MCH HANANJA Awalipua WACHUNGAJI kutokea MAREKANI ule sio Uvaaji MALISA AMEWAKOSEA WATANZANIA..!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 12. 2023
  • CONTACT US +255 749 889 039
    East African number one CZcams channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
  • Zábava

Komentáře • 293

  • @ngarathecomedian5743
    @ngarathecomedian5743 Před 8 měsíci +171

    Vitu vya Manaa kama Hivi havipati Viewers wengi na Comments nyingi kwasababu ni ukweli unauma ata hii comment haipati likes ila zingekua story zikina Mondi Mangi. Konde 😢😢

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 8 měsíci +9

      Ni taifa lililoamua kufata njia ya ujinga na umbumbuu , ndio maana leo hata uyo diamond ndio anaonekana yeye ni tajiri kushinda bakharesa leo kina baba levo wanaskika kuliko wataalam na kuna watu wako huko kyambankumbe wanawaona wao ndio viigizo fake inamaana kuliko genuine, ukiaongea ya msingi huna nafasi ila ushubwada iyo ndio tz ya leo

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia Před 8 měsíci +2

      Kweli 😅😅

    • @azaransari7307
      @azaransari7307 Před 8 měsíci +4

      Mungu atupe macho ya rohoni
      Wakati huu wa mwisho. Kila mtu sjifunze kusoma Biblia mwenyewe na aombe mwongozo wa Roho Mtakatifu

    • @azaransari7307
      @azaransari7307 Před 8 měsíci +4

      “Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.

      - Mathayo 24:11 (Biblia Takatifu)

    • @egidiusmagoma3334
      @egidiusmagoma3334 Před 8 měsíci +2

      😂😂😂

  • @igusakapesa2711
    @igusakapesa2711 Před 8 měsíci +44

    Am a Muslim, but MCH. Hananga is truly man of God, he has spoken the truth in a most simple way ...he will go to heaven I pray ❤

  • @hamiduibrahim8232
    @hamiduibrahim8232 Před 8 měsíci +61

    Mm ni muslim lakini huyu mchungaji namuelewa sanaa..

  • @yahomeshopllc5950
    @yahomeshopllc5950 Před 8 měsíci +16

    Mzee ume sema mambo yetu yote kweli. I love you again from KY USA 🇺🇸 🇨🇩💪🏻

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 8 měsíci +11

    Barikiwa mchungaji iahi miaka.mingi tunamuomba Mungu akupe umri wenye afya njema na mafanikio hili tuzidi kujifunza❤

  • @allyseba172
    @allyseba172 Před 8 měsíci +20

    Daaah m muislam ila huyu mwamba nam kubal sana sana

  • @rehemakaijage1364
    @rehemakaijage1364 Před 8 měsíci +12

    Hekima hizi za wazee kama Mchungaji Ananja ni muhimu sana, tuzizingatie. Asante baba

  • @user-yf6ws8uz2p
    @user-yf6ws8uz2p Před 7 měsíci +3

    Mimi ni muislam lakini nafuatilia wakristo Sana mc hananja NI mkweli na muazi mungu akuweke na akuonyeshe haki uifuate inshallah

  • @augustfive5279
    @augustfive5279 Před 8 měsíci +13

    Mungu akubariki sana mchungaji na aendelee kukuongoza kwenye hekma alizokupa.

  • @Keyjop
    @Keyjop Před 8 měsíci +8

    Watu wakweli kama hananja wanakubarika na watu wachache sana 😅😅😅 ila ukimfuatilia unapata madini ya kukusaidia maisha ....📌 🥰🥰🥰

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 7 měsíci +2

    Simple Pastor..and speaks straight forward

  • @godlovemanase3423
    @godlovemanase3423 Před 8 měsíci +13

    And the Truth shall set us free.

  • @fredanunda7719
    @fredanunda7719 Před 6 měsíci

    Wow!! Wow!! Eh!! Mafundisho mazuri kweli. Asante mchungaji. Ubarikiwe

  • @user-jt9kz7kl5q
    @user-jt9kz7kl5q Před 7 měsíci +2

    Mch hananja mungu akubariki na hazidi kukupa hekima katika kazi yako ,,,,,naongeza kukuita mwalimu na mchungaji hananja,,,,,,,simple way of delivering a good message to the community

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 Před 8 měsíci +7

    Kiukweli hizi ni nyakati za mwisho kila dalili zipo wazi mungu atunusuru Amen

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 Před 8 měsíci +3

    Kweli kabisaa... Hongera Sana Mchungaji wangu Wazo Hill zamani,hajambo Wachungaji Andrea Mwalilino, mchungaji Ipyana Mwakabonga huko USA

  • @halisimedia200
    @halisimedia200 Před 8 měsíci +4

    Nakupenda sana mch na umekuwa kiongozi wangu siku zote japo ni mtandaoni tu

  • @godefroidm741
    @godefroidm741 Před 8 měsíci +2

    Kwani hizi akili umepewa umushukuru Mungu,nakutakiya maisha mema.nipeni like pls.

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 Před 8 měsíci +2

    He is right. Hata marais wakienda nchi za nje huwa wanauliza huko wanakoenda tamaduni zao zikoje, uvaaji, salam nk.

  • @katembenduto9560
    @katembenduto9560 Před 7 měsíci +1

    Jambo la kweli halina umati wa watu,ila hili ndilo neno halisi.Mungu akupe maisha malefu uzidi kutufunza mambo ya Mungu.

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před 8 měsíci +3

    Brow usimuache uyu baba Mimi uwa nainjoy sana nadifunza vítu vingi kadha w Kadha. Napendaga sana.

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 Před 8 měsíci +6

    Baba ubarikiwe sana umesimamia ukweli na haki.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 7 měsíci +2

    Kila utamaduni una spirit nyuma yake so kuna utamaduni wa ki Mungu na wa ki Shetani.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 7 měsíci

    Ndugu yangu pastor ninakuheshimu sana Huko ulikoenda nimeshafika ndugu yangu.Ninakuelewa sana kaka❤

  • @mchoppertz26
    @mchoppertz26 Před 8 měsíci +2

    Mzee unanyooosha hauna Kona respect sana🙌🙌

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před 8 měsíci +4

    Mchungaji anaongea point sana

  • @user-vb7tu5zs9d
    @user-vb7tu5zs9d Před 8 měsíci +2

    Mzee nakukubali sana huwa unanibariki kwa mafundisho yako

  • @chrisjacob4057
    @chrisjacob4057 Před 8 měsíci +6

    Huyu baba. Bana huwa na mwelewa sana

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 8 měsíci +10

    Hananja ni miongoni mwa wachungaji wenye akili sana na wapenda ukweli mchungu

  • @gjlisa
    @gjlisa Před 8 měsíci +2

    True, Pastor

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 7 měsíci +1

    Mungu anaangalia roho ni funzo la shetani

  • @laurentkayega2863
    @laurentkayega2863 Před 8 měsíci +2

    Mi nakuelewa Sana blessing speak

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 8 měsíci +1

    Kakakuona! Daa kanisani kuombwa baraka, SIJUI hawa wanyama tafsiri zao Mungu alizoziachia. Imani potofu naona.

  • @yeslord2276
    @yeslord2276 Před 8 měsíci +3

    Mzee huwa n mkweli kabisa😂😂😂 Big up papa

  • @EzekielMsigwa
    @EzekielMsigwa Před 8 měsíci +1

    Asante baba binafsi nakuelewa

  • @benjathekingofficialshows
    @benjathekingofficialshows Před 8 měsíci +34

    Kuokoka hakuombi utamaduni huo ni uongo mkubwa , ukiwa umeokoka huwezi vaa vile kama wale majamaa au kusuka au kuweka vipini au kuweka matattoos huo ni ujinga na ushetani , mimi naishi texas marekani na kuna wazungu wanaishi maisha ya wokovu kabisa , meanwhile ukiingia youtube andika pastor jennings , uone maubiri yake ya kuponda uvalio mbovu , matattoos na ujinga ujinga kama huo , sasa usidanganywe eti mazingira ni uongo , hananja hapo kaongea point sana . Shetani ni mbaya sana

    • @emmyshantiwa6121
      @emmyshantiwa6121 Před 8 měsíci +4

      Point. Mungu awasamehe

    • @remmyalfred6736
      @remmyalfred6736 Před 8 měsíci +2

      Safi sana 💯

    • @NeemaMmeli
      @NeemaMmeli Před 8 měsíci +3

      Wazungu wanakuja kuhubir injit eanavaa vizur na hawajasuka nywele Leo wanakuja waafrica et wanaume alafu wamesuka alafu Wana tatuu hai biwahuni 4:50

    • @benjathekingofficialshows
      @benjathekingofficialshows Před 8 měsíci

      @@NeemaMmeli 😂😂😂

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 7 měsíci

      @@NeemaMmeliMarekani Weusi wote wanasuka Ni shida saana

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Před 7 měsíci +1

    Nakuhewa sana mtumishi

  • @user-ef8pn2ut1y
    @user-ef8pn2ut1y Před 8 měsíci +1

    Mungu haabudiwi kwa kufuata tamaduni au mila za watu mtu akiamua kumfuata Mungu lazima afuate kanuni zake bila kuchanganya damaduni na kanuni zake.

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před 8 měsíci +2

    Pastor avaa hereni puwani Subhana'Allah

  • @sholavalencemgimwamgimwa2812

    Ni kweli mtumishi wa mungu hananja

  • @ngayaimkwe5175
    @ngayaimkwe5175 Před 8 měsíci +4

    Dah anatukosha sana huyu mzee

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 Před 8 měsíci +2

    Baba nakuelewa Sana ubarikiwe

  • @ismailgumbo289
    @ismailgumbo289 Před 7 měsíci +2

    Uko sahiii sanasana yanini wewe nimuislam kabsaa ulibaki kusilim tu ,mungu akuongoze kwakeli, ww namini ndio mtu wakitabu haswa uliozungumziwa ktk Qur'an

  • @viceboss7229
    @viceboss7229 Před 8 měsíci +1

    Namkubali sanaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @pastormwanjatv1000
    @pastormwanjatv1000 Před 8 měsíci +4

    Hongera baba kwa kutenga maji na mafuta

  • @naslee1010
    @naslee1010 Před 8 měsíci +3

    Mzee wangu allah akupe kheri ya dunia na akhera una nifurahisha sana 😂😂😂😂😂😂

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji Před 8 měsíci +2

    Uyu jamaa nimkweli sana aisee safi kweli watu muda wote kanisani misikitini munafanya nn madini zawatu zauwizi natamaduni za ajabu mmezikumbatia

  • @niyiitunvirakamwaga3683
    @niyiitunvirakamwaga3683 Před 8 měsíci +4

    Huyu ni mbegu kutoka Kwa Mungu. Ukimsia kwanza anajua biblia lakini anaujua wokovu🙏

  • @yohanamichaelmaganga
    @yohanamichaelmaganga Před 8 měsíci +1

    Amen!

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred6736 Před 8 měsíci +4

    Safi sana 💯🔥🔥🔥

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před 8 měsíci +2

    Thank you mchungaj 🙏

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před 8 měsíci +4

    Malisa tuletee hayo mapepo uliyoyatoa marekani tuyakemee yatoke na wewe mwenyewe tukuapishe use mwaminifu Kwa Mungu. Kwani unafungamana na mapepo toka kuzimu na kuyafanya manabii Yako?

  • @limo_7
    @limo_7 Před 8 měsíci +2

    Safi sana mchungaji

  • @nwntz
    @nwntz Před 8 měsíci

    hawatuwezi background..cool

  • @npslady7429
    @npslady7429 Před 8 měsíci +1

    Hiiii nzurii

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před 8 měsíci +2

    KWANI HAO WAMERIKANI WAMELETA UTAMADUNI KWETU HUO NI UTAMADUNI WAO HAWAJASEMA WATANZANIA WAVAE KAMA WAO KAMA VILE WAMASAI HAWATULAZIMISHI SISI KUVAA SHUKA NI UTAMADUNI WAO TUSIWALAZIMISHE WAMERIKANI WAVAE KAMA SISI

  • @abdullahabdull3172
    @abdullahabdull3172 Před 8 měsíci +6

    Nakukubali Mch.Endelea kusimamia ukweli japo wapo wanao umia.umenikumbusha serikali inayokusanya kodi.rest in peace Magu....rest in peace Gov of Tanganyika

  • @annonmnzava728
    @annonmnzava728 Před 8 měsíci +2

    Akili kubwa sanaa

  • @ramseyngwejela499
    @ramseyngwejela499 Před 8 měsíci +4

    Labda kwa kifupi niseme hivi: watu hupenda utambulisho wao, yaani wa kimwili (carnality), kiroho hawajui identity yao. Kwa hiyo wanachojitetea ni kusema Mungu haangalii mwili bali roho ya mtu. Hawajui kuwa roho zao zinapaswa kuvikwa na kupambwa vitu vya kiungu wakiwa bado wako duniani. Revelation 3 :17-18 ; Isaya 61:10 n.k, zina mafunzo makubwa sana kitu ambacho hakihubiriwi ktk makanisa mengi duniani. Mwisho wa yote wanaishia kwenye tamaduni zao za kimwili na kuzitetea hizo. Spiritual nakedness imepatiwa mbadala ndo hivyo vipuri puani, tattoos, kusuka wanaume n.k.

  • @seifdecent-tec5954
    @seifdecent-tec5954 Před 8 měsíci +1

    Ameni Baba ❤❤❤

  • @jastinarts
    @jastinarts Před 8 měsíci +1

    This is fact man

  • @bilikwijavalentino5392
    @bilikwijavalentino5392 Před 8 měsíci

    Daaaaaukweli kabsa

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před 8 měsíci +5

    Maana halisi ya Mchungaji ndio huyu

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Před 8 měsíci +4

    Roho muachie mungu sisi tunaangalia mapaja😂😂😂😂

  • @faidhacute
    @faidhacute Před 8 měsíci +3

    Kwakwel wale wachungaji hata kama sio muumin lakn ile appearance hapana kwakwel sijawah kuona mchungaji Rasta

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 Před 8 měsíci +12

    Mch Hananja tunapata elimu kubwa Sana ya kiroho na kimwili

  • @ambaadamson7109
    @ambaadamson7109 Před 8 měsíci +1

    Briant pastor

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 8 měsíci +2

    Wamevamia chakula cha kuku. Hizi dini zingekua 1 ningezielewa. Nakukumbusha mwandishi wa Habari kua ukisikia kua mchungaji amealikwa hapa Marekani, ujue sio wazungu ni watu wahuko ambao wanataka kukusanya pesa. Hawa wachungaji wanakubaliana pesa na mimi Nina ushahidi.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 7 měsíci

    Ni kweli mchungaji❤

  • @ezekelmabesa4324
    @ezekelmabesa4324 Před 8 měsíci +2

    Huyu baba anamjuaa snaa Mungu

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 Před 8 měsíci +1

    Mchungaji lets meet in heaven!

  • @valerianmtowe7822
    @valerianmtowe7822 Před 8 měsíci +2

    Tz oyeeeee

  • @WorshippersofGodarmy-ot1mk
    @WorshippersofGodarmy-ot1mk Před 8 měsíci +3

    Kwa utamaduni nimekuelewa sana

  • @fayverenah
    @fayverenah Před 8 měsíci

    Lakini duh😮hapa kuna point😂😂😂😂😂

  • @nobledangote7854
    @nobledangote7854 Před 8 měsíci +1

    Sis tunalipa kodi wanavimbisha matumbo yao 😂😂😂😂

  • @user-sd3ch5ff5s
    @user-sd3ch5ff5s Před 7 měsíci +1

    Director Muulize pastor jina la ile kanisa ambao Mtumishi wa Bwana alienda HOUSTON TEXAS ili nami niende kumwaabudu Mungu huko

  • @gjlisa
    @gjlisa Před 8 měsíci +1

    Who is their spiritual father?

  • @abibumbota5160
    @abibumbota5160 Před 8 měsíci

    ❤❤

  • @alanmwijarubi
    @alanmwijarubi Před 7 měsíci +1

    Umesema kweli

  • @leonardmakwela5551
    @leonardmakwela5551 Před 8 měsíci +1

    Dhambi isipakwe rangi !
    Dhambi , dhambi tuu!
    Hamna kitu pale !
    Haw ni wa ule upande wa pili wasitudanganye😢

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Před 7 měsíci

    Mtumishi mwenye busara na hekima nyingi.Mungu akupe umri mrefu, ili tuendelee kujifunza kutoka busara zako.

  • @GorbaChev-yn2tb
    @GorbaChev-yn2tb Před 8 měsíci +1

    Huko Ata mm napapenda maana uku bongo wabongo hawafwati Sheria kwa kila mmoja

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 7 měsíci +1

    Wale manabii wamekuja kufundisha USHOGA bongo

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 7 měsíci +1

    Tutawatambuaje? Kea matendo yao....Mti mabaya ....mtimzuri.....

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 Před 8 měsíci +2

    Mambo ya walawi 19:28
    Leviticus 9:28

  • @MaikoSinyinza
    @MaikoSinyinza Před 8 měsíci +2

    Munguawe nawe mchungaji

  • @sarahjoshua7559
    @sarahjoshua7559 Před 7 měsíci

    Da tunajifunza vitu vingi sanaaa

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 Před 8 měsíci

    Ni kweli utamaduni unatakiwa uzingatiwe katika Injili! Lengo ni kumpeleka Bwana Yesu akubalike na jamii husika... Wewe mpelekaji ni muhimu ukawasoma hao watu. Paulo anasema nilipoenda kwa watu fulani nikawa kama wao ili niwapate kwa KRISTO

  • @ericsamuel2217
    @ericsamuel2217 Před 8 měsíci +1

    amenena

  • @hastatz
    @hastatz Před 8 měsíci +1

    Ukweli mtupu

  • @ramseyngwejela499
    @ramseyngwejela499 Před 8 měsíci +1

    Injili ya kile kiitwacho kwa kiingereza To be clothed with Holy ghost light of life glory body of the NOW CHRIST. Hii injili haihubiriwi kabisa sababu haijulikani hata huko america kwenyewe.

  • @safarivahocha8077
    @safarivahocha8077 Před 8 měsíci +1

    Hongera sana kwa American Tour yako mtumishi wa Bwana. Ila hizo ni States 9. sio kumi (10) 1. Minnessota; 2. Illinois (Chicago); 3. Ohio ( Columbus); 4. Iowa (Iowa City) ; 5. Missouri (Kansas City); 6. Kentucky; 7. Nevada (Las-Vegas); 8. Geogia (Boston); 9. Texas ( Dallas, Huston).

    • @TozzyMay
      @TozzyMay Před 8 měsíci

      We jau..
      Kwan kasema kataja zote apo
      Think behind 😮

    • @mozeslyricstz720
      @mozeslyricstz720 Před 8 měsíci

      @YTozzy_tz achana nae akili mgando huyo

    • @mohdabdalla7070
      @mohdabdalla7070 Před 7 měsíci

      Sasa ww kuna ulazima gn wa kutj maeneo yote kumi kwn hata Hayo Tisa aliyo ytaja BDO ametja miji ming maan dhumun kubw ni kusimulia Safar yke tu na mambo mengn sio kutja miji yote aliyokwend

  • @user-rf8gp4ec6d
    @user-rf8gp4ec6d Před 8 měsíci

    Kweli kbs 🇺🇸🇺🇸🤦‍♂️

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 Před 7 měsíci +1

    Hahaha Mwaposa na keki na maji udongo na mafuta utapeli mtupu🤣🤣🤣😄🤣

  • @zabronlusana1019
    @zabronlusana1019 Před 8 měsíci +1

    Nimekuelewa baba

  • @imhotepheru436
    @imhotepheru436 Před 8 měsíci +1

    Leviticus 19:28 Tattoo is totally prohibited in the Bible ☺☺☺
    Corinthians 11:14 Dreads, Long hair for men is prohibited ☺☺☺

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 Před 8 měsíci +1

    Haaa haaa ananjaa bhana unajuwa uyu malisa sijui nani kampa unabiii

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 Před 8 měsíci +1

    Ata mm nilicheka sana,,kumuona mdada kampigia magoti kakakuona,,daah 😂

  • @Maaworldwide
    @Maaworldwide Před 8 měsíci +2

    WAMEKOSA WATUMISHI WA MUNGU NI VIONGOzi WANAFUNDISHA UVAAJI

  • @yasintajoseph7495
    @yasintajoseph7495 Před 8 měsíci +3

    Mtu anaweza kuwa kondoo kwa nje lakini ndani ni mbwa mwitu,vile vile mtu anaweza kuwa mbwa mwitu kwa nje lkn ndani ni kondoo wa kweli

    • @erickmillanei4346
      @erickmillanei4346 Před 8 měsíci +1

      Hakuna kitu kama Icho Kwa Mungu hakunaga mchanganyiko eti Uwe muhuni mchamungu 😂😂😂

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Před 8 měsíci

      Imani pasipo matendo imekufa.

    • @yasintajoseph7495
      @yasintajoseph7495 Před 8 měsíci

      Yaani ya kuvaa au...yaani na lile joto Kali mlitaka avae suti au..wapo wa aina yake walienda na wakamsikiliza...waambien na wamasai wavae basi nguo za ndani wakienda kanisani au wavae kizungu...