MaashaAllah, ahsante sana kwa mafunzo yako yaani unafahamisha vizuri hata Sisi wengine wenye vichwa vigumu kufahamu basi tunafahamu, Allah akulipe kheir inshaAlah, Aamiin.
Happy new year habibty MashaaAllah napenda sana hio paste yako😋😋 mm hua naongeza na tui ya azam wallahi hua tamu ajab pia asante kwa ujuzi❤️ sijawahi roweka kuku hivi.. Pia nitajaribu
This is Absolutely Beautiful!!! Pls, list the ingridients both in English and Kiswahili for ease of proper understanding for non Swahili speakers. Thank you
Asante kipenz😊.,pirika tuu za hapa na pale hivyo nikashindwa kurudi tena kwa wakati niliotegemea😊.,inshaaAllah Allah atupe uhai nimerudi tena kuwa nanyi😍
Utapata maduka ya viungo vikavu.,na kama utakosa basi unaweza kuweka kotmir fresh tuu kwenye maji lakini wakati wa kumtoa kuku hakikisha unayatoa majani yote kwenye kuku☺️
Unaweza kutumia mkaa wa aina yoyote kupata huo moshi, and yes unaweza kufukiza kama hivi kwenye mandi isopokuwa kwa mandi utaweka ganda la kitunguu maji badala ya hicho kibaluli..i hope hii itasaidia😊
Happy new year my dears🎉🎉
Very simple yet delicious 😋 Thanks for sharing 😙😇
Aaww thnk u darling😍🥰
Nimefikaaa ❤️❤️
Mashaallah sauti km shuna's
MashaAllah
Mashaallah shukran hbbty yammy😋
U are Welcome dear☺️
mashaallah nyc thnx for sharing
Shukran
Masha allaah yummmy yummmy 😍👍
Wow
Maa shaa Allah TabaarakaLlah
Mashaallah😋😋😋yummy
Thnk uu😍
❤❤
Welcome back darling 🥰🥰🥰😘🎉🎉happy new year .
Thnk u darling😍🥰and happy new yr to u too😘
@@SuhayfasFood thanks very nice .
Mashaallah mashaallah
Excellent , Maurice sana
mashaallah kuku wazuri sana
Thnk u☺️
Mashaallah shukran habbty
Masha Allah utam utammmmm
Allah ausalimishe mkono wako 👌
Allahumma amiin yaarb💞shukran ☺️
Welcome back habibty. Good to see you back on track. Missed you! MashaAllah ntajaribu hii leo. Thnx ❤
Aaww thnk u gorgeous😚.,
Masha Allah mamy pambe hatari
mashallah
MaashaAllah, ahsante sana kwa mafunzo yako yaani unafahamisha vizuri hata Sisi wengine wenye vichwa vigumu kufahamu basi tunafahamu, Allah akulipe kheir inshaAlah, Aamiin.
Oohh shukran sanaa 💗.,and Allahumma amiin yaarab Allah ataqabbal du3aa yako😊
Mansh'Allah nice recipe and simple we missed you too
🥰😍thnk u dear
Nice
Happy new year habibty MashaaAllah napenda sana hio paste yako😋😋 mm hua naongeza na tui ya azam wallahi hua tamu ajab pia asante kwa ujuzi❤️ sijawahi roweka kuku hivi.. Pia nitajaribu
Aaww shukran dear🙂🙂
MashaAllah
Shukran sis
Mashaallah nimeipenda
😋😋😋
Wow love this chicken sekela recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania.
Mashallah kwa kuku wa kiswahili jee anaweza kuwiva au mpk nimpige mchemu kidogo
Sijawahi kutry kwa kuku wa kienyeji.,but i hope ukimchemsha kidogo atakuwa yupo ok tuu inshaaAllah☺️
Shukran habibty
Wow welcome back baby, Happy New Year all the 2021
Aaww thnkk u love😍.,happy new year to u too sweetie🥰
Mashallah
shukraan habibty tunawapenda Allah awalipe khery zenu.amiin
Amiin yaarab.,🥰
Well come back girl
😚💞
This is Absolutely Beautiful!!!
Pls, list the ingridients both in English and Kiswahili for ease of proper understanding for non Swahili speakers. Thank you
Check Discription you will see ingredients
Hello, great recipe. Huo mkaa unaitwaje?
Thank you
Wlcm back dear thx alot👍
😊.,,
Mashallah
napenda mapishi yako madhaallah mpka voice yko😙😘😍
🙈aww thank u hun😍
😗😗😗😗😗😘😘😘😘😍😍😍😍😚😚😚😚😚😚
Asante kwa resipi leo namroweka. But kwanini anarowekwa kwa maji na chumvi,? Nataka kujuwa hikma yake😊
Fungua restaurant utanoga sana mama
Mashallah nimependa habibty mbona umepotea sanaaa
Asante kipenz😊.,pirika tuu za hapa na pale hivyo nikashindwa kurudi tena kwa wakati niliotegemea😊.,inshaaAllah Allah atupe uhai nimerudi tena kuwa nanyi😍
Kijiko cha kupakaza ni how much
Kuku wa kienyeji pia unampika hvyo bila kuchemsha kwanza?
Hizo mbegu za kotmir ss nazpata wap
Utapata maduka ya viungo vikavu.,na kama utakosa basi unaweza kuweka kotmir fresh tuu kwenye maji lakini wakati wa kumtoa kuku hakikisha unayatoa majani yote kwenye kuku☺️
Huo moshi unapatikana wapi na jina lake unaitwaje ? Najeee kwenye mandi unatumika huo huo pls nijibu
Unaweza kutumia mkaa wa aina yoyote kupata huo moshi, and yes unaweza kufukiza kama hivi kwenye mandi isopokuwa kwa mandi utaweka ganda la kitunguu maji badala ya hicho kibaluli..i hope hii itasaidia😊
Uko Wapi Habibty Usipotee Tena Vyakula Vyako Vizuri TULETEE
Aaww sitawaacha tena my dear🥰.,shukran saana
Sukar inasaidia nn kweny kuku nahitaji t kujua
Mashallah