MRADI WA BARABARA ZA LAMI MZUNGUKO WA NJE DODOMA SEHEMU YA KWANZA KM 52.3 WAFIKIA ASILIMIA 70.28

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 14

  • @OmaryBurra-og6fb
    @OmaryBurra-og6fb Před 7 měsíci +1

    Hongera sana kijana wetu waziri bashungwa ktk usimamizi wa miradi ya kitaifa na pia tunampongeza sana kaimu meneja wa tanroad dodoma injinia Colman Gaston Kwa uzalendo wake wa kujituma kusimamia miradi hii ya kitaifa Kwa weledi mkubwa hongera sana Kwa kweli waziri bashungwa anapaswa kumuangalia huyu na kijana na kuwa meneja kamili badala ya kaimu Ili kumpa motisha na Ari ya kufanya kazi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 7 měsíci +1

    Bashungwa atolewe tu anakugharimu mama samia

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 Před 6 měsíci

    Angepewa Nyanza bila shaka mradi ungeshaisha tena kwa kiwango

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před 7 měsíci +1

    Tuonyesheni pia picha za mradi ulipofikia sio maneno pekee

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 Před 6 měsíci

    Unasomewa tu risala kama amelipwa kwa nini mradi uwe asilimia hizo? Tembea na wataalamu wako mheshimiwa ujionee mwenyewe mbo mzunguko mdogo tu.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 7 měsíci

    Katika wazir mzigo ni huyu mama kwann unamlea bashungwa utendaji hamna kitu kila siku yupo mitandaon kutuma video barabara zinapigwa zipo chini ya viwango

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 Před 7 měsíci

    Barabara ya mzunguko dodoma imefikia wapi??

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Před 7 měsíci

    Mbona hatuoni picha ya mradi wenyewe 😢

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před 7 měsíci

    Na balabala za watembea Kwa miguu mbona Hakuna na kuwekwe lakini ya baisekeri na Pikipiki

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 7 měsíci

    Bashungwa atolewe hajielew

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Před 7 měsíci

      Wewe ndiye unayefaa kwenye hiyo nafasi Kama akitolewa😮😮

    • @dullahomar6377
      @dullahomar6377 Před 7 měsíci

      Wewe ndio hujielewi

    • @abuuramadhan8093
      @abuuramadhan8093 Před 7 měsíci

      @@modestwenceslaus9 mirad mingi ya barabara imemshinda wakandarasi wanafanya wanavyotaka