Kitonga Ndio Hii/Mwanzo Mwisho Mwonekano wa Mlima KITONGA na KONA zake Hatari.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Mlima Kitonga ni Moja ya milima inayotisha sana Kutokana na Kuwa na kona Kali sana na nyingi afu Miteremko mikali kibao.
    Ajali nyingi Utokea karbia kila siku katika mlima kitonga,
    NI NDANI YA MKOA WA IRINGA , BARABARA ya lami kama unaelekea Morogoro moja kwa moja kwenda Dar es Salaam .
    TAZAMA MPAKA MWISHO VIDEO HII.....
    ENDELEA KUTUFUATILIA......TEAM "FOCUS DIGITO"
    USIKOSE VIDEO MPYA INAYOFUATA BAADA YA HII.....
    Yote HAYA ni Habari ndani ya Focus Digito CZcams Channel.
    SUBSCRIBE TO SHOW YOUR LOVE.
    (Consider Subscribing So That You Wont Miss Other Life Changing Videos Like This)
    PRESENTER:
    Focus Digito Studios
    FOLLOW US:
    INSTAGRAM: / focus_digito
    GOOGLE: tiny.cc/4uc3mz
    CZcams: bit.ly/2wM119u
    TWITTER: / focusdigito
    KEEP IN TOUCH WITH US
    WE LOVE YOU
    #Kitonga #Iringa #LIVE #Safari #Trending #Tourism #HMG #MillardAyoUPDATES #GlobaTvOnline #WasafiMedia #CLOUDSMEDIA #CCM #Magufuli #JPM #UEFA #Mlima #Mountain #

Komentáře • 114

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Před 3 lety +5

    Hii ngoma ya kikongo, naomba jina lake na Muimbaji

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před 3 lety +1

    Mandhari nzuri zaidi ya mlima kitonga huko mkoani Iringa.

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 Před 3 lety +1

    SUBHANNALLAH Allahu Akbar. Huo ni uwezo wake Mungu Mola Muumba.

  • @tobiasangolwisye9962
    @tobiasangolwisye9962 Před 3 lety +6

    Alie ckia barabara znashindwa kuhimili uzigo wa mizito😀😀😀😀

  • @faustinkebile5698
    @faustinkebile5698 Před 3 lety +1

    Iringa ina umbijani mzuri sana jaman inapendeza ila huo mlima nauogopa hatar

  • @joyceraphael6631
    @joyceraphael6631 Před 3 lety +2

    Jamani kitonga inatisha nilipita na new fosi apo naire gari irivo ndefu nauko chini parivo mbari Mimi presha

  • @logathl.costantine4016
    @logathl.costantine4016 Před 3 lety +1

    Nice

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Před měsícem +1

    Huu mlima kama huendeshi gari kubwa utauona wa kawaida. Ukitaka kuujua pita na gari kubwa

  • @mrh2812
    @mrh2812 Před 3 lety +2

    mlima muze mkoa wa rukwa sumbawanga unaitwa kaburi wazi huo ndo mlima hatar Tanzania maderev wanaipatapat sana

  • @neemamwinuka6554
    @neemamwinuka6554 Před 3 lety +1

    Iringa kwetu mungu ibariki iringa

  • @huseinsalum3175
    @huseinsalum3175 Před 3 lety +2

    Umetisha umeutoa kama ulivyo huko ndo nyumbani

  • @sejodrury906
    @sejodrury906 Před 3 lety +1

    Mandhari mazuri yale!

  • @ElishaSamo
    @ElishaSamo Před měsícem

    Polen na changamoto ya mlima kitonga

  • @issaali1321
    @issaali1321 Před 3 lety +1

    Madereva ni wazembe mno yaani hawafati sheria za barabara na ndio kilasiku watu wanapoteza maisha ni kutokana na uzembe wa madereva.

  • @tanzanian6052
    @tanzanian6052 Před 3 lety +2

    jamaa hamna ushirikiano yan anaewazia trip mtu mmoja...wengine sijui ndo mnavyaza???dah..ila nimekubali Idea.....thats great...ila presenter pia hata ungekaa kimya tu tungeelewa...big up guys!!!na mngezihesahabu izo kona ingependesa zaidi...hamjasimama hata sehem ingenoga zaid!!!

  • @bolingoalbin8379
    @bolingoalbin8379 Před 3 lety +3

    It's amazing!

  • @sylvestermihale2887
    @sylvestermihale2887 Před 3 lety +1

    Al Saedy inateleza tuu kama nyoka pangonii
    Shaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhh🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kassimkr3578
    @kassimkr3578 Před 3 lety +3

    Hiyo nitoka morogoro kwenda iringa

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety +5

    We mwenyewe mvunja sheria za barabarani. Mwenzio kapunguza mwendo we una overtake

  • @eganbaya8118
    @eganbaya8118 Před 2 měsíci +1

    Ntakuja kutembea huko

  • @taifastarstv2446
    @taifastarstv2446 Před 3 lety +1

    Mmmh

  • @MadamFety
    @MadamFety Před 2 měsíci

    Jaman nimeikumbuka ilinga

  • @ezirakarugwe5243
    @ezirakarugwe5243 Před 3 lety

    Nyce video nimeipends

  • @damaslukando862
    @damaslukando862 Před 3 lety +2

    Ninyi pia munasikia music ya congo

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Před 3 měsíci

    Iringa moja hiyo hakuna namna🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @anthonygatimu1258
    @anthonygatimu1258 Před 3 lety +1

    Good traffic terrain update.keep doing it also in google drive.

  • @alibell5246
    @alibell5246 Před 3 lety +4

    Duh kumbe iringa napo kuzur ivi

  • @jimmylyimo4088
    @jimmylyimo4088 Před 3 lety +1

    Duuu dereva wa basi ni nyoko sana

  • @barakhafidelis24
    @barakhafidelis24 Před 3 lety +4

    Iringa raha jamani

  • @felisterveronica5452
    @felisterveronica5452 Před 3 lety +1

    Daah n hatri sio kwa kna hizo

  • @MadamFety
    @MadamFety Před 2 měsíci

    Amee

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 Před 3 lety +2

    Huyo drive anaeendesha Hilo gari inatakiwa ashitakiwa maana kaovertake sehemu isiyoruhusiwa

  • @abdul-bz1cy
    @abdul-bz1cy Před 3 lety +2

    ilinga au iringa

  • @ruahatv1100
    @ruahatv1100 Před 3 lety +3

    Unaufahamu mlima ndololo kaka mahengee ukooo ni hatar

  • @magrethbenjamin4969
    @magrethbenjamin4969 Před 3 lety +2

    Kaka voice yako km naijua iv ushawah tanga,aza County Fm

  • @3samwel803
    @3samwel803 Před 3 lety +3

    appreciate

  • @frankchibago3206
    @frankchibago3206 Před 3 lety +1

    Sio poa

  • @vulfridakessy7148
    @vulfridakessy7148 Před 3 lety +1

    Wala kitonga haitishi kiviileee..pa kawaida sana labda zaman but sahv hapasumbui

  • @festuskahindiyaa3703
    @festuskahindiyaa3703 Před 3 lety +1

    Kumbe Iringa kuzuri hivi!!!

  • @josephomwami7358
    @josephomwami7358 Před 2 lety

    Siku moja mtuletee zile Kona za nyang'oro tujionee

  • @fledymavikamavika7841
    @fledymavikamavika7841 Před 3 lety +1

    Daaa kwetu aise

  • @homajiji6004
    @homajiji6004 Před 3 lety +1

    Iringa Co Ilingaa

  • @abuuaisar5545
    @abuuaisar5545 Před 3 lety +3

    @ uzigo wa mizito

  • @kenyfrancis2946
    @kenyfrancis2946 Před 3 lety +3

    Iringa...sio Ilinga ...

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Před 3 měsíci

    Iringa y etu hiyo

  • @salamanauthartanzania6301

    Sio Ilinga ni Iringa

  • @ziro9653
    @ziro9653 Před 3 lety +1

    mm na enjoy na juma kasimu kiloboto

  • @binsaidiabdul6497
    @binsaidiabdul6497 Před 3 lety +2

    Duu mbona gari nyingi sana

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Před 3 lety

    Unaachaje kununua mahindi ya kuchoma pale mwanzo wa mlima

  • @Matunzo_Classic
    @Matunzo_Classic Před 3 lety +3

    MIMI MSANII NAITWA MATUNZO CLASSIC TAZAMA VIDEO YANGU
    KISHA SUBSCRIBE WEKA COMMENT YAKO NAOMBA SUPPORT YAKO

  • @krey_music7108
    @krey_music7108 Před 3 lety +1

    boss

  • @heradius
    @heradius Před 3 lety +1

    Ajali zinazotokea MLIMA KITONGA
    Check hii!!
    czcams.com/video/xYiCbM5-LRg/video.html

  • @timbukwa9771
    @timbukwa9771 Před 3 lety +3

    Ila Al saed kiboko,,ametafuuuuta hajamuona kabisa, hao wazoefu njia hizo

  • @vyuguruzumwangumwereka
    @vyuguruzumwangumwereka Před 3 lety +1

    Ngoma ya kikongo...safi sana

  • @rashidimwambichi3340
    @rashidimwambichi3340 Před 3 lety

    Hii video mmerekodi lini

  • @charlespantony3329
    @charlespantony3329 Před 3 lety +1

    J

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 Před 3 lety +1

    Siku nyingine mtuonyeshe nahuko chini kwenye maji kukoje,,,?????

  • @godfreymbuya2659
    @godfreymbuya2659 Před 3 lety +1

    Madereva wote wa malori akili zao haziko vizuri,wanapita sehemu za hatari wakifikisha mzigo wanaambulia matusi kutoka kwa mabosi wao,kukatwa pesa zao bila sababu maalumu,kubambikiwa makosa barabarani,na kelele kutoka kwa wake zao.Hivyo ukimwomba njia asipokupa tulia mpaka akili yake ikae sawa.Vinginevyo atakutia kwenye mtaro.

  • @heradius
    @heradius Před 3 lety +1


    Wewe ni msanii chipukizi?!
    Umefungua CZcams account?!
    Jiepushe na matapeli waanaotoa huduma za kufungulia account kwa pesa kibao...
    Siri ya KUFUNGUA CZcams ACCOUNT BURE hii hapa
    czcams.com/video/Luh_GQCub4w/video.html
    Ipo kwa Kiswahili ili kila mmoja aelewe.
    Usipoelewa Jambo
    Ingia sehemu ya notification
    Utaona anuani ya barua Pepe
    Usiogope kuuliza kitu!

  • @subiraboi9397
    @subiraboi9397 Před 3 lety +1

    Na bbara nyemmba kweli

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 Před 3 lety

      Kwa sisi tunaijua hiyo barabara tangu enzi hizo hapo tunaiona pana maana kabla mlima haujachongwa tena 2009 huko nyuma ilikuwa nyembamba kwelikweli

  • @henryoreo2283
    @henryoreo2283 Před 3 lety +1

    frm kenya lakini hamna kitu kama "fuso limedondoka"

    • @rihannaajie3866
      @rihannaajie3866 Před 3 lety

      Si we unajua hao watanzania vile Wapenda kujisifu

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 Před 3 lety

      @@rihannaajie3866 Sinanyie mjisifie yawatz yana mihus ?????????

    • @rihannaajie3866
      @rihannaajie3866 Před 3 lety

      @@aishaasumany561 OSHA kuma ulale kibibi

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 Před 3 lety

      @@rihannaajie3866 Kaanze kuosha mkuma wamamaako kwanza ndio ubishane na mimi mjusi kafili wwe kweeenda nguchiro wwe

    • @rihannaajie3866
      @rihannaajie3866 Před 3 lety

      @@aishaasumany561 vyuuuuuuuuuuuu choooniii

  • @dklive6874
    @dklive6874 Před 3 lety +1

    Maajabu. czcams.com/video/atHD9Z_s29c/video.html

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 3 lety +1

    Ubawa Wake Ni Barabara Ndio Tatizo Haipo ?
    Na Inachukuwa Mudagani Kushuka Na Kupanda Huu Mlima

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate4216 Před 3 lety +1

    Usha wahi ku tokea MOMBO mjini ku elekea milima ya Usambara kule Mtae, Soni, Lushoto, Bumbuli, Magoroto na zaidi?
    Kama bado, basi jaribu kwenda huko Barabara za milima ya Usambara, kisha chukua videoclip, halafu fananisha kati ya mlima Kitonga na milima ya Usambara, wapi ni hatari na kunako tisha zaidi 😅🏔!
    Uki fanikiwa uje utu juze tafadhali 🙏🏽

    • @edithachipondwa8847
      @edithachipondwa8847 Před 3 lety +2

      Nenda kwetu moro mgeta Kama utarudia tena

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 Před 3 lety +1

      @@edithachipondwa8847 Hebu elezea pakoje? Nipe picha kidogo 😅😃

    • @letshikuku39
      @letshikuku39 Před 3 lety

      @@edithachipondwa8847 nacheka kama mazuri. Napasikia tu ingawa ndio kwetu huko

  • @hamisimanja5089
    @hamisimanja5089 Před 3 lety +2

    Bila shaka gari itakuwa inapanda kwa lisaa

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety +2

    Fuso imedondoka. R. I. P kiswahili 😂

  • @ponsianasingo5348
    @ponsianasingo5348 Před 3 lety +2

    unatangaza vizuri ila matamshi ya nakushinda, sio balabala ni barabara na sio iyo ni hiyo🤔

    • @josephinanikwelimdacki3330
      @josephinanikwelimdacki3330 Před 3 lety

      Wwe umenishinda tabia

    • @khalfanibobewe4278
      @khalfanibobewe4278 Před 3 lety

      Kwamba ww hujawahi kukosea au ndo ujuaji

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 Před 3 lety

      Tatizo kiswahili kigumu ndomaana tukitembea nchi za watu hatueleweki matamko yetu sio sahihi tunaferi lugha yetu Ila bado Sana kujuwa vizuri.

    • @tanzanian6052
      @tanzanian6052 Před 3 lety

      siyo ujuaji....kurekebishana ndo mpango mzima...mtu akosee ukae kimya...NO.....!!!! .nitajifunzaje kama nakosea na watu wa mute!!????

  • @saranyenza5974
    @saranyenza5974 Před 3 lety +3

    huko mwazon mlikoazia ni kona za Iyofi kitonga sijaiona kitonga mlima mkali co hivyo, mm ni mkazi wa iringa najua sana

    • @elisasemkiwa2531
      @elisasemkiwa2531 Před 3 lety

      Wewe mkazi wa Iringa ila njia huijui kwakweli..hiyo Ni kitonga maybe kwakuwa mvua zinanyesha vichaka vingi ndio maana

    • @maulidsaid9448
      @maulidsaid9448 Před 3 lety

      Hiyo kitonga yenyewe mzee baba, mi mwenyewe nimepita hapo kama mala mbili hivyo hiyo sehemu naijua vzr

    • @gibsonntamamilo490
      @gibsonntamamilo490 Před 3 lety

      Hajui mzee kajisaidie ukalale.

    • @tanzanian6052
      @tanzanian6052 Před 3 lety

      ningekua nauwezo ningefuta comment yako!.....infact...siyo iyofi,its Iyovi.na unadanganya bwn hapo ni kitonga panajieleza....kwamba jamaa hawajielewi kias hicho??? Iyovi barabara ni smooth sana na ni panaa..na pana kona ndefu kiasi.....

  • @mandagokigge4742
    @mandagokigge4742 Před 3 lety

    Inakuaje muandishi unashindwa kumenteni lafudhi hivi Tanzania kuna mkoa unaitwa Ilinga, madeleva ndio nini

  • @msafirdanga9404
    @msafirdanga9404 Před 3 lety +1

    Kitonga pakawaida tuuu njoo soni Lushoto

    • @gibsonntamamilo490
      @gibsonntamamilo490 Před 3 lety

      Huolima wa Rushoto ni kilometa ngapi na kuna kona ngapi? Acha ushamba Kitonga ni No. 1 tu madereva wote wanajua hilo.

    • @msafirdanga9404
      @msafirdanga9404 Před 3 lety

      @@gibsonntamamilo490 ushawah kufka au unalopoka tu Fanya uchunguzi kwanza kitonga ni maatufu kwakua wanapta watu wamikoa mbalmbal lakini njoo hadi mombo alafu unze kupanda mlima ndio utajua tofaut kat ya nyani na ngedele simba na duma mbwa na mbwamwitu/mbweha