Video není dostupné.
Omlouváme se.

EXCLUSIVE: PILI WA KITIMTIM KAFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUWA MJAMZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 08. 2024

Komentáře • 167

  • @anithaapolinary6391
    @anithaapolinary6391 Před 2 lety +20

    Baada ya Millard,Vido we ndo unafuata kwa kazi nzuri. Napendaga saaaana kazi zenu guys. You're my favourits guys👌👏

  • @vidovidox2632
    @vidovidox2632 Před 2 lety +87

    Nimewaona kwenye Comments Ndugu zangu ASANTEni 🙏🏾🙏🏾

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 Před 2 lety +1

      Pamoja mkuu

    • @wakatiwaapolineapoline5508
      @wakatiwaapolineapoline5508 Před 2 lety +1

      Wallah huna kazi mbovu, ishi ukijuwa unapedwa na mashabiki wako ❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @loulumony8519
      @loulumony8519 Před rokem

      Samahani kaka nakupendag san gisiunavyoongeaga sas🇴🇲🇧🇮💓💓

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Před 2 lety +22

    Nampenda Sana pili ananifurahisha Sana mwenyezi Mungu amlinde ajifungue salama,🙏🏼

  • @sanekwilabya2341
    @sanekwilabya2341 Před 2 lety +18

    Kkheee! Kumbe pili ndio Boss mwenyewe? Hongera sana muunganiko wenu ni mzuri na unaendana

  • @Farithun
    @Farithun Před 2 lety +11

    Hongera sana pili umeongea vizuri sana mngu akulinde naakuepushie mabaya inshaallah

  • @user-ty6lr1zq7j
    @user-ty6lr1zq7j Před 2 lety +13

    Gladness nakupenda sana kwani unaishi maisha yako pia ni mkweli huna makuu shogangu napenda sanaaa kazi zako hujali ustaa bali unachojali ni kutafuta pesa hongera pili muuza miguu ya kuku nakupenda sanaaa

    • @irenejamesgomba4233
      @irenejamesgomba4233 Před 2 lety

      Sasa jamani Pili wewe huna Kaba Kwa wenzio tyuuu.... Ila kwako una Kaba hatareee

  • @priscabuzoya3087
    @priscabuzoya3087 Před 2 lety +10

    Ahsante sana tume enjoy interview 🥰

  • @annabeljohn401
    @annabeljohn401 Před 2 lety +14

    Beautiful interview na funny pia. Mungu amjaalie ajifungue salama 🙏🏼❤️

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 Před 2 lety +5

    Eti hili Sasa siyo la kitimtim hili juhudi za baba Mtoto 🌹❤️❤️❤️❤️❤️💞

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 2 lety +7

    Haaaaaa kupenda mno pili wangu m/mungu akusimamie ujifungue salama mom

  • @emmanueljohngewe9573
    @emmanueljohngewe9573 Před 2 lety +5

    Hapo kwenye mapana 60 pili kipaji kakupa mungu I love you mchaga mwenzangu

  • @aminasuliman2923
    @aminasuliman2923 Před 2 lety

    Nakuaga nafulaha nikiangalia mahojiano na Chanel ya Millard ayo yan watu wanafungua ukwel sio kudangaya au uekti nimtu furan kwakwel mi nawapenda namuendelee kuuivyo❤️❤️❤️❤️

  • @successdenis1002
    @successdenis1002 Před 2 lety +5

    Nakupenda saaaaaaana pili 🥰😘❤️

  • @zuhurangindo6122
    @zuhurangindo6122 Před rokem

    Upo vizuri kifaluka mungu akutangulie ujifungue salama

  • @belindabaraka13
    @belindabaraka13 Před rokem

    Kajisahau kataja jinsia, it was amazing, nimeumiss ugali dagaa ghafla.

  • @kilunjupolinah343
    @kilunjupolinah343 Před 2 lety

    Vido Vidox, umepatikana Leo.i love the both of you. God bless you 😍 🔥

  • @zarrykaidza2359
    @zarrykaidza2359 Před rokem

    nampenda sana pili jina km langu, kutoka kenya nakutakia kila la kheri

  • @princesumary7356
    @princesumary7356 Před rokem

    Nimekuona Glad (ni Yuda wa Twiga pale Moshi)Niko Nairobi,bigup sana natazama kitimtim kupitia mtambo mkubwa wa DStv.

  • @happymacha3235
    @happymacha3235 Před 2 lety +7

    Dagaaa 🙌🏾yan mimi zinapikwa nyumba ya 4 uko lakn nilikua naskia harufu naeenda mpaka zilipo sikubali kupitwaa

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před rokem

    Mola akuvue salama Gladys wewe na mwanao In Sha Allah.

  • @sittymnengwe5057
    @sittymnengwe5057 Před 2 lety +3

    Acha kujidngnya dada angu ndoa huwez kua sure hat ukimchunguza mtu hawez kukuonesha tabia zake zote watu tumeolewa bt tabia alizokua anakuonesha mtu tofauti na anazokuonesha akishakuoa aise ukiwaza ivo hutaolewa dear n sure mnazini n mnaona kawaida

  • @christinemangaza6303
    @christinemangaza6303 Před 2 lety +4

    Pili ❤️

  • @bekhaphdprince6347
    @bekhaphdprince6347 Před 2 lety

    Vido vidox big up Sana broo. Oyaaaaa sio poa big up Brother.

  • @lucysikombe1465
    @lucysikombe1465 Před 2 lety +2

    I like that girl 2 much 😘😍😍

  • @joyagbiano2439
    @joyagbiano2439 Před 2 lety +3

    Apo kweny dini lakiyahudi make kwanz apo nichek🤣🤣🤣

  • @user-rq9kl6hh9t
    @user-rq9kl6hh9t Před 10 měsíci

    Ugal na kijiko wapi na wapi

  • @majmadramas5726
    @majmadramas5726 Před rokem

    nampenda huyu dada🥰

  • @lovenessoscar4102
    @lovenessoscar4102 Před 2 lety

    Big up vido napenda kuona intaview zako unafanya kazi nzuri saaana,

  • @salmakassim8316
    @salmakassim8316 Před 2 lety +2

    Nimekupenda bure pili ,❤️❤️❤️

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 Před rokem

    Nakupenda bure pili msalmie nandy pacha wangu 🇰🇪

  • @hadijaabdul9689
    @hadijaabdul9689 Před rokem

    ❤️❤️❤️ in kitimtim🥰

  • @ifrahashery2289
    @ifrahashery2289 Před 2 lety +2

    Uko vizuri

  • @rahmasoliman489
    @rahmasoliman489 Před 2 lety +3

    Pili ana vituko

  • @judithsijaona9875
    @judithsijaona9875 Před rokem

    Pili ajui kufake lyfe nampenda

  • @witnesslema9580
    @witnesslema9580 Před rokem

    Jamn namkubali sana huyudada nauchekeshaji wake

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Před 2 lety +2

    Wa kwanza

  • @evelynsalila9700
    @evelynsalila9700 Před 2 lety +3

    Kwenye kumiliki mtu hapo🤣🤣🤣

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 Před 2 lety

    MRS. Tinwhite

  • @reinatave3022
    @reinatave3022 Před 2 lety +5

    Interview za Gradness zinakuaga na comedy mno

  • @faridamakhmud4706
    @faridamakhmud4706 Před rokem

    Kama vile anashobo na nandy 😂😂😂 kilakitu nandy nandy nandy kwendraaaaa

  • @jenestermerchades9111
    @jenestermerchades9111 Před 2 lety +1

    ka interview pambee

  • @shamisalryam4775
    @shamisalryam4775 Před 2 lety +4

    Hatari nanusu we pili lkn sio zunde zundeg huyo kashafanya yake

  • @mcchikao
    @mcchikao Před 2 lety +2

    Ila angetaja tu jinsi ya mjomba mjomba 😂😂

  • @stelabrent6056
    @stelabrent6056 Před 2 lety +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti na mimi naanza kumiliki mtu

  • @hellenpaul2149
    @hellenpaul2149 Před 2 lety

    So lovely 😍

  • @SecretglowbymsBecky
    @SecretglowbymsBecky Před 2 lety

    Napenda pili🥰

  • @elizabethkilendi9998
    @elizabethkilendi9998 Před rokem

    Nataman kwel nfanye kaz hat moj na wew nakupnda buree

  • @user-gi1ez6fc1y
    @user-gi1ez6fc1y Před 2 lety +1

    Wallah Leo Vido umepatikana Grady ni Noma😅😅🙄

  • @sanekwilabya2341
    @sanekwilabya2341 Před 2 lety +7

    Ndugu MTANGAZAJI fahamu kua kuna utofauti Kati ya baba wa mtoto na MUME. Pili is right kuzaa si ndoa amchunguze baba wa mtt ili awe na hakika kama atakua mume bora kwake.

  • @nasrahayub1849
    @nasrahayub1849 Před 2 lety

    Kaka anajua sana

  • @burundialiy2866
    @burundialiy2866 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂 yaniwepili hatari san

  • @rashidakimaro7407
    @rashidakimaro7407 Před 2 lety

    Pili mambo yametaradadi pua imekuaaa Sasa😄

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Před 2 lety +2

    Pili we miss you in kitim tim

  • @gatie_lightness02
    @gatie_lightness02 Před 2 lety +2

    I love Gladness

  • @zahratahmad7990
    @zahratahmad7990 Před 2 lety +2

    Mimba ndani ya comed

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 Před rokem

    Pili wew😂😂😂😂

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 Před 2 lety

    Glady najuwa kwenu ni maeneo ya KIANGANE /MANDA siku ukija lazima nije nikusalimie

  • @anetymlingi9530
    @anetymlingi9530 Před 2 lety +1

    Nimecheka zunda junior

  • @latifaalsh5421
    @latifaalsh5421 Před 2 lety +6

    Yani vido Leo umepatikana Maan huyu pili kaamua😂

  • @zahramohammed3265
    @zahramohammed3265 Před 2 lety

    Pili nampenda sana

  • @rosemuba2532
    @rosemuba2532 Před 2 lety

    Iyo ultrasound itakua ya mboyokwa😀

  • @rebeckyusuph8058
    @rebeckyusuph8058 Před 2 lety

    Jamani Ni Mimi kabisa huwa ninamud zangu mwenyewe jamani

  • @khadijauledi3293
    @khadijauledi3293 Před 2 lety

    🤣🤣 Pili weeee, umenichekesha 🤣🤣🤣

  • @danielpaul84
    @danielpaul84 Před 2 lety

    Mbona kama vile amefanana na nandy

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 Před 2 lety +3

    Vido vidox

  • @Gmama264
    @Gmama264 Před 2 lety +1

    Pili iyo pua jmn shkamoo mimba🙌🙌😁😁

  • @MylerWyson
    @MylerWyson Před 2 lety +3

    Jamani puaaaaa

  • @fatmamdhihiri5477
    @fatmamdhihiri5477 Před 2 lety

    Pili jmn etii Kuna wa kuleta sambusa Kuna wa kuleta juice 🤣🤣🤣

  • @daimondelfina5689
    @daimondelfina5689 Před 2 lety +2

    Kwani si nilisikia ameshajifungua!!

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 2 lety

    Love you girl

  • @dorcasfanto9957
    @dorcasfanto9957 Před 2 lety +2

    Hiyo mimba sio zunde kweli muhusika

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Před 2 lety +6

    Kha ila wasanii utazani mimba wao ndo wakwanza 😂 kha

  • @kellenalex6231
    @kellenalex6231 Před 2 lety +2

    Beautiful one🥰❤

  • @hopemaluba4788
    @hopemaluba4788 Před 2 lety +2

    nakupend sana pili

  • @jasminemallya4783
    @jasminemallya4783 Před rokem

    😘😘😘

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 2 lety

    Pnda san gladisiiiiiii

  • @joycejohn493
    @joycejohn493 Před rokem

    Interview 🤣🔥🔥🔥💓

  • @fridanaafya7511
    @fridanaafya7511 Před 2 lety +2

    🥰🥰🥰

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 Před 2 lety +2

    Mungu afu unabeda mimba kabula ya ndoa lakini Haina shida

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před 2 lety +3

    Mimba imemchukia mumewe

  • @anithafrancis4375
    @anithafrancis4375 Před rokem

    6 kwa 6 angle mapana 60 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Před 2 lety +9

    Unazaa mtoto out of maried unajuwa ni dhambi Sana hata kwa wa cristor nidhambi Raha ya mtoto awe na mume kesho utajuwa la kumwambia Mwenyezi Mungu jamani tunamchezea Mungu tunakotoka tunakujua huko tunakokwenda tunakujuwa

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před 2 lety +1

      Imeandikwa wapi kuzaa mtoto nje ya ndoa ni dhambi, inamaana MWENYEZI MUNGU anamakosa kuruhusu watu kuzaa, kila mtoto anaekuja dunian, awe ndan au nje ya ndoa, anamakusud ya MUNGU MWENYEZI(YESU KRISTO) kumleta dunian, kama ingekuwa ni makosa bas angefungwa kizazi mpk aolewe

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 2 lety

      @@Churchofecclesia Nilijia tu kama wewe niupande wapili

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před 2 lety

      @@fatmafatu1128 upande wa pili upi ? Kwahyo unataka kuniambia, iliandikwa wapi kwamba mtu akizaa nje ya ndoa ni dhambi au ni makosa, ni sawa kufungua ndoa ni muhmu na sio kwamba nahalalisha hvyo, hapana, ila haijawah kuandikwa kwamba ni dhambi kuzaa nje ya ndoa, kama ingalikuwa ni dhambi MWENYE ENZI angefungwa matumbo mpk watu waoe na kuoana ndo azae, ila kila mtu anaezaliwa iwe nje au ndani ya ndoa anamakusud maalum MWENYE ENZI kumpitisha had kuzaliwa

    • @queenshoo3884
      @queenshoo3884 Před 2 lety +1

      Sisi ni binadam hatuwez ishi kama malaika kila anafnya anachoweza we kama umeweza kufata dini hewala una dhambi zako nyingne maybe

    • @isabelajustine1812
      @isabelajustine1812 Před 2 lety +2

      Ww ulizaliwa ndani ya ndoa

  • @sabrinahamisi7544
    @sabrinahamisi7544 Před 2 lety

    Penda Sana you

  • @sabrinasalim5580
    @sabrinasalim5580 Před 2 lety

    Mbona anaiongelea mimba kama jambo gumu sanaa mm nnawatoto2 mbona sikua kama yeye ivoo

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Před 2 lety +2

    Unajifanyisha kuongea Kama nandy

    • @leahcestiny3770
      @leahcestiny3770 Před 2 lety +3

      Hajifanyish ila ni marafiki always mkiwa marafiki wa mda mrefu lazma Kuna vity mtakua mmecopyiana

    • @swalehshumishee1193
      @swalehshumishee1193 Před 2 lety

      Mhh not true

    • @jan6703
      @jan6703 Před 2 lety

      Hata sura wafanana kidg

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Před 2 lety +4

    Mmmmh huyu nae anaisingizia mimba tuuu ndo useme ya watu ugali dagaaa mtamu wap

  • @r9ayyansaid652
    @r9ayyansaid652 Před 2 lety +1

    Dume hilo

  • @maryammwinyi932
    @maryammwinyi932 Před 2 lety

    ❤🍎

  • @mwajumaissa2358
    @mwajumaissa2358 Před 2 lety +3

    🤣🤣🤣🤣Huyu dd ni kiboko ya waongeaji Kaaaah kwamba dini ya kiyahudi halafu vido _vidox umenifanya nicheke kwa hilo cheko lako huwii

  • @citysuncvt1535
    @citysuncvt1535 Před rokem

    kiyahudi😂

  • @elizarichard7034
    @elizarichard7034 Před 2 lety

    💕💕

  • @princessringo2879
    @princessringo2879 Před rokem

    Jmni pili😂😂😂😂😂

  • @dativaanthony9369
    @dativaanthony9369 Před 2 lety +1

    Nakupenda dada pili

  • @gloryrusizoka8608
    @gloryrusizoka8608 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🙌pili

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Před 2 lety +7

    ila ugari dagaa mtamu

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Před 2 lety +2

    😀😀😀

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 Před 2 lety

    Mmmmh

  • @muzikiprofile
    @muzikiprofile Před 2 lety +2

    Hello 👋 uliskia hii 👇
    czcams.com/video/VzZFSs4qqi4/video.html

  • @nellylundi9238
    @nellylundi9238 Před 2 lety

    Yani pili kanona pua,shingo,uso😂😂😂aki mimba wewee😂😂

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 Před 2 lety +3

    Nina mwanmke msumbufu kama pili