KEKI YA MAYAI MAWILI/JINSI YAKUPIKA KEKI YA VANILLA/VANILLA CAKE
Vložit
- čas přidán 2. 06. 2021
- #vanillacake #kekiyakuchambuka
Hi Lovies
Kama hauna selfrising unaweza kutumia unga wakawaida vikombe viwi, kijiko kimoja kikubwa baking powder na chumvi nusu kijiko cha chai then chuja tayari ushapata selfrising yako❤️❤️
Kama umeipenda please share na wengine.
Please Do Subscribe it's for free thank you. - Zábava
Mchambuko wa hali ya juu sana maa shaa Allah 😍😍
Shukran sana mpenzi
This recipe really very delicious😋Thanks for sharing❤️
Nimejaribu kupik Leo keki yangu alo pambe atr Asante san kipenzi
Cake mzuri sana na imeiva tamuuuu
Wow mouth watering recipe looks tasty and yummy 🤤
Thanks dear
Maa shaa Allah, nzuri na rahisi kutengeza.
Asante mpenzi
wooow nice
yummy spongy cake
Yummy looking very tasty
Thanks
Inaonekana tamu sana acha nijaribu kuipika. Endelea kutufunza zaidi na zaidi.
Yes nitamu sana my love shukran
Nitajaribu
Waooo nice sana
Thanks love
yummy 😋
Asante
Am loving this recipe, i will definately try this out, looks so yummy
Thanks sis
maaashaallah
Mashallah mashallah nitaipika In Shaa Allah it's very easy and looks 👌. Thanks dear 😊
InshaAllah utapenda love
So nice...Am going to try this
Thanks dear for sure utapenda
Unipatie ki pande tuu na juice 😍😍
Ma shaa Allah keki kama keki🤤🤤
Keki na nusu love
Wow😋.
Mchambuko mchambuko.. nimeitamani Sana..
Just two eggs, wow! So creative of you
Thanks sis
Mbona waongea haraka mahitaji mengine sijaskia
Asante sanaa dada nimependa cake hii inamayai 2 pia ni nzuri moo asante
Asante my love
I'll try it dear ❤️❤️
InshaAllah
I shared it out for you
Be blessed
Maashaallah
Tabarakallah
👌👌👌
From the mixing process I already know it will be soft and light. You did excellently
Thank you dear
Nitajaribu jamani
Masha Allah
Tabarakallah
mashaallah mashaallah khadija keki hiyo imechambuka sana basi hapo na soda barid rahaaa.😂😂❤❤❤
Watu wa masoda tupo wengi🤣🤣shukran mpenzi
So spongy na laini kabisa ...nimehisi kupika hii saahii but nitajaribu tu soon...came through looking good👌👌
Sis ukiipika utapenda
🌹🌹👌👌👌
Naomb namb yko
Nitaijaribu hii
InshaAllah 🤣
Nzuri sana....haukutumia baking powder?
Ametumia unga wa self rising bt kama ni unga wa kawaida eka baking powder
Mashaa Allah keki nzuri Sana naomba kujua tin uliyo tumia ni inches gapi
Duh inches sijui but ni ya 1kg naona unaeza tumia yoyote love muhimu isiwe ndogo
😋😋😋😋🧡🧡👌👌✌✌
🥰💛
Me naomba kuuliza maziwa na unga yaani twatumia size moja ama Ni vp?
Sasa utapima vipi unga kwa mls
Halo rafiki yangu mpendwa niko hapa kwa sababu nitakuwa mwaminifu kwa marafiki zangu na nitakuwa pamoja kila wakati
Asante sana
Hujmb
Samahani kamahauna siagi unawezakutumiya mafuta yakawaida?pz jibu
Ndio unaweza
Kias gan@@HadijaSheban
Samahani naweza tumia sukari yyte
Ndio unaweza
Nataka kujua ile keki ya unga wa ugali
Okey mpenzi
Baking powder sio lazima au
Love fanya vile nimesema kwavideo
Naomba uwe unatumia grams ndio hatutajichanganya please buy weight scale
InshaAllah soon
Si lazima baking powder
Kam sio Selfrising weka
@@HadijaSheban oow sawa asante dadaa
Kama huna Maziwa unaweza weka maji
Hapana sijapika ya maji nunua tu maziwa
Kama huna hivyo vifaa vya kupimia mls badala yake unaweza ukatumia nini
Lazima hivo
Kinacho fanya keki ichambuke nini
Kuchanganya vizuri na nidalili yakuiva
Naomb namb yko
Msshallah
Tabarakallah