MCHUNGAJI HANANJA BILA WOGA AWALIPUA WAKRISTO FANYENI TOBA ASHUSHA NONDO 3 KIPINDI CHA KWARESMA LAZ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024

Komentáře • 41

  • @DomitinaPetro
    @DomitinaPetro Před 3 měsíci +1

    Huko vizuri mchungaji, Mungu akubariki kwa mafundisho.

  • @user-nz6xy1vs5i
    @user-nz6xy1vs5i Před 5 měsíci +1

    Saaafi sana Mungu akupe maisha marefu

  • @user-rk8em3me9p
    @user-rk8em3me9p Před 5 měsíci +1

    Hongera ww ni PRO.wa zuoni (
    PRo.BIBBLE)

  • @vickylupemba6055
    @vickylupemba6055 Před 6 měsíci +3

    Mchungaji Hananja nakuelewa na kila unapoongea ni hekima tupu. Barikiwa sana maelezo yako nitayafuata 💯🙏🏾

  • @asiajoseph314
    @asiajoseph314 Před 2 měsíci

    DAMU ya YESU nitakase😭😭😭

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 Před 6 měsíci +1

    Barikiwa sana upo sahii kabisa tuna utapiamlo wa Neno la Mungu

  • @user-jw8pw2pd9l
    @user-jw8pw2pd9l Před 6 měsíci

    Kipimo cha kutuonesha kama tuko sawa mbele za mungu peke yake tu ndio naona kama umepungukiwa jitahidi kutambua kazi ya sheria katika maisha yetu sheria ni tabia ya mungu halisi

  • @user-uu8bd4vi9s
    @user-uu8bd4vi9s Před 6 měsíci +1

    Mungu akubariki sana

  • @wigeasanyerere6451
    @wigeasanyerere6451 Před 6 měsíci +1

    Kweli binafsi natamani hata nikuone,maana unapigana vita ya kweli na haki.asiye kuelewa kweli ana mauza uza kichwani,unataka watu washike neno la Mungu na sio mathehebu na mifumo yao

  • @michaelseka6890
    @michaelseka6890 Před 6 měsíci +2

    Nakuelewa sana mzee wangu Kwa maana unatufungua akili zaidi

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 Před 6 měsíci +1

    Nakuelewa sana mtumishi wa mungu unatufundisha vema

  • @aminamacha5594
    @aminamacha5594 Před 6 měsíci

    Na ss tuouthuria ibada zote ijumaa na jumapili mapadri wanahuburi kuhusu toba kuacha dhambi uzinifu kuiba kuuwa usengenyaji kusaidia asiye kuwa nacho mapadri wanahuburi ila niakili zetu waumini tunahangaika na dunia😅😅😅😅 Amina 🙏

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 Před 6 měsíci +1

    Mzee uko saawa saana mw MUNGU azidi kukupa neema zake yani we people kwako iko wazi saana

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 6 měsíci

    💯

  • @jorgitolucasbaluth8903
    @jorgitolucasbaluth8903 Před 6 měsíci +1

    UTAONDOKA MWENEWE KWENHE UKRISTO SISI ATUMWACHI YESU

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 6 měsíci +1

    Story hizi hazibariki watu wa Mungu, Naomba tumhubili Cristo tu tuachane na mambo ya Imani za wasiotuhusu.

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci +1

      Jifunze kujua ukweli sio unaendaenda kama umejiumba

    • @sultantz7635
      @sultantz7635 Před 6 měsíci

      Unamuhubiri vipi kwa uongo???

  • @libetztanzania-kiswahilina2845

    Media na sio mendia wakenyaaa

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 Před 6 měsíci

    Nnachoona apa uyu HANANJA LUSEKELO MGOGO ni mnatafta kiki kwa kuchafuana tuu akuna kionhoz makini anakua msengenyaaji fundisha neno achana na ya watu nanyi waandishi acheni kuwachafua watumishi na maswali yenu ya mitego

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 6 měsíci

    MNAFANYA TOBA GANI WAKATI YESU KAMA KWA DHAMBI ZENU???

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 Před 6 měsíci

    ***Max mindia ni kitu gani?***

    • @MaksMedia1
      @MaksMedia1  Před 6 měsíci

      Maks Media

    • @kennedyngusulu9411
      @kennedyngusulu9411 Před 6 měsíci

      ​@@MaksMedia1hiyo kengele mnaweka kwenye videos zinaudhi sana kelel ni kubwa mnapoteza audience sana taften namna nyingine

    • @mndambimrinji
      @mndambimrinji Před 6 měsíci

      KWELI KENGELE INAHARIBU USIKIVU​@@kennedyngusulu9411

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 Před 6 měsíci

    Mkristo haukatazwi kujuwa nn uislam wala mwislam hukatazwi kujuwa nn ukristo so ukisoma kwa umakini utajuwa wapi njia sahihi kazi kwako

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 Před 6 měsíci

      Uislam wao kufunga/toba ni kuonyesha watu na kujidai na kuona ufahari kula futari ,kula usiku mchana unaacha/kubadilisha muda wa kula, hananja umeongea vema

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 6 měsíci

      Ukristo wetu unatutosha. Hatuhitaji kujua chochote kuhusu Uislamu

  • @titokwareh1852
    @titokwareh1852 Před 6 měsíci

    Huyu mzee always Yuko negative, we hubiri neno la Mungu Kama wenzako why kuponda matendo ya wakristo kila siku.? Jikite kwenye Bible acha comedy

    • @wigeasanyerere6451
      @wigeasanyerere6451 Před 6 měsíci +1

      Ndg samahan binafsi me naelewa anacho maanisha n tushike neno la biblia

    • @titokwareh1852
      @titokwareh1852 Před 6 měsíci

      ​@@wigeasanyerere6451hakuna siku anaongea bila kuponda wachungaji wenzake mara sijui wezi, waongo. Nani asiyejua hapa duniani kuna waongo na wezi? But yy kila akiongea anaponda ukristo kwann asijikite kuhubiri Bible. Ukishasema majivu ni ishara ya toba hyo inatosha why ulete tena comedy mara wengine wanajipaka sijui kama nn. Ttzo anajifanyaga kuongea sana comedy mpaka ana bore. Afundishe neno la Mungu inatosha comedy za nn

    • @johnmwanja4476
      @johnmwanja4476 Před 6 měsíci +1

      Namuelewa ssna mchungaji juu ya ukweli ktk Injili....Tuache kuburuzwa na sheria za dini/ dhehebu bali tujifunze nini neno la Mungu( Injili) linasema.
      Barikiwa saana mchungaji.

    • @EuphrasiaNtawatawa
      @EuphrasiaNtawatawa Před 6 měsíci +1

      Amesema tusome neno,tujifunze neno,tulijue neno tuliishi neno,bila neno la Mungu turaburuzwa tu

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 6 měsíci +2

      Kama anakukera basi ujumbe umekuingia vilivyo😂.. safi sana