UTAJIRI wa DIAMOND watajwa,ni TISHIO! Kumiliki Kisiwa,Hotel pamoja na kuingiza pesa nyingi kwa mwezi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #diamondplatnumz
    Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 336

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před rokem +19

    #Diamond ana vitu vingi sana ila anaogopa sana kuviweka wazi maana yy TRA ni mafuta na maji...anaogopa kuweka vitu vyake wazi asije kuwekewa kesi za utakatishaji fedha na kukwepa kodi,Tanzania ukiweka sana vitu wazi inakula kwako.

  • @FestoReonadi-kq8kp
    @FestoReonadi-kq8kp Před rokem +49

    Ujue maisha simchezo wakuigiza jamaa kajituma bgup kwake mungu ndo kaamua

  • @kadito-o3j
    @kadito-o3j Před rokem +58

    Nipeni maua yake nimpelekee kwa njia ya likes 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 Před rokem +32

    Diamond platnumz 👑👑

  • @itNeza
    @itNeza Před rokem +25

    Msani pekee Tz, wengine nambari 100 😂❤

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před rokem +15

    Nyumba ni kweli kabisa anazo nyingi

  • @khashirjuma3612
    @khashirjuma3612 Před rokem +23

    Simba 🔥🔥🔥🌐

  • @Elite_Edits001
    @Elite_Edits001 Před rokem +24

    Nawapenda sana Vijana wa SNS, my favourite!!! Big up show haina jina, mimi naiita Boro ezanga kombo!!! 😂😂😂

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před rokem +23

    Apo kutakua WASAFI TOWER alafu hajatambulisha KASRI LAKE, kuna WASAFI AIR inakuja sema watu wana hela.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před rokem +1

      @@philemonmagesa5548 Sawa mbunge MAGESA

  • @rojathedonmakumbi923
    @rojathedonmakumbi923 Před rokem +9

    Siwezi kushangaa huyo ni simba 🦁

  • @Ecmboys
    @Ecmboys Před rokem +15

    Diamond ni boss

  • @saidimussa6979
    @saidimussa6979 Před rokem +38

    Hilo halipingiki Simba ni namba moja kwa kila kitu kwa wasanii hapa East Africa

    • @diamondplatnumz.148kviews5
      @diamondplatnumz.148kviews5 Před rokem +5

      Na kati

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 Před rokem +3

      Uongo uongo😂😂😂

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 Před rokem +2

      Kwa Tz sio EastAfrica kuna kina Bobiwine na Bebe cool Jose Chameleon Uganda emu wafatilie na hao kwanza

    • @barakabahati6600
      @barakabahati6600 Před rokem

      ​@@zanzibarboyzanzibar509 chameleon anahela kibao alianzaga music 1999 😂

    • @Sean1877
      @Sean1877 Před rokem +6

      @@zanzibarboyzanzibar509 Bobbywine anathanani ya dollar million 7 , Jose Chamelion ana dollar million 6.. Diamond ana dollar million 12.

  • @nunumgombewa5190
    @nunumgombewa5190 Před rokem +2

    Hongera zake sana diamond platinums kwa mafanikio hayo mi nishabiki wake toka alvyoanza mpaka leo hii nampenda sana na ninafurahia mafanikio yake

  • @andriessegotsane
    @andriessegotsane Před rokem +12

    Jamaani mondi anapesa nyingi tu from27

  • @esperancenathali
    @esperancenathali Před rokem +15

    😂😂😂🤣🤣🤣 show ahina jina jina nzuri hiyo❤

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před rokem +21

    Hongera sana Simba ni haki unajituma Sana❤️❤️❤️

  • @mussanchimani4839
    @mussanchimani4839 Před rokem +20

    Leo Wakwanza jamani Nipeni like zangu

  • @thepenatech5102
    @thepenatech5102 Před rokem +39

    Hapo Bado hamjaweka Spotify, Apple Music 😂😂😂😂 na huko Kuna pesa kuliko CZcams

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 Před rokem +2

      Spotify hana streams nyingi. Na hili kampuni inajulikana kuwaibia pesa wasanii.

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 Před rokem

      ​@@nightwishisthegreatestband6355 kuna boomplay,apple,spotify,audio mark jamaa anaingiza pesa ndefu...mim nina iman hivo alivyoweka hapo ni sehem ndogo sana ya utajir wake...nani kakwambia hana stream nying spotify? Yey ndo msanii anayeongoza kila platform hapa east africa

  • @ibraheemyacoub4390
    @ibraheemyacoub4390 Před rokem +24

    Pesa sabuni ya roho🙌

  • @abubakarikasamwa5792
    @abubakarikasamwa5792 Před rokem +6

    Nawakubali sanaaa sns

  • @misanamohamedi8438
    @misanamohamedi8438 Před rokem +6

    Chibu ni boss ,sema tu watu hawaoni

  • @kandeidephonse
    @kandeidephonse Před rokem +7

    Simba anaweza sana wengine feki tu

  • @mustaphamatelefone-lc9pr

    Saluti kwa Simba🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před rokem +6

    Big up sana show show

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 Před rokem +18

    Nyumba anazo zaidi ya kumi 11..

  • @ReaganHaule-li9qs
    @ReaganHaule-li9qs Před rokem +8

    Msisahau na zile nyumba mbili za S.A

  • @vumbakingvumbaking9571
    @vumbakingvumbaking9571 Před rokem +8

    🤴🦁 Simba in terms of 💶💸💴💸

  • @majatzofficialmusic
    @majatzofficialmusic Před rokem +5

    Mm nayitaa iyo shoo ukweli na uhakika tu ❤

  • @mikenafro9393
    @mikenafro9393 Před rokem +2

    Simba anapambana sana...so he deserves all that and more......big up to Simba!!

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Před rokem +2

    AYA MWIGULU NCHEMBA SASA KAZI KWAKO KACHUKUE KODI

  • @godymaster8727
    @godymaster8727 Před rokem +4

    Tanzania nomaaaa

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Před rokem +4

    Hii irudiwe 😂😂😂😂😂c kweli I don't want peace I want problem

  • @stevenchenga1978
    @stevenchenga1978 Před rokem +12

    Afu Kuna mmakonde anamiliki visiwa vya mademu wenye matako makubwa nyieee😅😅😅😅😅

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před rokem

      Wewe unamiliki nini wewe na ukoo wenu hamna hata robo ya hela ambayo anamiliki hamonize

    • @saidabdulkadirmjahid8255
      @saidabdulkadirmjahid8255 Před rokem

      😂😂kisiwa Cha Tako

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před rokem

      @@saidabdulkadirmjahid8255 Hawa ni wapumbavu Sana nahisi watakua hawajui maana ya kisiwa eti mondi anamiliki kisiwa

    • @babiddi8620
      @babiddi8620 Před rokem

      Kisiwa cha zuchu na kuna baadhi ya watu uleuongo ndowanaoupenda

    • @PrinceBonnyTz8
      @PrinceBonnyTz8 Před rokem

      Mfano Kajala nyika😅😅

  • @muhamedabubakali7256
    @muhamedabubakali7256 Před rokem +1

    Kwel yule nisimba mwache apige ela❤

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před rokem +4

    NDIYO MUONE SASA
    MAANA KUNA WAJINGA WAJINGA
    WA KIKENYA WANAOJALIBU KUTUIGA
    WABONGO KUONGEA UPUUZI KWENYE
    MITANDAO

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před rokem +10

    Kondeboi😅 anamiliki kisiwa cha matako ya wadada wa hovyo…kajala nk.

  • @yahyakiomone8792
    @yahyakiomone8792 Před rokem +3

    What is the name of the hotel in order to make a booking The building at Mikocheni is not even complete .

  • @ibrahimkhamis3324
    @ibrahimkhamis3324 Před rokem +18

    Alafu Kuna kijitu kinajisema ety kina hela Kenya 😆😆😆

  • @JacobUster
    @JacobUster Před rokem +1

    he deserve it n he knows what he's doing

  • @falialawelole565
    @falialawelole565 Před rokem +4

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @feroozrajab4391
    @feroozrajab4391 Před rokem +14

    Mbona sasa wasio mpenda wanasema hana kitu? Cha ajabu wengini hujaribu hata kumpachika kajina yasio na maadili.

    • @wakunatahafai1969
      @wakunatahafai1969 Před rokem

      Kama yule Muha alieowa Mombasa ni vijembe tu anamiliki jiulize kwanza mtu anaowa Mombasa si mchezo kajaa roho mbaya husuda 1000000000000 senge sana yule🖕

    • @StephanoMashavu-mw2ij
      @StephanoMashavu-mw2ij Před rokem

      ​@@wakunatahafai1969 haaahaaa

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Před rokem

      ​@@wakunatahafai1969 kwakwel jamii ya watu wa Mombasa yaani ni vjembe husda roho mbaya ukikaa vbaya kurogana 😂 Aah niliwai Kukaa nao hawa watu hunidanganyi kitu Hadi kikaama nyumba kwa kukimbia na ilikuwahataki niame dah😅

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Před rokem +2

    Kuna watu watabisha tu ili mradi maana wanataka atajwe ally kiba ama harmonize yaani bongo uchawi uchawi tu.

  • @princehans8346
    @princehans8346 Před rokem +3

    kenye swala la nyumba masamaki alikua na nyumba zaid ya 100 mjini shida sio nyumba shida ni nyumba za aina gani nyumba za million20 sio kitu

  • @jayomarion8183
    @jayomarion8183 Před rokem +7

    Zanzibar hawauzagi visiwa bro..mm nafanya kazi kwenye moja ya kisiwa na wazungu wanapipa Kodi ya 3.6billions bro,..so akiwa kakodi kisiwa hicho naeza kukiamini

    • @wakunatahafai1969
      @wakunatahafai1969 Před rokem +1

      Si ajabu ukawa ndo labour katka kisiwa chake 😂😂😂

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 Před rokem +1

      Mzungu kupewa umiliki ni kazi tofaut na mbongo bro 🤣

    • @bwanabrainex433
      @bwanabrainex433 Před rokem +1

      Kabsa serikal yetu inaakil haiwez kuuza kisiwa Znz maan znz yenyew inakuja kuja bado

    • @zeelakukomesha3653
      @zeelakukomesha3653 Před rokem +1

      Zanzibar mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi ndio maan wanawatumia mabeach boy kumiliki maeneo

    • @jayomarion8183
      @jayomarion8183 Před rokem

      @@wakunatahafai1969 ahahahah kweli lakin hajanunua hapa kakodi tu na analipa 3bilions na something

  • @sadickoyuyo6591
    @sadickoyuyo6591 Před rokem

    Itakwa sawa kama ningewarekebisha ikija upended wa East Africa we must respect Bobi Wine interms of wealth

  • @mtetezimbeki7539
    @mtetezimbeki7539 Před rokem +2

    Hotels anayo mana ilisha onekana kwaiyo ahina hofu mana uwezi kutowa nyumba isiyo yako kwa ajii ya Corona

  • @DamawaMwamba-kj8kg
    @DamawaMwamba-kj8kg Před rokem

    Mpeni maua yake 🌹🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Kibasumba02
    @Kibasumba02 Před rokem +4

    Sadala anadanganya hana kitu

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 Před rokem

      Una umia ukiwa wapi kipenz

    • @mubuyafrancis3979
      @mubuyafrancis3979 Před rokem

      Kwahiyo unateseka tu 😂😂 yani kuskia tu Diamond 💎 anapesa bro😂😂. Inabidi Ukajitundike tu ili usi skie Ivi vitu vya Platinumz bro😂😂

  • @user-dv5gd6xq8f
    @user-dv5gd6xq8f Před rokem +23

    Nyumba 11 ?naona ni ndogo sana kwa platnumz .I believe this guys got double the number mentioned

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před rokem +1

      Fact

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 Před rokem +1

      Inategemea ni nyumba gani ndugu yangu,kuna boss mmoja yuko mji flan hivi ana ghorofa 10 na kila ghorofa lina vyumba zaidi ya 100😢 ebu jiulize hio pesa.

    • @benahdesigner
      @benahdesigner Před rokem

      Ndogo

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před rokem +1

      @@patrickmukundichalamila3038 kuna watu wanahela hapa tz Ila wengine makerere tu mtu akijenga kinyumba Cha hela kidogo makelele kibao mondi ananyumba nyingi Cha kushangaza amepanga inamaana hizo nyumba hazina hazi ya kukaa yeye wenzo pale marekani msanii anatumia mabilioni ya hela kujenga au kununua nyumba ambazo wanaishi mfano Rick Ross nyumba yake bilion 44 tuache kiki za kijinga maisha ya mtu ni fumbo na Siri kubwa

    • @rusakanyohenry6932
      @rusakanyohenry6932 Před rokem +1

      ​@@rashidyally8715 sawa amepanga sababu nyumba zake hazina hadhi lkn Ni zake na kwa uwezo wake na familia yake tunaweza kusema anahela

  • @JulienNgoy-ng4nd
    @JulienNgoy-ng4nd Před rokem +2

    Acheni kukariri vitu mnafikiri kumiliki kisiwa ni mchezo. Aache uongo bhana

  • @ErcilioFrederickManjate

    My favourite song Mr diamond 💎

  • @saulielisha9729
    @saulielisha9729 Před rokem +3

    Vitu vijioneshe hicho kisiwa ni kisiwa gani ambacho, ata kukitaja ajawahai kukitaja mwenyew na sifa alizo nazo, pesa anayo but aache uongo vingi ni vya kushere

  • @shaqirwayne6029
    @shaqirwayne6029 Před rokem +3

    ❤❤❤❤

  • @hamishalidy5696
    @hamishalidy5696 Před rokem +4

    Simba Simba nimfano was kuigwa kwa wore wanaopambana kujinasua na umaskin

  • @alisalum2023
    @alisalum2023 Před rokem +2

    Kununua kisiwa kwa Zanzibar sio kweli labda fukwe

  • @juliusmethod6380
    @juliusmethod6380 Před rokem

    mmi nna jiko la gass kitanda na godoro ddoma sofa la watu wawil frij tv32inch laptop zulia kabat mbili la nguo na vyombo viatu pear3 kwa mwez naingiza laki4 nimepanga kwa mzee Ngunde alaf kiwanja ntannuliwa nikifa kidogo tuuu cha kunitosha kulla mille🤣😂😅

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz Před rokem +1

    Jamaa kaukuza muziki wa tanzania namkubari sana simba

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před rokem +4

    *The nameless show* or *The nameless talk*

  • @mathewikobwo9862
    @mathewikobwo9862 Před rokem +2

    The Nameless show (TNS) nimewapa jina

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Před rokem +1

    Matangazo hayo

  • @strong8534
    @strong8534 Před rokem

    Jux has cash too boys

  • @neemaapolo-lc6ts
    @neemaapolo-lc6ts Před rokem +1

    Jame tuweni wa kweli ndg zangu kwenye ukweli daymond iyo pesa kumiliki utajiri kama uhuuooo apana sikubali apo gadangya sana

  • @jozidasuperior7257
    @jozidasuperior7257 Před rokem +4

    Mje na kwangu tupige mahesabu

  • @sabraomar6604
    @sabraomar6604 Před rokem +4

    Naomba na mm pesa jamni😢

  • @lukasmnyethi5903
    @lukasmnyethi5903 Před rokem +3

    Acheni uongo nyumba ziko wapi

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem +2

    Kaka please malipo selekalini kutokea kwake anapatikana Africa akon na dj sub ndio waripa coli sanaa

  • @ray45king84
    @ray45king84 Před rokem +1

    TRA wamefurahi sana leo

  • @loicebaraza
    @loicebaraza Před rokem +2

    He deserves that and more,he's a hardworking guy,A boy from Tandale

  • @Igauf3
    @Igauf3 Před rokem +1

    CZcams numbers could have been more, if his residence was in USA. Algorithm could have favored him.

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 Před rokem +4

    Hapo kwenye show wamekurupuka kwa upande wa Zanzibar concerts zake analipwa dolla elfu 20 na kishafanya concerts mbili kendwa Rocks, kuhusu Kisiwa Zanzibar huwezi kupata Kisiwa kwa dolla laki 7 mana Kisiwa kinaanza na dolla Milion 3 kwenda 4 wajaribu kufanya research again mana dolla laki 7 kwa Zanzibar unanunua land tu tena sio beach safi

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 Před rokem +1

      Una umia ukiwa wapi kipenz

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 Před rokem

      @@salimalaquimane3077 Niumie for what sasa? I’m not even musician nyie kawaida yenu kila Mtu akubaliane na Mitazamo yenu, naumia nikiwa Zanzibar Ndugu 😂😂

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 Před rokem +2

      ​​@@zanzibarboyzanzibar509 acha kukurupuka hiyo pesa anayolipwa ni show za nje..show za ndan hauna uwezo wa kumlipa anakuja kushow love tu

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem +4

    SIO TAJIRI,,ANAJIWEZA

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 Před rokem

      Una umia ukiwa wapi kipenz

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 Před rokem

      @@salimalaquimane3077 UTABURUZWA IVO IVO POLE MNO

    • @mubuyafrancis3979
      @mubuyafrancis3979 Před rokem

      Mbona yeye kirasiku.kwanin awachek wasanii wengine watznia?Ina maana kwer jamaa pesa anayo.Kwahiyo Kama una umia kuhusu Diamond nenda Ukajitundike kamba ufe tu😂😂😂

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 Před rokem

      UNACHOAMINI WEWE USILAZIMISHE NA MWENZIO AAMINI,,NDOMANA KILA KIUMBE KIKAPEWA UWEZO WAKE WA KUFIKIRI,,,WE UNAKUBAL ME NMESEMA HAPAN,,SHIDA NIN

    • @mubuyafrancis3979
      @mubuyafrancis3979 Před rokem

      Kama ulikuw unajuw utasem hapana Kwanini ujibu sasa?si ungekaa tu Kimya no comment yako ??Kwani vilikuw Vina kuhusu Mpaka ujibu hapana🤣🤣.Watu wengine mnajichosha Mjue

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Před rokem +5

    Waandishi gani hamjui kisiwa na Hotel anazomiliki acheni ujinga

    • @bwanabrainex433
      @bwanabrainex433 Před rokem +1

      Kweny comments zte ww ndio umeandk cha maan

    • @ianjohn797
      @ianjohn797 Před rokem +1

      ​@@bwanabrainex433 vitu tunaangalia wengine tunashindwa kucomment😅😅 ATI kisiwa kwani yeye ni Ronaldo

  • @user-uo6dy9qx2p
    @user-uo6dy9qx2p Před 3 měsíci +1

    Mm.raisi wabadae.sijauzakisiwa.muogo😂

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Před rokem +3

    Ya Kweli haya 😂yasije kuwa ya kanumba

    • @muryd6999
      @muryd6999 Před rokem

      Mhhh !

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 Před rokem

      Ila nyiny wabongo hamna akili yan mtu unauliza ya kweli hayo wqkati unamuona msanii anamiliki vitu vya pesa ndefu sana kama magar ya kifahar zaid 8, ana endorsement na pepsi na makampun mengine, ana redio stations...ndio msanii mwenye stream nyingi u tube kwa africa mwa jangwa la sahara lkn pia ana streams nyingi spotify,boomplay,audiomark,apple music, n.k then unakuja unamfananisha na kanumba kweli?? Kwelii??? Wabongo akili hatuna..au ukisikia streams unajua ni ufahari tu...streams ni pesa...money

  • @mariammganga4301
    @mariammganga4301 Před rokem

    Wewe daimondi ni tajiri sana huna wakulinganisha, ila nilikuomba gari tu sijaona najibu

  • @rashidigaston3274
    @rashidigaston3274 Před rokem

    Wali saabu wasafi bet

  • @rasta50289
    @rasta50289 Před rokem +2

    Hey, he deserves it ❣️🏀✌️

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem

    Kaka following sio mchong msani tajili Africa ni Lisundu America Msani tajili P DDY au JAY Z angalia follows wake na wa Chris brown au Justin beby

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem +1

    Kaka ukileta baba levo anakwambia ananyumba 125

  • @user-nd2cx6bh3v
    @user-nd2cx6bh3v Před 10 měsíci

    Baada ya kwamba ninyi ndo mtoa tarifa za watanzania ili media za naijeria zichukue kwenu ninyi ndo mnachukua kwao😅😅😅😅

  • @johnhanga-dp9ck
    @johnhanga-dp9ck Před rokem

    Mondi aliwai kusema wanaigeria hawamzidi hela wao wanawza kununua vitu vya mapito ila yeye anawaza kuwekeza watu hawakumuelew

  • @dunkchainz7237
    @dunkchainz7237 Před rokem

    Illusions

  • @anasdahir4537
    @anasdahir4537 Před rokem +2

    ATI ANACHARGE SHOW PESA NGAP NA AIMBE NINI HANA NGOMA YA KUIMBA STEJINI

  • @adammadogo
    @adammadogo Před rokem

    Jamaa anamkwanja

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Před rokem +1

    Izi nyumba za Sauzi nyi mwaona mchezo eti

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před rokem

    Sky kakimbia

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar5695 Před rokem +4

    ❤🙌🙌🙌🙌

  • @frorenceetoile3016
    @frorenceetoile3016 Před rokem +1

    Eti aowe mali zote izo anaowaje kwa mufano?

  • @OmanOman-ry5gw
    @OmanOman-ry5gw Před rokem +6

    Kisiwa ikisha znz 😂😂😂 tuambiane kisiwa gani tumbatuu au pemba

    • @mohdchuma78
      @mohdchuma78 Před rokem +1

      😂

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 Před rokem +1

      Wamekurupuka Zanzibar Kisiwa kinaanza na dolla Milion 3 mbaka 4 na kupanda Juu

    • @OmanOman-ry5gw
      @OmanOman-ry5gw Před rokem

      @@zanzibarboyzanzibar509 aa po umempenda kisiwa gan diamond kaswaend kuwadangany wa naija muhun san sio pow ww jiulz kiswa gan

    • @janerouhassanjanerou7933
      @janerouhassanjanerou7933 Před rokem

      ​@@OmanOman-ry5gw kanunua plot tu ambayo inaangalia bahari lakini sio kisiwa

    • @OmanOman-ry5gw
      @OmanOman-ry5gw Před rokem

      @@janerouhassanjanerou7933 uyo muongo sasa kwnn akawadangany weziwe

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Před rokem +3

    Kwenye hoteli na kisiwa tumepigwa

  • @user-kn6cu3zp5f
    @user-kn6cu3zp5f Před rokem

    Nivtu vinying 2

  • @SaideChomar-fu5jq
    @SaideChomar-fu5jq Před rokem

    Laminauanapesa anafanakazi kuimba nicazi

  • @edithajonh2970
    @edithajonh2970 Před rokem

    Acheni uongo wenu jinga kwel msani tajili tz ni akiba sematu hanaga maonesho

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem

    Nmh sisi wenyewe bongo hatuzijui izo nyumba jmn

  • @babiddi8620
    @babiddi8620 Před rokem +1

    Kisiwa cha zuchu

  • @jumajux730
    @jumajux730 Před rokem +13

    Jitahidini mtupe news zauhakika musiji kupoteza jammi kutokana nyinyi niwa Tanzania kwaiyo bado tunangoja tujuwe kwanini jama bado anapanga

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před rokem +2

    Bado wamesahau record label wcb wasafi

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 Před rokem +2

      Wakina kusaga ndo wenye hisa kubwa wcb. Diamond is just the face, nikimaanisha uso wake wanautumia kuuzia hiyo kampuni.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +1

    Tunampa maua yake 🙏🌹🌹🌹🌹

  • @kelementbushishi3687
    @kelementbushishi3687 Před rokem

    Simba🙌🙌🙌

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Před rokem +1

    Kumekucha 😂😂😂