MATAJIRI TANO TANZANIA 2024 || Top 5 matajiri wakubwa zaidi Tanzania 2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • MATAJIRI WAKUBWA ZAIDI TANZANIA 2024
    Leo nimefurahi kukuletea video ya kusisimua kuhusu wasanii matajiri zaidi Tanzania
    Subscribe to Top5Tz: / top5tz
    Kwenye video hii tunakutajia listi ya matajiri wasanii mwaka huu 2023
    Tutajibu maswali yako yote kama:
    nani tajiri namba moja tanzania?
    nani msanii mkubwa tanzania?
    msanii gani tajiri tanzania?
    wasanii matajiri tanzania forbes?
    wasanii matajiri duniani?
    nani tajiri namba moja tanzania?
    wasanii matajiri tanzania 2022?
    wasanii matajiri tanzania 2023?
    Na mengine mengi. Pata taarifa hizi na nyingi zaidi hapa kwenye chaneli yetu ya yotube.
    TOP 5 MATAJIRI WAKUBWA TANZANIA :
    Wasanii na magari yao
    • TOP 5 WASANII WENYE MA...
    • Listi ya magari ya bei...
    • WASANII MATAJIRI TANZA...
    Angalia video zetu zingine hapa:
    VIpengele vyetu
    0:15 Number 5
    0:58 Number 4
    1:37 Number 3
    2:11 Number 2
    2:58 Number 1
    4:10 Like comment and subscribe
    #Tanzania #TanzanianMusic #BongoFlava #AfricanMusic #TanzaniaMpya #TanzaniaMusicIndustry #Wasafi #DiamondPlatnumz #Harmonize #Rayvanny #Bongo #Afrobeats #WCB #TanzaniaYaSasa #TanzaniaTheBeautiful #TanzaniaUnforgettable #TanzaniaSwahiliCulture #TanzaniaWildlife #TanzaniaTravel #TanzaniaSafari #ExploreTanzania #TanzaniaTourism #TanzaniaNaturalBeauty
    #wasanii #matajiri #diamondplatnumz #harmonize #tiktok #alikiba #utajiri

Komentáře • 160

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 4 měsíci +2

    Mungu awahifadhi yarab amen 🙏

  • @abdallahmbonabona8860

    Mzee acha uongo roostam yuko on top😊

  • @CynthiaEsekon-s6u
    @CynthiaEsekon-s6u Před měsícem

    Bless

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před 2 měsíci

    Umenisahau namimi wee jamaa mtoa ripoti unazingua🙏🇹🇿

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Před 7 měsíci +2

    Hamuwez kuja Zanzbar kma hamjapanda Zanzbar One au Kilimanjaro halafu fyoko fyoko Bakhresa yuko juu Mungu amzidishie Amin

  • @SalminRahis-kd9sv
    @SalminRahis-kd9sv Před 3 měsíci +5

    We kuma ni bora uwe shoga maana akuna unachojua

  • @BoniphaceNzenga
    @BoniphaceNzenga Před 24 dny

    Nimeipenda.endelea mienderezo

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 4 měsíci

    Oooh allah tujaalie kila la kheri mola wangu mtukufu na utuweke sehemu salama pa kumjua allah

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 Před 4 měsíci

    Yaaah .!no1 ni bakharesa .. 💪👍

  • @KINGSAGENCYCOMPANYLTD
    @KINGSAGENCYCOMPANYLTD Před 2 měsíci +1

    Jamaa liongo sana. Kwanza Ally Mfuruki alishakufa

  • @MagilaiLobangutii
    @MagilaiLobangutii Před 16 dny

    Hongera yao

  • @theplateboy-ym9xz
    @theplateboy-ym9xz Před 4 měsíci +2

    Voici cette artiste il est connu sous le nom thę plåtę bøy mais de son vrai nom c'est ndombe kaba Ezéchiel ii connais bien chanté c l'artiste chanteur danser compositeur il et congolais de père et de mère 🇨🇩🇨🇩📀📀

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz Před 5 měsíci +3

    na mimi taingia soon kwenye hii orodha

  • @NyerereWomen
    @NyerereWomen Před 10 hodinami

    Je, wanachukua nafasi ya ngapi kimataifa.

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Před 7 měsíci +12

    Apo number moja Said salim Bakhresa mbona nyumba za fumba Boat kilimanjaro hujazitaja tajir hawez kugombania Ubunge wala tajir hatekwi

  • @samiboybb
    @samiboybb Před měsícem

    Nme ipenda

  • @user-th9ut7ro8p
    @user-th9ut7ro8p Před 6 měsíci +1

    Kweli Bakhresa anastahili kuwa namba moja.

  • @WamburaBruno
    @WamburaBruno Před měsícem

    Yupo sawa mo

  • @GloryFriday-l6y
    @GloryFriday-l6y Před 4 dny

    Yaani bakhrase awe no2 takwim sio sahihi tz 85% tunatumia vitu vya bakhrase

  • @AdiliLadislaus
    @AdiliLadislaus Před 5 měsíci +1

    Mafuruki kashafariki

  • @DenisHaule-g2y
    @DenisHaule-g2y Před měsícem

    Napenda kuwapa ongera sana

  • @jaxmkada6797
    @jaxmkada6797 Před 5 měsíci +2

    We muongo na takwimu zakoooo.

  • @henrynuhu2557
    @henrynuhu2557 Před 8 měsíci +5

    miaka 2 mbele ntamuona Simba la masimba dangote

  • @user-cj7oo7mi1x
    @user-cj7oo7mi1x Před 2 měsíci

    Msanii gani anaongoza utajili Tanzania

  • @Evodiuskaijage
    @Evodiuskaijage Před 18 dny

    Gud

  • @frankmajila7632
    @frankmajila7632 Před 8 měsíci +2

    Watu bwana, jamaa kasema anazaidi ya mabus 30. kiswahili ni kigumu sana

  • @josephatbonifaceclemence1154

    Mbona Taarifa ZAKO zauongo Sana HUYO Ally Mafuruki slifariki miaka mitano ilio pita.

    • @DrMbonea
      @DrMbonea Před 23 dny

      Yawezekana hata hamfahamu

  • @ayobuyusuphu7641
    @ayobuyusuphu7641 Před 24 dny

    Mufuruki Alli,hayupo namba hiyo,Kuna Zakaria,

  • @frankmwinuka3413
    @frankmwinuka3413 Před 7 měsíci +2

    Vipi Gsm ni wa ngapi kwa utajiri?

  • @user-ql6fg3bs8y
    @user-ql6fg3bs8y Před 4 měsíci

    Wee bado sana

  • @RogersRange
    @RogersRange Před měsícem

    Tuletee tajiri wa africa

  • @MwalimTumeniAhmada
    @MwalimTumeniAhmada Před 14 dny

    Mbona hizi tathmin zenu feki zko tafaut man juz alipost mtu akasema 2024 tajir namba 1 ni bakhresa lkn naona leo amewekwa namba 2 hii vp jamn?

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 8 měsíci +3

    Wizi tuuu

  • @mr.jcubic1554
    @mr.jcubic1554 Před 2 měsíci

    Matajili

  • @aaroneu07
    @aaroneu07 Před 4 měsíci

    Ally Mufuruki ni Marehemu. Kafariki muda sana. Hii list ni takataka.

  • @iddkaoneka7485
    @iddkaoneka7485 Před 5 měsíci +1

    Rostam ni Mfursi(Muiran na sio mhindi)

  • @user-um8xn4ge4i
    @user-um8xn4ge4i Před 3 měsíci

    Daaa kweli bongo maskini khaaa matsjiri wote hamna mwenye utajiri wa bilion 5 USA dollars mhhh alafu hawa wahindi ndio ma sponsorship wa CCM tutafika tukiwa tumechoka bongo nchi maskini sana africa kumbe

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 Před 7 měsíci +2

    Tunaomb na list ya maskini watano TZ

    • @swedywamba5535
      @swedywamba5535 Před 6 měsíci

      Lazima watatoka dodoma wote wa5

    • @EnocyDaud-xt8vj
      @EnocyDaud-xt8vj Před 6 měsíci

      Wa kwanza ni wewe

    • @mohamedimiraji5495
      @mohamedimiraji5495 Před 6 měsíci

      @@EnocyDaud-xt8vj Ama kweli wewe ni hewa kabisa. Ndio matatizo ya maskini wa kitanzania mtu akiwa maarufu tu Basi kwao ndiye tajiri namba moja😅

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 Před 4 měsíci

      ​@@swedywamba5535😂😂😂 kwa nn

  • @JaphetyLubasha-vw5hr
    @JaphetyLubasha-vw5hr Před 7 měsíci +3

    😂😂😂 tatzoo la CZcams waongooo sana yaan daaahh 😊

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 Před 2 měsíci

    We jamaa mwongo Sana kama hapo et Rostam kawekeza kwenye Vodacom 😂😂 Rostam yupo tigo na zantel siyo vocadom

  • @kasibalisaid7036
    @kasibalisaid7036 Před měsícem

    Rostam aziz si mhindi ni mbulushi .

  • @SimionMajaliwa-wg8xi
    @SimionMajaliwa-wg8xi Před 3 měsíci

    Msenge wew tengua kauli kwa kusema ngozi nyeus

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q Před 5 měsíci +1

    Wewe bwege hizo takwimu umezipata kwa utafiti Gani?

  • @MasterGrouptz
    @MasterGrouptz Před 27 dny

    Huna data maskin liongo

  • @qariuzzamaantanzania7074
    @qariuzzamaantanzania7074 Před 2 měsíci

    Taarifa nyingi c kamilifu.....

  • @SaidMaganga-yi4ez
    @SaidMaganga-yi4ez Před 3 měsíci

    Apo kwenye namba moja uongo wa kwanza ni bakherasa

  • @williamkimweri2293
    @williamkimweri2293 Před měsícem

    Sisi wa tz tuko wapi mbn wote matajili ni wageni tu

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 Před 8 měsíci +2

    Ww muogo😊

  • @user-so5jf8nf3e
    @user-so5jf8nf3e Před 8 měsíci +1

    Liongo kweli ilo

  • @KilimanjaroBand
    @KilimanjaroBand Před 4 měsíci

    Hii list katoa mkundu kwake

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 3 měsíci

    Nyiee vipi aiseee miwe mnafanya research kabla yakuandaa hizi documents zenu hivi umetoa wapi tarifa kuwa Rostam ni muhindi lakini pia nani kakwambia Abdulaziz Aboud ana miaka 61 hapo maana ni moja tu kuwa hujafanya research yoyote umekurupuka tuu

  • @khalfanseif8027
    @khalfanseif8027 Před 2 měsíci

    Uongo Mtupu Huna Focus Kabisa

  • @MayanziBubinza
    @MayanziBubinza Před měsícem

    GSM wa yanga a.k.a. Utopolo yuko wapi?

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 8 měsíci +1

    Rostam aziz ana asili ya kihindi?? We jamaa wewe
    Afu ali mfuruki ni marehemu

  • @salehkhamiss2449
    @salehkhamiss2449 Před 7 měsíci

    we falaa ali mafuruki kafariki mwaka 2020 akiwa na utajiri wa dola million 100 pekee

  • @kibambiibrahim5714
    @kibambiibrahim5714 Před měsícem

    Alishakufa tangu mwaka 2024 Mbona hujasoma?

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s Před 8 měsíci +1

    acheni ukuma wenu

  • @habibrizzyone
    @habibrizzyone Před 2 měsíci

    Takwimu zako za kifala

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 Před 8 měsíci +2

    Kaka fanya utafiti tena... hata huyo Rostam siyo mhindi kabisaaa

  • @user-br1fc9xn2u
    @user-br1fc9xn2u Před 4 měsíci

    Kwa abood umechemka hata kumi Bora hayumo fanya utafiti vzr Tanzania wengi wamemzid

  • @mwitanyahiri4586
    @mwitanyahiri4586 Před 3 měsíci

    Mo hawezi kuwa na hiyo hela

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Před 7 měsíci

    N I utajiri cash, auvitu

  • @mohamedhussein3583
    @mohamedhussein3583 Před měsícem

    Acheni chuki kwa Mo hata mkienda kwa fobes bado Mo anapngoza why amkubali takwimu

  • @MwandosyaMajele
    @MwandosyaMajele Před 5 měsíci

    Mayele 0:23

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis4149 Před 6 měsíci

    Ana asili ya Uajemi,Iran

  • @danielmweta8716
    @danielmweta8716 Před 8 měsíci +2

    Kweli nyie manyumbu kweli yaani abood anampita pesa oil com,wold oil na cameli oil acheni upotoshaji

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 Před 7 měsíci

    Mungu uniepushe na utajiri wa majini kinachonipa Amani kitokee kwako na ktk mikono ulonipa wewe

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti Před 4 měsíci

    Gsm anashika nafasiyangapa ndugu

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 Před 9 měsíci +2

    Ety abood anamabasi 30 tu 😂😂😂wasenge tu nyinyi

  • @talalballeth4330
    @talalballeth4330 Před 3 měsíci

    Hujui lolote angalia unachojua

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 Před 9 měsíci +2

    Ally Mafuruki alifariki 2019

  • @MuhsinJuma-wo2bg
    @MuhsinJuma-wo2bg Před 2 měsíci

    Ww ni msenge tuu nani alikuambia kuhusu pesa zao hawa matajir

  • @OfficialMsamiboy-zh4tu
    @OfficialMsamiboy-zh4tu Před 8 měsíci +1

    Tajir ni Mungu pekee yake.

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 Před měsícem

    Matajiri tano ndio nini? Hiki kiswahili fyoko kimetoka wapi😂

  • @AginesKihoo-zw3yf
    @AginesKihoo-zw3yf Před 7 měsíci

    Mo ni Simba Simba ni mo hatariii tupu

  • @kassimjakaya6991
    @kassimjakaya6991 Před 6 měsíci

    Naomba kuliza ally mafuruki Bado yupo hai?

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 Před 6 měsíci

    Sio kweli.. Rostam ni Tajiri kuliko unavyohisi then asili yake ni iran na sio India

  • @user-fo5bg6tv5s
    @user-fo5bg6tv5s Před 7 měsíci

    Waongo asas na abud

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 Před 8 měsíci

    Kama mnajua tuambieni nyinyi basi jamaa anatupa takwimu wengine mnasema muongo

    • @hamzamfyagidzi6344
      @hamzamfyagidzi6344 Před 4 měsíci

      Et utajiri wa mo trion4 cash
      Sasa wewe huoni kama anakwambia
      Usiku wakati jua lina waka
      Amiliki trion5 cash
      Amekuwa banck

  • @SengaSenga-fe4gw
    @SengaSenga-fe4gw Před měsícem

    Hajajajha mshkajkaj haina mambo

  • @Meky-of9vy
    @Meky-of9vy Před 4 měsíci

    Ww ni mshabik wa Simba ulomuweka moo juu na bakhresa ukamshusha chini

  • @MuuYascohy-oc7os
    @MuuYascohy-oc7os Před 8 měsíci +2

    We msenge acha kupotosha watu Mafuruki alishafariki,alaf et Abood anagar 30 we umezaliwa jana ?? Abood anagar zaid ya 100

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 Před 8 měsíci

      Hata mm nimeshangaa aboud tangu miaka ya 90 ana basi 30 tu huyu fala kweli

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 8 měsíci

      Sio hayo tu pia ana malori kibao

  • @erodasterrichard1535
    @erodasterrichard1535 Před 6 měsíci

    Mhhh.....mjomba, uongo umezid

  • @hamadhamis9763
    @hamadhamis9763 Před 8 měsíci +1

    ivi we jamaa unaakili kweli

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 Před 7 měsíci

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 Před 7 měsíci

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 Před 7 měsíci

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 Před 7 měsíci

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 Před 7 měsíci

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

  • @exaudyjm5170
    @exaudyjm5170 Před 7 měsíci

    1 uyo ndio 2 kaka acha zako

  • @kamamussa6792
    @kamamussa6792 Před 5 měsíci

    Hahah kwamba Rostam Aziz ni muhindi 😂😂😂😂, halafu Huyo number tatu alifariki siku nyingi, we wa mchongo

  • @dinamossy5149
    @dinamossy5149 Před 8 měsíci +1

    Fanya utafiti kabla ya kuandika,usipotoshe watu

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 8 měsíci

    Mailing au mzima mfuruki

  • @hashimmwipallo120
    @hashimmwipallo120 Před 8 měsíci

    Uyu boya anakalili

  • @RichardKatani
    @RichardKatani Před 5 měsíci

    Ali Mfuruki alishafariki nani anamilki makampuni yake?

  • @mndewaog990
    @mndewaog990 Před 2 měsíci

    We huyo ali mafuruki mbn ashafariki

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi Před 2 měsíci

    We n fala kiazi ww

  • @babaabro8847
    @babaabro8847 Před 8 měsíci

    Gsm vp 😮😮

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w Před 7 měsíci

    Siokweri wengine umechapia

  • @user-ok9ls1qs7x
    @user-ok9ls1qs7x Před 7 měsíci

    Moo bakhalesa amuwezi musitudanganye

  • @user-ce8qf3nc3s
    @user-ce8qf3nc3s Před 7 měsíci

    Acha uongo ww izo takeimu za uongo moo pesa za mtoto wakilinton nusu ya pesa ya chensiar chriton ww hujui lolotr

  • @Jumapili-ws5em
    @Jumapili-ws5em Před 3 měsíci

    Acha uongo wa kitapeli mo azidi backilesa acha zako

  • @user-ls6bd6ft4v
    @user-ls6bd6ft4v Před 7 měsíci

    Ali mufuruki alifariki miaka kadhaa iliyopita!..

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis4149 Před 6 měsíci

    Mh! Chanzo cha taarifa? Manake hadi kucululate utajiri wa mtu in monetary terms ni kazi aisee,na sidhani kama tushafika huko!

  • @kassimjakaya6991
    @kassimjakaya6991 Před 6 měsíci

    Achane uongo