Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 06. 2021
  • #sirizabongo
    Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda! Askari huyu mara nyingi anakuepo maeneo ya Mbezi shule, Mwenge

Komentáře • 1,8K

  • @user-iq1qu2ot8h
    @user-iq1qu2ot8h Před 11 měsíci +13

    Hakika askari wetu huyu anastahili kuwa mfano wakuigwa, Mungu amjalie maisha marefu na afya njema

  • @robertmwakimi3116
    @robertmwakimi3116 Před rokem +36

    Namkubali sana huyu jamaa,hata ukiwa na hasira ukimwona tu zinapotea.kama matraffic wengine wangekuwa hivi,tanzania tungekua mbali sana,mungu ampe maisha marefu.

    • @user-cv1hk8vn9j
      @user-cv1hk8vn9j Před rokem +1

      The best traffic officer ever well done our super traffic officer❤🎉

  • @delphinamakupa4914
    @delphinamakupa4914 Před rokem +9

    I visited dar es salaam...around goba..I saw thus guy...I laughed the whole day but was happy that he was happy enjoying his work....

  • @neemaally5997
    @neemaally5997 Před rokem +3

    Yaan hata mda wa Kuwaza rushwa hana hata kidgo yaan nampenda sana na alivyokijana anapendeza sana na Mungu kampa mwili mwepesi furahia tu kazi yako kijana ❤❤❤❤

  • @tumainilukumay9907
    @tumainilukumay9907 Před 2 lety +88

    Damu ya Yesu imfunike nimempenda kwakwel,Mungu amuongezee nguvu daima

    • @mossesmichaelnzowa3378
      @mossesmichaelnzowa3378 Před rokem

      Amen.

    • @MwittaJuma-yk5dm
      @MwittaJuma-yk5dm Před rokem +1

      Huyu anapenda kazi yake Kwa moyo mumoja Yan safii, mungu ambariki San aendelee nakazi yake

    • @alexymdee
      @alexymdee Před rokem

      Asipandishwe cheo bali aingezewe mshahara

    • @kigwandiohome4174
      @kigwandiohome4174 Před rokem

      yesu kafikaje tena apa

    • @geofreylulu4360
      @geofreylulu4360 Před rokem

      @@alexymdee pesa siyo kitu bro. apandishwe cheo kwa ufanisi wake maana anaweza kuwahimiza wenzake kujitoa kazini Kama yeye na yeye akiwa role model wao. vile vile cheo kikipanda sidhani kama mshahara wake utabakia pale pale

  • @saleheselemani5581
    @saleheselemani5581 Před 2 lety +42

    Mungu ambariki sana kwa kazi yake ikibidi aongezewe mshahara. Allah amlinde inshallah!!!

  • @marianamrosso795
    @marianamrosso795 Před 5 měsíci +1

    😂😂anachekesha sana huyu jamaa mbezi shule pale yaani mnacheeka yeye hajali ndo kwanza yuko busy kuwachekesha

  • @JumanneKapinga-mk9zm
    @JumanneKapinga-mk9zm Před 3 měsíci +2

    Na wengine waige kazi nzuri ya huyu afande Nampa big. Up

  • @aminabkr3192
    @aminabkr3192 Před 2 lety +5

    Huyu jamaa yuk pw San mwenyew nimemshuhudia kabisa mbezi shule pale👍👍👍

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 Před 2 lety +140

    Napenda Askari Wote Wange kuwa kama Huyu! Maana pia anaondoa pia hata stress za madereva.Hongera Zake Kipenzi cha Madreva.Mungu Amwongezee Umri na Afya njema.

    • @angelbabee6233
      @angelbabee6233 Před 2 lety +2

      Nimempnd sanaaaa uyo tlafick mbwembwe nyngiiii hahahaha

    • @rosekimario8223
      @rosekimario8223 Před rokem +3

      Mungu amwepushe na ajal za barabaran nampenda san

    • @ankohillary2165
      @ankohillary2165 Před rokem

      M. Napenda wote wawe kama huyu

    • @sharifashabani8689
      @sharifashabani8689 Před rokem

      Kiukweli ukifanya kazi kwa moyo unajisikia raha lkn ukifanya hupendi utaona no mzigo

    • @josesway8797
      @josesway8797 Před rokem +1

      Aisee yuko vizuri sana. Napenda sana kupita njia hiyo na gari. Huwa nainjoy sana nikifika mazingira yale.

  • @jacquelinejulius5013
    @jacquelinejulius5013 Před 3 dny

    Yaani mm nikimkuta barabarani huwa nafurai sana anavyofanya kazi yake kwa kuipenda Mungu ambariki ampe maisha marefu.

  • @magdalenemuchoki9326
    @magdalenemuchoki9326 Před rokem +22

    love from Kenya. Beautiful. Sijastaajabu kuona haya kutoka Bongoland. Creativity yenu ni ya hali ya juu, nd'o maana tunawapenda

  • @allykarama5574
    @allykarama5574 Před 2 lety +8

    Maa Sha Allhaa Hiki ni Kipaji Alicho Tunukiwa na Allhaa Anafanya Kazi Ndani ya Nafsi yake Nimeipeda

  • @sabryahmed6940
    @sabryahmed6940 Před rokem +14

    This officer is a one in a million.

  • @powerofgodtv9982
    @powerofgodtv9982 Před rokem +4

    Kwa mm binafsi kwakweli nimejifunza kitu huyu askari anaipenda sana kazi yake wala hajalazimishwa piya inatakiwa awe mfano kwa wengine utakuta trafiki anasababisha foreni bila sabbu za msingi ila huyu dah!!! aiseee big up sana bro God bless you

  • @sebastianrespickius5267
    @sebastianrespickius5267 Před rokem +2

    MUNGU Abariki kazi ya mikono yako mahana unaipenda nimejifunza kit kwak chanzo cha kupoteza uchovu n kupenda Nazi yako God bless you

  • @girremahamed5451
    @girremahamed5451 Před 2 lety +5

    Ma sha Allah Tabarakaala, jamaa yupo fit sana na anaimudu kazi yake,na pia ana enjoy sana tena sama

  • @dannypeter4951
    @dannypeter4951 Před rokem +10

    Huyu mtu mungu ampe maisha marefu katika kazi yake

  • @Lukasilevokatusi
    @Lukasilevokatusi Před 3 dny

    namkubali Sana Huyu jamaaa anafanyakazi kwamoyo mmoja sana tens anaipenda kazi yaka vzuli mnooooo mungu ambaliki sanaaaaa

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg Před 7 měsíci +1

    Hongera Sana, Yuko na moyo Safi, damu ya Yesu imfunike Kaka yetu ili na wengine wajifunze kupitia kwake.

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293 Před 2 lety +6

    Jamaa yupo vizuri, namkubali kwa sanna. Mungu ampe afya na kila la heri katika kazi yake na maisha yake kwa jumla.

  • @haikaelmamuya931
    @haikaelmamuya931 Před 2 lety +4

    Ni kweli huyu Kaka ndio maisha take mwanzo siku amini mpaka nilipopita eneo lake la kazi Ila ndio utendaji wake. Mungu azidi kukubariki Bro.

  • @convenantTV
    @convenantTV Před měsícem

    Yupo vizuri ukipenda KAZI yako hakuna uchungu moyoni ...Mungu amlinde baraka Tele kutoka kenya

  • @luluchasama9347
    @luluchasama9347 Před rokem +2

    Huyo jamaa ni noma,ni kweli anapenda kazi yake,asiondoshwe barabarani bila kufundisha wengine,ila aongezewe mkwanja

  • @saidifund3868
    @saidifund3868 Před 2 lety +5

    Vizuri sana ni mazoezi ya mwili viungo vinakuwa madhubuti Mungu ampe afya njema.

    • @alymuhammad8104
      @alymuhammad8104 Před rokem

      Mm nimefikia kutaka nimuon laiv yan kwa anvyo furahisha by abeid ridhwan suleiman kutaka dong kitarun ukipenda $tar big*

  • @martinisadru
    @martinisadru Před 2 lety +11

    Mungu amlinde katika kazi yake, wangepatikana Askari wengi kama huyo katika majiji makubwa hapa nchini foreni zingetoweka na maendeleo yangekua kwa kasi, maana watu watafika kwa wakati katika kazi zao.

  • @IsayaMtasiwa-jd4ei
    @IsayaMtasiwa-jd4ei Před rokem +2

    Uyu mtu mungu ampe maisha malefu kwenye maisha yake kwamana niwachache sana wenye moyo kama wake safi

  • @halimahamis3280
    @halimahamis3280 Před rokem +12

    Mungu amlinde sana nawenye husda!Aamiin rab

  • @Mtayamwega
    @Mtayamwega Před 2 lety +6

    Daaah! Binafsi mwenyewe nimemkubali sana huyu jamaa. Mungu ampe maisha marefu na mafanikio katika maisha yake.

  • @raphaelmitimingi6081
    @raphaelmitimingi6081 Před 3 lety +14

    Anafaa kuongezwa mshahara na kuwafundisha wengine waww na ari ya kuipenda kazi kama yeye! Nimempenda sana!

    • @nobertevarist6952
      @nobertevarist6952 Před 2 lety

      Me Kwa mala ya kwanza kumuona nilijua anatumia kijit ise

    • @guidokalinga
      @guidokalinga Před rokem

      Mm namkubali sana tena sana na ni shauri mzuri kwa madereva kama kuna mapungufu katika gari hatoi adhabu atakupa onyo , kwa mdomo, ilikaidi unapigwa faini Mungu mtie nguvu

  • @SimeonMwakalobo
    @SimeonMwakalobo Před 10 měsíci +1

    Hongera sana Askari kwa kuipenda kazi yako. Nakuombea Baraka na Neema ya Mungu.

  • @user-sb5ei2bh6k
    @user-sb5ei2bh6k Před 6 měsíci

    Uyu djaama nampenda sana Kuna watu wako ici anavituko asipo Vanya vituko Yani kama anaumwa Yuko vizuri from congo DRC.

  • @hashimuhaji1036
    @hashimuhaji1036 Před 2 lety +4

    Dah!kusema ukweli kila mtu na kipaji chake ila jamaa yuko vizuri zaidi ya sana

  • @jujudanda5511
    @jujudanda5511 Před 2 lety +49

    This man must be promoted binafsi nilishawahi kumzawadiya 20,000. Akiwepo hapo makutano ya fire. Good guy serikali impromote itakuwa motisha kwa wengine. Japo I will stay missing him

  • @peteruzia8313
    @peteruzia8313 Před rokem

    Asanteee sana yupo vizuri sana
    Lakn pia hicho ni kipaji.kuroka kwa
    Mungu.kweli hasa
    Maana sis tunaona kwa macho yetu. Wenyewe kuna matrafk wana upendeleo kabsa hawamuogop mungu.
    Ukfka matumbi unakaa masaa ma2
    Mpaka uvuke tazara hv ni kweli

  • @erickegidius6625
    @erickegidius6625 Před 3 měsíci

    Mungu akulinde Afande, chapa kazi. Idara zote za Serikali na hata zile za Private sector wanatakaiwa kuwa na watumishi wa hivi kuanzia ngazi ya juu.

  • @makameali6441
    @makameali6441 Před 3 lety +12

    Mimi nimempenda na nuombea kwa Allah adumu nayo kazi yake inshaallah

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 Před rokem

      Kabisa nimempenda mno yaani ningekuwa boss wake ningempandisha cheo faster

  • @shamsafarijala4801
    @shamsafarijala4801 Před 3 lety +10

    Nimempenda bureee mungu aendelee kukupa afya njema

  • @fransiscashayo4914
    @fransiscashayo4914 Před 28 dny

    Kazi nzuri sana mpaka naenjoy kuangalia unaipenda kazi yako. Mungu akulinde na akuonyeshe Nuru na mwangaza zaidi. Ukawe nyota ya dhahabu. ❤❤❤❤

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 Před 3 lety +32

    Mungu amtangukie katika kazi yake.

    • @Innocentlichad
      @Innocentlichad Před rokem

      Jamani naipenda mimwenyewe kaziyangu kamahuyu trafiki

    • @user-ly8hd6pg7w
      @user-ly8hd6pg7w Před 5 měsíci

      Kweli Mungu akulinde Sana

    • @user-ly8hd6pg7w
      @user-ly8hd6pg7w Před 5 měsíci

      ❤❤❤❤❤❤❤ waoooooh nimependa Sana🙏🙏🙏🙏🙏

  • @robertbutahe2835
    @robertbutahe2835 Před 2 lety +6

    Bonge la Traffic police officer. Safi sana. Good job, keep it up.

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Před 6 měsíci +1

    Yaani Ningekua Dereva Ningempa Hata Lako Moja Maana Kanivutia Sana
    Wengine Wamebakia Rushwa Tyu Buku Buku zetu Wana Chukua Watakufa na Laana za Rushwa na Watakufa Vibaya

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 Před rokem

    Good Job,siyo rahisi kuiga kitu ambacho hakiko kwenye damu,huyu askari anaipenda kazi yake na hivyo ni vizuri serikali imuangalie.
    Muda wote anasmile,hata akikamata mtu huwa anaelimisha na hapendagi rushwa.Mungu ambariki

    • @selulehamisi4928
      @selulehamisi4928 Před rokem

      Naomba unitumie namba zahuyu askari nimpe zawad amenifurahisha sana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před rokem +3

    Afande wangu mungu akupe maisha marefu kwani nafurahi sana unachokifanya

  • @amaniswai4969
    @amaniswai4969 Před 3 lety +7

    Awe mwalimu kwa wengine,na hapendi sifa Ila anajali kazi yake na anaifanya wa upendo wa Hali yajuu.hongera bro

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Před rokem

    Yuko vizuri sana... akikaa barbarians hakuna misongamano.... welcome. Mungu akulinde Ascari wetu.

  • @deusogiro9044
    @deusogiro9044 Před rokem

    nampenda ssna Askari uyo Kama wangekuwa wote Kama uyo daa tungefurai Sana mungu ampe ulizi afanye kazi vizuri kupita iyo

  • @peteryonna4434
    @peteryonna4434 Před 2 lety +5

    Ama kweli anafanya kazi vizuri sana mungu amlinde na ambariki katika kazi zake aliyoichagua na vituko vyake nimevikubali sanaaaa

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o Před 6 měsíci +4

    Jamanii aamishiwe arusha tutafurahi sana❤

  • @user-ve3wu5jn1l
    @user-ve3wu5jn1l Před 4 měsíci

    Mashalah inapendeza Sana . Anafamya kazi yake kiuweled Sana .Mwenyezi Mungu ampe Maisha marefu

  • @abdulqareemabdallah2579
    @abdulqareemabdallah2579 Před 6 měsíci

    Dah analet raha za barabarn mawazo hakun makosa tufanye wenyewe kwa huyu askar big up Allah akupe umri mrefu

  • @leahmgunda5248
    @leahmgunda5248 Před 2 lety +5

    Anafanya kazi aliyopangiwa na Mungu mwenyezi.Wazazi tusilazimishe watoto kazi wasizozipenda.

  • @nimphermonicah4754
    @nimphermonicah4754 Před rokem +14

    This guy is Amazing ❤️❤️❤️👍

    • @bscollection9469
      @bscollection9469 Před rokem

      Ulinzi wa KRISTO uwepo juu yake na pis watu wajitolrr kumsapoti

  • @rehemamkumbo6746
    @rehemamkumbo6746 Před 11 měsíci

    Safi sana kwakweli inafurahisha inaonyesha jinsi gani anavyo ipenda kazi yake namuombea kwa MUNGU YESU AMLINDE NA MABAYA YOTE YASIMPATE DAMU YA YESU IWE JUU YAKE POPOTE ATAKAPO KUA

  • @madamelucy8429
    @madamelucy8429 Před 5 měsíci

    Mie mwenyewe nimempenda bure ila sijaona hata wa kudondosha hela ya soda wakati wakiwa baa wakihudumiwa vizuri wanaacha keep change , pongezi kwake ❤

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 Před 3 lety +4

    Mimi nimempenda hakika anafanya vizuri, barikiwa mtangazaji

  • @emmanuelshayo2794
    @emmanuelshayo2794 Před 2 lety +3

    Mungu ambariki aisee. Ni kijana mzuri na anaipenda kazi yake.. BIG UP

  • @MelicianaYoram-rg5cl
    @MelicianaYoram-rg5cl Před 12 dny

    Goba umeihama brother foren zipo Kama zote lakin so mbaya ni kazi nzuri Sana 🙋

  • @abdulazeezuae2442
    @abdulazeezuae2442 Před rokem

    Mi naona hana habar ya kupendwa ndivo halivyo uyoo hata kwake hanaonekana mtu mwenye vichekesho mashaAllah

  • @metuselangungulu4011
    @metuselangungulu4011 Před rokem +4

    Tz we are proud with this kind of workers may God bless a man

    • @yasinta2342
      @yasinta2342 Před rokem +1

      Proud of** SIO PROUD WITH!

    • @RamjiNdomba-cz7qv
      @RamjiNdomba-cz7qv Před rokem

      Yuko poa vizuri na Kila mtu ana kalama yake so huyo ni kalama ambayo Mungu amempa pamoja na kwamba ananipenda kazi yake

  • @paulolaizer9133
    @paulolaizer9133 Před 2 lety +3

    Mwambo yuko vizuri kwa kweli mungu amtiye nguvu

  • @hunaynasalimu-te6fi
    @hunaynasalimu-te6fi Před rokem

    Mashallah nimempenda mungu amuongoz katk kaz yake amuondoshe na husda wengine hawapend anachokifanya huy askari

  • @mohammedkombawadomtznamungopig

    Huyu mwamba nakubali sana namfahamu muda kidogo ukipita maeneo alipo una enjoy kiukweli
    Mungu ambariki sana

  • @sharifuteacher5025
    @sharifuteacher5025 Před 2 lety +4

    Allhamdulillah allh amtangulie kwa kila jema kwenye kazi yake insha allh

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 Před 2 lety

      Mungu ampe afya njema ikiwezekana serikali imwongezee mshahara maana anaipenda kazi yake. Na anaifanya kwa weledi mzuri sana

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 Před 2 lety

      Mungu ambariki

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 Před 2 lety

      Piga kazi kaka wengine wajifunze kwako

  • @adammartinmwigune4501
    @adammartinmwigune4501 Před 2 lety +4

    Mimi binafsi nimemkubali, anaonyesha dhahiri kazi ipo kwenye damu.

  • @user-up2ef7dc6k
    @user-up2ef7dc6k Před 7 měsíci

    Yupo vizuri cn askari ❤mng amtangulia ktk kz yake in shaallah

  • @charlessando4129
    @charlessando4129 Před 2 lety +23

    I like this man Soo
    Much the way he is responsibilities for his duty

    • @mirajiissa4721
      @mirajiissa4721 Před 2 lety +3

      Safi sana uyo jamaa

    • @saidally4890
      @saidally4890 Před 2 lety +2

      Nampenda sana naomba hapewe posho ilinawengine wawe nawivu waige undajiuo

    • @saidimgawe6548
      @saidimgawe6548 Před 2 lety

      👍

    • @amirikyaka6942
      @amirikyaka6942 Před 2 lety +1

      Safi sana mkuu hinimeipenda sana

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Před rokem

      Jamaaa anafanya kazi vizuri sana inafaa aongezwe cheo Ila hata akipewa cheo zaidi ,asiache kuongoza magari barabarani . Kulikuwa na mtu akiitwa mayenu pia vizuri sana.

  • @f.a6043
    @f.a6043 Před 2 lety +6

    Hakuna jambo zuri kama mtu kupenda kazi yake MUNGU AKUBARI Traffic officer asipandishwe Cheo ili azidi kuonyesha mfano mzuri wa kazi lkn aongezewe mshahara

    • @samwelimabula
      @samwelimabula Před rokem

      Wao jamaa anaheshim kazi yake mimi binafsi nimempenda

  • @user-es2yt1jc4i
    @user-es2yt1jc4i Před 18 dny

    Mimrundi niombeen naipenda tz saana nimepata mtihan niombeen nice tena ninakija mtz msambaa

  • @mukafumumukafumu6100
    @mukafumumukafumu6100 Před rokem +1

    Kweli kazi hii usipoipenda utakuwa mtumwa. Hongera kijana wetu mpendwa.

  • @margaretwangari3523
    @margaretwangari3523 Před rokem +6

    This is so good! GOD BLess him and help others to learn from him 😂

  • @pendopeter3769
    @pendopeter3769 Před 3 lety +3

    Nimependa pia nafikiri ni askari kijana ndo maana. Askari ambao umri umeenda pia na walionenepa wanaona tabu kusogea sogea haraka kwa kuchangamka wanasimama sehemu moja, japo wapo vijana ambao hawajitumi hii inakuwa nitabia ya mtu pia.

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Před rokem

    Daaaah nimeipenda style yake feeling today from NEW YORK CITY 🏙️

  • @kelvinmhilu6509
    @kelvinmhilu6509 Před 2 lety +11

    I love this guy his in love with the job and his enjoying it his super

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 Před 3 lety +3

    Miaskari mingine inajificha pembezoni kutafuta mlungula

  • @user-mr7vv1kc8v
    @user-mr7vv1kc8v Před 6 měsíci

    mashallah,,kiukwel ni traffic mzr amby anaijal na kuipend kz yk,ALLAH akuongoz kweny mazr n mafanikio

  • @omarykiza
    @omarykiza Před rokem +10

    This man deserves a Prize 🏆

  • @dayanakassanga944
    @dayanakassanga944 Před 2 lety +3

    Safi wazalendo bado wapo nchi hii

  • @user-kj8bd6rq5c
    @user-kj8bd6rq5c Před rokem

    Hata Mimi nimependa
    Yuko sawa kabisa
    Mungu amlinde na ampe maisha marefu

  • @user-rp2hv1fb8g
    @user-rp2hv1fb8g Před 8 měsíci

    Mm mwenyewe nimempenda Sana tena Sana kweli anaipenda kazi yake wengine niwakorofi Sana huyo anavyoonekana hataukikosea hawezikukuazibu Bali atakuonya tu

  • @mourinhowakawe7867
    @mourinhowakawe7867 Před 3 lety +3

    Mungu akuzidishie police wetu

  • @josemgy1199
    @josemgy1199 Před rokem +4

    This man deserves a prize

  • @StarmallyStushery-yj9po

    Dah! Huyu me hua namkubali sana ni mtu flan wa kipekee sana kwanza hajisikii hana malingo ni kipenzi cha watu na ndo zao la Marehemu linabaki kiasi😭😭😭😭 yuko poa sana

  • @user-le7uv3iw9j
    @user-le7uv3iw9j Před rokem

    Hongera sana Askari huyo nashauri na wengine waige mfano wake Mimi Allen nyudike

  • @juniorberbilizjr921
    @juniorberbilizjr921 Před 2 lety +7

    ❤❤ God bless him

    • @anastanziaaroisi8666
      @anastanziaaroisi8666 Před rokem

      Safi nimeturia sana huyu turafk jembe anaipenda kazi take naanajali uutu sana nawengine wajinze

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 Před 2 lety +3

    Huku kutesana tena karne hii ya technology
    Msiweke traffic lights kwa nini
    Hongera kwa kujitoa askari wetu ila afya yako ni muhimu pia ili ulitumikie taifa na familia yako kwa umri mrefu zaidi

    • @jemawiliam9075
      @jemawiliam9075 Před 2 lety +1

      Traffic light zipo ila maranyingi huwa ndio sababu ya jam ndio huenda askari kupunguza jam kwakuwa taa hazina upendeleo huluhusu kwa muda marumu

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Před rokem

      @@jemawiliam9075 kweli anasaidia unakuta taa zinaruhusu upande ambao magari hamna au machache, so anasaidia sana nimependa ubunifu sio kila saa stooop! Lete kadi lesenia mara bima mara fire extinguisher

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 Před rokem +2

    Huyu jamaa ktk kazi yake anapata faida nyingi sana
    1)Mshahara
    2)Umaarufu.
    3)Mahusiano mazur na watu
    4)Uchapakazi nzur kazini/kwa ofisi
    5)Mazoezi.
    Yaan huyu haitaji gym hata akiondoka hapo basi kila kitu kipo sawa ktk mwili wake.
    Kwa kifupi yupo vzur sana ktk majukumu yake.

  • @zubedaally-5736
    @zubedaally-5736 Před 3 měsíci

    Napenda sana huyu Askari Kwa njinsi anavoongoza magari nawengine wajifunze kupitia yeye naamini anafanya KAZI anayoipenda na kuifurahia kutoka moyoni❤

  • @graciousdavid9818
    @graciousdavid9818 Před 2 lety +18

    He is amazing!! I like it.

  • @janetmanyansa7385
    @janetmanyansa7385 Před 2 lety +8

    so encouraging,l like it

  • @user-pw9go3bj9j
    @user-pw9go3bj9j Před 3 měsíci

    Mwenyezi mungu akulinde akupe maisha marefu, lkn pia uwe makini na vyombo barabarani maana break hua zinafeli wasije kukuumiza bure traffic wetu. Siku nikija TZ ntakutafuta

  • @mayalapaul320
    @mayalapaul320 Před rokem

    Namkubari sana mwamba sio hivyo tu pia ni mcheshi nilimuona sehem nikamkubari sana mungu ampe maisha marefu

  • @rukiammanyi-qm9iz
    @rukiammanyi-qm9iz Před rokem +7

    So proud of him 🫠

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Před 2 lety +3

    Mashaallah

  • @HappyHockey-dc7ju
    @HappyHockey-dc7ju Před 2 dny

    Kiukwer huyo asikari Yuko vizur sana by kassim adam

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 Před rokem

    Kazi na burudani na Raha jipe mwenyewe. Hapa jua wala mvua itapita pembeni kumpisha afanye kazi yake. Vijana kuweni wabunifu vinginevyo mtabaki kulalamikia mishahara. Nina Imani huyu jamaa baada ya kazi huwa haitafuti jioni yake bali inamtafuta. Umeelewa!
    Ushauri ni kuwa asisahau kuanza na maombi ya ulinzi wa Mungu maana mashetani wenye wivu ni wengi wasimponde Bure.🙋🙋🤓🤓

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 2 lety +3

    Mashaallah 💞

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 Před 2 lety +4

    ❤😍❤

  • @wakunyamba2853
    @wakunyamba2853 Před 4 měsíci

    Yupo vzr na anaipenda kazi yk na kazi ni burudani kwake. Mi kwa mtazamo wangu apewe nafasi awafundishe wale matrafic wanaosinzia barabarani km mateja

  • @MINJAANDEKIAMSUYA-ul4os
    @MINJAANDEKIAMSUYA-ul4os Před 7 měsíci

    Mimi pekee nimempenda sana. Na WMENYEZ MUNGU ambariki katika maisha yake na awe na mafanikio