Video není dostupné.
Omlouváme se.

NANDY apewa zawadi ya vyombo baada ya kupokea Vichambo kutoka Instagram, afundishwa kupanga Meza

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 01. 2021
  • #Nandy

Komentáře • 394

  • @solangekubota9487
    @solangekubota9487 Před 3 lety +63

    Nampenda bure uyu Nandy, salute dogo 🙌🙌utaishi miaka mingi kwakusikiya wakubwa na kujishusha nakusikiya shauri 🥰🥰

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 Před 3 lety +49

    Wowww this so powerful ...Tanzanian women's empowerment... Thank you so much sister.. God bless you...

  • @safaasaid7514
    @safaasaid7514 Před 3 lety +28

    Yaani tanzania raha mpaka basi tunavyopendana raha ya mtu kuishi nae vizuri na kusikia anapokosea nandy big up yangu kwa sana tu😘😘😘

  • @robertmakuukabwali9488
    @robertmakuukabwali9488 Před 3 lety +77

    Kama unampenda NANDY click "like"

  • @florandomba6822
    @florandomba6822 Před 3 lety +4

    Katika maisha kula Siku tupo darasani ,,,,,,,,so salute Nandy Kwa kukubali kusoma na kupokea mabadiliko!!!! Ubarikiwe!!

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 Před 3 lety +4

    🇺🇲/🇹🇿 Ni Mfano wa kuigwaa!!
    Ustaarabu na Khulka isiyo na Majivuno ya Mschana wetu Nandy imenikoshaaa kweliii. She is Super duper STAR* Sweet humble Africa princess. Sio yr Song tu Nandy Unanifanya nikupendee Zaidiiiii 💕💕💕

  • @fammamaboko16
    @fammamaboko16 Před 3 lety +1

    Tanzania 👍👍👍
    Pia Nandy uko fresh kwamana umekua muazi nakupenda bure my

  • @hadijaomary8890
    @hadijaomary8890 Před 3 lety +28

    Nakupenda .xana.unagaa.majigambo.unapenda.kulekebishwa.ongera.xasa.,💯♥️♥️♥️♥️

    • @mamavero4004
      @mamavero4004 Před 3 lety

      Safi sana Nandy ukitaka kujifunza jishushe

  • @sabraabrahmani2558
    @sabraabrahmani2558 Před 3 lety

    Nimekupenda sana nandy jinc ulivyo na ukarimu istoshe upo na uvumilivu hunaga chuki moyoni mwako istoshe meza ilivyopangwa imependeza sana na vyombo ni vizuri sana mashaallah

  • @maryamfaraji2364
    @maryamfaraji2364 Před 3 lety +3

    Wabongo dah🤣ila nandy Hongera kwa kuelewa kuwa umekosea na unahitaji kukoselewa♥️♥️♥️ila wabongo mna midomo Subhanallah 🤣🤣🤣

  • @florencembithe2244
    @florencembithe2244 Před 3 lety +31

    Ila boñgo hatari sana😂😂😂 waaah utafunzwa tu kwa lazma🤣🤣🤣🤣

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Před 3 lety +21

    Nilichompenda Nandy hakuonyesha mjivino kutokana na kuletewa viombo kiendo ambacho kingemfedhehesha au kujihisi amekua underrated

  • @minormine4417
    @minormine4417 Před 3 lety +2

    Nimempenda Nandy amejikubali na amekubali kubadirika😘Love you Nandy!!

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 3 lety +4

    Mdogoangu Nandy! Hongera sana! Yaani umenifurahisha ulivyoipokea! Umekubali kukosolewa na pia kukubali kujifunza tofauti na wasaniu wengine yaani wangewaka kinona! Yaani wewe ni wife material kabisa! Yaani Nandy ume cooperate vizuri mno tena kwa tabasamu! Pia Niwapongeze wote walioamua kumfunda Nandy kwa vitendo! Mtoto wa mwenzio ni wako! Hongereni sana!

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Před 3 lety +3

    This is incredible, watanzania tunapendana na Mungu awabariki sana💞🇩🇪

  • @upendozacharia3145
    @upendozacharia3145 Před 3 lety +1

    Nandy jamanii nimekufurahia sana umekubali ushaurii dah wachache Sana'a. Salute you my dada

  • @madammanka2731
    @madammanka2731 Před 3 lety +2

    Hongera Nandy kwa kupata vyombo kabla ya kitchen party😂😂

  • @suudihrajabuh2947
    @suudihrajabuh2947 Před 3 lety +1

    Kila kintu kina uzuri wake naubaya wake so kuzalilika kwa Nady kumemuvunia matunda big up u pipo may the almighty Allah reward you abandantly

  • @neemamjengi9913
    @neemamjengi9913 Před 3 lety +2

    Safi sana mdogo wetu,hunaga makuu,umekubali kufundishwa hii imetusaidia na Sisi kujifunza namna meza inavyotakiwa kuwa

  • @edwinaoduol5474
    @edwinaoduol5474 Před 3 lety +24

    Love you, very humble lady Nandi.

  • @didaamohsin6594
    @didaamohsin6594 Před 3 lety +18

    Dinna NAKUPENDAA buree..mola akubariki😍😍😘❤🔥🔥🔥🇰🇪

  • @teddyndungurusabnu4792

    Jamani nimemoenda huyu nandy kakubali kufundishwa lakini yote kwa yote huyu Bado mdogo Sana aliitaji watu Kama hao wamfundishe na wazidi tu kumfundisha

  • @agnettakamugisha4984
    @agnettakamugisha4984 Před 3 lety +3

    Ms Nandy you are a true 🌟❤❤
    Well done team for caring and advertising your business👌🏼👏👏👏

  • @edithhassan4196
    @edithhassan4196 Před 3 lety

    Dina na Nandi hongera kutoa somo kwa wabongo. Wasichana Wote..pia barikiwa nandi kwa usikivu. Pia kuitangaza Tanzania huo si mwisho utazidi kupata Elimu.

  • @Dusenge-TV
    @Dusenge-TV Před 3 lety +9

    This is how it supposed to be. Sio kunchambulia Dada wa watu jamani hajafunga ndoa kwanza tena ni mdogo sana. I love her 💓

    • @veronicasiweya5507
      @veronicasiweya5507 Před 3 lety

      kweli ni mdogo ila miaka 29 siyo mdogo sana.. alisema amezaliwa 92, cha msingi amekubali kujishusha na hajaonyesha majivuno.

  • @emilywanjala9161
    @emilywanjala9161 Před 3 lety +10

    Aki napenda tanzania wanavyo pendana🙏🙏

  • @olivamathias4841
    @olivamathias4841 Před 3 lety +1

    Big up sana Dada nandy kwa kujielewa much love

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 Před 3 lety +50

    Kwa akili ya kawaida watu wengi wanahisi nandy kasaidiwa wakati kiuhalisia hao wafanya biashara na Dina Marios wamecheza na fursa""tangazo la biashara"

    • @faithlukosi71
      @faithlukosi71 Před 3 lety +9

      Mwanamke wewe unaakili sana ,umewaza kama nilivowaza mimi

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 Před 3 lety +1

      @@faithlukosi71 eee segito ndauli?

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 3 lety

      Umeonaeee,akili fupi sana

    • @makeupartist6283
      @makeupartist6283 Před 3 lety

      Nahaiwezi kua bure kabisa bwana inamaana wao wana uwezo sana au

    • @hajerjasem7981
      @hajerjasem7981 Před 3 lety

      Tena wamefanya tangazo kama kuna mtu anahitaj vyombo na kupangiwa anaweza watafuta

  • @joanngatulile4687
    @joanngatulile4687 Před 3 lety

    Mwaya angalau ata una meza ya chakula ina viti kamili ambavyo havijachanika na nyumba nzurii😍👌👌watu kibao hawana vitu classic vya kukarimu wageni tukianza kufukunyua kuna watu hawana hata mashuka,towels,vyoo vimefubaa ua kuna kopo tu hamna hata tissue,sebleni vululuvalalaaa🙈🙈🙈,pia alivosema Dina umekubali udhaifu na ukapata msaada,Tunashukuru Mgeni kalaaa,afu yule ni muafrica hatokushangaaa sanaaa😅

  • @idikakyando3105
    @idikakyando3105 Před 3 lety +3

    Nimempenda Nandy she is flexible na anaonyesha ushirikiano mzuri

  • @ruthshangali5996
    @ruthshangali5996 Před 3 lety +22

    Nimependaa, da Dinaa ubarikiwe

  • @esterlunguya4177
    @esterlunguya4177 Před 3 lety +14

    Sio siri da Dina hata mm nimejifunza mengi kupitia nandy dh!!

  • @dianamsangawale9925
    @dianamsangawale9925 Před 3 lety +7

    Kumbe kweli ukimpiga chura teke wamuongezea safar, watu walimchamba wakizani wanamkomoa haya ona sasa!

  • @ahuriladaniel9849
    @ahuriladaniel9849 Před 3 lety +1

    Nandy unanyenyekea sana nakukubali sana

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 3 lety +7

    Nandi is so humble!

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 Před 3 lety +3

    Nandi mtoto.zuri sana safi nandi

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 3 lety +11

    Good job Dina but pia kofi ni mkubwa sio akina beyonce tu,but amejifunza kitu Nandy 🥰❤🇨🇭🇹🇿

  • @deborasalum1015
    @deborasalum1015 Před 3 lety +9

    Wabongo Hapo mmetisha sana sio kimchamba tu.

  • @rahmaabdulrahmaabdul1781

    Nampenda sana nandy hana jeuri hana dharau anaskiza wakubwa mungu akupe umri mrefu mdogo wangu shabiki wako kutoka 254😍😍😘

  • @victraleblegoodyone7978

    God bless you...huyo msichana ni mdogo.thanx so much mama kwa ku help ako kasichana kangu..love you nandi?mgeni anakujanga na baraka kofi ni wabaraka tupu👌

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 Před 3 lety +2

    Wow honger Dina na Nandy 😘😘😘

  • @aminahali1106
    @aminahali1106 Před 3 lety

    Me I like that. Amina from Kenya. nampenda Nandy hana maringo anakubali kua hakufanya vizuri . nawapenda pia na walojitolea kumsaidia M mungu atawalipa inshallah.. Mtangazaji pia shuqran sana kwa wema wako.. nitakuja Tz kukutafuta.😂👍⚘

  • @aishahemedi7869
    @aishahemedi7869 Před 3 lety +13

    👏👏👏👏 dada dina hongera sana 👏👏

  • @12322879
    @12322879 Před 3 lety +8

    Nandy anawachora tu,ahahaha.Kapata vyombo vya bure

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 Před 3 lety +1

    Nakupenda sana Dada Dina Marios, yani tungepata wadada kama wewe wenye huo moyo ulio nao, watu wangeishi kwa raha sana. Mungu azidi kukubariki paka ushangae. ❤❤❤

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Před 3 lety +5

    Nandy nimekupenda bure yaan hujawajibu vibaya umewapokea vizr sana achana na hao wanao chamba wengi wetu hatana kabisa hata hivyo ulivyomuandalia kofi mala ya kwanza ila maneno kwa waja hayakosi mungu akujalie uwe n moyo huo hakuna anejua kila kitu hapa chini ya jua.

  • @pendohezron7091
    @pendohezron7091 Před 3 lety +13

    Me nakupenda tu pamoja na hayo wanayo kuchamba nayo,nakukubali Nandy

  • @munmun_stepup6900
    @munmun_stepup6900 Před 3 lety

    Safi Sana huu ndio ustaraabu sio maneno matupu

  • @marinamooh4055
    @marinamooh4055 Před 3 lety +4

    Safi sana 👏🏻👏🏻👏🏻Raha ya Kuchambwa hiyo kwa Ukweli yule Salma Msangi alikuwa anatetea ujinga tu kwa Hadhi ya Nandy.
    Tatizo la mtu kutopenda jiko mwanamke ata uwe bint mdogo maadhari unanyumba yako ukipenda jiko tu basi utapenda kuwa navitu vizuri ata ukiijiwa na mgeni ghafla basi jikoni kumetimia

  • @mwanakombosuleiman6161

    Mashaa Allah Nandy .mtoaji na mpokeaji mungu awabariki

  • @afaafhilal8483
    @afaafhilal8483 Před 3 lety +2

    Woooow this is unbelievable and nandi mashallah 😍 she's cool

  • @esadkulovic6777
    @esadkulovic6777 Před 3 lety +2

    Thats nice,nimefurahi hiyo ndo inakua,kichache unajua,mjulishe na mwenzako,so happy for that👍,kujaribu bora muendelezo unafuatia.

  • @miriamabwao3062
    @miriamabwao3062 Před 3 lety

    Hongera Sana dada Dina nimependa mno yaani Hadi nimetamani natamani ndy ningeletewa mm jamani nandy hongera kwa kupata vyombo vizuri

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 3 lety +5

    Mashallah Dada Dinna Umetisha, safi sana 😘😍

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Před 3 lety +22

    Ukweli wetu umemsaidia Nandy. Na msimpe tuu bali mfundisheni jinsi meza inapangwa

  • @stephanierona6592
    @stephanierona6592 Před 3 lety +5

    Nandy wasimuukum sababu ubri wenyewe bado mdogo anaitaji watu kama akina dina ili kumfudisha

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před 3 lety

    Wow hongereni Sana Kwa kujitoa kwenu wamama

  • @helenamdete2181
    @helenamdete2181 Před 3 lety +1

    Da dina unastahili kuwa super mama, sio michambo wanayotoa afu hawafanyi kitu, DINNER THE CHANGER ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Před 3 lety +5

    From 🇧🇮 Saudia vyombo bi zuri san 👌

  • @glorylema
    @glorylema Před 3 lety +4

    Sijapenda walivyo base kusema nikumsaidia ....wakati Wana jipromote

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 3 lety

    Ndo hivyo waliochonga sana wabane choo👌👌👌na mjue mungu ni mwema hakupaniki aliwajibu kwa busara na alikbali kukosolewa

  • @jeanyves8934
    @jeanyves8934 Před 3 lety +2

    Nimependa saana Dina Marios na group yake na Nandy pia kwa ku kubali madhaifu yake. Thumb up 👍

  • @masoudsalim7857
    @masoudsalim7857 Před 3 lety

    Waangalie vizuri hao Dada Dina ata chupi zao haziko sawa

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 3 lety +12

    😂😂😂😂😂😂😂😂bongo htr 🙌🏽

  • @neemamwaikenda140
    @neemamwaikenda140 Před 3 lety +4

    Afadhali walikuchamba umepata vyombo vizuri vya bure

  • @willydasilver69
    @willydasilver69 Před 3 lety

    Nandy hajui kuchagua vyombo karibu apakulie bakuli ya paka(pusi)...pole Mungu ashakubariki

  • @frdausmwawughanga9047
    @frdausmwawughanga9047 Před 3 lety +2

    Mashallh mwanamke jiko usisikie heeee

  • @ashrinakhatibuiddi9067
    @ashrinakhatibuiddi9067 Před 3 lety +6

    Ila jimempenda huyu dada amekuwa humble sana cz angekuwa mtu mwngne angewatukana na kuvimba kuwa hatak vya bure

  • @youngshiner172
    @youngshiner172 Před 3 lety +8

    bongo bana kila mtu anataka kiki tu ili mlad ajulikane, mnataka kunambia nandy awezi nunua ivyo vyombo mlivyompelekea .Wapo watu wengi wa hali ya chini wanahitaji misaada km hii kwann msiwapelekee ao watu wenye mahitaji km haya.Kiki zinaturemaza wabongo

    • @shanisigwa8910
      @shanisigwa8910 Před 3 lety +1

      Wanataka kuvuma haoo

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 Před 3 lety

      Wewe watu wapo kibiashara zaidi hapo wanacheza na fursa

    • @zakyahya4645
      @zakyahya4645 Před 3 lety

      Biashara iyo

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 Před 3 lety

      Biashara inahitaji matangazo huyo ameshakuwa balozi wao wakutangaza vyombo na mtonyo ushaingia

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 Před 3 lety

      Biashara hiyo watu washaingiza pesa hapo ndugu sisi tu ndo hatuelewi

  • @lovethildah7340
    @lovethildah7340 Před 3 lety +6

    Basi mie pia namtaka Olomide aje tufanye colabo , kisha nimpe uporo kwa chai kisha mseme sina hela za kununua chakula mnifanyie Mchango😂😂😂😂🙈🏃‍♀️

  • @najmabarry3101
    @najmabarry3101 Před 3 lety

    Nmpenda Nandy sana nkupenda ,bure dadangu

  • @billylovebillybillylovebil8895

    Nandy uyu mdada ipovizur sana hana mishauwo 😘😘😍

  • @diyaosman6268
    @diyaosman6268 Před 3 lety

    Asante sanaa daa dina nakupenda sana

  • @preciousjohn9405
    @preciousjohn9405 Před 3 lety +1

    Sisi wenye hapa tunajifunza pia hata ss tunapenda vitu vzr

  • @khadsixdozenjr8503
    @khadsixdozenjr8503 Před 3 lety +27

    Bongo ukifa kwa stress wenda ujitakie tu yaani Instagram imekuja kuharibu kila kitu

  • @cecychua7478
    @cecychua7478 Před 3 lety +1

    Safii nandy nakpend coz wachaga sie atunaga dharau love so much chaagga girl usiyejua kuji proud.....

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 3 lety

      Mmmmmmm nani kasema wachaga hawana dharau siwote,alafu dharau sikuhizi nitabia yamtu.pia naskia Nandy siyo mchaga ni mpare

    • @navojosephat656
      @navojosephat656 Před 3 lety

      mpare huyooo, Nanderaaaa

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694 Před 3 lety

    Sister Dinamarious 😍😍 kichambo kimemletea nandy neema ukisikia mgeni njoo mwenyeji apone ndy hii ila bora mwaya ukweli umesaidia mwanzo mpk majalo lol 😂😂😂😂

  • @elizabethkimani991
    @elizabethkimani991 Před 3 lety

    😍😍😍Big love to nandy

  • @separatebetres5315
    @separatebetres5315 Před 3 lety

    Mko vizuri

  • @joycemutatina7750
    @joycemutatina7750 Před 3 lety

    Jamani ata mie nimejifunza napenda vitu vizuri Sana❤️❤️❤️❤️❤️

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan8742 Před 3 lety

    Maa shaa Allah nataman viwe vyangu maana na wazim wa vyombo balaaa kila cku havinitoshi

  • @HalimaMohamed-em9zg
    @HalimaMohamed-em9zg Před rokem

    Napenda sana nyumba yangu kama hivyo

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 Před 3 lety +4

    Big up to Nandy. Humble,

  • @stellamalle6080
    @stellamalle6080 Před 3 lety

    Yaani hadi machozi ya furaha yamenitoka kwa hicho alichofanyiwa Nandy....... dahhh safi sana. Kiukweli nimemsaidia kufurahi

  • @clariceayieta3261
    @clariceayieta3261 Před 3 lety

    That's why I love tanzanians ingekuà huku Kenya kwetu wacha tu

  • @tetradee1706
    @tetradee1706 Před 3 lety +14

    Mi naona hii ni kiki tu!siamini kama kweli nandy anashindwa kununua vyombo!

  • @benjaminchristopher8766

    Nandy nimekutaman bure jaman namm Mrs Benjamin ninaviomba vyombo Sina

  • @zabronmabamba3611
    @zabronmabamba3611 Před 3 lety +3

    Hongerani kwa upendo huwo

  • @anahna6788
    @anahna6788 Před 3 lety +7

    Ushauli wangu wa hao wamama wakae vizuri na huyo binti wamshauli na kumfundisha kazi zote za mke bora
    Kama kupika
    Kupiga deki
    Kufua
    Mpangilio wa nyumba
    Kutandika kitanda
    Kusafisha choo
    Yaani mambo ya USAFI wa nyumba na Mpangilio kwa ujumla
    Wadada wengi wa intertement ni wa chafu sana
    Yaani wengi wao hujali muonekano wa mwili kuliko wa nyumba

  • @umpump8472
    @umpump8472 Před 3 lety

    Kumbe nandi ni mchafu alaaaaa tumejuwa leo

  • @saumsalim9966
    @saumsalim9966 Před 3 lety +2

    Uzur wa Nandy hanaga makasiriko,, na huchuklia vtu poa xan dts y I love her c wengne kufake

  • @hannahngeru9691
    @hannahngeru9691 Před 3 lety +3

    Nandy is so beautiful and humble.Wadaku nao kufauata maisha ya mtu😰

  • @noelmusanga4830
    @noelmusanga4830 Před 3 lety

    Obedience is better than sacrifice. God bless you all

  • @hillarytindi8883
    @hillarytindi8883 Před 3 lety +2

    You might find out, those who were Criticizing her have got nothing...

  • @rachealmoremi3460
    @rachealmoremi3460 Před 3 lety +1

    Big up

  • @mariamabuu8574
    @mariamabuu8574 Před 3 lety +1

    ❤❤

  • @gressluhimbo1215
    @gressluhimbo1215 Před 3 lety +2

    Namimi sijui kupanga vyombo mniletee🙆🙆

  • @fashiontrendstv3207
    @fashiontrendstv3207 Před 3 lety +1

    Alafu ni tabia mbaya kumpakulia mtu huwa Mgeni anapakuwa mwenyewe mfunzeni

  • @kyandonaomi8368
    @kyandonaomi8368 Před 3 lety +9

    Nakupenda sana nandi

  • @aishaabdhul4912
    @aishaabdhul4912 Před 3 lety +11

    Namba za simu please mm pia nataka viombo