JINSI YA KUPIKA BIRIANI RAHISI YA KI HYDRABADI
Vložit
- čas přidán 8. 04. 2021
- Mahitaji : chakula kwa watu 6-8
Kuku alokatwa kiasi pound 4.25 ( kilo 2)
Kjk 1 ½ cha masala ya biriani ( aroma of Zanzibar) au utakayo penda
Kikombe 1 ½ mtindi mzito usokuwa na ladha
Chumvi kiasi
Maji ya limao au ndimu kiasi vjk 1-2 cha kulia
Mafuta ya kupikia ¼ kikombe
Mchanganyiko wa kitunguu thom na tangawizi mbici kiasi vjk 2-3 vya kulia
½ kikombe majani ya kotmiri/dhania yalokatwa vipande vidogo
¼ kikombe cha majani ya nanaa yalokwatwa vipande vidogo
Vikombe 2 vya vitunguu maji vilokaangwa ( 700gms)
Mbatata za kukaanga kama utapenda
Pilipi za kijani 2-3 kama utapenda
Vikombe 6 vya mchele ( kosha roweka kiasi dakika 30)
Bizari zilokuwa nzima kama pilipili manga, bay leaf, hiliki, mdalasini
Nyuzi 6 za zafarani roweka kwenye maziwa au maji ya wardi kiasi vjk 4 vya kulia
Vitunguu vya kukaanga na majani ya dhania kwa kuwagia juu
Samli imoto Vijiko 3 vya kulia kwa kuwagia juu
THIS RECIPE IN ENGLISH • QUICK AND SIMPLE DELIC...
Bizari za biriani • Bizari za biriani - ki...
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is an English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/gONkW2NZH1o/video.html
MashaaAllah ramadhan njema kwkao pia.. Tumefika india😋😋
Mashallah
Da Aroma Allah akulipe kila la kheri umenifunza kupika we mama nakuombea kheri kila siku recipe zako rahisi Sana kila nikijaribu pishi lako linatokea hivo hivo Allah kujalie kheri na baraka
Shukran sana kwa support na dua njema, amin kweto sote ya Rabb
mashallah shukran sana nimeipeipenda
Wow mashallah Allah akulipe kheir kwahichi unachotupa nduguzako ktk imaan
Shukran Amin
Masha Allah Pambe Sana Allah bless you dear akufungulie milango ya kheri ramadhan Karim in advance for your
Shukran, Amin kwetu sote
Mashaallah
Shukran mumy Ramadhan mubaq inshaallah kwa sote asante kwa biarian nzuri tu mashaallah
Ni tamu jmn
Masha Allah basi na Hilo Sufuria mie nimelipenda sanaaa ♥️♥️
shukran sana habbty na wewe tunakutakia Ramadhani Mubarak 😍😘
Mashallah shukran for the recipe❤️
mashAllah... TabarakAllah.... I really love your recipes Yani whenever I try inatoka very perfect 😍
Thanks this is my to quick biriani, I just made it again today
Ma shaa Allah tabaraka Allah ni yummy😋😋
Mashallah chakula kzur
Wow MashaAllah nimependa kweli na inakaa tamu sanaa Allah akujaalie kila la kheir uzidi kutufunza ramadhan Kareem habbty❤❤❤❤
Shukrab, Amin
Masha'Allah
MashaAllah Biriani haswaa
Mashallah 👌
Assente sana, nii recipe rahisii sana.
Wow! 😋Shukran my dear...🙏😘😍❤
Shukran Ramadhaan njema Inshaallah😋
MashaAllah ukhty Allah ya Barik ❤️❤️❤️❤️❤️
Yummy asante mummy for the recipe..
Ahsante sana nawe pia twakutakia ramadhani njema
mashaallah mashaallah shukran
Mashaallah chakula kitam ila kama a ukipata Maziwa ya mtindi itakuje
Itakuwa kama wali ulichanganywa na mchuzi tu. Maziwa ya mtindi ndio yanaleta ladha nzuri ya biriani
Masha Allah shukran mum nawe pia Ramadhan yenye kila khery Allah atuepushe na kila shari kwa wotu ummati amiin
Amin kwetu sote
Shukraan hayaty kwa mapishi matamu😘
MashaAllah
MA sha Allah
Mashalllah naic
Wooow. So nice....shukran Dada Fathia. Love from Mwera- Unguja
Ahsante sana
Mashaa Allah
Shukranii
Safi sana
Mashallah my fav
Thanks for sharing 🙏🙏❤️mauch love from the Comoros sis
Thank you too
Mash allah tabarak rahaman...Allah akujalie kila la kheir na families yako
Wallah huna hiyana kabisa
nakupenda kwa ajil ya Allah
Nakutakia ramadhan karim
Amin ya Rabb kwetu sote
Shukran
Yummy !!
mashaalla🥰🥰🥰
Asante 😋
mashallah it look delicious 😍waiting for ramadan new recipe
Inshallah
Mashallah aroman of Zanzibar r
RAMADHAN KAREEM WASWAUM MAKBOOL
YARAB👐😍
AMIN YA RABBL ALAMIN
Shukran aunty mmungu akubarik
Shukran, amin
Mungu akupe umri wenye kheri nawe uzid kutuletea vitu vizuri sichoki kuangalia mapich yko😋😘
Shukran, Amin
😋
Mashaallah.Allah aibareek mikono yako .
Amin , shukran
Like You knew I wanted to prepare Biryani 😍
There you have it and its quick
Mashaallah very nice and looks delicious shukran jazakallah my dear sister. Ramadan Kareem inshaallah.
Thank you so much 😊
Nitajaribu hii kesho shukran sana
Afwan
Shukran sana mwanangu Nakuombea kila la kheri maishani mwako Grandma from Mombasa Kenya
Amin kwetu sote shukran sana 🙏🏽😘
mashaallah very nice thanks Ramadhan kareem o.k.
Notification squad ❤❤
Thank you for your support ❤
Love you from Nairobi 🥰😘
LOVE YOU BACK
Allah akujaalie na moyo huohuo
Shukran, Amin
assalam alakkum nauliza mbona hukutumia tomato source
Haihitaji ndio maana sijatumis
Napenda sn mapishi yako from kenya
Shukran
Tukufate wapi anti tuje tule mi uvivu tuu na wala sina fahamu za kupika sijui nitanzaje mana sina moyo wa mapishi mi niko na hamu na kula tu naomba namba yako
mimi siishi Tanzania
Leo nami sibaki nyuma SHUKRAN SANA.
Na jee ukitaka kutumia kuku wa kienyeji, itakubidi umchemshe kwanza?
Ndio itabidi
@@aromaofzanzibar Shukran. I wish you saum maqbul. Aamin
Unaweza kupikia kwa rice cooker eee
Unaweza hakiksha kuku ataiva vizuri
@@aromaofzanzibar shukran
Hakuna tomatoes kabisa kwenye pishi hili
Unauliza au una eleza sijafaham. Pishi ndio kama unavyoliona
@@aromaofzanzibar nauliza my dear
Hakuna dear
Mashaallah