#TBC1
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Makao Makuu ya Nchi Dodoma, miradi mingi ya kimkakati inayoendelea kujengwa katika eneo hili la Kati mwa nchi ni ushahidi kwamba, Dodoma itakuwa maskani ya kisasa kwa miundombinu na huduma. TUNATEKELEZA imeaangazia baadhi ya miradhi hiyo adhimu.
Vizuri sana kazi nzuri, sema camera zenu mwanga hafifu sana..
Dodoma kwetu sija visit Dodoma Tangu 2005 , 2024 lazima nitavisit EaStZoU
Kwenye shule hii, pandeni miti ! Tengenezeni bustani pia! Jangwa halipendezi !
Wonderful!!
Shule kama hz inabid zijengwe nchi nzima
Vizuri
Hii miradi ibuniwe ki karne ya 21...kuendelea kuona nguzo za umeme inadhihirisha bado tuna safari ndefu.
Tubuni miundombinu ya umeme na mitandao inayopita chini ya ardhi.
Vyema
Imeanzishwa na JPM hiyo shule ya mfano
Quality ya camera zenu ni hovyo kama vile ni channel ya kijiji
Wapuuzi sana hawa&kuna mwaka ngosha aliwapa pesa wakanunue vifaa sijui walikula pesa.