Video není dostupné.
Omlouváme se.
KEKI UNGA NUSU KILO/CAKE RECIPE 500G FLOUR
Vložit
- čas přidán 5. 08. 2024
- Ingredients/Mahitaji
Flour/Unga 1/2kg 500g
Sukari/Sugar 1/4kg/250g
Margarine/siagi 300g
Eggs/mayai 8
Milk/Maziwa 1/2 cup
Baking Powder 1Tbsp
Flavour/Ladha 1tsp
Baking Tin/Sufuria 10"size
Temperature 170°c for 1hour
Oka kwa Moto Wa 170°c Kwa Lisaa
Fuatilia Kila Hatua Ndani Ya Video Kwa Matokeo Mazuri Ya Keki Yako.
Karibu Sana Mziwanda Bakers
instagram:mziwanda_bakers
Kwa Mahitaji Ya Vifaa
WhatsApp 0768859358
Instagram:mziwanda_tools
Asante sna mwl mzr unafundisha taratiiiibu watu wanaelewa,nzr sn barikiwa❤
Ahsante dada imetoka vizuri kweli kwel
Masha allah nimeelewa vizuri na naiona ni nzuri
My dear nimepika leo daaahhh imetoka nzuri saaaan shukran 😘
Wow nimebake imetoka vizurii sana
Hongera kwa somo nzuri la kutengeza keki
Kazi nzuri dear nimekuelewa.
Ngoja nijaribu so nice
Kazi nzuri dear
Shukran sana madam
ahsante sana daa ,nimependa
Asante nitajaribu na kukupa mrejesho
Mashaallah
Dada hongera kwa kazi nzur samahani naomba vipimo sijaviona
Ubarikiwe Sana Sana SoMo linaeleweka vizuri mno
Thanks for sharing
Asante Dada angu nimejaribu jamaaani nimeambiwa nimeweza na walioonja
Nimekuwa nikichanganikiwa thanks a lot my Dear.
Ma Shaa Allah..
MashaaAllha
I really i like it,i have to try these,thanks for shareing.
Karibu
Hii ukipamba unauza beigan
Dada hongera kwa kazi nzur darasa lako ni lini na lin mimi ni mgeni napenda kujifunza
Hongera
Asante sana dada nimejaribu hiyo keki imetoka vzr sana .naomba utuwekee na ya kilo🙏
Sawa dear
Nzr sannaa maadam
Asante sana sijaona vipimo
Nawapenda sana❤
Maelekezo ni mazuri sana nitajalibu
Na kufatiriya san nikiwa burundi🇧🇮ipo siku mojatu nitaanza iyi byashara juu nafurahiya san Asante dd yangu
Karibu sana dada
Ahsante, mimi nimepata jibu kwann keki yangu inakuwa na mafuta mengi, Allah bariq
Amiin
Thanx madam
Nice cake
Yammy😋 but naomba kujua uli pre heat kwa muda gani na moto wa kiasi gani??
Hongera na mm ntajaribu
Shukran 🙏
Nimetengeneza cake nzuuuri asante sanaaa kipenzi chetu ,,,ila kupamba ndo zilo😅😅😅
Safi
Asante habity napenda sana vipimo va grms
Dadadarasalakonilininapendakujifunza
Asante sana
Good
Very nice, Simple but classic
Nakuelewa sana aunt yangu
So sweet
Mashaallah
Nice
Nashukuru kwa somo Ila mbona natafuta vipimo sivioni
Dada cake zako nzuri nimejaribu asante sana😊
Hongera sana
Can you help me with a video of a half kg cake while using cake gel
Masha'ALLAH 😋😋😋😋
😋😋
Mashine ya cake bei ngni
Nipigie nauza vifaa vya cake
Hello Mziwanda bakery nina swali hili. Keki ya 8 nchi moto 170 na keki ya 8 nchi moto 170 inakuwaje? Au ni aina ya oven? Aksante.
Asante sana nilijaribu recipe ya tin inch 6 keki ilitoka vizuri sana
Hongera dear
Tin inch inapik keki kias gn
6
Habari Asante kwamafunzo uwa napika Kila siku cake inmprov lakini Leo naona km aipo SW mpenzi sijui nimekosea wapi mpaka Jana nimepika
Dada kwa mfano nikitaka ya kupika ya kuuza yaan nakata vipande inawahi kuharibika kwa sababu ya maziwa?
Thank you dear🙏
Jamni sijaona vipimo vya unganusu
Shukran Sana nilikuwa nalisubir hili darasa, badala ya maziwa kitu gani kingine naweza kutumia kwenye hi recipe?
Tui la nazi itapendeza 😋😋
Nashukuru ila vipimo havionekani, sijui why umevificha tutajifunza vip sasa dear?
Dada hongera kwa kazi nzur samahani sijaona vipimo
Asant Dada yaan nimeamin keki ni kufuata vipimo
Naomba kujua hapo oven moto umeweka chini na juu au chini peke yake?
Eti Kati ya gas oven na electric,ipi inabeki vizuri?
Nzuri sana ila naomba recipe sijaona
Pls nimsaidie tray yangu urefu nchi11 upana nchi 8 rectangle je naweza fanya ya size gani?
Asante sana dear, nami nasubiri lile ombi langu la recipe ya unga 1kg🙏🙏
Hapo unazidishaa mara mbili yakee ya vipimo
Asante dada kwa darasa, ivi unga nzuri wa kutengenezea cake ni upi?
Ppf mzuri zaidi
Asante
Thanks mummy
Karatasi unayoyanguliza chini wakati unaoka ni ya aina gani na zinapatikana wapi?
Shukran nimepika leo kwa recip hii imetoka bomba naku tag inster😍😍
Karibu sana na hongera
Hyo mashine inauzwa sh, ngap?
Shukran mamay leo umenipatia haswaa kipenzi masha Allah
😘
Cjaona vipimo my dear
Hupatiani vipimo,degree ya kuoka keki na pia maziwa niyabaridi au Moto..kazi nzuri hongera
Maziwa yawe room temperature yasiwe baridi wala moto
Mayai mangap
Sukal kids gan
Kazi nzuri hongera dada swali langu Ni, mm nikipika cake haipandi juu nakosea kwenye kipimo cha baking powder Au moto?
Huenda unaweka mchanganyiko wako kwenye chombo kikubwa zaidi na hivyo kupelekea kuacha kupanda
@@mziwandabakers8297labda ntalifanyia kazi
Naeza igawa recipe hii kwa nusu ili nipate keki ya unga 250gm
Hi where can I get that mixer
Nimependa sana pia naomba recipe ya 1kg
Ahsante sana lakink uwe pia unavitaja vipimo wakati unapika ingekuwa vizuri zaidi na itapendeza
Kama ni robo mayai yawe kiasi gan,sukari kiasi gan
Mi sjaziona hizo vipimo my dear
Angalia hpo kweny title utaon kam kialam hk km v kimeilekea juu kibonyeze
Bonyeza neno more
Bonyeza neno more
Asante kwa mapishi dada hiyo box description ya mahitaji mpendwa ndio sijaiona mbona?
Hii nitajitahidi kuwaonyesha ilipo
👍🏾
Asante Sana madam,
Ila Mimi bado sijaweza kuingia kwenye description box🤔
So sijaambulia bado
Nisaidie kuingia please
Hello mumy kwa nni keki inkua na mafuta??
🙏🙏🙏
Jmn mm najifunza Ila naona wengine hawaweki maziwa
Kama Sina machine ya kuchangania, nikitumia mwiko anachangany Kwa Muda gani dada?
Hiyo keki nusu kg inahitaji Mayai mangapi?
Mbona hukuweka kipimo Cha baking powder na bircabonate of soda?? Au Ni kile kile ulichotumoa kwenye cake ya mafuta ya kupikia madam??
Ameweka soma hapo chini
Mbn Sjaona vipimo
Asante hio tin umetumia inch ngapi
Sukari pia uliyotumia ni ya kawaidaa au?
Mimi sipaoni mbona ni sehemu ipi hiyo?
Maziwa unachemsha kwanza?
Jinsi ya kutengeneza mirror glaze
Mimi na oven ya urope nikipika cake inaungua chini yani inawahi na ndani haiivi nilijarib kupunguza moto bado inasumbua naomba msaada
Asante sana nimeelwa ila naomba kuliza hapo kwenye kukoroga unga huwezi kukologa na jembe kwa unga wa nusu kilo
Yeah unaweza tu bila shaka ila kwa speed ndogo tafadhali
Hayo ni maziwa ya unga au ya maji?
Na je kwenye ku bake unaweka juu na chini au chini tu !?
Asante sana ,naomba kujua keki ya robo, unapikia tin ya nchi ngap?
7" dear
Shukran
Naingia kuipika saa hizi
Nimejaribu keki ya mayai matatu but ilididimia hapo kati kukatitia kabisa afu haikuchambuka..nilikwama wapi boss
Dada blubend kiasigani keki ya nusu
Naomba vipimo jaman mimi sijaviona