Thank you sir....kiukweli nmeelewa vyema sana lakn vp kuhusu yale maono niliyokuwa nayo makubwa ..ndoto kubwa but till now sion namna ya kufikia nini nifanye niendelee kuona kuna wakati nitayafikia?...naamn jibu lako litakuwa msaada sana stay blessed
Kiukweli namshukuru Mungu kwa mengi kunawengine wagonjwa sana wapo mahututi ,mimi nimzima sina shida yoyote, kuna mwingine ana pesa ila anaishi kwa dawa ,Mungu Asante
Better something than nothing!!! Bro you make our life better always...unatufundisha mengi Sana hasa kutumia kidogo tulicho nacho kuliko kutokukitumia kabisa..... Mungu akupe nguvu daima.. Ur the best bro Joel 🥰
Hi bro. Mimi nachukuru Mungu sana kwa kunibariki kwa mambo ninayo,pia nachukuru hata sijapokea kuhusu maitaji yangu na ya familia yangu ila nini imani Mungu atanibariki navyo vyote bila shaka yoyote. Aksanti sana kwa mafundisho zako. Mungu akujalie kwa mema na nazingi zaidi tena.
Afadhali uchoke mwili kuliko kuruhusu akili ichoke na kukubali ku-settle for less .. Hiyo ndio inaitwa kufa kabisa kimaono na kusubir kuzikwa baada kufa kimwili... Never give up Asante sana Joel
KAKA YANGU DUMU KUBARIKIWA SANA,MIMI KUNA KIOINDI NILIJIONA NACHELEWA KUOLEWA ,TENA ILIFIKA HATUA NILIKATA TAMAA,KIUKWELI NILIPO AMUA KUMTANGULIZA MUNGU KWA SASA NINA PIGA HATUA NAAMINI KILAKITU KINA SABABU🙏
Siyu at the top ndafika kimafanikio tu
Waiting 😊🔥🔥🔥🔥🔥
Asante sana
Thank you sir....kiukweli nmeelewa vyema sana lakn vp kuhusu yale maono niliyokuwa nayo makubwa ..ndoto kubwa but till now sion namna ya kufikia nini nifanye niendelee kuona kuna wakati nitayafikia?...naamn jibu lako litakuwa msaada sana stay blessed
Asant kwa kunitia moyo
Kiukweli namshukuru Mungu kwa mengi kunawengine wagonjwa sana wapo mahututi ,mimi nimzima sina shida yoyote, kuna mwingine ana pesa ila anaishi kwa dawa ,Mungu Asante
Asante sana, kiukweli kuchelewa kupo Mimi mwenyewe Kuna maeneo naona nimechelewa lkn daima Huwa nasema wakati wa Mungu Huwa ni sahihi🙏🙏🙏🙏
Amen
Better something than nothing!!! Bro you make our life better always...unatufundisha mengi Sana hasa kutumia kidogo tulicho nacho kuliko kutokukitumia kabisa..... Mungu akupe nguvu daima.. Ur the best bro Joel 🥰
Asante sana kaka. umenigusasana ironapitiya mimi hapa umererenga asante kwamafunzo yako
Mwl nipo nafurahi sana kupata nafsi ya kukufaham wewe umenifanya kuanza kufikiria naninaona utofauti wa kufikiri
Namshukuru Mungu kwa kila kitu kwenye maisha yangu. Namuamini Mungu kwa vyote navyotamani kufanya au kuvifikia pia. Asante kaka🙏
Utukufu kwa MUNGU,
Winning from behind.... Hii ni kwa ajili yangu namshukuru MUNGU kwa ajili yako nimeongeza kitu kikubwa
Hi bro. Mimi nachukuru Mungu sana kwa kunibariki kwa mambo ninayo,pia nachukuru hata sijapokea kuhusu maitaji yangu na ya familia yangu ila nini imani Mungu atanibariki navyo vyote bila shaka yoyote. Aksanti sana kwa mafundisho zako. Mungu akujalie kwa mema na nazingi zaidi tena.
Nashukuru munghu kwamaisha ninayo pitiya japo sijakata tamaa.kwamata yatatu naanza maisha nikilala chini lakini sitakata tamaa najuwa nitainuka tena.asantemwalimu kwa mafunzo yako
119 minutes to go🎉💪🥳🥳🥳
ALMIGHTY GOD BLESS THIS MAN
Afadhali uchoke mwili kuliko kuruhusu akili ichoke na kukubali ku-settle for less ..
Hiyo ndio inaitwa kufa kabisa kimaono na kusubir kuzikwa baada kufa kimwili... Never give up
Asante sana Joel
Wewe ni nabii wa ulimwengu huu ongea kiongozi 🙏🙏🙏
AMEN
blessings sana blaza,,nimepata kitu early in the morning,I appreciate
Amen
Naumia kumfanyia mtu kazi nitajitahidi kuvumilia
Ubarikiwe sana kaka
Still blessed brother
Asante sana 🎉🎉
🙏🙏🙌🔥🔥🔥
🙏🏾🙏🏾
🎉
Bro mm mdau wako wa siku nyingi nakuku bali sana
🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥