Jinsi ya kupika Keki simple ya kipimo cha Nusu Kilo (500g) / how to make simple cake recipe
Vložit
- čas přidán 2. 06. 2021
- Mahitaji
Sukari nusu kilo
Siagi nusu kilo
Mayai 12
Unga wa ngano nusu kilo
Baking powder kijiko 1 na 1/2 cha kulia chakula
Vanilla extract kijiko 1
Pineapple extract kijiko 1
eastafricanfood...
wardytor?igshid...
MashaAllah nice wl try now then ntakupasha kama imekuwa🥰 shukran
Hongea kazi nzuri
Mashallah njia rahis
MASHAALLAH asante
Nimeipenda ni kweli simple
Mashallah
Asante,it's cool
Wallahy this cake mashallah mashallah ni nzuri hbbty thanksss I hope utupikie tena 😍
😁 InshaAllah ❤️😘
MashaAllah naomba no yko
Keki
💝
Simple hadi raha
Asante 💕
Vanilla ni lazima?
Hyo rangi inaitwaje ulyotumia
Shukran
Afwan 💕
Mmmh nusu mayai 12😮kilo mayai 24hiii cake au mkate wa mayai😂😂😂
Hivo ndio vipimo vya keki Sasa jichanganye
Hivo ndio vipimo sahih😊
Me nikipika zinapasuka juu
Unapatikana y
Kama siangi auna inatumia n n?
❤❤❤ vinatoka vipnde vingapi???
Inategemea na size
Jazakallah khayran
Butter uliyotumia inaitwaje
Naonba kuuliza unga mzur wa kipikia keki ni upi
Me natumia unga wa ngano mydear
Pambe
Mayai 12 ndio kipimo au ukiweka 8 yanatosha?
Apo kama kunakauongo kamepitika
Ni12 kwa nusu
natak kujifunza
Sorry sukari hausagi?
Hapana sisagi dear💕
Sister hongera kwa recipe but naomba kukuuliza
@@wardakhalid292 sister stand mixer umenunua wapi
Nimenunua Argos dear
@@wardakhalid292 marekani or