736
    @exaudmohamed736 Před 3 lety

    Asante

  • @keziaakondo5086
    @keziaakondo5086 Před 4 měsíci

    Kipindi kizuri Sana.

  • @janethpeter8854
    @janethpeter8854 Před rokem +1

    Kaka kama bibi kampa kijana wake kiwanja bila maandishi na bibi kakili jumps mbele ya mh. Kijana kaniuzia kiwanja inakuwaje hapo

  • @veronicambilinyi3854
    @veronicambilinyi3854 Před 3 lety +2

    Kama kesi ya madai ya pesa imepitia hatua zote,mdaiwa akasomewa hukumu ya kulipa lakini akaendelea kukata rufaa,kipi afanye anaedai kutokana na kukosa kipato cha kuendelea na taratibu za kwenda mahakamani.

    • @mustafakalyan8008
      @mustafakalyan8008 Před 2 lety

      Itabidi aendelee na mshtakiwa aliekata rufaa

    • @ramsaymtando1742
      @ramsaymtando1742 Před 10 měsíci

      Kwanza pale tu humu imetolewa mdai kashida.
      Inabidi mdaiwa kumlipa mdai.kwa mfano kama mdai alikuwa anamdai mdaiwa pesa 10000 kwaiyo mdaiwa anatakiwa kumlipa mdai.sasa kama mdaiwa ajalipa pesa hizo ndani ya siku 30 baada tu hukumu kutokeya.mdaiwa kama ana nia ya kukata rufaa inabidi baada ya hukumu inapo tolewa akate rufaa ndai ya siku ya 30 isizidi hapo na kama hitazidi lazima mdaiwa apeleke sababu zamsingi au kungezewa mdaa wa rufaa.kwaiyo utabidi kusubiri.rufaa imalizike lakini hukumu kama mahakama iliyo towa humu bado hipo hadi itakapo tenguliwa

  • @bahatijoseph8763
    @bahatijoseph8763 Před 3 lety

    Kaka Je Kama Mdaiwa Alikuwaa anadaiwa Af wale waliokuwa wanamdai wakawa wanataka kuchukua Mali Mfano nyumba Af muda huo huyo Mdaiwa ana mke Au familia Af ktk ile Doccoment ya madai Mwana mke hakusaini Je anaweza kupinga Hyo Kesi yaa kurudisha nyumba!!??