Asante sana Mimi nilianza Biashara 2022 lakini nilikuwa sifanyi kwa Muendelezo na Kilicho nikwamisha ni kujahalalishia Visingizio Vyangu Mwenyewe Yaani naweza nikasema Mimi sio mvivu mbona kazi nyingine nafanya Lakini nikaja nikagundua kuwa kila mmoja anafanya kazi lakini watu wana tofaitiana kwenye Impact Yaani niliacha Biashara na kufocus na vitu vingine lakini nikijaribu kulinganisha impact nikagundua kuwa kama ningefocus na Biashara ningepata impact kubwa zaidi nimerudi kwenye Biashara yangu na kupitia mafunzo yako najifunza mambo Mengi sana Barikiwa 🙏🙏🙏😊
Asante sana Mimi nilianza Biashara 2022 lakini nilikuwa sifanyi kwa Muendelezo na Kilicho nikwamisha ni kujahalalishia Visingizio Vyangu Mwenyewe Yaani naweza nikasema Mimi sio mvivu mbona kazi nyingine nafanya Lakini nikaja nikagundua kuwa kila mmoja anafanya kazi lakini watu wana tofaitiana kwenye Impact Yaani niliacha Biashara na kufocus na vitu vingine lakini nikijaribu kulinganisha impact nikagundua kuwa kama ningefocus na Biashara ningepata impact kubwa zaidi nimerudi kwenye Biashara yangu na kupitia mafunzo yako najifunza mambo Mengi sana Barikiwa 🙏🙏🙏😊
Mungu akubariki sana nina mabadiliko makubwa sana tangu nimeanza kukusikiliza.ubarikiwe sana kaka
Mungu akujailie uishi muda mrefu
Good work
Goldilocks ✊🏆
After 2yrs nitakutafuta nikupe matokeo ya video zako kwang
Asante kaka Joel.... nimejifunza barikiwa sana
Kaka Joel Arthur nanauka Mwenyezimungu akubariki Sana Sana
Ameen Ameen
Mungu akupe umri mrefu sanaaa
Asante barikiwa
❤❤
❤❤❤ God bless you
Big up Sana kaka unafanya nzuri kazi zako
Amina
yahh nikweli kaka maisha haya msubiri mtu
Nakupend kak umenifungua xn 🎉
ASANTE MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏
kwa Sisi tulio mbali na dar tuweza kupata ata link ya kuona live
Kaka Joel tangu nimeanza kukufuatilia ninakuwa kifikra na kimang'amuzi sijapungukiwa kwakweli
MUNGU AZIDI kukufungua Zaid
Mungu atupe uzima tupoke Kwa baraka
Kaka Joel hv huwa unawakala mkoa wa mwanza maan nataka kitabu hardcopy
Ivi mkuu ukimaliza unapata na cheti kabsa kweny io top team academy au mikutano tu. @joelnanauka