Namna ya kupika HALUWA | How to make halwa haluwa | Suhayfa’s Food
Vložit
- čas přidán 20. 06. 2020
- Ingredients..
brown sugar 3 1/2 cups
4 cups water
tapioca starch 1 3/4 cups
ghee1/2 cup mix with 1/4 cup of oil
pinch of safron,yellow and red colour
pinch of salt
1 tsp nutmeg
1 and 1/2 tsp cardamom
2 tbsp rose water
3 tbsp sesame seeds
3 tea bags
Jamanii tamu mashaallah😂😂❤jazaka allah 8:59
Jamanii tamu mashaallah😂😂❤
Mashaallah pishi zuri la nyumbani, shukran wajazakallahu lkheir habibty 😘🌹
Mashalallah ❤😂
😋 😋 😋
MashaAllah👌💖💖💖😍
Haluwa umeipika vizuri
Asante 🙏❤kwa ku share
Your Recipe
Jazaaka Allahu kheri
🤲❤
Sister
Mmmhh..weyyehh!! bibiye..utaningowa meno kwa utamu! Impikwa kwa penzi!Tabarakallah
Mashallah Allah akuzidishie upendo ulio nao wakutufundisha
Wow
Congratulations
Masha Allah yummy nimejarib imetoka nzur tamu shukran habbty.
Ma sha Allah, halwa iko sawa
MashaaAllah
Shukran dear nimejaribu mashaallah mashaallah imetoka perfect Allah akulipe kheri nyingi kwa kutupa mafunzo hatuna chakukulipa ila tunakuombea. Hatusubiri tena halua kutoka Zanzibar 🤪
MashaaAllah.....very nice
Masha Allah. Nzury Masha Allah
Masha’allah really nice. Well done
Mashallaaaah..... Imependeza sana. Thanx Habibty
afwan dear
Mashallah❤️
Mashallah,,nimeipenda sana
Mashaa Allah kweli tumefaidi look delicious 😋😋
MashaAllah MashaAllah Allah barik
Haluwa yako ni nzuri sana mashaallah
shukran baaa
Mashallah saana
Thanks nimeelewa ahsanti Allah Akubariki
Mashallah 😍
thnk u dear
Mashaallah shukran habibty lakini unga wa tapioca naipata wapi jamani
MashaAllah MashaAllah baby
MashaAllah yummy 😋 the best halwa
ماشاءالله تبارك الله تسلم ايدك
mashaAllah, yaonyesha tamu
Maa shaa Allah tabarakah Llah nice work keep up daspirit en let da videos keep flowing in shaa Allah
Mashaallah nice ahsante
Nitajaribu kupika انشالله
Mashaallah sija jaribu lakini umeni inspire kweli inshallah nita jaribu thanks for sharing
shukran kwa kutizama my dear
MASHAALLAH 👌
Mashallah good exeplaination thankyou sister
Ma shaa Allah
Halwa safi sana Maashallah😋😋😍
Bismillah mashaallah mashaallah thanks for sharing 🤗I’ll try Inshaallah 🥰
Mashallah mashallah
Aki si unapika... weuuh. New subscriber.
Shukran Suhayfa.Maa shaa Allah nimependa recipe.Allah Akubarik.
Maashallah
Masha allah
Mashallah
haluwa mashaallah kma ya kikwetu pemba😋😋😋😋😋😙😘
Mashaa Allah ❤️
MaashaAllah hii nataka nijaribu siku nikipata mda
Ma sha Allah ma sha Allag 😍😍😍👏👏👏👌👌👌
MASHAA ALLAH
Mashallah 👌
Wow mashaallah
Asante sana dear Inshaallah leo nitaipika wkt vifaa vyote nnavyo
Mashaallah. Thank you very much
ماشاء لله
Mashaallah
MashaAllah
Masha Allah..Allah akulipe kila la kher..Aamin
amiin yaarab
Nimejaribu na unga wa uwanga pia haijavutika
MashaAllah 😍😍😍
Masha Allah👍
loved it
Masha Allah Dada ake
thnk u dear
Mashaallah mashaallah leo nimeijaribu wallah ajaaaab shetani kataja jina😃😃Allah akubariq
Mashaallah nice
Asante sana kwa hii recipe. Kama sina rose water, naweza tumia nini tafadhali?
Suhayfah unasema corn starch sio unga. Ha naipata wapi hiyo. I like halwa jmn tena ya Pemba taaamu balaaa
Shukran habibty mashallah
afwan habbty
Jamani kweli au nimepagawa! Nasikia harufu ya halwa ninavyotizama hii video, au akili yangu tu(lol) yaani na enjoy kweli.
mashallah hbbbty suhayfa allah akubariq
amiin yaarab shukran dear
MashaAllah ALLAH akuzidishie ujuzi zaid na zaid
Inshallah nikijua mbona nitajiajiri
👌
mashaAllah nikuulize hiyo haluwa ni ya kiasi gani
Mungu akubariki dada
Mashallah pambeee sana Allah akulipe kheri vipi unaweza kutumia sukari nyeupe maana nataka nijaribu sasa hivi ila sina brown sugar
yes unaweza lakini haitatoka rangi nzuri my dear
😋
Shukran😋
😋😋
Kama mtu hapendi samli unaaeza weka tu mafuta?
Nzuri masha allah . Ila mi sipendi haluwa nyeusi je lazima kutia majani ya chai?
sio lazima kipenz..unaweza ukaweka rangi tu
Mashaa Allah nimejaribu imekuja nzuri sana mashaa Allah. Wapi tukutumie marejesho?
Hyo starch inakuwaje
Iko fresh tu na inavutika km haluwa zakawaida.
sweets
Shukran xn Mimi tumia uranga itoki vzr habibty naona starch feki
I was always wondering what is halwa made off .... Thanks a lot
u r welcome dear
A.aleykum
Naomba kujua uwanga nitaupata wapi @suhayfa food
Mashallah dear 😍 tunaomba utufundishi kutengeza ladu zakihindi zile za orange
inshaallah dear..
Thanks so much mamie 👌😋😋😋
Hii tapioca starch ni unga wa muhogo wowote au unatofauti?
Assalamualaikum,
MaashaAllah very nice recipe.
How long this halwa we can use it sister at a same texture ?
Shoukra habibty wng no yko
Hi nimejaribu halwa nzuri sana mA shaa Allah.
Nimetumia corn starch vipimo sawa ila imekuwa ngumu na haijavutika inakatika bila kuvutika, Kwanini ??
Pole sana dear..ndocmana nilisema hio tapioca starch ndio parfect kwa halwa😊..ile corn starch utapata tu ladha ya halua lkn haitavutana kama hii
Aslm Alkm what's the total cooking time ya haluwa?
Je naweza kutumia unga wa conflower ?
aunt sauti zidisha hatusikii
Tapioca starch naipata wp?
Maa shaa Allah yummy je corn starch lazma kuweka au km nina corn flour inawezekana?
Naomba nijibu, corn flour ni unga wa mahindi ( unga wa ugali/ unga wa sembe)hivo haluwa haitatoka
Na corn starch ni starch ya unga wa ugali hivo itatoka ila itakuwa haivutiki halua yake so nzuri, Tapioca starch ni starch ya unga wa muhogo, na ndo nzuri hasa ipo recommended kwa halua. Ahsante kama nimekosea nipo tayari kukosolewa.
Naomba nijibu, corn flour ni unga wa mahindi ( unga wa ugali/ unga wa sembe)hivo haluwa haitatoka
Na corn starch ni starch ya unga wa ugali hivo itatoka ila itakuwa haivutiki halua yake so nzuri, Tapioca starch ni starch ya unga wa muhogo, na ndo nzuri hasa ipo recommended kwa halua. Ahsante kama nimekosea nipo tayari kukosolewa.
Can you use corn flour to make ?
Naomba kuuliza. Kikombe ulichotumia kupima sukari ndio hicho hicho umetumia kupimia maji?? Nijibuni wapendwa
mimi nimefanya kikombe au glass inategemea kitu unachopimia vyote sawA
Ushafika 10k followers insta
hongera my lkn huku znz huo unga haupatikani jee nitumie unga wa uwanga itavutika au laa
Salha Abdallah shukran dear♥️.,uwanga ni starch ya aina yoyote.,kwaiyo mimi hapo uwanga niloutumia ni wa muhogo😃 hivo ukipata uwanga wowote haina tatizo lakini labda itatofautiana kwenye kuvutanaa tu
shukran my
Asante sana ntaijaribu inshaallah
Was asking kama I can use corn starch
MashaaAllah shuran habibty
afwan dear
Cornflour huwezi kutumia kwa haluwa