TAZAMA! WATOTO WAKICHEZA NYIMBO ZA KIHAYA MBELE YA ASKOFU
Vložit
- čas přidán 1. 11. 2020
- Kwa Udhamini au Kuwasiliana na kitengo cha Masoko
☎✉ 0762 431 028 | 0652 848 112 | 0735 666 772
Watoto wa Shule ya Msingi Mary Mother of Mecy wakisakata nyimbo ya Kabila la Wahaya katika Mahafali ya Kwanza katika shule hiyo iliyopo Mji Mpya Relini, Huku Askofu Jude Ruwa'ichi akiwatazama Mbashara.
Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.
Mtoto wa nyoka ni nyoka tuu ,amani kwenu wahaya 😊🙌👏
Wahaya kwa kweli tumesukia raha.sana. hongereeni.
Wamecheza vizuri sana, najivunia kuwa muhaya
Kumbe tuko wengi
Najivunia kuzaliwa mhaya
Ozaaaa big up saaana ongereni sanaa wahaya wenzanguuu
Safi sana
Big up sana wahaya
Only thing make me happy on my HAYA trib is the culture, it's so fantastic
Right ✅ time to install culture above all will sound 👌 when is accompanied with JESUS LOVE. true love cements better NATION. 🙏
Jaman. Rahaa
Asante sana kwa kuendelea kulinda tamaduni zetu adi raha jamani
Cool!!! Culture is the backbone of proud NAYION. GREAT 👍 🙏
Hakuna ngoma ya asili tamu Kama ya wahaya, najivunia saaaana kuzaliwa bukoba
Jamani
Hongereni sana watoto wazuri.
Safii ngoma nzuri sana
Nmeeapenda
Hongereni sana walimu na wanafunzi pia . Mmecheza vizuri Mungu awabariki
Naupenda sana unaitwaje?
Hongeren sana Watoto wazuri
Safi sana watoto wazuri. je ni shule gani hiyo? Naomba jibu tafadhali
I love the dance. It's so amazing
i love my tribe
Hongera sana watoto
Asante Mungu kwa kuniumba Mimi nikiwa mhaya nawasihi ndugu zangu tuendeleze utamaduni wetu
Yaan adi nasikia laa sana nataman ningekuwepo
Hongereni sana Walimu wa Mary mother of Mercy kwa kazi nzuri.
Watoto wako vzr
safi big up kwetu wahaya
Hongereni sana, inapendeza mno
Safi sana watoto
Safiiii
Wao mwakola bojo
Najivunia kabila langu
Mwakolo muno
Najivunia kuwa muhaya
Hadi raha,wap wahayaaaa!!!
Kwetu pazuri jmn
Timua singo. Kwetu patamu
Hatar hatar
Makubwaaaa😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
Owaitu bukoba
Bukoba kwetu.
Ozaaaaaneeeeee
Mwakola abomwaityu siiiiiiiiiiiii
Kulikuwa na nini mbona namuona askofu mkuu wa jimbo katoliki la dar Yuda Ruwa'ichi Thadei.?
Mahafali ya darasa la saba mwaka jana.
@@upendomwayeya1397ahsante sana kwa kunijuza
Utamaduni wa kupiga Ngoma live umekwisha hapo! Hakuna kitu