1.Does the Case Cited fulfill the Current Situation? 2. Je, kama ni Serikali inamdai mtu, hiyo principle ina apply? 3. Demarcation ya hiyo Principle ni ipi?
Wakili you should've cited a recent case! 1960's case Je ina serve situation ya madai ya Sasa?? And I have a question ni vipi kuhusu DENI la Mitandao kama BRANCH, M-PAWA,...? I hope kuna WASOMI wengi wataipitia hii habari so nategemea majbu yenu pia
ASANTE KWA UFAFANUZI🙇
Sawa wakili msomi 💪💪
Kwa sheria za Tanzania hutakiwi kumkopesha pesa au kitu chochote kaa na mali zako kuepusha presha
1.Does the Case Cited fulfill the Current Situation? 2. Je, kama ni Serikali inamdai mtu, hiyo principle ina apply? 3. Demarcation ya hiyo Principle ni ipi?
Nakuona wa darasa Msasa
Kama umelipenda koti la wakili na kuliona kama linavyoonekana na kupenda rafudhi ya mutu..mufungwa...mukazi...like
Hahaha ila!!!...Mutu..
Wewe umefundisha nini jamii, au kaz yako ni kukosoa!?
@@josephsalim3056 nimekosoa wapi? zaidi ya kupenda tu
Wakili you should've cited a recent case! 1960's case Je ina serve situation ya madai ya Sasa??
And I have a question ni vipi kuhusu DENI la Mitandao kama BRANCH, M-PAWA,...?
I hope kuna WASOMI wengi wataipitia hii habari so nategemea majbu yenu pia
Twataka kama hivi tujuwe sheria zetuuuu
*KAMA UMEELEWA ACHIA LIKE YAKO*