Am still watching this video am feeling happy when am listening this song of ave Maria hakuna raha kama kuishi maisha ya kumtegemea mama bikira maria aliye mzaa mkombozi wetu yesu
I wish kwaya zetu zingetoa nyimbo za kihaya kwa ajili ya biashara wangeuza sana make tunaziitaji lakini ndo vile,hawa kakao wanazingua wakiimba wanaweka swaga wanaharibu ule uhalisia hazina mvuto kusikiliza
Amina Mwenyezi Mungu Tunakuomba Utujalie Aman Tanzania
Aminaaa kubwa ubalikiwe mama bikira maria SoMo angu
Tumsifu yesu kristu jamani mungu akisaidia mwezi wa kumi ntakuepo kwenye hija tunawapenda sana tukiwa apa mwanza
Am still watching this video am feeling happy when am listening this song of ave Maria hakuna raha kama kuishi maisha ya kumtegemea mama bikira maria aliye mzaa mkombozi wetu yesu
Salamu Mama mtakatifu wa Mungu uliyemzaa Mfalme mwenye Kutawala mbingu na dunia 🎼🙏
Ahsant mmenikumbusha nyumbani
Naipenda sana hija Asante sana nimemuona na father juliusi🙏🙏🙏🙏🙏
😀Ba Paroko wangu wa zamani,Ni muda sasa sijui yupo wapoi siku izi
Hengerrni sana
Hii kwaya ni kapotive bila shaka
Amina
I wish kwaya zetu zingetoa nyimbo za kihaya kwa ajili ya biashara wangeuza sana make tunaziitaji lakini ndo vile,hawa kakao wanazingua wakiimba wanaweka swaga wanaharibu ule uhalisia hazina mvuto kusikiliza
Nani kama mama Maria
Tumsifu Yesu Kristo. Je nitaupataje huu wimbo mzuri kiasi hiki? Na waliimba wakina nani?
Mawe otushabile ebibundo byakanya
Naomba upost hyo nyimbo tuisikilize vizur
Matungwa moja.
Tumsifu yesu kristo
Asante
Hakika bukoba ina adhi yake
Mwanyijukya omuka bojo mwakola muno
Ninshaba kumanya Hija eba eli mweziki?
Kristu .......wimbo mzuri nani mwimbaji...!!!???
@@primussandra4956 ni Kapotiv Band bukoba
Kasinge ninsima ehija ya Nyakijoga ni buli mwezi gwa ikumi karibuu
Meezi was kumi j pili ya mwisho
@@rutasingwaferdinandi5105 barikiwa sana, asante