Je kwa mfano tumeelewana na mwenye nyumba kuwa niwe na mlipa kodi ya miezi mitatu ikaja ikafikia sehemu kodi yangu imeisha na nikawa sijaipata pesa lakini nikawa nina nia ya kumlipa je anahaki ya kunifukuza kwa mda huo
Inategemeana na mkataba kati ya mwajiri na mfanyakazi, kuna wajiri wanapangisha nyumba kwa mpangaji na analipa kodi kama wapangaji wa kawaida na kuna waajiri wengine wanatoa nyumba kama sehemu ya motisha kwa mfanyakazi na mfanyakazi halipi kodi, hapo hakuna uhusiano wa mpangishaji na mpangaji ila taratibu za kiofisi na sheria za ofisi husika hufuatwa.
Ninapo maliza mkataba siku hiyohiyo na Sina pesa nitapata ndani ya siku kumi au kumi natano wenye nyumba ananifungia ninlaflanyaje ? Na mwezi haujaisha
Je mfano mwenye nyumba akikupa notice kinyume na mkataba mfano mkataba unasema anatakiwa kukupa notice mwezi mmoja kabla sasa yeye anakupa zimebaki siku 13 naanadai atakiongeza mwezi Ila uomwezi nao niulipie je ikosawa
Somo ni zuri sana.
somo limeeleweka !
Je kwa mfano tumeelewana na mwenye nyumba kuwa niwe na mlipa kodi ya miezi mitatu ikaja ikafikia sehemu kodi yangu imeisha na nikawa sijaipata pesa lakini nikawa nina nia ya kumlipa je anahaki ya kunifukuza kwa mda huo
Hivi mtu anayekaa kwenye nyumba ya mwajiri, je naye ni mpangaji au aitweje?
Inategemeana na mkataba kati ya mwajiri na mfanyakazi, kuna wajiri wanapangisha nyumba kwa mpangaji na analipa kodi kama wapangaji wa kawaida na kuna waajiri wengine wanatoa nyumba kama sehemu ya motisha kwa mfanyakazi na mfanyakazi halipi kodi, hapo hakuna uhusiano wa mpangishaji na mpangaji ila taratibu za kiofisi na sheria za ofisi husika hufuatwa.
Ninapo maliza mkataba siku hiyohiyo na Sina pesa nitapata ndani ya siku kumi au kumi natano wenye nyumba ananifungia ninlaflanyaje ? Na mwezi haujaisha
Je mfano mwenye nyumba akikupa notice kinyume na mkataba mfano mkataba unasema anatakiwa kukupa notice mwezi mmoja kabla sasa yeye anakupa zimebaki siku 13 naanadai atakiongeza mwezi Ila uomwezi nao niulipie je ikosawa