#TBC1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Makao Makuu ya Nchi Dodoma, miradi mingi ya kimkakati inayoendelea kujengwa katika eneo hili la Kati mwa nchi ni ushahidi kwamba, Dodoma itakuwa maskani ya kisasa kwa miundombinu na huduma. TUNATEKELEZA imeaangazia baadhi ya miradhi hiyo adhimu.

Komentáře • 11

  • @dennismawolle5909
    @dennismawolle5909 Před rokem

    Vizuri sana kazi nzuri, sema camera zenu mwanga hafifu sana..

  • @jiweg-unit5408
    @jiweg-unit5408 Před rokem +1

    Dodoma kwetu sija visit Dodoma Tangu 2005 , 2024 lazima nitavisit EaStZoU

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před rokem

      Kwenye shule hii, pandeni miti ! Tengenezeni bustani pia! Jangwa halipendezi !

  • @abrahammnzava841
    @abrahammnzava841 Před rokem

    Wonderful!!

  • @homeboybeyondtheborders4935

    Shule kama hz inabid zijengwe nchi nzima

  • @stanleymakala5757
    @stanleymakala5757 Před rokem +1

    Vizuri

  • @MrCHAULA
    @MrCHAULA Před rokem

    Hii miradi ibuniwe ki karne ya 21...kuendelea kuona nguzo za umeme inadhihirisha bado tuna safari ndefu.
    Tubuni miundombinu ya umeme na mitandao inayopita chini ya ardhi.

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Před rokem

    Vyema

  • @emmanuelmkama3000
    @emmanuelmkama3000 Před rokem

    Imeanzishwa na JPM hiyo shule ya mfano

  • @saitotigeorge654
    @saitotigeorge654 Před rokem

    Quality ya camera zenu ni hovyo kama vile ni channel ya kijiji

    • @didimhutila8985
      @didimhutila8985 Před rokem

      Wapuuzi sana hawa&kuna mwaka ngosha aliwapa pesa wakanunue vifaa sijui walikula pesa.