KWA MARA YA KWANZA DIAMOND ATUONYESHA HOTEL YAKE/CHUMBA HADI CHUMBA/GHOROFA MBILI/SWIMMING POOL
Vložit
- čas přidán 26. 04. 2020
- #wasafi #wnews #diamondplatnumz
CEO wa WCB Wasafi na Wasafi Media Diamond Platnumz atuonyesha Hotel yake aliyoinunua Mikocheni,aongozana na Team ya Kipindi cha GoodMorning cha Wasafi Fm. Hotel yake ni balaaaa. - Zábava
Aise jamaa anaishi na wafanyakazi wake kama yy siyo boss safi sana chibu mungu akubaliki sana sana
Hahahahahahaaaa
MashaAllah umeona eeh
Ndonamanaa nampenda sna Diamond platinum
Ndio inavyotakiwa sio unaogopwa kama fisi
Jimmy busiliye aà
Mondy kuna vitu huwa unapatia sanaa... Hongera kwako kwa kuiunga mkono Serikari yetu chini ya Jemedari wetu 'JPM'.
Diamond, Mwenyezi Mungu akubariki mwanangu,wewe ni mfano wa kuigwa sana tu,kwa hilo, hio pesa umeitendea haki.
Watu kama hawa hotokea mala chache sana kwenye nchi
Diamond is Diamond
. .
You're my role model
Sema diamonddddddddd! Simbaaaaaaa! chibuuuuuu! Dangote! This is the meaning of star musician boy.
Mashallah mmung atakulipa kher
Nani kajua kwa Hoteli hii ya kifahari Simba kwa kweli anajua kujipanga..maendeleo duh.. nipe likes jameni👌👌👌👌
Wcb hua tunakupiga kwa vitendo tu basi Sio maneno diamond bwana nimtu tafauti sanaaaa mungu nipe moyo wa diamond like kama unamkubaliana nahili
Hii ni faida ya Ronaldo kuweka mambo yake hadhalani leo hii tunayaona tanzania hii ndio faida ya kuiga kwa mafanikio
Dah !!! Ukiletwa hapa eti upo kalantini siunapona ty kwa mazingira bila kutumia dawa yoyote , mungu akubaliki sana chibu.
Hongera sana Diamond platinum Allah akuzidishie mara 1000 zaidi ya hapo
Wangapi wana sapoti kwa hili alilo lifanya diamond hembu like nyingi hapo china na comment zakutosha 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
Kwer
Fundirama wakupaka rangi magari WakanaiTz
From congo D.R.C 🇨🇩🇨🇩🇨🇩Tuna kupa ongera sana mtoto waki maniema kwaku ji toleya allah akupe MWISHO mwema
Jambo la kheri Diamond Platinumz. Mungu akikujaalia wekeni vifaa vya I C U. Hapo utaokoa maisha zaidi. Ubarikiwe.
Mashaa Allah kaka Yang Allah akupe mwisho mwema inshaa Allah🇧🇮
Na tattoo nani atamfuta
Muhimu n kujutia n kutubu,Allah anampa mwisho mwema au mbaya anaemtaka,sisi n Dua tu so don't judge person Only God
Watakuelewa tu
Ali Omar kabisa
Atoe tatoo ndio apate mwisho mwema unajua ht malaikahaifiki kwani hana tohar hatamoja udhu piahauingii janaba ndio usisema la hamisa zari tanasha wema yote bado yamo
Maasha Allah Naseeb mwenyezi Mungu akuzidishiye kwenye umetowa mara millions 🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️
Waseme kiki iyoo madomo zege mondi Mungu akutangulie
Nassib hongera sana. Wacha wenye wivu wajinyonge to. MUNGU AKUPE KHERI ZAIDI.
Mashallah Mashallah M.mungu akupe kila la kheri na akuondolee kila zito ligeuke liwe Jepesi kweko Dimond
Ukifanya kheri M.mungu akuzidishie Kher ziada
Diamond Mungu akuzdshie tna saana Allah zd kumbarik diamond
Hapo kwenye kubarikiwa ungeongeza na jina langu ingependeza zaidi
Ucjal ubarkiewe upate wtt mapcha 3
Yussuph Kazumar jv
Na hela ya kuwalea!..ndo naongelea!...
H mama, kaka diva, na mbwa wote endeleeni kumuwaza diamond.
🤣washadedi huko
😂😂😂Kama nawaona wachawi wa maendeleo yake dogo,akina Diva,Mwijaku,H-jimama n.k.
Wanajidangnya na kusema uongo 🤣wanajfariji
H jimama
Kalufunyange Nyakinyungu Na Adam mchomvu
Diamondi usifikiri misaada yako mungu haoni angalia baraka za mwenyezi mungu vile zinakumiminikia ubarikiwe mondi ramadhani Kareem
amiin
Amiin
Barikiwa sana
HAHAHAHA aisee ndimu dah!! Sikumalizi..eti Charles asivunje mlango wa shower
Safi sana brother, mungu akupe moyo zaidi, Na uweze kutimiza malengo yako Insha Allah
Nassib hongera sana kwa kutoa msaada mkubwa sana kama huu Allah inshallah akupe moyo huu wa kusaidia watu Diamond💪💪💪
Blessings, it’s a beautiful hotel
Mungu akuongozee kaka d,,
Mungu akulinde na kukuzidishia moyo wa imani
Hongera sana chibu, kila la khery brother
Nice
ungera
Mond
Blessings Diamond!!!!!!!!🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kweli diamond ni baba lao nakuombea mungu akupe maisha marefu 1000000000 shida yako shida yangu, 🤝🤝🤝🙏🙏🙏🙏🙏
Gonga Like Hapa kwa Simba wa WCB
Wataweza kweli ?😆🤩we ni Baba lao wa 🇹🇿🙌😎💝💝
king silrver Tz
this is a true Definition of Diamond plutnumz.....May God bless our RR Musician.
Imana yigutangurie mwamba
God bless you diamond platnumz baba laoo 🙏❤❤
Simba
Mondi bin Laden
Dangote
Chibu
Baba nilan
Baba tee
Baba dylan
Baba naseeb junior
Baba lao
Diamond platnumz
Naseeb abdul
Heshima kwake km unamkubali kinoma like hapa
Umesahau:
Chibu
Baba Tee
Pmj
Icon true tanzanian boy God bleess u brooooo
Mond ukopoa sana mungu akuzidishie ww na ss na mm pia
Kaka. Mngu. Azidi. Kukupigania. Uzidi. Kusonga. Mbele. Endelea. Kujituma.
All the best May Jah bless you DPlatnumz 👍🏾👍🏾👍🏾
WCB chama laoooooo 😂😂😂💪 heshma kwa chibu kawa nyooooosha sn tena sn
Hongera Sana Ndugu, Naseeb,, Nimekubali Sana Uzalendo na Utu ulionao kwa Taifa Lako!
Chibu baba laoo🔥🔥mungu akuongoze kwa kila jambo🙏🙏
wewe ndio simba ww ndio diamond mungu akuzidishie daima
Daaaah sas sjui ni comment vp maaan nimesha zoe kupinga na kuamin ni kiki mda wot emb like kwng maaan sielew ni comment vip
haji platnum 😂😂😂
@@ramaccr7525 usichek ndugu ndio hvo unajua kuna watu kweny dunia hii ni wajinga sana tunapenda bisaha hata kitu cha wazi
@@darkplatnum9006 lol😂😂😂👌🔥
Kubali tu
Hahahahahaaa
Ana maendeleo
Big up Diamond
Naomba nichague jina tu.. iitwe PLATNUM HOTEL
Umesahau kuweka star💫hapo bro itanoga sana (PLATNUM STAR HOTEL)💰🔥🔥🔥🔥🙏
Plutnumss wekeza kwa vijana ktk kilimo na mifugo broo itawasaidia sana ila hapo pia ni big up
Mudrikk Abubakar upo sawa
Mi nko Germany Homburg Gleinchenburg, mnaweza like mkitaka kuwa kama Diamond
Na kwel Kikubwa Kumuomba Mungu tu
Hongera nyingi sana kwako
Proud to have someone like you in a country! Be blessed @Naseeb
Hongera sana Diamond Platnumz
Ongera bwana
Hongera sana brother simbaaaaa!!! Big up sana msanii wetu nomber one east africa
Shemaya Julius zembwela mazoezi muhim mwili umrmzidi boss hio noma
Corona ikiisha nakuja Dar, nikifika lazima nilale hapo nimchangie masikini mwenzangu D
Nakubali
safi sanda yetu mungu akuzidishie
Anaheshima sana anaita brother maulid
hiyo ndo sifa yake inayowapendeza wengi mana mpk wakubwa zake anawapa heshima zao awasalimia na kuwamkia
Na ndo inavotakiwa
Ndiyo maulid ni mfanyakazi wake ila ni kaka yake
Kabisa maana sio Jambo dogo uwe na pesa alaf ukakubali kujishusha anastail pongez
Mungu awe naye
Hongera sana brother chibu yr champ big ting 🔥🙌
Uo ndio mfano Mzuri Simba WCB Si +254 viongozi Wako na pesa nyingi lakini ulafi tu God bless ya bro
Diamond you are the fruitful tree!👌🔥🔥🔥🙌😍
Nimeona watu wakiongea negative kuhusu hili njengo but niwaambie kumiliki mjengo sio mchezo. iwe mbovu ama nzuri unawashinda wenye kukodisha. CONGRATULATIONS SIMBA!!!!!!
Salute kwako Nasibu, Maombi yangu kwa Mungu akuinue zaidi pamoja na uzao wako na akuzidishie moyo wa kuwasaidia wasiojiweza
Bless u dada
U look so wise and kind😍😍😍😭😇
Umenena kwahekima👌
@@iammusic3404 Asante my dia
Diamond jina lako halitasahaulika hata kama mungu akikuchukua ubarikiwe sana🙏🙏🙏🙏
In Lord's grace he'll not die now or then👌
Safi sana your inspiration for the young Tanzania and African HINAWEZEKANA hukifanya bidii ya kazi na plan nzuri na management ushauri mzuri wa maendeleo ¦a kumuomba mwenyezi mungu
Waooo diamond
Congrats diamond,God bless you
No.3 on trending now👌🔥🔥🔥🙌😍
H.Mama watching 😂😂😂😂😂
Ninapenda Diamond kutoka Ufaransa. Nadhani ni mtu mkubwa wa Afrika !
@bongo fox motivations Mimi ni kutoka kisiwa kidogo kinaitwa Martinique. Je unajua Martinique ?
@bongo fox motivations mii niko Paris wee uko sehemu gani
Mnakuaga waongo nyinyi shenzi sana
Mi nko Germany Homburg Gleinchenburg
Ufaransa ya buza😂
For the first time diamond bila body guard
Hao woote hapo ni mabodyguard tosha ha ha ha a
hairuhusiw mikusanyiko isiyokua ya lazma ssa hapo wote matajr nani ataiba cheni ya simba?
Hataki ushamba huo wa harmonize
Bodyguard diamond sio kwamba analindwa mda mwingine ni ubishooo tu na kuwapa vijana ajira
So what
Congratulations Mr.Nasib Abdul.
ALLAH akufanyie wapesi uende mbele zaidi.
Nyc simbaaa mashaAllah ♥️
Diamond platnum nimemshuhudia anaanza hadi anajua mkubwa!! Kweli nawaelewa kwa nini watu wanamchukia!
Mimi simchukii,Kuna wenye wanamchukia
Mmmh usimlazimishe mtu ampende mond hajui kumchukia kwake ndiyo mafanikio ya mond hawajui hao tokea wameanza kumchukia jeee kashuka kateremka kateleza heee hamuwachii ebuuu muacheni mtt wa mwenzenu
Double n Gear hao niwajinga tu
Namkubari Sana Diamond, Na nina jifunza vingi kutoka kwake, kiukwel kwa sisi vijana tuna vingi vya kujifunza kwake, MUNGU ampe maisha marefu, Tanzânia inanufaika na uwepo wake, saluti broh .
Umeona ee!😭😭😭😍
Mwangaruka👌😂😂😂😍
kama mtu aliye anza Chini ana haki ya kupongezwa, wasaniii wengine waliishia kupata majina tu, leo wapo hawana kitu, lkn DIAMOND ametendea kazi kipaji chake, naamini Ata Mimi ninanufaika na uwepo wake, maana nyimbo zake, na wasanii wa lebo yake WCB wananikosha Sana, broh ata akiweza kununua TANZANIA anunue tu 🙌🙌🙌👅👅👅👅
Asee 😱no.2 on trending now👌🔥🔥🔥🙌😍
big up
Kama umeona Uzaman utatolewa alafu unashangaa gonga like
Huyo ndio mond
😂😂😂😂😂😂😂😂 yaani natamani anipe hivyo vinavyotolewa
Inaenda kiusasa zaidi...
Well
🤣🤣🤣
Big up diamond God bless you 🙏🇱🇷🇰🇪
This diamond ez blessed
w
SIMBA WORLDWIDE
Mungu akuzidishie be blessed🙏🙏
Mungu atakulipa asate sana kk
safi san brooo mungu aku baliki
Mwenyezi mungu akuzidishie Diamond
Its great point, Afraid To Turn Back,Yes
Safi sana simba nakukubali sana kama nawe unamkubari gonga like apa
Simba weeeee, aaaaaahh, Simbaaaaa, Natamani nikuone walau tuzungumze
Juma Selemani v
Kama unamkubali CHIBU GONGA LIKE!!!!
Ukweli unajuaga kufanya vtu vya tofauti Diamond Mungu akuzdishie ucku na mchana.
Da!! ,hongera Diamond.maisha ya watu wengine nayaona kama naota kiukweli.bidii zoooote nafanya sisongi mbele.meishiwa Mtaji sina,Kodi sna.baada ya mwez 1 hapa Ama zangu ama za mwenye nyumba. MUNGU NILIKUKOSEA WAPI JEHOVAH???
NIP NJIA NA MIMI MUNGU.
nazeeka Sna kituuu!!!!
YaaAllah mumgu atakusaidiya inshaaAllah
Ndio maana vischana kama kina tanasha na hamisa vinajifolisha in love mashallah umebarikiwa
Kama rahisi hivyo nenda na ww,,,,,kajifolishe,,,,na bado watapita wengii kwa Diamond hivyo endelea kuorodhesha majina
siriel samweli hahahaaa umeona ee
Co kujjpendz ww
Co kujjpendz ww
Safiiii ASE master
Boss mzungu mpk wafanyakazi wako wana enjoy kabisa
Hassani Othmani kabisa
Ana roho nyeupe
Allah bless you Diamond everytym and everywhere you go
Hongera sana ubarikiwe Sana diamond 👏👏👏
vita zisizo za maana, kasema boss......salaam ziwaendee wakina h.mama ,vigagula
Jaman narud tz tafadhar mniweke quarantine kwenye hotel hii ya chibu 😂😂😂😂nipo chini ya miguu yenu
🤣🤣🤣
@@alexmbangwa1120 hhhh
Ha haha has Rudi tunakupokea
Kaaaaaaaa
@subrynery Segerow..hata mimi naishi zenji ila ntashuka dar😂😂😂😂😂
Mungu akubarik kaka yang diamond akujaaliee uwe na moyo uwo uwo mpk mwisho wako
Kaka duuuuuuh.. wew Ni noumaaa yaaaani... Unajua kuwapa presha... Watu Mungu akuongoze Machallah...🙏🙏
Mungu ni Mungu tu,,,,!!! Ameamua kumtumia Diamond Platinum kuonyesha upendo kwa watanzania haijalishi imani aliyo nayo hakika kwa hili huyu msanii atazidi kufanikiwa maishani mwake kwa uweza wa Mungu.
MASHALLAH
Hakika umefanya jambo LA baraka sana! hivyo basis mungu akuzidishie sana hasa msimu huu wa funga ya ramadhani, kama unaungana na Mimi kuwa diamond baba lao abarikiwe gonga like hapa sasaivi
Amen!🙏😍
Hongera sana
I don't expect D to read this- but I hope he's got the idea of expanding some rooms by knocking down some walls to make them more pacious...
More respect Lion👊 gonga like ukimkubali Naseeb
Masha Allah hongera Sana safi sn mungu kuongezee zaidi na zaid
Hongera Diamond kila la kheri
Congratulations Bro. God bless you even more 🙌.
You inspire me a lot. Inshallah 🙏
mashallah diamond platnumz Allah yupo na wey
Kazi yarangi Jamani
Maa Shaa Allaah Jazakallaah fiq jannat naim
Ngoja tusubiri H-baba atasemaje😅😂😂😆
Big up mzee baba platinum oyooooooooo