#ZaNdaaani
Vložit
- čas přidán 28. 09. 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Sport
Mmoja wetu akinyanyaswa ulaya wazungu ni wabaguzi lakini na nyie mnafanya hivyo hivyo? Pumbavu kweli
Uyo mzungu ache ujinga sisi wana simba tuko vizuri Ata aundoke
Namkubali saana huyu mwamba 😂😂😂😂😂😂😂
Huuu ni unyanyasaji kama kwelii...Bora wangemtoa kwa heshima
Yaan mambo kama haya kama umechunguza vzr sanaaaa kwa undani dhambi wanazozifanya wao zinawaludia wenyewe wanapoenda nchi za watu alafu wepesi kulalamika Ooooh wametupa basi bovu wametupeleka uwanja wa mbali wanasahau unyama wanaowafanyia wachezaji wao wanapodai haki zao wakidai tu utovu wa nidham yaan wanakera sana aisee
Aiseeeee
Ila wewe jamaa leo umenichekesha kwa Hilo!!!🤣🤣🤣🤣
Nakupenda wewe
😂😂😂😂 Umbwa kweli ety walinzi hawajasoma
Msituzingue! Dejan kamfuata babake zolan
We recardo wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Za ndaaaaaaaaani!!
Wa kuderee😂😂😂daah
huyu jamaa choko kweli huo uchochez sio powa
Oya wadau uyu nimpiga madili Kama wapiga madili wengine asiwazingue chizi huyu mpenda sifa anaonge vitu utafikiri analalanae mzungu au shemeji yetu nn
Nawewe ulikiona chamoto kwa tifa ulibabaika sana ulitafuta sana pakutokea usiseme wenzako tu hawajasoma nawe haujasoma unabebwa kwaajili yaumbea huo ndiyo uchambuzi wampira kusema kimafumbo mafumbo
Uongoo huu niuzushi
Bad treatment, viongozi wa Simba mungu anawaona
Tumesha elewa tayar Daah pole yake
Unajua wao wanajiona wajanja ila ni sehem moja wapo ya raana kubwa sana kwenye safari ya mbele unatafuta mchawi sasa kumbe mchawi wenyewe viongozi
Ata nyie mnalaana kumuwacha mwakalebelo ambaye alikuwapo kipindi cha bakuli
@@zehrahaji1566 Kifupi mdau mimi sio shabiki maandazi hizi timu zetu za hapa bongo Simba na Yanga zinajipa raana wenyewe sio km naitetea Yanga hapana kwenye ukweli naongea hata Yanga tabia ndo izo izo tu mfano kuondoka kwa Bumbuli SENZO wale wote walioipambania timu katika nyakati ngumu sikufurahishwa nalo kbs mdau
Huyu simuelewag kabisa
Ndio mana uli feli darasan l... Maana lugha kiswahili
@@mecksonjoseph2522 za ndani ndio nn sana tuekeze uhalisia wa mambo
Muulizen Kwan biashara ya ushoga aliacha mbona watu awasemi yakwake shombotuu mbona watu wanajuwa na wamekaushatuu
Wamekaushia kwa sababu nao wanafanya biashara hiyohiyo wanaogopa kuumbuana!
😂😂😂😂😂 wa kudereee l
Uliyoyasema sikweli umechemka
Ungeongelea utopolo ungetukanwa sana tena wangesema mbea sana lakini kwa vile umeongelea simba watakusifu sana utasikia wanasema namkubalisana huyu mwamba ila ongelea utopolo uone hayo matusi
Simba mnaleta aibu sana sana kwa mbwembwe za leta mzungu leo mmekuwa wadogo kama pilitoni
Si alimuongelea Mwamnyeto na nyie mlimsifia au mmesahau?
😁😁😁
Hayo ni mawazo ya Mzee wa kudere inawezekana yana ukweli na inawezekana ikawa furahisha baraza, sio kila linalosemwa lina ukweli
Duuuh iyo kali,
Huna lolote
🤣🤣🤣🤣
Hawaokot simu duh
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣jinga
DEJANI MWONGO KM NI HIVYO KWANN ASIWAONE VIONGOZI?HUYO MCHONGANISHI.
SIMBA WAMESHACHAFUKA MPAKA EUROPE WANACHOKIPANDA WATAKUJA KUVUNA WACHEZAJI WETU WA TANZANIA
Ila wewe jamaa leo umenichekesha kwa Hilo!!!🤣🤣🤣🤣