Mimi huwa natumia robo Unga napiga mayayi na sukari naendelea na mahitaji mwengine, Mansha'Allah inatokea nzuri sana, anyway thanks for your information
Dada nisaidie nataka mashine ambayo keki nikipika nitaiona kwenye sufuria,halafu iwe ndefu kama hiyo yako,ninunue oven gani na lita ngapi?maana huwa najipikilishia kwenye oven ya jiko la gesi
Cake zangu malanyingi nikiweka kwenye sufuria napika na mkaa nakuta zimeivia upande upande sehem moja kubwa upande mwingine padogo napata shida msaada tafadhal
Moto unakuaje
Wapishi mnaruchangany jmnnwengine wanasem piga mchanganyiko vizur,sasa leo hapa napat lingine usipig San mchanganyiko eee ila asnt kwa somo
Nimelipenda darasa ongera sana dada kwakweli atakama mtu anakichwa kigumu lazima aelewe maana unafundisha kila hatua ubarikiwe
Hongera sana kazi nzuri
This looks like a great food for sure. Love the ingredients. Nice job, thanks for sharing ❤❤stay connected😍
So yammy sis congratulations🎉🎉❤
Hongera dada kazi yako nzuri sana
Napenda Sana kijifunza kupaka kek
That's nice
Nafurahia kazi yako
Good teacher hongera sana
Kazi mzuri
Unafundisha vzr nimejaribu imetoka vzr Sana .Mungu akubariki sana
❤
Brubandi yoyote
Asanteeee mungu a zidi kukutunza
Maashaallah nipo Oman napenda Darasa lako Mziwanda nikija Tanzania nita kutafuta kwa ajili ya mafunzo ya cake Asante 🙏
Mziwanda Bekari Asante ni sana
Wao nizuri
Hongera dad kazi nzur nimeelewa
I have subscribe already
Kenya much love sister
Mashallah looks very soft 😋😋👌👌
❤
Kama umepata blue band ya 100g , je unaweza kuchanganya na Mo mpishi kwa emergency
Unatisha wewe ni mwalimuangu mungu akubaliki
Ahsante mpenzi naweza sasa🙏
Umenifanya nijue kupikaa cake 🥰🎂
Naomba nijue
Ukiwek maziwa ya unga jee
Nimeipenda. Sufuria kama hizo zinapatikana wapi
It looks so delicious. 🧡 You're very good at cooking. That's a good recipe. wow good Information. ⭐️🥰
Asantee kipenzi nimejua kutengeneza keki kupitia video hii
kwan haiwezekan kutumia blenda kutengeneza mchanganyiko huu??
Napenda sana kitu unacho kifanya na mm natamani unifundishe vipimo.
Unapatikana wapi?naomba unisaidie recipe ya keki ya kilo moja
Kwani nilazima kuweka maziwa
Imeungua na haijapanda
👏
Unafundisha vizur madam unapatikana wap naitaji Nije nijifunze
Mimi huwa natumia robo Unga napiga mayayi na sukari naendelea na mahitaji mwengine, Mansha'Allah inatokea nzuri sana, anyway thanks for your information
Maa shaa Allah
Mbona mimi nimepika haijatokea hv
Maziwa fresha au ya unga unakoroga kwenye maji?
Asante dear🙏Mungu akuzidishie rizkii
Hapo kwenye prestige madam ujasema gram ngap
@@bernadethachacha9005 Kasema 180g
Maziwa unatumia maziw gan au japo y ngome
😂😂
Maziwa ya maji
Keki yangu lazima ipasuke na haitanuki vizur
Please confirm
Hello naomba kujua ikatokea umetumia pan inayozidi material ya cake uliyonadaaa kunatatizo???
Naweza kurequest cake ya birthday leo nitumie namba
Naomba kuuliza unga wa ngano unatumia wa kawaida
naweza kuchanganya kwa kutumia blender ya kawaida
Hello habari mbona mm nikipika keki inajipasua kwa juu na inakuwa ngumu samahani naomba msaasa
Naenda sana kujua kupika keki, Ila najaribu hazivimbi
Ukiweka baking powder usikoroge sana
Mko wpi
Hauna group watsup
Mbn me nikipik haipand ivy
Unapatikana wapi na je unafundisha live
Wani uji wa keki uwezi kupambia
Mziwanda unapatikana wapi napenda darsa lako niko mwanza mom
Kwakupikia Niko la kaa inakuaje
Natak kujuw namna ya kutumia ovena vizur
Dada napenda kujua kubake hiyo keki ilikua na uzito kiasi gani
Dada nisaidie nataka mashine ambayo keki nikipika nitaiona kwenye sufuria,halafu iwe ndefu kama hiyo yako,ninunue oven gani na lita ngapi?maana huwa najipikilishia kwenye oven ya jiko la gesi
Samahan mi naomba kujuwa vipimo vya nusu kiro
Nakupenda bure ubarikiwe
🙏😘😘
Ni inch ngp hy baking tin
mbna mm nilijalibu haikuiva ikawa kama bumund nilikosea wap
Samahani dada naomba namba nahitaji shule kidogo
Am anew subscriber and v liked your tutorial and for sure v learnt a lot...be blessed.
Ameen ❤
Nashukuru naendelea kujifunza
Samahani mm cake yangu inavimba juu na kuwa ngumu shida ni nn
Mbona mi Kila nikikoroga unga unazidi kua mwepesi
Wengine wanasema jinsi unvyoanza kukoroga basi upande ulioanza kukoroga uwe huohuo
Nisaidie keki ya kilo moja na nusu ya biashara umeainisha maziwa kikombe kimoja na nusu unaonaje utuwekee kwa ml au aina ipi yakikombe itumike
Keki hiyo unadumu kwa muda gani?
Cake zangu malanyingi nikiweka kwenye sufuria napika na mkaa nakuta zimeivia upande upande sehem moja kubwa upande mwingine padogo napata shida msaada tafadhal
Mashaallah swali langu ukiwa wabinga iyo majarin na sukari ikawa nyeupe lkn bdo unackia sukari inakwaruza je waweza kundelea kupinga au utie mayai haina shinda naona jibu
Karibu dear, sukari huwa haiyeyuki kwenye kupiga hivyo haina tabu endelea na mayai
Assalam aleikum dada vp nauliza nikikoka cake inapanda baadae inshuka shida nn
Moto wa juu haujabalance
Samahani madam,kwa mkorogo huo umetumia tin ya nchi ngapi kuokea?
7" pan nimetumia
Dada unamaanisha sukari robo na blue band robo c ndyo
Unga ndio robo
Kinacho fanya keki ichambuke ni nini
Je nikitaka kuoka nusu kilo inamaana nitazidisha mara mbili hivyo vipimo c ndio??
Thanks dada ila naomba kujua hiyo moja ya nane ndio napimaje mim cjui plzzzz 🙏
Kwenye measuring cups ipo dear angalia set ya vijiko ipo hiyo
Nahitaj kujifunza kutengeneza keki,,, unapatikana wapi
Nimependa unavofundisha taratibu,unaeleweka
Naomba kujua hapo kwene uwekaji wa mayai ikitokea umeweka yote kwa mpigo nn kitatokea
Naomba namba yako naitaji kujifunza
Me jmn nikipk haiv ndani inakuwa ugali alfu njee pia inakuwa ngum nisaidy madmu shd nn
Kwann icho cha kulogea shngp na kinapatikana wapi
Ngoja nimjibie kunaitwa mchapi kinapatikana maduka ya vyombo
Shukran kwa somo...je wakati wakuchanganya mayai ikitoke kama maziwa mgando unatakiwa uendelee kukoroga au ukisha weka unga inakuwa sawa?
Maziwa mgando ya nn kudra, maziwa yanatakiwa yawe na hali yakimiminika tena yasiwe ya moto au baridii, hali ya kawaida
Yani kwenye mchanganyiko wa butter na sukar ukisha weka mayai uwa ina jikata inakuwa kam maziwa mgando
@@kudralyimo7321 Hapo aina shida, wala usiogope. Aliwahi kuzungumzia pia, unaeka maziwa fresh unaona kama yamekuwa mgando sio tatizo🤣
Ndio dear hakuna shida kabisa
Mbona nikipika keki yangu aijai kama yako au unaweka biking soda dada
Hakikisha unapikia moto unaofaa na unakoroga kwa kufuata sheria
samahani hapo kwenye maziwa sijaelewa 1/4 halafu 1/8 kwa hio itakuwa ni 1/2au inakuaje sijaelewa
Namie hp ameniacha njia panda, maana kaweka ile robo ya kwanza tena kaongza 1/8 ndio tujue hapo itakuwa gram ngap
Kwan Kuna unga wa ngano na unga wa keki?
Ndio unga zinatofautiana
Kwa nini keki hupasuka juu
-Ukijaza sana uji
-moto mkali sana
-unga mwingi kwenye recipe
Pia ata ukorogaji unaweza kukufelisha
Iv n kwel cake ukiweka maziwa inawahi kuharibika?
Inategemea na uakaji na uandaaji wake
Je naweza tumia nazi baaada ya maziwa
Mziwanda, naomba kuuliza, hapo means keki ilikuwa inakaribia ya kilo 1 si ndio mana wanaposema cake kilo 1 inaconclude kila kitu Au mm ndo sielew
Ndio hivo, namie nilikuwa sijui
Ni hivyo dear
@BABY KASISI ndo tumejua sasa, sasa inaman kwamba unga wa cake robo ndo ukiupika inatokea cake ya kilo 1 au inapungua kidogo sana @mziwanda baker
Unafundisha vizuri dada swali langu ni hili ni lazima utie maziwa?
Sio lazima kuweka maziwa
Mm nataka darasa la whtsp please
Madame kama maziwa hamna unaweza tumia maji?
Bora uzidishe mayai dear mimi maji sipendelei
Naomba kuuliza me nikipika keki ikisha iva inakua na mafuta mafuta ndani tatiz linawez kua nin?
Wakati wa kukoroga hukuzingatia sheria na vipimo pia waweza kubadili ukapunguza Margarine
Naomba kuuliza unga wa ngano unatumia wa kawaida