Kuku wakukaanga wa kfc | Jinsi yakupika kuku wa kfc mtamu na kwa njia rahisi sana.
Vložit
- čas přidán 18. 10. 2020
- #kfcchicken #kfcfriedchicken #friedchicken #kukuwafc #kukuwakukaangawakfc
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
Mahitaji ya kukuunga kuku :-
1kg kuku
Chumvi
Pilipilimanga kijiko kidogo
Kijiko kidogo masala ya unga
Kijiko cha kula garamasala
Kijik cha kula paprika
Kijiko cha kula kitunguusaumu
Kijiko cha kula tangawizi
Vijiko 2 vya kula soya sauce
1ndimu / limau
Mahitaji yakukaanga kuku :-
3mayai ,chumvi na pilipilimanga
Unga wa ngano kikombe 1
Cornflakes or breadcrumbs /chenga wa Mkate
Mafuta yakukaanga kuku
Instagram ➡️ Laltias_swahili_spices.
Homemade 16 swahili spices available at affordable prices for those interested kindly contact us ➡️+254 791 784401/+254 787 022663 we deliver around Eastafrica.
English recipe follow the link➡️ Kfc chicken recipe | How to make kfc fried chicken | Crisy fried kfc chicken. ➡️ • Kfc chicken recipe | H... - Jak na to + styl
If you would like to watch this recipe in English language press the link ➡️ czcams.com/video/vmdGgqSn2yI/video.html
mzuri sana mtamu we la nchi hili sana
Nimekua mpishi mzuri sana nyumbani, nyuma yangu upo mwalimu wangu wewe....Live long mamy
I have been following you,,,,,, and I have tried several recipes of yours and I have become a cooking celeb at home,, long live my inspiration
Awwww thank you soo much my dear ❤️ 😘
Unafundisha vzr huna mambo mengi wala kelele upo vzr dada
I have to say your cooking methods are really great my kids enjoyed the chicken 🍗 thank you very much
Asante
Amazing, I will try.
Mashallah shukran
Manshaa Allah shukran
Shukran
Asante mami nimeelewa
safi sana nimependa
Ma shaa Allah tabarak Rahman
Mashallah ❤😋
Loved it.
Mashallah tabark allah
I like simplicity
Uko vizuri by bibie naomba namba yako tafadhali kuna baadhi ya spices nazihitaji sema sizijui kijrumani.
Mashallah 😘😘😘😘
Thanks for sharing if no fridge? What does soy sauce do or add in the recipe please
MashaAllah..je ikiwa kuku ni wakienyeji yawezekana?
Have tried its so yummy
Wow yummy
Tamuuuu sanaaa
Nice my sister
hongera sana dada hivyo viungo naviipata wapi
Oh my best East African chief!! Rukiya s kitchen ty for the awesome lovely KFC chicken recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow
Awwww thank you soo much love ❤️ 😘
Marshala 👌
Mashaallah
Mashallah
Masha allaah yummmy 😋😂
Thank you for this Wonderful recipe
Thank you
Asante
Wewe Atariiii hongera sana my friend 😘
Thank you
Yummy 😋
Napenda kupika
asante sana dada unatoa wapi ha
Mashallah tabarakallah ❤❤
Nilazima kutumia komflex au silazima
What if nikiongeza recipes kwenye ngano kama vile garlic, pilipilimanga au sio lazima coz ulishaweka kwny kuku nauliza tu kusudi langu ni kuongeza ladha ya chakula
mashalla nime penda san ♥️❤♥️❤
Asante sana nafurahia kuskia umependa
Maa shaa Allah mm nakaanga kidogo tu baadae nawachoma kwa oven wawe dry
Habari dada je kuhusu ajinomoto unaizungumziaje kuhusu maandalizi Kama haya
Kama huna oats, hio bread cramps na corn flakes available c unaweza pika without it?
Ukishatoa kwenye ngano ni lazima kuweka ktkt iyo vidude dude sijui kukiizi
Nimejaribu na nimefanikiwa nimefurahi sana Asante ❤
Karibu
Lazima oats ?
Nimepand
Soo yummy😋😋😋
Thank you love 😘 ❤️
❤
🎉🎉🎉
Mashaallah apo chips tu
Kama ulivyojua kama kawa na chipo 😋😋😋👌
Kama ulivyojua kama kawa na chipo 😋 😋 👌
Hamna mtu anayeweza wale ni more delicious sister
Kila mtu Na ladha yake..sio kuwa kwasababu wanajulikana ndio wengne Hawezi...angalia Nenda kanunuwe kfc kila siku karibu 💃💃💃💃
Naomba nitajie viongo vyake
Naic
Hivyo viungo navipata wapi?
Yummy😋😋
Thank you
Grops hazina madhara kwenye chakula e
💯💯💯
Unaweza eka pilipili hoho?
😋😋😋
😋😋😋😋😋
Asa Kama Sina fridge? Nitumie njia gani
😛😜
Alfu hizi vitu za kuongeza kama masala inauswa wapi
Hawa Ni kuku wa kiswahili au kizungu?
I came across thisssssss🤒🤒
Yummy 😋 😍
Shukran sana habibty wangu 😘😘
Afwaaan qalbi❤️💋
Nahitaji Space niwe natumia zang hom nahitaj space zote 12
Sijaa elewaaa hizo sparse
Rukia Hizi viungo vyapatikana wapi nrb,asante
Nitext kwa instagram rukias_kitchen
Mashaallah big up sister miss you more
Shukran bro ❤️ 😘 mm zaidi
Hicho cha njano ni nn umesema
hey rukia... how about boiling chicken before mixing anything, then i jst use oil at the last stage
Yes u can
𝐻𝑜𝑛𝑔𝑒𝑟𝑎 𝑑𝑎𝑑𝑎
Kesho tu nachinja kuku wawili kwa mpigo tayari nishazinunua
😂😂😂
Thanks for the recipe ila naomba Nijuze masala ya unga ni yapi hayo
Chilli powder in English yako nyekundu
Ooh thanks, keep us posted for the new recipe 💕💕💕
Hachemshwi kwanza?
Nop hachemshwi ataiva na mafuta tuh
Uyu kuku ni wa kienyeji?
Hapana
Spices please,nitazipataje?
Wasiliana nasi +254727145989
𝐻𝑦
Unabana sana sauti bwana afu sio sascribe ni sabuscribe
Si bora umeelewa 😅🤔ama
Unatumia kuku wakeanyeji
Hapana kuku grade
Ningelkua karibu ningelimleta mke wangu umfunze mapishi jamani
Mtel aingiye tu CZcams tu atajua
Mashaallah
yummy😋
🎉🎉🎉
Hicho cha njano ni nn umesema
Jee? Nilazima mapaja tuu mfano nimenunua kuku mzima so nafanya tuu au itakua haioendezi
Sio lazima huu ulikuwa mfano tu
Hicho cha njano ni nn umesema