JIFUNZE kupika halwa/haluwa tamu sana nyumbani kirahisi | Homemade omani halwa
Vložit
- čas přidán 24. 07. 2020
- 3 cups water
4 cups brown sugar
pinch of saffron mixed with 2 tbsp rose water
pinch of orange and red food coloring
mix well
when it's about to boil add
1tsp nutmeg powder
1 & 1/2 tsp cardamom powder
Let it boil 2 minutes
Add mixture of
2 cups tapioca flour
1 cup water
mix well
keep stiring continuously for about 25 mins
Gradually add
1 cup mixture of ghee and oil
add almonds and cashewnuts
it took me about an hour to cook the halwa - Jak na to + styl
Daah Leo ndio naona haluwa unavyo pikwa cjawahi kuona Mashaallah
Same
Mashallah it look tamu na nzur
Ma Sha Allah this halwa recipe is easy lots of luv ❤
Ni tamu sana
Unga wa Mihogo..Masha Allah...sikujua.
Masha Allah nimependa ni nzur
Mashallah nzuri
Mashalll
Ty my dear Mapishi Rahisi for the awesome lovely haluwa recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow
Mashaallah I liked the recipe
Mashallah mashallah 😘😘
Ma sha Allah
Masha Allah very nice
Mashallah ni zury na uo unga wa muhogo waweza tengeza kutumia mihogo yenyewe kama sehemu uko hakuna iyo unga
The best recipe ever! My favourite
Mashaa Allah 😋😋
Mashaallah yummy
Wow I like your recipe mamy 👌😘😋
Mashallah umeijulia vizuri sana 😅
Mmm tamu 🤤🤤🤤🤤🤤
Thank you so much for the recipe... Mungu akuhifadhi...natamani ku uma simu yangu nionje ...
Very Delicious 😋😊 Tamu Tamu sana
MashaAllah your channel is so nice.Shukran for the amaizing recipes
Asante habbty mashaallah
Wowww yaani hutumiii machine aaaaaaaau rahisi nitajaribuu
I love it
Nitajaribu inshaallah
Mzuriiiii
I was waiting for Halwa recipe
Tamu sanaa😋😋
Somo zuri sana
Aslm Alkm mashAllah u r always my role model is unga ya muhogo same na corn flour Sana Sana naona wapishi hutaja hii Kuna na ni nn hufanya haluwa kuwa soft Sana ambaye sio nzuri advice me sis na Allah Akubariki Sana thanks
Assalm alykum ...jaman huo unga wa muhogo ni huo unaopikiw ugal au ni mwengn?
MashaAllah jazakaAllah kheyra,inshaAllah ntajaribu nikutag
hata mimi pia nitag
Dada mm nataka nijifunze kupika halua.
Lakin sijui
Maan sina kazi ya kujitegemea.
Nahitaji nijifunze hata kwa malipo nipo tayari.
Sijui unapatikana wp.
Keep going sister
I like your recipes, but I usually adjust the amount of sugar I use, sometimes the recipes are too sweet and I don't have a sweet tooth anymore. Kudos for great recipes
Mashaallah na like video Mashaallah mungu Akubariki lakini waeza kueka kikombe 2
Waw👌
Leo nilikua nenda kwa oman haluwa hapa sakina . Shukraan . Jazaka Allahu khairan
ukienda nichkulie na mimi
Mashaallah
MashaAllahu
Aslm aleikm shukran kwa halwa soo easy mashallah. Nauliza huu unga wa muhogo ni swa na unga wa 'wanga'?!
Bombaa
MashAllah kupika Haluwa inachukua how many hrs?
Tuonane bc mikon mizuri na kucha nzuri
Naweza kutumia unga Wa ngano unafaa km Sina hui ungs
Mapishi rahisi Unga wa tapioca unapatikana wapi hapa Mombasa nami nataka nijifunze
Hzluwa ni mzr
Waaleikum salaam Wow mashallah inaonekana tamu sana please niambie jina lako ni nani ? Unaishi wapi ? Mimi ni binti wa athman ali Naysana please I want you to become my best friend I really like this video thanks for your video bye
habibty hiyo kikombe unacho tumia ni ml ngapi please yanitatiza shukra kwa mapishi ya halwa-halwa ya seif
😋😋
Twaweza tumia cornflour
Natamani haluwa
mashallah,, nimependa sana .. unga ulotumia unapatikana wapi?
Supermarket hapa Nairobi iko
Hiyo ulotumia ni tapioca flour sio tapioca starch?
Assalam aleikum siz I’m in Mombasa nipate wapi hio unga ?
Supermarkets, markiti pia unga wa muhogo
Tapioca starch...huu sio unga wa muhogo tunaopikia ugali ,upo tofauti so unaponunua ujue kwamba unanunua tapioca starch habibty.
🤲
Naeza tumia unga wa ngano?
assalam alykum je unaweza kurumia unga wa muhoga wa locally
Kama huna unga wamuhogo naweza kutumiy unga wa mahidi
Asalam alaykum.. Masha Allah nimependa Sana ..lkn ungaa huu naaweza pata wapi...Niko malindi
Supermarket tuskys cassava flour, supermarket pale barani ya wahindi
Maduka ya ration pia
Ok sawa.. thanks alot I will try tomorrow in sha Allah
So any mafuta ni sawa tu bt samli is the best
Nakukubal
Mapishi rahisi Kama Sina unga wa mihongo naweza tumia ngano🤔🤔🤔🤔
A salaam Aleykum un ga huh was tapioca kwa Dar naupata wap
kariakor
This channel is the best especially am the all time lover of swahili dishes,,, God bless you siz
Sorry dear..nataka kufuhamu halwa Unaweza kukaa muda gani bila kuharibka?
Na ikiwa haikai muda mrefu mpaka kuharibika naweza fanya nini ili kuifanya isiharibike mapema.?!
je unaweza tumia unga wa uwanga?
Shukran lkn unga wa mgongo mzr
Yay 😁 I was waiting for a haluwa Recipe
Halwa ile ya mombasa kwa ba seif tamu ajab
Je unajua recipe ya haluwa ya kidigo?
Ndyo hyo ya kidigo ujaona na unga wa bada hpp
Zafarani ndio nini kwa kizungu.
Saffron
Ajab
Sauti taaaaamu kuliko haluwa yenyewe....
It's hard to cook this unless you write down your recipe,not easy to understand this ingredients.
It's an Arabic desert it's not for everyone.
Rukie noor that's not a nice answer. Do you only make food from your community or do you try other people's too!!! Kezia the recipe is in the description box girl. Give it a go!!!
I love it
Mashaallah