Huyu mama toka haonekani cheka tu wasafi media hawajamfatilia tena ila kwa vile ameibuka tena kupitia ayo tv basi watamfata mbio mbio sijui wana matatizo gani.
Acha uongo huyu ni mama yake na coy mzungu na coy ni business partner na huyo nasibu kwahiyo wewe kama huendagi cheka tu kila muda usidhani utampata coz ana shughuli zingn
huyu mama kapanda Cheka tu,na katokea Cheka tu,na moto wake ni koyi mzungu wa Cheka tu, unaongea mavi gani wewe jamaa?? sikiliza za maelezo ya mama (kaanza lini Cheka tu kuigiza mavi wewe)
I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a new subscriber this motivates me and make me work tirelessly God bless you.
Hua napenda pale mtu aki like comment yangu.....
Kama nawewe umejua leo ,huyu ndo mamake koy mzungu ,gonga like tujuane
Duuh ndio nimejua leo
Mi mwenyewe ndo nimejua leo
Mama umenikumbusha sanaaa
Ulivy taja KIZUNGUZI
kilosa sec school,daaaah amizing sanaaa
Kizunguzi noma Sana, mwendo wa parea na nyari...nimemaliza 2018 pale mimi
Aseee sipatii pichaa watoto wakoo wanaishi kwa rahaaa sanaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Mama uko sawa. Tunakupenda na tunakutakia kila la kheri katika yote ufanyayo. Mwenyezi Mungu akubariki.
Wahaya oyeee, I love you My mamy
Mama yuko vizuri mno mno. Mungu akutunze mama.
"Nina mabinti 7 ambao tunashirikiana nao"
Kauli za True Leader
Narrow thinking and negative attitude. In this style, commenters still have a long way to go!!!
Nimechekaaaa sana kiwanda cha kuzalisha wtt
Kwa kwel wahaya Wana sifa Leo nmeamin, et lazma akafir VIP🤣🤣🤣
Mhaya hawezi kufia njiani mpaka aingizwe VIP😂
🤣🤣yani nlitaman sana interview ya huyu mama nampenda mno anavoigiza
Kumbe mama coy mzungu huyu.nakupenda ww na mwanao🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂❤❤❤
Hahahahaha! Daaah. Mama ananifanya nacheka kwa sauti. Ubarikiwe sana mama Koy.
Ahahaha Mama yupo vizuri sana, ofcoz nawakubali sana Wahaya
Wenye kabila letu Sasa , mashauzi kama yote , wahaya mtuache jamaniii.
Napendag san Kihay mie jamn il lugha yen ni kam KIGANDA 100% ais :).
Na tena watuache kabisa
@@floraflora5964 katerero
@@cestjolie5574 njoo nikufundishe
Tenaa na sura zetu nzito kama uji wa mapande.
Huyu mama toka haonekani cheka tu wasafi media hawajamfatilia tena ila kwa vile ameibuka tena kupitia ayo tv basi watamfata mbio mbio sijui wana matatizo gani.
Acha uongo huyu ni mama yake na coy mzungu na coy ni business partner na huyo nasibu kwahiyo wewe kama huendagi cheka tu kila muda usidhani utampata coz ana shughuli zingn
wewe ni matako sana,huyu ni mamaake koyi mzungu wa Cheka tu!!!
huyu mama kapanda Cheka tu,na katokea Cheka tu,na moto wake ni koyi mzungu wa Cheka tu, unaongea mavi gani wewe jamaa??
sikiliza za maelezo ya mama (kaanza lini Cheka tu kuigiza mavi wewe)
Uyu mama hatar sana, I love her
Bukoba the land of blessed one's
Mama nimempenda mno😂😂😂👏👏👏👏
Mama mzuri kweli Mungu amtunze zaidi
Huyu mama kiukweli anafuraisha sanaa
Muhaya hawezi kufia njiani atatuharibia wazifu. Mpaka afike VIP 😂😂😂
Wow nimekupenda sana mama
Hongera Sanaa kwa kuki promote kinyumbani kwake maana wengi huwa wana act lugha za wengine 👏👏👏👏🙏🙏🙏😀😀😀
Mama nakupenda sana🥰🥰
Nakumbuka ulikuwa unatuletea vibaanio vya vibration na nilishakuja kwako mikocheni kufuata
I love you mama Clinton.Kumbe Koi aliendeleza utundu wake kwa Mafanikio yake.
Uyu tumeishinae miaka ya tisini kunduchi mtongani barikiwa sana mama
Haha mhaya hawez kufia njian Uwiii shangaz yake wanangu
Mama mzazi.... Coy mzungu....
Good job👍be blessed mum. Big ❤️ from 🇰🇪
Safi mama yangu nimekuelewa sana....!!!
Kiwanda wa kuzalisha wototo dah 😂 afu kumbe coy mwanaye 🙌🙌
Nimecheka eti wazazi wanaua.vipaji yeye alikuwa kikojozi lakini mama yake akawa anampiga
😄😄😄 nimecheka Sana et nilipgopa kuaribu watoto wa watu coz kichwa changu ni wenge🤣🤣
"Muhaya hawezi kufia njiani,wahaya tunapenda Ku maintain status " ha ha ha ha
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Marehemu ikabidi ajitahidi ili afike VIP ndio afe ha ha ha haaa
Mama ni zaidi ya comed
Muhaya akifanya kazi ya ulinzi utasikia " natoa sechurity service hapo kwenye ShopRite 😜😜
🤣🤣🤣
Chivinginevyo🤣🤣🤣,je umegundua mama ,kutamka -KI- ni tizi ,nimwendoo wa chiiiiii
We mama unanivunjaa mbavu kweliii, kumbee we mhayaa OG nikajua ni vituko tu
Kagera oyeeeeeee bukoba mrimu mama up vzur sana ababuaya tukoro obumo
Tulimu
I like her naturality..go mamaa
Upo vizuri mama
Nimekupenda mama bureeeee
Millard Ayo channel muwe munaandika description bhana, muandike majina , kama kuna links za social media na mengineyo. Boresheni posts kidg
😂😂😂😂😂😂alikuwa kiwanda cha watoto mama ni hatariiiiiiiiiiii
Hahahaaaa mama yetu bwna eti ana kipaji cha ukikojozi daaaa bi mkubwa umeuaaaa daa😂😂🔥🔥🔥🔥🔥❤️
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anakwambia nacho ni kipaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wow wakola mawe endelea kutuwakilisha
Huyu Bimkubwa ni mcheshi na amechangamka balaaa
Ooh Jamani hadi nimemkumbuka mama yangu mzazi.
Bigup mama
Umependeza mama Jana çjui ulikuwaje
Uko vizuri Mama's❤️
Wahaya tukikojoa kitandani ni kipaji😀😀😀😀
Noma sna mama umetisha
Mimi huyu mama nimempenda sana 😀
Huyo mama anachekesha hadi kwenye interview
Mama yake Coy Mzungu
Hongera Sana mama
🤣🤣🤣 jamani kumbe kila kitu ni kipaji
Wahaya Mpo juu
😁😁😁😁
Mama Zaid ya uchekeshaji Sasa et mama hakujua Kama ni kipaji kukojoa kitandan dah🤣🤣🤣
I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a new subscriber this motivates me and make me work tirelessly
God bless you.
F
😂😂😂
Tumekupenda bure. Chitu ambacho tumechipenda
Mama Ameshatoboa kweli tusikate tamaa
Mashallah, Mama Mrembo
Mama nimekupenda sana kwa akili yako uliyokajaaliwa na mungu
Saw konde
Watan zangu kwamasifa
@@zulfaissa7814 hatupoi
Hahahahahh huyu mama nimemkubali
Nimecheka kizungu, kichwa yake haiwezi fundisha... Itawapoteza😂😂😂
🤣🤣🤣
Mama anasema uwekezaji wa ndoa yake ilikuwa miaka 13 😂😂😂
Hahhhh yani kanichekesha sana @uwekezaji
🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda bure mama yangu
Mama Anaupiga mwingi sana huyu ni hatari sana
Nimecheka wallah daah mama kiboko
Kweli akili yk Ina mawenge
This woman she is a legend 👏
Kwa kweli unafurahisha unaweza piga kazi
Nalikubali Sana kabila hili ndio nikaoa kabisa mhaya
🤣🤣🤣😅 hapo kwenye chikojozi nakuunga mkono. Ningetoka na award za Osca🤣🤣
Huyu ni mama yake na coy mzungu yule wa cheka2
Na wamefanana kweli
Ndio
Usitunze hasira hapo nimekuelewa
Asante mama
Mama anajua kuchekesha.
Jaman nichukueni na mimi nataka kua mwana Sanaa lkn pia mnifundishe ujasiliamali
Jamn daa et mawenge mawenge😂😂😂😂😂😂😂 daa pendaa uyu mama aki🤣🤣🤣
Namkubali sana uyu mama angu. Nacheka sana😅😅😅😅.
Love you Mom 💌
jojiketi mwegelo😂😂😂😂😂
Pambana mama. Upo vizuri
Mama mawigi shida ww❤❤❤🤣🤣🤣🤣
Ongera sana mama nami niomba sana roho ya kuachilia
Uwekezaji, kila mtu anahisa zake( hahahahahah)
V.i.p ,,,,, inafurahisha hadi nimeongeza siku zakuishi
Chiwanda chetu cha uwekezaji wa watoto
Ukoo vizurii mama
Hahaha mama umetisha🤣🤣
haaaaaa,,,,big up mama here we stand nyomire
Bongo basi keshokutwa utamuona kwenye bongo movie...bongo kuwa star ni fasta tu
Haya oyeeeee 🥰😃
Super woman ❤️
😂😂😂😂kiwanda Cha kuzalisha
Wow Beatrice kama binti yangu.