MCH HANANJA Awalipua WACHUNGAJI kutokea MAREKANI ule sio Uvaaji MALISA AMEWAKOSEA WATANZANIA..!
Vložit
- čas přidán 7. 12. 2023
- CONTACT US +255 749 889 039
East African number one CZcams channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande - Zábava
Vitu vya Manaa kama Hivi havipati Viewers wengi na Comments nyingi kwasababu ni ukweli unauma ata hii comment haipati likes ila zingekua story zikina Mondi Mangi. Konde 😢😢
Ni taifa lililoamua kufata njia ya ujinga na umbumbuu , ndio maana leo hata uyo diamond ndio anaonekana yeye ni tajiri kushinda bakharesa leo kina baba levo wanaskika kuliko wataalam na kuna watu wako huko kyambankumbe wanawaona wao ndio viigizo fake inamaana kuliko genuine, ukiaongea ya msingi huna nafasi ila ushubwada iyo ndio tz ya leo
Kweli 😅😅
Mungu atupe macho ya rohoni
Wakati huu wa mwisho. Kila mtu sjifunze kusoma Biblia mwenyewe na aombe mwongozo wa Roho Mtakatifu
“Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.
”
- Mathayo 24:11 (Biblia Takatifu)
😂😂😂
Am a Muslim, but MCH. Hananga is truly man of God, he has spoken the truth in a most simple way ...he will go to heaven I pray ❤
He is smart, he spoke honestly and spoke well abt culture
You are no longer a Muslim ....
Inshallah He always speaks the white truth
Which God?
Amen
Mm ni muslim lakini huyu mchungaji namuelewa sanaa..
Hunishindi mm wallah 😂
Uyu Hana uislamu Wala ukristo ni mkweli sana
@@JumaJuma-fu7ji kabisa
Wanawafadhili was hela
wala hunishind
Mzee ume sema mambo yetu yote kweli. I love you again from KY USA 🇺🇸 🇨🇩💪🏻
Barikiwa mchungaji iahi miaka.mingi tunamuomba Mungu akupe umri wenye afya njema na mafanikio hili tuzidi kujifunza❤
Daaah m muislam ila huyu mwamba nam kubal sana sana
Hekima hizi za wazee kama Mchungaji Ananja ni muhimu sana, tuzizingatie. Asante baba
Mimi ni muislam lakini nafuatilia wakristo Sana mc hananja NI mkweli na muazi mungu akuweke na akuonyeshe haki uifuate inshallah
Mungu akubariki sana mchungaji na aendelee kukuongoza kwenye hekma alizokupa.
Watu wakweli kama hananja wanakubarika na watu wachache sana 😅😅😅 ila ukimfuatilia unapata madini ya kukusaidia maisha ....📌 🥰🥰🥰
Simple Pastor..and speaks straight forward
And the Truth shall set us free.
Wow!! Wow!! Eh!! Mafundisho mazuri kweli. Asante mchungaji. Ubarikiwe
Mch hananja mungu akubariki na hazidi kukupa hekima katika kazi yako ,,,,,naongeza kukuita mwalimu na mchungaji hananja,,,,,,,simple way of delivering a good message to the community
Kiukweli hizi ni nyakati za mwisho kila dalili zipo wazi mungu atunusuru Amen
Kweli kabisaa... Hongera Sana Mchungaji wangu Wazo Hill zamani,hajambo Wachungaji Andrea Mwalilino, mchungaji Ipyana Mwakabonga huko USA
Nakupenda sana mch na umekuwa kiongozi wangu siku zote japo ni mtandaoni tu
Kwani hizi akili umepewa umushukuru Mungu,nakutakiya maisha mema.nipeni like pls.
He is right. Hata marais wakienda nchi za nje huwa wanauliza huko wanakoenda tamaduni zao zikoje, uvaaji, salam nk.
Jambo la kweli halina umati wa watu,ila hili ndilo neno halisi.Mungu akupe maisha malefu uzidi kutufunza mambo ya Mungu.
Brow usimuache uyu baba Mimi uwa nainjoy sana nadifunza vítu vingi kadha w Kadha. Napendaga sana.
Baba ubarikiwe sana umesimamia ukweli na haki.
Kila utamaduni una spirit nyuma yake so kuna utamaduni wa ki Mungu na wa ki Shetani.
Ndugu yangu pastor ninakuheshimu sana Huko ulikoenda nimeshafika ndugu yangu.Ninakuelewa sana kaka❤
Mzee unanyooosha hauna Kona respect sana🙌🙌
Mchungaji anaongea point sana
Mzee nakukubali sana huwa unanibariki kwa mafundisho yako
Huyu baba. Bana huwa na mwelewa sana
Hananja ni miongoni mwa wachungaji wenye akili sana na wapenda ukweli mchungu
True, Pastor
Mungu anaangalia roho ni funzo la shetani
Mi nakuelewa Sana blessing speak
Kakakuona! Daa kanisani kuombwa baraka, SIJUI hawa wanyama tafsiri zao Mungu alizoziachia. Imani potofu naona.
Mzee huwa n mkweli kabisa😂😂😂 Big up papa
Asante baba binafsi nakuelewa
Kuokoka hakuombi utamaduni huo ni uongo mkubwa , ukiwa umeokoka huwezi vaa vile kama wale majamaa au kusuka au kuweka vipini au kuweka matattoos huo ni ujinga na ushetani , mimi naishi texas marekani na kuna wazungu wanaishi maisha ya wokovu kabisa , meanwhile ukiingia youtube andika pastor jennings , uone maubiri yake ya kuponda uvalio mbovu , matattoos na ujinga ujinga kama huo , sasa usidanganywe eti mazingira ni uongo , hananja hapo kaongea point sana . Shetani ni mbaya sana
Point. Mungu awasamehe
Safi sana 💯
Wazungu wanakuja kuhubir injit eanavaa vizur na hawajasuka nywele Leo wanakuja waafrica et wanaume alafu wamesuka alafu Wana tatuu hai biwahuni 4:50
@@NeemaMmeli 😂😂😂
@@NeemaMmeliMarekani Weusi wote wanasuka Ni shida saana
Nakuhewa sana mtumishi
Mungu haabudiwi kwa kufuata tamaduni au mila za watu mtu akiamua kumfuata Mungu lazima afuate kanuni zake bila kuchanganya damaduni na kanuni zake.
Pastor avaa hereni puwani Subhana'Allah
Et utamaduni
Ni kweli mtumishi wa mungu hananja
Dah anatukosha sana huyu mzee
Baba nakuelewa Sana ubarikiwe
Uko sahiii sanasana yanini wewe nimuislam kabsaa ulibaki kusilim tu ,mungu akuongoze kwakeli, ww namini ndio mtu wakitabu haswa uliozungumziwa ktk Qur'an
Amiin
Namkubali sanaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera baba kwa kutenga maji na mafuta
Mzee wangu allah akupe kheri ya dunia na akhera una nifurahisha sana 😂😂😂😂😂😂
Uyu jamaa nimkweli sana aisee safi kweli watu muda wote kanisani misikitini munafanya nn madini zawatu zauwizi natamaduni za ajabu mmezikumbatia
Huyu ni mbegu kutoka Kwa Mungu. Ukimsia kwanza anajua biblia lakini anaujua wokovu🙏
Amen!
Safi sana 💯🔥🔥🔥
Thank you mchungaj 🙏
Always welcome
Malisa tuletee hayo mapepo uliyoyatoa marekani tuyakemee yatoke na wewe mwenyewe tukuapishe use mwaminifu Kwa Mungu. Kwani unafungamana na mapepo toka kuzimu na kuyafanya manabii Yako?
Safi sana mchungaji
hawatuwezi background..cool
Hiiii nzurii
KWANI HAO WAMERIKANI WAMELETA UTAMADUNI KWETU HUO NI UTAMADUNI WAO HAWAJASEMA WATANZANIA WAVAE KAMA WAO KAMA VILE WAMASAI HAWATULAZIMISHI SISI KUVAA SHUKA NI UTAMADUNI WAO TUSIWALAZIMISHE WAMERIKANI WAVAE KAMA SISI
Nakukubali Mch.Endelea kusimamia ukweli japo wapo wanao umia.umenikumbusha serikali inayokusanya kodi.rest in peace Magu....rest in peace Gov of Tanganyika
Akili kubwa sanaa
Labda kwa kifupi niseme hivi: watu hupenda utambulisho wao, yaani wa kimwili (carnality), kiroho hawajui identity yao. Kwa hiyo wanachojitetea ni kusema Mungu haangalii mwili bali roho ya mtu. Hawajui kuwa roho zao zinapaswa kuvikwa na kupambwa vitu vya kiungu wakiwa bado wako duniani. Revelation 3 :17-18 ; Isaya 61:10 n.k, zina mafunzo makubwa sana kitu ambacho hakihubiriwi ktk makanisa mengi duniani. Mwisho wa yote wanaishia kwenye tamaduni zao za kimwili na kuzitetea hizo. Spiritual nakedness imepatiwa mbadala ndo hivyo vipuri puani, tattoos, kusuka wanaume n.k.
Ameni Baba ❤❤❤
This is fact man
Daaaaaukweli kabsa
Maana halisi ya Mchungaji ndio huyu
Roho muachie mungu sisi tunaangalia mapaja😂😂😂😂
Kwakwel wale wachungaji hata kama sio muumin lakn ile appearance hapana kwakwel sijawah kuona mchungaji Rasta
Mch Hananja tunapata elimu kubwa Sana ya kiroho na kimwili
Briant pastor
Wamevamia chakula cha kuku. Hizi dini zingekua 1 ningezielewa. Nakukumbusha mwandishi wa Habari kua ukisikia kua mchungaji amealikwa hapa Marekani, ujue sio wazungu ni watu wahuko ambao wanataka kukusanya pesa. Hawa wachungaji wanakubaliana pesa na mimi Nina ushahidi.
Ni kweli mchungaji❤
Huyu baba anamjuaa snaa Mungu
Mchungaji lets meet in heaven!
Tz oyeeeee
Kwa utamaduni nimekuelewa sana
Lakini duh😮hapa kuna point😂😂😂😂😂
Sis tunalipa kodi wanavimbisha matumbo yao 😂😂😂😂
Director Muulize pastor jina la ile kanisa ambao Mtumishi wa Bwana alienda HOUSTON TEXAS ili nami niende kumwaabudu Mungu huko
Who is their spiritual father?
❤❤
Umesema kweli
Dhambi isipakwe rangi !
Dhambi , dhambi tuu!
Hamna kitu pale !
Haw ni wa ule upande wa pili wasitudanganye😢
Mtumishi mwenye busara na hekima nyingi.Mungu akupe umri mrefu, ili tuendelee kujifunza kutoka busara zako.
Huko Ata mm napapenda maana uku bongo wabongo hawafwati Sheria kwa kila mmoja
Wale manabii wamekuja kufundisha USHOGA bongo
Tutawatambuaje? Kea matendo yao....Mti mabaya ....mtimzuri.....
Mambo ya walawi 19:28
Leviticus 9:28
Munguawe nawe mchungaji
Da tunajifunza vitu vingi sanaaa
Ni kweli utamaduni unatakiwa uzingatiwe katika Injili! Lengo ni kumpeleka Bwana Yesu akubalike na jamii husika... Wewe mpelekaji ni muhimu ukawasoma hao watu. Paulo anasema nilipoenda kwa watu fulani nikawa kama wao ili niwapate kwa KRISTO
amenena
Ukweli mtupu
Injili ya kile kiitwacho kwa kiingereza To be clothed with Holy ghost light of life glory body of the NOW CHRIST. Hii injili haihubiriwi kabisa sababu haijulikani hata huko america kwenyewe.
Hongera sana kwa American Tour yako mtumishi wa Bwana. Ila hizo ni States 9. sio kumi (10) 1. Minnessota; 2. Illinois (Chicago); 3. Ohio ( Columbus); 4. Iowa (Iowa City) ; 5. Missouri (Kansas City); 6. Kentucky; 7. Nevada (Las-Vegas); 8. Geogia (Boston); 9. Texas ( Dallas, Huston).
We jau..
Kwan kasema kataja zote apo
Think behind 😮
@YTozzy_tz achana nae akili mgando huyo
Sasa ww kuna ulazima gn wa kutj maeneo yote kumi kwn hata Hayo Tisa aliyo ytaja BDO ametja miji ming maan dhumun kubw ni kusimulia Safar yke tu na mambo mengn sio kutja miji yote aliyokwend
Kweli kbs 🇺🇸🇺🇸🤦♂️
Hahaha Mwaposa na keki na maji udongo na mafuta utapeli mtupu🤣🤣🤣😄🤣
Nimekuelewa baba
Leviticus 19:28 Tattoo is totally prohibited in the Bible ☺☺☺
Corinthians 11:14 Dreads, Long hair for men is prohibited ☺☺☺
oooh okay
Haaa haaa ananjaa bhana unajuwa uyu malisa sijui nani kampa unabiii
Ata mm nilicheka sana,,kumuona mdada kampigia magoti kakakuona,,daah 😂
WAMEKOSA WATUMISHI WA MUNGU NI VIONGOzi WANAFUNDISHA UVAAJI
Mtu anaweza kuwa kondoo kwa nje lakini ndani ni mbwa mwitu,vile vile mtu anaweza kuwa mbwa mwitu kwa nje lkn ndani ni kondoo wa kweli
Hakuna kitu kama Icho Kwa Mungu hakunaga mchanganyiko eti Uwe muhuni mchamungu 😂😂😂
Imani pasipo matendo imekufa.
Yaani ya kuvaa au...yaani na lile joto Kali mlitaka avae suti au..wapo wa aina yake walienda na wakamsikiliza...waambien na wamasai wavae basi nguo za ndani wakienda kanisani au wavae kizungu...