HASHIM IBWE : DUBE BONGE LA STRAIKA "FEITOTO NI WAMOTO BALAA MNO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Edit with InShot: v.inshotapp.ne...

Komentáře • 139

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před 29 dny +6

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op Před 29 dny +6

    We mwongo, mlikamia Yanga mkaja leo wachovu. Yanga hawawi wachovu, wanafunga No 2 na No 3..👊🏾

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 Před 29 dny +2

    Umegongwa 4 nadhani umeona ulipotoboka napanavuja mtt halali na ela 😊😮😮😮

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 Před 29 dny +5

    KACHANGANYIKiWA HUYU, anajua mwenyewe anacho ongea,

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 29 dny +1

    Uko sawa sana bro

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Před 29 dny +8

    Hashimu kweli umekuwa umeongea Kimpira ila yanga ilikuwa bora acha uwongo

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před 29 dny +1

    Hiyo imeishaaaa

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před 29 dny +3

    Yanga ina WACHEZAJI professional wanaweza kuamua mechi muda wowote.... Udogo wa timu ya Azam dhidi ya magiant umeonekana.

  • @saliminyusuph6122
    @saliminyusuph6122 Před 29 dny +1

    Fei ni mchezaji wa hapa hapa Tz. Awezi kuwa mchezaji bora nje ya Tanzania.

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 Před 29 dny +2

    Ndio shida ya wasemajiwa TANZANIA imefungwa nne unasema eti mme cheza vizuri

  • @ChawikoKayage
    @ChawikoKayage Před 29 dny

    Pole kaka umefungwa

  • @eddyrich.3312
    @eddyrich.3312 Před 28 dny

    Hashimu unapotea umekuwa wa hovyo kabisa, mwongo sana na sio msema ukweli, acha kusifia vitu ambavyo si vya uhalisia.

  • @ahmedmukolwe43
    @ahmedmukolwe43 Před 29 dny +2

    Haya sema bila kulia

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 29 dny +3

    Domo Nyumba Yakelele Ndio Lilobakia...Huna Wewe Vunguwa Uso Huuu..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah4384 Před 29 dny +1

    Ww unatumia domo lako vibayaaaa

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před 29 dny

    Mtangazaji huoni kwamba anataka kulia huyo HASHIMU IBWE ! Anajibu Kwa jaziba!!!

  • @kachuismart8924
    @kachuismart8924 Před 29 dny

    Sio kwa goli 4

  • @user-sb2oj6pl5f
    @user-sb2oj6pl5f Před 29 dny

    Ahmed Ali nae avae miwani ajue la kusema

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Před 29 dny

    Feisal ana nini mtateseka sana

  • @yeslamahmad1986
    @yeslamahmad1986 Před 29 dny

    Jamaa anaonekana Ana furaha. Hawa ni mashabiki wa Uto. 😊😊

  • @user-fy3cf1ri8m
    @user-fy3cf1ri8m Před 29 dny +3

    Hvi WE UOGOPI😢

  • @dicksonpaschal8247
    @dicksonpaschal8247 Před 29 dny

    Kuma la mamako

  • @janethelly4986
    @janethelly4986 Před 29 dny +1

    Mdomo komoooo😂😂😂mfyyuu

  • @SelemaniMarko
    @SelemaniMarko Před 29 dny +1

    Marehem ana mdomo mchafu

  • @HusnaIddi-i3q
    @HusnaIddi-i3q Před 29 dny

    Hashimu punguza maneno unatafuta vita ambayo huiwezusijtengenezee maadui

  • @LeninJonas
    @LeninJonas Před 29 dny

    Sie wenzio mapema wa3

  • @AshuraChamwana
    @AshuraChamwana Před 29 dny

    Wemtoto

  • @AgripinaGerald
    @AgripinaGerald Před 29 dny

    Yanga noma wewe

  • @salehdogo2782
    @salehdogo2782 Před 29 dny

    huyu mwenyewe kafurahi kufungwa ni utopolo.mtupu

  • @AdabethMaivune-rq6sw
    @AdabethMaivune-rq6sw Před 29 dny

    😮😮

  • @FredyBennymassawe
    @FredyBennymassawe Před 29 dny

    Siku nyingine msiizoee yanga siyo wenzenu hao umeponea 5

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 Před 29 dny

    Punguz jeuri, utakula 5G na bango... Juu

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 Před 29 dny

    Huyu kiazi kumbe

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 29 dny

    pumbavu ww huwa unatusema sana simba ww

  • @kessysenga8700
    @kessysenga8700 Před 29 dny

    Ww nawe upo kama kisugu tu Maneno mengi lkn hakuna kitu mlicho mfanya coast kimewakuta na nyny mbwa nyny

  • @Mariamu-fo9wd
    @Mariamu-fo9wd Před 29 dny +8

    Ashim waonyeshe yanga panapovuja

    • @user-nl8ec4np1t
      @user-nl8ec4np1t Před 29 dny

      😂😂eti si ndio huyu alisema atatuonyesha panapovuja

    • @LatiffahAbdulmalik
      @LatiffahAbdulmalik Před 29 dny

      𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐬𝐚 𝐚𝐭𝐮𝐨𝐧𝐞𝐬𝐡𝐞

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 29 dny

    MLIWAKAMIA WAPINZANI NI MSEMO WA.KIJINGA HUO KWANI MPINZANI NA YEYE PIYA ALIKAMIYA WANDISHI WAPUMBAVU UTAWAJUWA TU

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Před 29 dny

    Umeona ulipotobokaaa

  • @rosemaryKalega-c5s
    @rosemaryKalega-c5s Před 29 dny

    Kulinda nakuzuia tuelewe nini weee jua mmepigwa kiume😅😅

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 Před 29 dny

    Huyu mwehu

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před 29 dny +1

    Huyu nae yanga nishagundua😂😂anajitoa tu ufahamu

  • @merickshadrack4509
    @merickshadrack4509 Před 29 dny

    Si juzi tuu ulikuwaaa unatowaaa shomboooo umedodaaaaa

  • @BilioneaIbrahim-jt1ou
    @BilioneaIbrahim-jt1ou Před 29 dny

    Ibwe ulisema yanga utampiga, wasemaji wa timu mjielewe

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 Před 29 dny +1

    Una mdomo sana Hashim Ibwe alafu huwa simba inapocheza na yanga unakuwa shabiki wa yanga, Kuma wewe wamekunyoooosha

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk Před 29 dny

    Ooo hatuja cheza na madere bajaji hvyo ndo timu mbovu sana

  • @msafirisaidiest
    @msafirisaidiest Před 29 dny

    kabla mechi maneno mengi coast unio ihufu timu za ligu chini sana

  • @SeifHatibu-mo4wt
    @SeifHatibu-mo4wt Před 29 dny

    Huyu mtoto aache bangi

  • @FATUMABACARCADANGE
    @FATUMABACARCADANGE Před 29 dny +1

    Umecheza ndo umeshinda kupoteza ni kufeli

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk Před 29 dny

    Goli nne nyieee wabovu sana tena sana

  • @JessieMsami
    @JessieMsami Před 29 dny

    ibwe sukari imepanda😂😂😂

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 29 dny +1

    Mdomoo Wako Mchafu Sana Hiyo Ndio Adabu Yako Ovyoo Acha Kidomo Domo Kimyaaaa Huna....

  • @FATUMABACARCADANGE
    @FATUMABACARCADANGE Před 29 dny +2

    hashimu punguza mdomo mjinga ww humuwezi

  • @kuyasayalel2605
    @kuyasayalel2605 Před 29 dny

    Jana ulipokuwa ukitamba kuwa timu inakuwa bora kabla ya kukutana na Azam. Hukujua huu ni mpira na mmekutana na timu yenye level za kina Wydad? Kipigo kile kile mlichopata kwa Wydad ndicho mmekipata leo. Timu ya kawaida hiyo. Hao ndio wananchiiiiiiiii

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Před 29 dny

    Miguu yaStuli imetimia

  • @amosbenjamini3900
    @amosbenjamini3900 Před 29 dny

    😂😂😂😂Huu mchezo hautaki hasira😂😂😂

  • @jacksonchidyaka748
    @jacksonchidyaka748 Před 29 dny +1

    Huyu mshamba hajui kujieleza

  • @usatoenglandvegas4046
    @usatoenglandvegas4046 Před 29 dny +1

    😂😂😂😂😂😂 alikua na mdomo huyu kwamba atafunga Yanga tano😂😂😂😂

  • @josephattindi9333
    @josephattindi9333 Před 29 dny

    Eti mlikuwa bora zaid yao 😂😂😂😂 we bure kabisa

  • @hyasintkisika8848
    @hyasintkisika8848 Před 28 dny

    Huyu dogo ana bahat timu yake haina mashabiki, la sivyo angekondq sana

  • @user-dz8ex4fk2x
    @user-dz8ex4fk2x Před 29 dny

    Haka kajamaa kapimwe sasa yawezekana akili imefyatuka!

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 Před 29 dny

    Naamini ashaona tobo lake linalovuja huyo mwache

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 29 dny

    hahahaaaa ibweeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @alisuleiman9627
    @alisuleiman9627 Před 29 dny

    Mbele hamuna chochote nyie siku zote ni uchochoro hamuna jipya hata mukasajili vipi kwa mfumo huo mumefeli

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před 29 dny

    Nanyi mnahoji mazombi

  • @ashamkesa979
    @ashamkesa979 Před 29 dny +1

    Dogo ulijiamini sana punguza mdomo hujatuonyesha panapo vuja

  • @ExcitedBackgammon-gf2di

    Asila jamani

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Před 29 dny

    MPIRA NI MAGOLI USICHOKIJUA BW IBWE...KILICHOTOKEA NI KWAMBA AZAM ILIKUWA INAZUNGUKA TU BILA MALENGO YANGA WAO WANACHEZA KIMALENGO

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana

    Yaani ww Ibwe ni msemaji wa hovyo. Eti mlikuwa bora huku mmepondwa kichapo kitakatifu

  • @sadathboutique6253
    @sadathboutique6253 Před 29 dny

    Aka kajamaa kana mdomo sna😅kangeshinda mjini kusingekalika😅😅😅

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga Před 29 dny

    Alisema pengine yanga ndo mshindani

  • @user-fw6si9yd6x
    @user-fw6si9yd6x Před 29 dny +2

    Mbona hueleweki? Unakataa huku unakubali

  • @yothambenard7785
    @yothambenard7785 Před 29 dny

    Umeinjoi nn goli4 hamna timu ubora gani ulikua nao domo tuuu

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Před 29 dny

    We c ulisema utatufunga 5🤣🤣🤣🤣🤣

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před 29 dny

    Panapovuja pameonekana

  • @PaskalPius
    @PaskalPius Před 29 dny +1

    Wap panavuja tuambie bwege ww

  • @anethrichard9221
    @anethrichard9221 Před 29 dny

    Hivi ww si ndo ulisema Leo utatuonesha wapi yanga inavuja???

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 Před 29 dny

    Huyu jamaa achukuliwe sheria kafunga kiti mkanda ilo alam isimpigie kelele

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 Před 28 dny

    Shida yakuja na maneno yakitukana team isiyokuhusu sahizi ndio unajileta mpira ndivyo ulivyo ,fyuuuu

  • @samwelpatrick2489
    @samwelpatrick2489 Před 29 dny

    Kwani Sio Wewe Uliyesema Unapajuwa Panapovuja,Mnaenda Kuwafunga YANGA,au Sio Wewe?

  • @abdullahmohamudmohamed4450

    Somo nililopata Simba inabahati mbaya kutokua na msemaji Mzuri ila Wana Mwana maigizo Hashim nikupongeze ukweli unasema na unajua mpira

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 Před 29 dny

    Ulisema umetuma salaam,je salaam zimefika?

  • @lucympanda
    @lucympanda Před 29 dny

    Ile miguu ya stool imekuludi

  • @peterjohn8301
    @peterjohn8301 Před 29 dny

    Semaj kama kapanic hiv na ana hasira flan

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk Před 29 dny

    Azam ni mbovu sana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 29 dny

    Fei hanq adabu kaipoza azam

  • @athmanustadh9239
    @athmanustadh9239 Před 29 dny

    Umekuwa mpole umekuwa mchambuzi

  • @catherineamiri9854
    @catherineamiri9854 Před 28 dny

    Macho kama tunguli 😂😂 anaongea ujinga

  • @YassinDeva
    @YassinDeva Před 29 dny +3

    Hashim ibwe,, uwe na kumbukumbu na maneno yako kabla ya mechi,, usijizime data huna Ubora

  • @AthumanOmary-cb6dn
    @AthumanOmary-cb6dn Před 29 dny

    Hashim kubali2 yanga ni Bora kuliko Azam nanikulize ukiaenda kimataifa mpira kule unachezwa kama yanga walivyocheza kule unaweza ukawa umiliki asilimia 70 mwenzako akuakufunga kiufundi inatakiwa mujiandae muwe Bora ili mushinde

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Před 29 dny

    Unaongea sanaaaaa😂😂😂😂

  • @user-bl6rd4pq4k
    @user-bl6rd4pq4k Před 29 dny

    Liongo hilo na limasiki lake kama chupi ya mzee😂😂😂

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 Před 29 dny

    Azam leo kazidiwa kila eneo hata takwimu zinaeleza hivyo,sasa Ibwe unasemaje Azam imekuwa bora mbele ya Yanga?

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Před 29 dny

    Ulisema utawaonyesha Yanga panapovuja hukujua mpira unamatokeo haya?

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 29 dny

    😂😂😂😂😂😂 ulikuwa bora mbona unataka kulia

  • @user-nl8ec4np1t
    @user-nl8ec4np1t Před 29 dny

    Huyu kachanganyikiwa manake ye ndio kaonyeshwa panapovuja sasa😂😂

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 Před 29 dny

    Si ulisema Tano.leo. 😂

  • @Aronathumamahembe
    @Aronathumamahembe Před 29 dny

    huweznkufungwa goli nyingi una ubora gani?

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah4384 Před 29 dny

    Ww ulisema leo utamfunga yanga 5 vp tena

  • @faharihakikazi
    @faharihakikazi Před 29 dny

    umeonyesha panapovuja kwa yanga au? 😂😂😂😂

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 29 dny

    FEI WA MOTO KWENU😊,,KWA SISI WATU WA MPIRA INAKERA SANA UIACHE TIMU KWA MBWEMBWE AFU ISIKUMISI;;WANAENDELEA KUBOMOA KAMA HAUKUWEPO VILE;;;NENDA SIMBA AO WAOKA MIKATE PESA IPO ILA WANAKUFIFISHA..