Mashallah Yani mm nampenda sana mapishi Yako Allah akujazi akupe afya njema ameen ila sijajuwa zikiwa tayari kumimina Kwa sinia huwa ziko vipi uzito wake shukran
@aromaofzanzibar asante sana auntie... mimi napenda mapishi yako na nakuwa nazifata kwa kupika. Mashallah tabarakallah unafanya kupika kuwa simple and easy... thank you so much.
Nilikuwa nakusubiri kwa hamu,my dear!❤ napenda mapishi yako..😋👌🏻
❤❤...samli ilotochujwa unaweza kuitumia kwenye maandazi inakuwa na full of flavour
Mashallah barokallah
Asalam alykum inshaaAllah hujambo, I really missed your updates, MashaAllah welcome back, its been long since we heard from you ❤️
Mashaallah Mashaallah nitajaribu receipe hiyo ❤❤❤❤❤❤
Sauti ipo chini
Walyekum mssalam warrahmathuallah wabarakathu mashallah mum ongera kwa upishi ❤
Mashaallah tabarrakaallah so yummy
Waleykum msalam asante sana kwamapishi ❤
Mashallah Yani mm nampenda sana mapishi Yako Allah akujazi akupe afya njema ameen ila sijajuwa zikiwa tayari kumimina Kwa sinia huwa ziko vipi uzito wake shukran
Sijafaham kama unaniuliza au vipi
Pika mahamri mandazi pls from London
Nataka upesi wa mahamri mandazi
Dear naona wewe mpya hapa recipe ipo miaka 6 sassa czcams.com/video/_Wq1_EdZf-A/video.html
👏 👏 👏 👏 👏 final you never disppoint ❤make for us rojo ya zanzibar using unga wa banja much love
Noted
Jazakallah khayran
Welcome back! Thought kashata are made of dessicated coconut ?? Not so?
Kashata zipo aina nyingi, za nazi, za ufuta , za njugu etc na hizi za mayai
@@aromaofzanzibar I like the desiccated coconuts one. Do you have a recepe?
Asalam alykum samahan dada nlikuwa nna shida naweye
iWa aleikum musallaam , billa samahani utanipata instagram
👏🏽👏🏽🎉❤
Auntie tukishaipika tutaiwacha nje tu ? Ama tunaweza kuiweka ndani ya fridge?
Haziwekwi kwenye friji ni nje tu kiasi dakika 30 au mpaka zipoe
@aromaofzanzibar asante sana auntie... mimi napenda mapishi yako na nakuwa nazifata kwa kupika. Mashallah tabarakallah unafanya kupika kuwa simple and easy... thank you so much.
@@mugherymanummahmoud2938 Shukran