Video není dostupné.
Omlouváme se.
Labania za njugu | Jinsi yakupika labania/ kashata za njugu tamu na laini | Mapishi ya labania.
Vložit
- čas přidán 9. 06. 2020
- #mapishiyakiswahili #labaniazanjugu #kashatazanjugu
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
English recipe follow the link➡️ • Peanut cookies | How t...
For more swahili videos follow mapishi ya Zanzibar ➡️ / @mapishiyazanzibar
Husna laltia ➡️ / @husna_laltia
East African foods ➡️ / @eastafricanfoodsrecip...
If you would like to watch this video in English press the link ➡️czcams.com/video/ZZ2a2_67arI/video.html
u know we re from america goodjob rukiaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Thank you so much for the lessons....i love this
Mashallah nzuri
Maa shaa Allah Allah akubariki ktk kazi zako amin
Mashaallah mashaallah kwa mapishi yako daima uko juuu mamii,kitu mmwaa!😋👌
Mashallah hua waniacha hoi nakupenda sana huwanakufatilia mrembo
MaashaAllah... Thank you sis
Looks 😋 I have always wanted to try this thank you rukia
Masha Allah🥰
Yammy 😋
Mashallah
Masha Allah mamy pishi murwa kabisa kipenzi
I love it😋😚
Ma shaa Allah napenda Sana labania za njugu they look yummy 😋
Me too with kahawa 😋👌
Mashaallap kahawa tu
Maa shaa Allaah luks yummy 👌
Shukran ♥️
MashAllah mikono yako imebarikiwa
Asante sana ❤️
Mashalah zaonekana yummy yummy nitajaribu na Mimi shukran kwA mapishi mazuri
Inshallah
Hallow
Tupo pamoja
Mambo naeza. Weka order
Kiasi gani cha maji
Why mine dint join it became too dry I couldn't shape it please help
kwa upande wa njugu
hizo njugu ni zile tunazoita njugu mawe mamii?
Milimit Mia 90 ni nus or robo am vp mamy
900 grams ni how many cups pls
gram 900 ni ngapi kwa mfuko wa 10sh
Mammy kama huna blender ya kusaga ya v2 vikavu je utat2mia nn
Kuponda na kinu na fimbo
@@RukiaLaltia aya Dada asante
Mashallah yummy
Shukran habibty 😘 ❤️
Gram 900 kilo ngp? Inakua
0.9KG, kilo inamaanisha elfu, kwahivyo kilo gram ni gram elfu moja..
Hey dear..njugu kwa Belgium unanunua wapi...nazitafuta but sizipati😪
Supermarket Albert Heijn or any supermarket
@@RukiaLaltia thanks
Kukata wasubiria zipoe ama
Waeka alama kisha wacha zipowe Ndio ukate
@@RukiaLaltia shukran dear
Assalam aleikum ningependa kujua upishi huu wa labania
Je nusu kilo ya njugu inapikwa na sukari kiasi gani ?