KIMEWAKA TLS, MADUDU YAANIKWA SAKATA LA MWABUKUSI, NI AIBU, MAWAKILI KUKIWASHA KUTETEA TASNIA YAO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • #TANZANIA: Kimewaka chama cha Mawakili TLS, madudu yaanikwa sakata la kumng'oa Mwabukusi kgombea Urasi wa chama hicho, Mawakili waungana kutetea tasnia yao.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 24

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej Před měsícem +8

    Ninyi ndiyo watetezi wa nchi hii msikubari watu wafanye wanavyotaka kwenye mambo ya msingi yanayoumiza wananchi waajiliwa wa wananchi wamejisahau muda mrefu sana wanahisi wao ndiyo waajiri wanafanya wanavyotaka wanatumia Kodi na rasilimali zetu za nchi kibinafsi zaidi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 21 dnem

    Mungu Yuko na mwabukusi atamulinda waliomupiga vita mungu atawa futiliya mbali

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +6

    Kwa kweli TLS wametia aibu wanasheria hawafuati sheria sasa watu wasio wanasheria watafanya nini? Ndiyo sababu Inchi inajiendea ovyo ovyo tu.

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před měsícem +1

    Viongozi wa TLS Make sure mnalinda USOMI wenu. This is the correct time.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před měsícem

    Mwabukusi atapigwa vita sababu yeye ni muwazi japo anafaa sana watamtupilia mbali ogopa TZ

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Před měsícem +1

    Yaani siasa za majitaka za CCM za watu kujipa uongozi bila kuwa na sifa na kuwakata watu wazuri wenye sifa zimeingia hadi kwa TLS, wanasheria na hivyo kunajisi kabisa tasnia yote ya sheria. TLS rudini mstarini, acheni kujinajisi!

  • @mburuumbe5659
    @mburuumbe5659 Před měsícem +3

    IF JUSTICE FORUM IS INJUSTICE WHO IS SAFE?

  • @othannmpoli9896
    @othannmpoli9896 Před měsícem

    Wasomi sio jamii ya kujadiliana mambo yaliyowazi inatia shaka kubwa sana kwa jamii inayowategemea!!!!!

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 Před měsícem

    Jamani Kila Mzalendo niwakati wakubafilisha mambo.yote ya kihuni. Hinizambi inafanyika kuharibiu Taifa eawatu waanabu wanalete shida Kila sehem u inaumiza unafikiri ni Akina mabutu wanaongoza. Nnchi. Nilikuwa kwa umakini.wa Mwabukusi machawa watafanya mambo ya ajabu sana

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před měsícem

    Wanasheria kuwa machawa kunahatarisha nchi nzima sababu ni kitengo kikubwa sana nchini kwenye kudai haki. Sasa ikiwa imekuwa compromized haki haitatendeka kwani watashindwa kutetea nchi na wananchi na maslahi ya Taifa vipasavyo.

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před měsícem +1

    Ni aibu. Kubwa watu tunao waita wasomi kugeuka kama wanasiasa

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b Před měsícem

      Siyo wanasiasa ni mazumbukuku ni chi gani isiyo na sheria

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 Před měsícem

    The learned fellows when they undress themsleves to show the world how the system have changed the Learned fellows....in TZA.
    How on Earthy from one party state to Multiparty state ,using same constitution.....??? Halafu useme tuna Law school of Tanganyika au TLS.... where were they, to let that blunder happen......???

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem

    Hivi hata huko kwa magwiji wa sheria kuna figisu figisu aibu kubwa yusio ojua sheria tutakimbilia wapi.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem +1

    On that case open mwabukusi Consern tls tanzania low sosayart will be difficulty them to win such case because ccm have plans on that

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před měsícem

    Ichi. Ya hajabu

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem

    Nyinyi endeleeni na sarakasi zenu sisi ccm ikiongozwa mama samia tunaendelea kuiongoza nchi mkimaliza kuhusu uchaguzi wa TLS andamaneni tutawapa maaskari wawalinde.. Samia 5 tena

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před měsícem

    😂😂

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 Před 10 dny

    Aibu kwa mawakili..Nyie wa bobezi wa sheria msijihusishe na kashifa za aibu za kuvunja sheria..