Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa SHUGHULI nyinginezo nyingi na nzuri. BI STAR AMFUNDA NANDY JINSI YA YA KUISHI NA MAWIFI NA MAJIRANI #Shughulizetu #sharehe #Nandy
Ma sha Allah mependeza sana mwari na kwingwi wake maneno kumtu 😘😘😘😘ila makavumirie na mkapendane❤❤❤...ila ukiona unashikiwa kisu au bastora nandi wangu usivumirie mahana shetan kashaingia haraka sana toka,,,
Hongera sana Nandy.... Ndoa nzuri sana Dadangu na kupa zawadi ya kichungi but sichaakuchunga chai niyakuchunga mabaya ubaki namazuri tu chochote utambiwa au ushikie ya inje dadangu anza uchunge na kichungi mazuri baki nayo mabaya yatupe....Baraka tele kwenye ndowa nyenu🥰🙏🙏🙏
Ma sha Allah mependeza sana mwari na kwingwi wake maneno kumtu 😘😘😘😘ila makavumirie na mkapendane❤❤❤...ila ukiona unashikiwa kisu au bastora nandi wangu usivumirie mahana shetan kashaingia haraka sana toka,,,
Bi star hongera kwa kurudi ujana Masha Allah ahsante kwa kumfunda bint yetu
Naichukuwa na hii 🤗nikiolewa hakuna kuachwa hahahaha ncheke mie...
Masha allah wallah nawapendaa nyote muliomfunda Nandi wallah mmetufunza wengi siyo Nandi Peke yake woow Ni fupi harafu Tamu❤️🌹🌹🌹🙏
👌👌👌👏👏👏
Kbs mpenz wng
Hongera sana Nandy.... Ndoa nzuri sana Dadangu na kupa zawadi ya kichungi but sichaakuchunga chai niyakuchunga mabaya ubaki namazuri tu chochote utambiwa au ushikie ya inje dadangu anza uchunge na kichungi mazuri baki nayo mabaya yatupe....Baraka tele kwenye ndowa nyenu🥰🙏🙏🙏
Govida Shikamo kumbe wew ni moto hivyo Nakupenda sana
Mwadawa Hana ndoa ila bi star yuko moto🤣🤣🤣🤣
Umependeza mfundaji
Nimeipenda hiyo bi star big up
Maa shaa Allah
Asante bi stra
Maa shaa Allah 🥰🥰🥰
Nampenda sana bi star🥰🥰natamni siku moja nionane na😘
Mashaallah Mashaallah Mashaallah 😘😘😘 Mwali Na Kungwi Mmependeza Saana
Mashaallh ❤️
Mansha Allah ❤
Mashallah🤗🤗❣️🤗🤗
MashaAllah
Mamake semeni nilikua naona maruhani watakuja.🥰🥰🥰
Hahahhaha nilikuwa najiuliza ni yeye au ….
Ahahhahahah hahahahaha
Hongera nandy ❤️
Uyo mama semen anachekesha 🤣🤣 nisingeweza kumsikiliza kwa umakini jmn bt ongera nandy🥰
😂😂😂😂
Mashaallah
Kweli nandi amepata wafundaji maa shaa Allah
Govinda kama govinda
Govinda kama Neelam leo😂😂
NANDI,usi wahangushe hote waliyo kufunda. Tuko hapa sisi kuwahagalia tu,ndowa itahendaje!!!!!! Basi
Ahaa jmn Mama Semeni uyu Wa Jua Kali 😊
MashaAllah tabarakaAllah nandy mrembo hata bila makeup
mwadawa kikala. kawa malaika😅😅
❤️
👏👏👏👏
Mama ake mashavu na semeni kumbe nae ywatyumia dozy
Mwali kacheka amenikumbusha mbali
🤍
Namm nimejifunza mengi🤝
❤❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰🙏🙏
By the way mimba imekunogesha
Jaman n movie au maana Kila mtu anamfunda.
kweli twamtaka bi Chau na Salma kungwi wa makungwi
Jmn ashura nongw pendra mnoo
bistaa kapendeza
Govinda
Minimepend nguo zanand anazifundiw sijui ananunua wap
Ndoa za siku izi subra t ukivumilia utapigwa risasi
Nimeshangaa eti chama cha uvimilivu haha no thanks heri nibaki Single niwe huru
😄😄🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅
🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅😅
😄😄😄😄😄
@@theresaelizabethelijah117 kwakwel vikinishinda nasepa mfyuuu
Ongera buster atasisi tunajifunza
Anakifundwa nn uyo kila kitu alijuwa ss mafundo gn mitandaoni
Wenye chuki utawajua tu
@@Official83640 sana
Unyago hakuna ,misungo watupu imebaki .
@@manwoka4078 kbs yn
@@nishaabdula5015 hatari
Kafundwa na makungwi wote mjini, sasa usituletee aibu, na wachaga unatujua, hatunaga show mbovu
Cmama semeni huyu
Ndio yey bi star
Ndoa sio sanaa