JINSI YA KUPIKA CAKE YA VANILLA RAHISI NA TAMUSANA🍰VANILLA CAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 03. 2023

Komentáře • 41

  • @user-ye3go6yk2q
    @user-ye3go6yk2q Před 16 dny +1

    Hii nimeipenda asante

  • @amisafaraji5796
    @amisafaraji5796 Před 7 měsíci +1

    Fantastic 👌nitajaribu na mm, ahsant kwa mafunz mazur

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 7 měsíci +1

      Asante pia, karibu sana🤝💝💖

  • @RayyaSuleiman
    @RayyaSuleiman Před 11 dny

    Je nitumie unga gan

  • @estherjacob7874
    @estherjacob7874 Před 7 měsíci +2

    hello dia.tuelekeze ulivyoset moto hapo.mana mi naoven la winning star lina temp knobs.mbili nashindwa kwenye kuset moto

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 7 měsíci +2

      Hi love🥰 oven vinatofautiana mpaka nione ndinaweza kukuelekeza jinsi ya kuset moto, napia zinatofautiana ukali wamoto yangu moto 180c nikawaida kabisa kwakeki lakini kwa oven zingine motohuo wa180c unakua mkalisana. Iliniweze kukusaidia njoo Instagram unitumie picha au video ilinione @divahcruz

  • @mbokaneema634
    @mbokaneema634 Před 5 dny

    Banking powder tunaweka kiasi gn Kwa vipimo hivyo

  • @dr.ramadhanih.khamisi6804
    @dr.ramadhanih.khamisi6804 Před 3 měsíci +1

    nimejaribu exact vipimo ila keki imetoka Kama imejaa mafuta na taste ya baking powder inasikika kwa mdomo😢

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 3 měsíci

      Pole kwa changamoto hiyo , ila kunakitu lazima utakua umekosea my dear, jaribu kuangalia hii recipe czcams.com/video/zMSDXxgGyjo/video.htmlsi=LDcffWOGsbwhuBdK

  • @ZabuhuraIssa
    @ZabuhuraIssa Před měsícem +1

    Mm vipimo nko sawa ila sasa moto ndo cjui kusent

  • @JANETHSIMON-mx7ks
    @JANETHSIMON-mx7ks Před 7 měsíci +1

    Ikisha iva unaitunza wapi ili isikomae? Au haiwi ngumu ukiweka tu kwenye sahani?

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 7 měsíci

      Unaweza kutunza kwenye chombo cha mfuniko ama zippa bag ama ile mifuko mweupe . ila ukiischa wazi ulaini unapotea

  • @user-em4hj6ue4b
    @user-em4hj6ue4b Před měsícem

    Asnt kwa elimu ya mapishi

  • @user-xf7ef3pz6t
    @user-xf7ef3pz6t Před 5 měsíci

    Sijaona baking powder hapo inakuwaje?

  • @pendobaraka3410
    @pendobaraka3410 Před 5 měsíci +1

    Nifundishe Hindi ya kupamba keki

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 3 měsíci

      Soon naleta video hiyo my dear

  • @user-fg9ph9up4o
    @user-fg9ph9up4o Před 6 měsíci +1

    Mimi kila nikijarbu kupika inapasuka juu..sijajua sababu ni nini? Moto mwing au banking soda ninayotumia ni zesta

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 6 měsíci +1

      Kama unatumia baking soda acha tumia baking powder, pia zingatia moto ama chombo unacho okea kekiyako

    • @user-fg9ph9up4o
      @user-fg9ph9up4o Před 6 měsíci +1

      Sawa

    • @user-fg9ph9up4o
      @user-fg9ph9up4o Před 6 měsíci +1

      Asante nitafanya hvyo

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 6 měsíci

      Karibu kipenzi❤

    • @tricyleonlee4721
      @tricyleonlee4721 Před 3 měsíci

      Jmn mm mafata proces zote napika inaiva vzr tatizo haichambuki cjajua tatizo n nn

  • @EsterJoni-px8ov
    @EsterJoni-px8ov Před 8 měsíci +1

    Je kama sina vanila nafanyaje

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 7 měsíci +1

      Weka fleva yoyote uliyonayo, ata hiriki ya unga inafaa

  • @irenemahatane5681
    @irenemahatane5681 Před rokem +1

    Mbona huweki kiasi mwalimu?

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před rokem +2

      Nimeweka dia, sikiliza vizuri
      Sukari 1cup
      Siagi 1cup
      Unga 2cup na nusu
      Mayai 4
      Maziwa / maji nusu cup
      Vanilla nusu kijiko cha chakula
      Baking pawder kijiko 1 chachakula
      Chumvi robo kijiko cha chai
      Nimekuandikia vyote. Ukijaribu usiache kuni tag on Instagram natumia @divahcru asantee much love❤❤❤

    • @JANETHSIMON-mx7ks
      @JANETHSIMON-mx7ks Před 7 měsíci

      Unga 2 cups ni sawa na kiasi gani kwenye mzani?

  • @IbrahimAhmed-ge6nu
    @IbrahimAhmed-ge6nu Před 14 dny

    Nimeharibu lakini ukikoka inafura baadae inashuka shida ni nn

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 13 dny

      Pole, sjui utakua umekoseawap, lakin hakikisha kikombe unachopimia siagi yako ndo ichoicho upie kilakitu ilikuepusha kuzidisha kipomo

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 13 dny

      Pia kama unatumia jiko la mkaa hakikisha sufuria lako unalo okea halipati mtikisiko ili kuepusha hiyo kufura na kushuka

    • @IbrahimAhmed-ge6nu
      @IbrahimAhmed-ge6nu Před 11 dny

      Shukran Nitajaribu tena nitakupa majibu

  • @beathpaschal1766
    @beathpaschal1766 Před 3 měsíci

    Jamn mie nkipika inashindwa kuchambuka sjui nakwama wap

    • @divahcruz
      @divahcruz  Před 3 měsíci

      Pole kwa changamoto hiyo kipenzi, fuata vipimo vizuri itakusaidia. Pia huwenda unasahau kuweka baking powder

  • @user-pf7my9cx6u
    @user-pf7my9cx6u Před 4 měsíci

    Benk powder hautiii