''KUSHINDWA KULIPA DENI SIO KOSA KISHERIA, UKIMFUNGA UTAHUDUMIA WEWE'' WAKILI THOMAS MSASA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 04. 2020

Komentáře • 13

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 Před 4 lety +3

    ASANTE KWA UFAFANUZI🙇

  • @aggreyenock1221
    @aggreyenock1221 Před 4 lety +2

    Sawa wakili msomi 💪💪

  • @pascalkasandakasela4541
    @pascalkasandakasela4541 Před 4 lety +3

    Kwa sheria za Tanzania hutakiwi kumkopesha pesa au kitu chochote kaa na mali zako kuepusha presha

  • @calvindunia3335
    @calvindunia3335 Před 4 lety +2

    1.Does the Case Cited fulfill the Current Situation? 2. Je, kama ni Serikali inamdai mtu, hiyo principle ina apply? 3. Demarcation ya hiyo Principle ni ipi?

  • @samanyaswai6272
    @samanyaswai6272 Před 3 lety

    Nakuona wa darasa Msasa

  • @doctorgames5011
    @doctorgames5011 Před 4 lety +7

    Kama umelipenda koti la wakili na kuliona kama linavyoonekana na kupenda rafudhi ya mutu..mufungwa...mukazi...like

  • @MiaTheLathini
    @MiaTheLathini Před 4 lety +1

    Wakili you should've cited a recent case! 1960's case Je ina serve situation ya madai ya Sasa??
    And I have a question ni vipi kuhusu DENI la Mitandao kama BRANCH, M-PAWA,...?
    I hope kuna WASOMI wengi wataipitia hii habari so nategemea majbu yenu pia

  • @bumbazladas4369
    @bumbazladas4369 Před 4 lety

    Twataka kama hivi tujuwe sheria zetuuuu

  • @mrbweichum
    @mrbweichum Před 4 lety +5

    *KAMA UMEELEWA ACHIA LIKE YAKO*