Woooooww karibu DODOMA Mheshimiwa Rais wetu,, Malaika wa Mungu wafanye kituo wakikuzunguka mchana na usiku kwenye makazi yako mapya Dodoma tuko pamoja nawe mama yetu
Mimi binafsi namuomba MUNGU Atuletee viongozi wenye uchungu na raslimali zatu, na wazalendo wa dhati, kiukweli nchi yetu imeng'ara sana, JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI NA TIMU YAKE, KUNA JAMBO KUBWA NIMEJIFUNZA KWAO😂😂😂😂❤❤
Woooooww karibu DODOMA Mheshimiwa Rais wetu,, Malaika wa Mungu wafanye kituo wakikuzunguka mchana na usiku kwenye makazi yako mapya Dodoma tuko pamoja nawe mama yetu
Waooo tantania big
Ndiyo muige mfano wa uzalendo, kama walivyokuwa, NYERERE NA MAGUFULI Wamewakilisha vizur, hatutawasahau, MUNGU barik TANZANIA
Ikulu ya watanzania imejengwa na watanzania hongera jemedali
Dr, John pombe magufuri uliacha alama
Kufru bi twaghut
Jpm pumzka kwa amani umeacha alama tz
Mauti haikumpebdea haki Dr JPM
Dodoma imependeza.
Pandeni miti kwa wingi
Mimi binafsi namuomba MUNGU Atuletee viongozi wenye uchungu na raslimali zatu, na wazalendo wa dhati, kiukweli nchi yetu imeng'ara sana, JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI NA TIMU YAKE, KUNA JAMBO KUBWA NIMEJIFUNZA KWAO😂😂😂😂❤❤